HealthTalk

HealthTalk HealthTalk ni jukwaa/darasa linalotoa elimu kuhusu Afya ya mwili,Afya ya akili,Afya ya Mazingira na namna ya kuepukana na changamoto zake pamoja na kuzikabili.

HealthTalk pia ianajihusisha na kutoa madawa tiba ya asili kwa kutumia chakula dawa .na mazoezi

Kula chakula bora na sio bora chakula
27/08/2022

Kula chakula bora na sio bora chakula

Your Health your Choice🍉
27/08/2022

Your Health your Choice🍉

07/06/2022

SANA
Ili mwili wa binadamu ukae sawa unategemea virutubisho vitano ,ili uendelee kuwa na afya njema.

Kuna virutubisho vingine mwili wako unazalishe wenyewe na pia vingine mwili hauwezi kutengeneza Wenyewe,unapata kupitia vyakula tunavyokula au jua.

K**a unakula vyakula ambavyo havina virutubisho, matokeo yake virutubisho hivyo itabidi upate kupitia kidonge (Supplement).

Vidonge vya virutubisho vipo vingi sana vinauzwa, hii ni kutokana na watu kutokula vyakula vyenye virutubisho.

Maana yake k**a huvipati inabidi upewe kupitia Kidonge ununue kidonge chenye virutubisho na nadhani mnaviona wanavitangaza karibu kila siku mitandaoni sasa kweli wewe umefikia Hali hiyo ya kuwa boosted na vidonge vinatoka nje wakati wewe hapa Mnalima kila kitu na kipo natural.

Mwili wa bianadamu Unahitaji virutubisho hivi muhimu zaidi Kuliko vyote 👇🏾

1.Mafuta 👉🏾mafuta hapa nazungumzia mafuta asilia ya n**i, samli, siagi, parachichi.
Mafuta yanazalisha Nishati ya Mwili mara tisa 9 kwa kila gramu moja.

Mafuta Asilia yana nguvu sana .yana uwezo wa kujenga seli upya ,na mishipa .

Ni lazima ule mwili hauwezi kutengeneza Wenyewe.

2.Protini 👉🏾kazi ya protin ni kujenga mwili, misuli na tishu .vyakula vya Protini Ni Nyama,Mayai,Samaki kiujumla hizi main dish ni muhimu sana Ndio maana ata ukienda hotelin utaulizwa unataka chakula gani chakula ni samaki, mayai au nyama na cha Kusindikizia Ndio zinakuja wali au chips maana yake si muhimu sana 😂

Protini Ni muhimu Sana Mwilini.
Mwili ukikosa misuli inasinyaa 👉🏾show haiendi WALE WAZEE WA SHO SHO 🤣.

3.Vitamins 👉🏾muhimu pia kwenye Mwili wako ,zinasaidia katika ukuaji wa seli mfano vitamin A kwenye kujenga seli na kurepea seli
vyakula vya vitamins ni matunda Parachichi, Tango, Papai n.k

4)Vitamini D ndio mwili unatengeza Wenyewe kupitia Mwanga wa Jua.
Pia vitamini K ambayo inatengenezwa na bakteria kwenye utumbo mdogo. .

5)Madini .Madini Ni vichocheo vizuri katika kazi mbali mbali za mwili.
Vyakula ambavyo vitakupatia madini Mboga za majani Aina Zote. .Maji ,Asilimia kubwa ya Damu Ni maji , Hivyo maji Ni muhimu Lakini kunywa ukihisi kiu tu.

Ugali,wali,ndizi, viazi,chipsi,Tambi,ngano nk Havisaidii chochote mwilini Mwako ndio Mana hapo havijatajwa!!
Huwa vinazalisha Nishati kidogo Sana ambayo huisha Ndani ya muda mfupi.

Unahitajika Tena kula Ndio maana ukiwa mlevi wa hivyo vyakula unakuwa mtu wa kula hovyohovyo K**a fukwe

Ni wewe kuchagua kusuka au kunyoa!

REJEA:Kitabu Cha Robert H.Lusting,MD.(Uk 38-40) 🙏🏾

kwenye Afya yako

22/05/2022

Watanzania wenzangu Hakikisha mwanao amepata chanjo ya POLIO, watoto wote wenge umri chini ya miaka mitano wapatiwe chanjo kwa ajili kuzuia Virusi vya ugonjwa wa Polio, Chanjo (Tone)ya Polio inatolewa bure kabisa.

Maisha ya watoto wetu
inazuilika
bila Polio inawezekana

🔬

Pendelea kula matunda kwa wingi, punguza vyakula vya wanga, pia jua una kundi gani la damu ni muhimu sana.
30/04/2022

Pendelea kula matunda kwa wingi, punguza vyakula vya wanga, pia jua una kundi gani la damu ni muhimu sana.

Home Health Tips,No one can Love you more than yourself
28/02/2022

Home Health Tips,No one can Love you more than yourself

📌
21/01/2022

📌

⚠VIRAL PNEUMONIA☡Vaa BARAKOA,NAWA MIKONO KWA VITAKASA MIKONO,EPUKA MISONGAMANOHII WAVE INAYOKUJA NI MBAYA KULIKO
12/12/2021

⚠VIRAL PNEUMONIA☡

Vaa BARAKOA,NAWA MIKONO KWA VITAKASA MIKONO,EPUKA MISONGAMANO
HII WAVE INAYOKUJA NI MBAYA KULIKO

  kula matunda mara kwa mara  🔬
29/11/2021

kula matunda mara kwa mara
🔬

15/11/2021

JUISI K**A HII MARA KWA MARA KWA AJILI YA KUBORESHA AFYA YA MWILI WAKO,,!
👉Mchanganyiko wa Parachichi🥑,ndizi🍌,Maziwa,Tende,karanga na habati soda(black seed) kidogo bila kuchanganya na maji kabisa kila mchanganyo hapo una kaz yake maalum mwilin. n juisi nzuri sana
utanishukuru baadae😊

🔬

  maelezo zaidiwasiliana nasi whatsapp,Sms au Piga kwa namba👉 0768249691pia follow ukurasa wetu wa HealthTalk kupata eli...
14/11/2021

maelezo zaidi
wasiliana nasi whatsapp,Sms au Piga kwa namba👉 0768249691
pia follow ukurasa wetu wa HealthTalk kupata elimu zaid kuhusu afya yako,
🔬

14/11/2021

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when HealthTalk posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to HealthTalk:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram