Health FIRST

Health FIRST Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Health FIRST, Medical and health, .

Soma kwa umakini kabisa Kisha uliza swali lolote linalohusiana na changamoto za kiafya, Kwa huduma ya Haraka piga simu K...
08/06/2023

Soma kwa umakini kabisa Kisha uliza swali lolote linalohusiana na changamoto za kiafya, Kwa huduma ya Haraka piga simu Kwa namba zinazooneka kwenye picha yetu hapo chini, karibu Sana upate huduma Bora kabisa ya kiafya, Naam karibuni Kwa maswali nipo tayari kujibu

04/04/2023

Mwanaume rejesha urijali wako, epukana na dharau za mitaani, XPOWER COFFEE ndio FAHARI yako, ina faida nyingi sana
1, hurudisha nguvu zilizo potea
2, hutibu matatizo ya ngiri
3, huongoza hamu ya tendo la ndoa
4, huimarisha misuli ya uume
5, huimarisha mbegu za kiume na kufanya ziwe bora na zenye uwezo wa kutungisha mimba nk.

Kwa ushauri na tiba wasiliana nasi kwa namba / WhatsApp namba 0751061096 HEALTH FIRST

Fahari ya MWANAMKE ni usafi, zingatia sana usafi hasa kipindi cha period ili kuepukana na maradhi k**a fangasi ukeni, mi...
04/04/2023

Fahari ya MWANAMKE ni usafi, zingatia sana usafi hasa kipindi cha period ili kuepukana na maradhi k**a fangasi ukeni, miwasho ukeni, harufu mbaya, maambukizi kwenye via vya uzazi, k**a unachangamoto moja wapo ya hizo tuwasiliane kwa ushauri na tiba

29/03/2023

🔴 *YAJUE MADHARA YA NJIA MBALIMBALI ZA UZAZI WA MPANGO NA TIBA YAKE*

Call & WhatsApp 0751061096
0751061096

*MADHARA YA SINDANO ZA KUZUIA MIMBA*

👉🏻Usumbufu wa hedhi
👉🏻Kuumwa kichwa mara mara
👉🏻Kizunguzungu
👉🏻Kichefuchefu
👉🏻Kuongezeka uzito usiokuwa na faida
👉🏻Kupunguza hamu ya tendo la ndoa
👉🏻Kusababisha Uvimbe kwenye kizazi (fibroids)

🔴 *MADHARA YA VIDONGE VYA KUZUIA MIMBA*

👉🏻Huathiri fuko la uzazi kwa ndani na kusababisha uvimbe
👉🏻Kuongeza uzito wa ute utokao katika njia ya uke ili kuzuia mimba kutunga
👉🏻Kuumwa kichwa mara mara
👉🏻Kupata kichefuchefu
👉🏻Kutopata hedhi kwa baadhi ya wanawake
👉🏻Kubadilisha mwenendo wa damu
👉🏻Kuliathiri ini kidogo kidogo
👉🏻Kupata kisukari
👉🏻Kupata ugonjwa wa moyo
👉🏻Kupooza upande mmoja wa mwili.
👉🏻Kupunguza hamu ya tendo la ndoa

*🔴MADHARA YA KIJITI*

👉🏻Husababisha saratani za aina mbali mbali
👉Kuchanganyikiwa kiakili
👉🏻Shinikizo la damu
👉🏻Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.
👉🏻Kusababisha ukavu uliopitiliza kwenye uke hivyo kusababisha vidonda
👉🏻Kupunguza kwa kasi kubwa hamu ya tendo la ndoa

*🔴MADHARA YA KITANZI*

👉🏻Utokaji ovyo wa damu
👉🏻Kutoboka fuko la uzazi
👉🏻Kuongezeka kwa upana wa uke na kuifungua lupa na kufungwa kwa uzazi.
👉🏻Kitanzi kufyatuka na kusababisha upasuaji
👉🏻Kuondoa hamu tendo la ndoa.

*K**A UMEATHIRIKA NA MOJA KATI YA NJIA HIZI KARIBU NIKUHUDUMIE*

Call & Whatsap
0751061096

29/03/2023

PIGA/SMS
0751061096
0751061096

UGONJWA WA PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE AU MAAMBUKIZI KATIKA VIA VYA UZAZI)na jinsi ya kupata tiba sahihi
MAELEZO YA AWALI YA UGONJWA WA PID

Habari za siku ndugu zangu ni matumaini yangu mnaendea vizuri. Kutokana na kundi kubwa la wanawake wamekuwa wakiteseka na tatizo hili, bila kupata msaada wa tiba huku wakibaki na madhara makubwa k**a ugumba, , basi leo hii napenda nianze na ugonjwa wa PID(PELVIC INFLAMMATORY DISEASE AU MAAMBUKIZI KATIKA VIA VYA UZAZI )

UGONJWA WA PID NI NINI??
~ni ugonjwa wa maambukizi unaotokea katika via vya uzazi wa mwanamke ambapo huhusisha maambukizi katika shingo ya kizazi (CERVICITIS),nyama katika mfuko wa uzazi (ENDOMETRITIS) na mirija ya uzazi (SALPINGITIS)

VYANZO NA VIHATARISHI VYA KUPATA UGONJWA WA PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)

Vimelea aina ya NEISSERIA GONORHOEAE pamoja na CHLAMYDIA TRACHOMATIS ndio chanzo cha maambukizi ya ugonjwa wa PID ingawaje kuna aina kadhaa za vimelea vinahusishwa kusababisha ugonjwa wa PID hivyo nilivyotaja

29/03/2023

Karibu ujipatie sabuni pendwa kabisa, inayotumiwa na watu wote na jinsia zoteee
Faida zake
1, Inaondoa chunusi usoni
2, Inaondoa madoa meusi usoni
3, Inaondoa miwasho mwilini mfano, fangasi
4, Inaondoa harufu mbaya mwilini
5, inamsaidia mtu ambaye ameungua na vipodozi na kurejesha uso ktk Hali ya kawaida
6, inarudisha Hali ya unyevunyevu usoni na kufanya uso upate hewa Safi
Karibuni Sana

Piga simu no 0751061096

28/03/2023

~Hii Ni ndani ya siku 15-30 TU kwa wale wenye bawasiri sugu hata K**a umewahi kufanya operation na ikarudi Tena hapa ndio mwisho haitarudi tena.

Health first
0751061096

SOLUTION DIPILE
🩸Inaondoa kabisa kuwashwa sehemu ya tundu la haja kubwa
🩸Inamaliza kabisa Maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa ambayo kupelekea mtu kushindwa kukaa kwa muda

🩸Inaondoa choo chenye damu ,na kigumu K**a Cha mbuzi
🩸Inafanya kijinyama kilichtokeza sehemu ya haja kubwa kunywea chenyewe bila operation
🩸Inaondoa tatizo la Kukosa choo kwa muda mrefu

~MATOKEO NI NDANI YA SIKU 4 TU
DOZI NI ELF 75,000 TU.

~Utafatiliwa maendeleo yako mpaka utakapopona kabisa
~Tafadhari Soma maelekezo kabla ya kupiga simu
~Tunapatikana dar es salaam
~Ili kupata huduma hii mkoani kwako piga /sms
Health first
0751061096
KARIBUNI

Address


Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Health FIRST posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram