Healthy TALKS

Healthy TALKS Let's talk how our lifestyles affects our health. You can have money, good wife, good children but all are useless if you don't have Good health.

Make health your 1st priority

ANNOUNCEMENT!! This festive season tunapeana special offers to our clients. Need to do, Whatsapp 0750267826. Tell us you...
08/11/2023

ANNOUNCEMENT!!

This festive season tunapeana special offers to our clients.

Need to do, Whatsapp 0750267826.

Tell us your health challenges and location then we're going to help you mara that that...
T& C applied

REAL MEN WON'T ALLOW THIS TO HAPPEN..1) Ukienda safari moja mwili wachoka alafu unahisi usingizi.  (2) Sehemu za siri zi...
31/08/2023

REAL MEN WON'T ALLOW THIS TO HAPPEN..

1) Ukienda safari moja mwili wachoka alafu unahisi usingizi.

(2) Sehemu za siri zinasinyaa taratibu baada ya goli la Kwanza.

3) Mwili unahisi ganzi pamoja Na sehemu nyeti.

4) Hamu inakata gafla baada ya kutoa manii ( semens)

5) Nyeti zinasimama vizuri lakini ukitaka kuingiza Kwa mwanamke zinasinyaa. Hapa wengi hudhani wamerogwa.

6) Ukishindwa kurudia mara ya pili baada ya goli la Kwanza. Machine inakata moto haisimami tena hata ufanyeje inazidi kulala.

7) Machine kulala ndani ya nyeti za mwanamke wakati upo katikati ya mechi, mzigo unalala gafla Na kulegea ndani Kwa ndani.

Follow us on Facebook Health talks.

KWA TIBA WHATSAPP US 0750267826 ( Nutritionist)

PELVIC INFLAMMATORY DISEASES. UGOJWA WA UCHOCHEZI WA PELVIC ( PID). Ni moja kati ya sababu zinafanya mwanamke asipate UJ...
31/08/2023

PELVIC INFLAMMATORY DISEASES.

UGOJWA WA UCHOCHEZI WA PELVIC ( PID).

Ni moja kati ya sababu zinafanya mwanamke asipate UJAUZITO.
Inasababishwa Na bakteria( vidudu) vinavyo sambaa bila kizuizi kutoka Kwa UKE kupitia KIZAZI mpaka njia ya kizazi.
Vidudu hivi huleta MAAMBUKIZI yenye huleta UVIMBE WA..

(1) Mfuko wa kizazi
(2) Mrija wa fallopian
(3) Ovari
(4) Na uvimbe ndani ya tumbo ( lining)

DALILI ZAKE NI GANI?

πŸ‘‰ Kuhusi uchungu wakati wa tendo la ndoa.
πŸ‘‰ Kuchomwa wakati unaenda haja ndogo

πŸ‘‰ Kutokwa damu, sana sana wakati wa tendo Na pia katikati ya siku za mwezi ( irregular periods).

πŸ‘‰ Maumivu ya uti wa mgongo( nyuma) wakati mwingine husambaa kote.

πŸ‘‰Kutoa uchafu usio wa kawaida wenye harufu mbaya wakati mwingine hua bila harufu.

INALETWA NA NINI?
(1) Vidudu

(2) Magojwa ya zinaa k**a gonoria

(3) Uharibifu wa kizazi pale unapo Avya mimba( abortion)
au Wakati wa kujifungua.

(5) Kuharibika Kwa mimba ( miscarriage)

Kwa tiba Na elimu kuhusu kuzuia magojwa jiunge Na program TCM WhatsApp number. 0750267826. ( Nutritionist)

REALLY MEN WON'T ALLOW THIS TO HAPPEN..1) Ukienda safari moja mwili wachoka alafu unahisi usingizi.  (2) Sehemu za siri ...
31/08/2023

REALLY MEN WON'T ALLOW THIS TO HAPPEN..

1) Ukienda safari moja mwili wachoka alafu unahisi usingizi.

(2) Sehemu za siri zinasinyaa taratibu baada ya goli la Kwanza.

3) Mwili unahisi ganzi pamoja Na sehemu nyeti.

4) Hamu inakata gafla baada ya kutoa manii ( semens)

5) Nyeti zinasimama vizuri lakini ukitaka kuingiza Kwa mwanamke zinasinyaa. Hapa wengi hudhani wamerogwa.

6) Ukishindwa kurudia mara ya pili baada ya goli la Kwanza. Machine inakata moto haisimami tena hata ufanyeje inazidi kulala.

7) Machine kulala ndani ya nyeti za mwanamke wakati upo katikati ya mechi, mzigo unalala gafla Na kulegea ndani Kwa ndani.

Follow us on Facebook Health talks.

KWA TIBA WHATSAPP US 0750267826 ( Nutritionist)

Kuwahi kufika kileleni au kumaliza tendo la ndoa au lugha ya mataani kumwaga upesi. Hii ni hali ambapo hutoa shahawa kab...
15/08/2023

Kuwahi kufika kileleni au kumaliza tendo la ndoa au lugha ya mataani kumwaga upesi.

Hii ni hali ambapo hutoa shahawa kabla au mda mfupi baada ya kuanza mechi bila ya yeye kukusaidia.

πŸ‘ Tatizo hili hujidhihirisha kwa kila mwanaume wa kila rika ila iko zaidi kwa vijana na hupungua kadri umri unavyo songa.

πŸ™‚ Kwa kawaida mtu mwenye hali hii hutoa mbegu hata baada ya maandalizi kidogo na hushindwa kuamka tena.

πŸ•ΊπŸΌπŸ•ΊπŸΌUSIKONDE, TATIZO HILI LIMEPATIWA UFUMBUZI.
TIBA INAPATIKANA WHATSAPP US +254750267826

13/08/2023

What if ingekua mpaka umufikishe kileleni mwenza wako ndio ashike ujauzito hii dunia tungekua wangapi??

TUNATIBU MUNGU ANAPONYA.  Here's some testimonies, seeing is believing.   Our products are 100% natural and we're using ...
03/12/2022

TUNATIBU MUNGU ANAPONYA.
Here's some testimonies, seeing is believing.

Our products are 100% natural and we're using Nutrition approach which involves Tracing the root cause of the problem before Treatment of the symptoms.

FAHAMU MADHARA YA PUNYETO ( MA********ON)     Wanaume wengi hujipata katika Hali hii either Kwa kupenda ama Kwa kukosa n...
24/11/2022

FAHAMU MADHARA YA PUNYETO ( MA********ON)

Wanaume wengi hujipata katika Hali hii either Kwa kupenda ama Kwa kukosa njia ya kutoa hamu ya tendo la ndoa wanapo jihisi kufanya mapenzi.

Lakini je unajua ATHARI ZAKE?
ZIFUATAZO NI MSHARA WA KUPIGA PUNYETO.

(1) Uume kusinya Kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.

(2) Uume kusimama Kwa kulegea baada ya goli la kwanza.

(3) Kupata goli lenye maumivu baada ya goli la pili na kuendelea.

(4) Kukosa hamu hasa baada ya goli la kwanza. (5) Kuchoka sana baada ya mechi.

(6) Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako ila akiondoka hamu na uume unasimama vizuri.

(7) Kushindwa kumuandaa mwenza wako Kwa hofu ya kufika kileleni mapema.

(8) Kutoa mbegu hafifu zisizo na uwezo wa kumpa ujauzito mwenza wako.

K**A UKO NA CHANGAMOTO HIZI, WASILIANA NASI KUPITIA WHATSAPP 0750267826 KWA TIBA HALISI NA VIRUTUBISHO.

MISCARRIAGESZIJUE SABABU ZA MIMBA KUHARIBIKA.  Mimba yenye Iko chini ya wiki 28 au chini ya hapo huharibika au kutoka na...
23/11/2022

MISCARRIAGES

ZIJUE SABABU ZA MIMBA KUHARIBIKA.

Mimba yenye Iko chini ya wiki 28 au chini ya hapo huharibika au kutoka na Kwa mtoto aliye tumboni Kwa umri huu hataweza Kuishi nje ya tumbo la mama.

80% ya mimba uharibika katika miezi mitatu ya kwanza ya ujauzito na baada ya hapo , uwezekano wa mimba kuharibika hupungua.

Siku za karibuni wanawake wengi wamekua wakipatwa na changamoto hizi mara Kwa mara Hali inayo sababisha baadhi Yao kukosa matumaini ya kupata watoto.

JE! HULETWA NA NINI?

Chanzo kikubwa zaidi ni ubadilishaji wa mfumo wetu wa maisha ( lifestyle) k**a utumizi wa upangaji uzazi, Pombe, sigara nk.

(2) Umri wa MIMBA husika etc

Mimba imegawanyika katika vipindi vi tatu. Ile miezi 3 ya mwanzo ambapo mtoto hujishikiza. Miezi tatu ya katikati na Ile ya mwisho ya kumaliza miezi Tisa.

KILA KIPINDI KIKO NA SABABU ZAKE huku sababu kubwa katika kipindi Cha kwanza zipo zaidi ya tatu zenye husababisha .

*ITAENDELEA

KWA USHAURI, ELIMU NA TIBA WHATSAPP US 0750267826.

Address

Mombasa

Opening Hours

09:00 - 17:00

Telephone

+254750267826

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Healthy TALKS posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Healthy TALKS:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category