06/02/2026
🔥THE TENANT 🔥
SEASON 01🔥
EPISODE 01
Nilikua nimetembea tao mzima house hunting hadi nimechoka. Kila place unaenda unaambiwa hakuna keja vacant zote zimejaa💔. Caretaker mjinga naye anakushow umlipe 2k so that mse akihama akucall😂💔. Hakuna kitu hukua tiresome ka kusaka hao walahi 😂💔. Unazungukaga unapigwa na vumbi adi unataii. So nikacheki kuna makeja flani hapo zinakaa fiti zikanibamba. Ilikua gated community. Nikafika. Wacha kwanza nicheki soldier na laptop 😂💔 hapa nikajua I'm in the wrong place
Me : Niaje mkubwa
"How may i help you young man"
Soldier kwanza anabonga English of the nose nikajua nimepotea njia😂💔
Me : Naweza pata vacant?
Soldier : Yeah we have vacant houses, two bedroom. There's a swimming pool, 24/hrs WiFi and reserved parking
Mimi mwenyewe natembea miguu mbili napack gari gani?
Soldier : Rent ni 70k per month. Additional you'll be paying 40k service fee kila mwezi
Niliskia hivo hata sikusimama. Niliendelea na safari
Soldier : hello?.. kijana?.. we kijana unaenda? 🤔
Sikuangalia nyuma. Nilipotea nikipotea kabisa. Kisubmarine nikagive up nikasema wacha nirudi kwa hao nitajaribu siku ingine💔. Nikaingia route flani nikacheki kuna makeja flani spacious zinakaa fiti maze nikasema wacha niulizie nijaribu bahati nikishiaga kwa hao. Nikafika kwa gate. Kuangalia hakuna soldier nikaingia. Kwanza kuangalia perimeter wall iko sawa nikajua hapa security iko fiti sitaibiwa, another thing kuna maji hakuna kubuy maji. Wifi iko nikajua baas hapa wacha nijaribu bahati.
Kugonga tu mlango ya kwanza hivu milango zote zikafunguliwa💔. Madem flani wakajaa nje. Alaa kwani nimekuja hostel ama nini
Me : Sasa
"Poa sana"
Me : Naweza bonga na landlord wa hapa ama anyone? Caretaker?
"It's a landlady. Unataka aje?"
Me : Natafuta nyumba
Like