jeremiahafya

jeremiahafya Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from jeremiahafya, Medical and health, .

🌟SAFISHA MWILI WAKO, UISHI MAISHA YENYE FURAHA NA AFYA BORA!Je, unajua tunapokula vyakula vyenye sumu, mwili wetu huzidi...
21/05/2025

🌟SAFISHA MWILI WAKO, UISHI MAISHA YENYE FURAHA NA AFYA BORA!

Je, unajua tunapokula vyakula vyenye sumu, mwili wetu huzidi kuchoka na kupoteza nguvu zake za asili? Sasa ni wakati wa kubadili maisha yako kwa kutumia Detoxlive Capsules!

Faida za Detoxlive Capsules:

✅ Huondoa sumu mwilini, kukuacha ukiwa na mwili safi.
✅ Huyeyusha na kuondoa mafuta mwilini, kupunguza uzito na kuondoa vitambi.
✅ Inaimarisha ubongo na kutunza kumbukumbu.
✅ Huondoa madhara ya pombe, na kulinda ini na figo.
✅ Inazuia kuota vitambi baada ya kula.
✅ Inapunguza sukari mwilini na ni msaada mkubwa kwa wenye shinikizo la damu.
✅ Huondoa uchovu na maumivu ya viungo, hasa kwenye maungio.
✅ Husaidia kulinda viungo muhimu k**a figo, ini, na kongosho.
✅ Inakupa usingizi mzuri na kuondoa hali ya uchovu wa mara kwa mara

👉 Leo tu utaipata kwa 150,0000/=

TUNAPATIKANA MIKOA YOTE TANZANIA – hakikisha unajipatia kinga ya afya bora kwa mwaka na maisha ya baadae yenye Afya,Ustawi na Nguvu.
Badilisha maisha yako leo, furahia afya yako kesho! +255759052720

👉 *MADHARA YA KUTOONDOA SUMU KATIKA MWILI (DETOXIFICATION PROGRAM)* 🍂 Asilimia kubwa ya maradhi yanayowasumbua watu hivi...
20/02/2025

👉 *MADHARA YA KUTOONDOA SUMU KATIKA MWILI (DETOXIFICATION PROGRAM)*

🍂 Asilimia kubwa ya maradhi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo katika miili yao. Inawezekana umewahi kusikia mambo mengi kuhusu sumu kwenye mwili, lakini hufahamu chazo halisi cha sumu hizi/VYANZO VYA SUMU Miili yetu imekuwa ikipokea sumu na uchafu kila siku kutokana ;

1. Matumizi ya dawa mara kwa mara

2. Matumizi ya pombe (Alcohol) na sigara

3. Mazingira na athari kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia

4. Ukosekanaji wa lishe sahihi na diet nzuri

5.Matumizi ya madawa makali

6.Uzito mkubwa

7.Mitindo ya maisha

8.Njia za uzazi wa mpango za kisasa

*DALILI ZA KUWA NA SUMU NYINGI MWILINI*

1.Matatizo ya ngozi kwa mfano chunusi,vipele

2.kuwa na uzito wa kupindukia

3.kutokupata choo au choo kigumu

4.kukosa usingizi Na kujihisi kuchokachoka

5.Kichwa kuuma

6.Kupata miwasho

7.Maumivu ya viungo K**a vile mgongo,goti....

8.kuwa na hasira mara kwa mara.

9.Tumbo kujaa gesi

*MADHARA YAKE*
1.kuondoa hamu ya tendo la ndoa
2.maambukizi ya figo
3.Maambukizi ya Ini
4.Hupelekea matatizo ya kutopata watoto (ugumba)
5.hupelekea uvimbe kwa ndani ya kizazi kwa mwanamke
6.Hupelekea matatizo ya pressure
7.Mvurugiko wa homoni
Jamani wengi tunaandaa detox zetu nyumbani ni kweli lakini si detox zote zinasafisha mifumo yote ya mwili kwa pamoja Huu ndio ukweli,jipatie detox👉( *fatburner* ) ambayo inasaidia kusafisha mfumo wote wa mwili...karibu🔥🔥🔥

*KIBOKO YA NGOZI WALIO ATHIRIKA NA CREAM MUWASHO,MAKOVU SUGU*🙍🏽🙍🏽🙍🏽MATATIZO YA NGOZI KWA WANAWAKE👩🏽‍🦰👩🏽‍🦰👩🏽‍🦰 Wanawake w...
30/08/2022

*KIBOKO YA NGOZI WALIO ATHIRIKA NA CREAM MUWASHO,MAKOVU SUGU*
🙍🏽🙍🏽🙍🏽MATATIZO YA NGOZI KWA WANAWAKE👩🏽‍🦰👩🏽‍🦰👩🏽‍🦰 Wanawake wengi wamekua wakihangaika na matatizo mbalimbali ya ngozi,k**a vile; .
➡Chunusi sugu usoni na mgongoni.
➡Mabaka,makovu upele na harara
➡ngozi kuwa kavu na inayotoa jasho sana.
➡ngozi iliyoungua kutokana na matumizi ya vipodozi .
➡Kukosa unyevu katika ngozi .
➡Madoa meusi yasiyoisha(black heads)
➡Makunyanzi na ngozi iliyozeeka

Kwa kawaida ngozi ya mwanamke tofauti na mwanaume,inatakiwa kuwa laini, nyororo na isiyo na madoa wala ukavu...hii ni kutokana na uwepo wa hormone ya oestrogen inayozalisha vichocheo kwa ajili ya ngozi nzuri

Tatizo la ngozi hutokea pale tunapokutana na changamoto za kawaida katika maisha ya kila siku k**a vile vyakula,matumizi ya vipodozi na mtindo wa maisha kwa ujumla...tatizo huwa haliishi kwa sababu hutibiwa nje tuu sehemu inayoonekana,na sio chanzo cha tatizo yaani ndani, .
🍇🍇SULUHISHO NI FEMINERGY🍇🍇 FEMINERGY ni bidhaa maalum iliyotengenezwa kwa mimea asilia ya zabibu kwa utaalamu was viwango vya juu, kwakuzingatia KANUNI na utaratibu, Ni bidhaa Bora Sana kwa changamoto za ngozi na allegy

TEZI DUME NI NINI?.Tezi dume hii kitaalamu hufahamika k**a (PROSTATE GLAND) ,Hii Ni tezi inayopatikana katika mfumo wa u...
25/08/2022

TEZI DUME NI NINI?.

Tezi dume hii kitaalamu hufahamika k**a (PROSTATE GLAND) ,Hii Ni tezi inayopatikana katika mfumo wa uzazi wa kiume.Tezi hii inapatikana jirani na kibofu Cha mkojo na mirija ya mkojo.Tezi hii Ina kazi ya kuzalisha majimaji ambayo hubeba mbegu za kiume.
Majimaji hayo ndio Yale anayotoa mwanaume anapofikia kilele.Hivyo tezi hii Ni muhimu sana katika mfumo wa kizazi wa mwanaume.Tezi hii si kubwa saana inapata sentimita zisizozidi 4,lakini tezi hii hukuwa kadiri umri unavyoenda.

DALILI ZA KUVIMBA KWA TEZI DUME:-

✓Kukojoa Mara kwa mara.
✓kubakiza mkojo kwenye kibofu.
✓kukojoa saana usiku.
✓Maumivu wakati wa kukojoa na mkojo usioenda mbali.
✓Kupungukiwa nguvu za kiume
✓UTI ya Mara kwa mara.
✓Mawe kwenye kibofu kutokana na mrundikaniko wa mkojo.
✓Figo kujaa maji,hii Ni kwasabab mkojo huo unarudi nyuma kuelekea kwenye figo.
✓Kupoteza fahamu.
✓Maumivu ya Mara kwa mara ya kiuno kwa nyuma ya mgongo na mapaja.
✓Uume kushindwa kusimama vizur.,
Nipigie kwa no. +255759052720 & 0683068078 kwa ushauri na tiba

*FAHAMU ZAIDI KUHUSU SARATANI YA MATITI (Breast Cancer)**➡️ Saratani ni aina ya ugonjwa unaosababisha ukuaji wa seli za ...
20/08/2022

*FAHAMU ZAIDI KUHUSU SARATANI YA MATITI (Breast Cancer)*

*➡️ Saratani ni aina ya ugonjwa unaosababisha ukuaji wa seli za mwili kubadilika na kukua bila mpangilio maalum.*

Saratani ya mat**i hutokea kwenye t**i ambalo kwa kawaida lina sehemu ya kutengeneza maziwa ijulikanayo k**a lobules na aina fulani ya mishipa inayounganisha hizi lobules na chuchu za t**i. Sehemu kubwa iliyobakia ya mat**i inajumuisha mafuta na tishu ambazo kitaalamu tunazoita connective and lymphatic tissue. Saratani ya mat**i inayotokea kwenye lobules huitwa lobular carcinoma na ile inayotokea kwenye ducts huitwa ductal carcinoma.

Baadhi ya saratani ya mat**i zinaongeza ukubwa kutokana na kuwa na vishikizi aina ya receptors zinazojulikana k**a estrogen receptors kwenye seli zao ambazo husababisha ukuaji wa saratani ya mat**i.

*➡️Vihatarishi vya Saratani*

Kuna mambo kadhaa ambayo yameonekana kuwa na uhusiano, ama wa moja kwa moja au kwa kupitia vitu vingine, wa kusababisha saratani ya mat**i, au kumfanya mtu au kundi la watu kuwa katika hatari ya kupata ugonjwa huu kuliko wengine. Mambo hayo ni pamoja na

1️⃣ *Jinsia:*
Ingawa, saratani ya mat**i huweza kutokea kwa wote wanawake na wanaume, imeonekana kuwa wanawake ni waathirika wakubwa zaidi wa saratani hii ikilinganishwa na wanaume.
2️⃣ *Umri:* Uwezekano wa kupata saratani hii huendana na umri wa mtu. Kadiri umri wa mtu unavyoongezeka ndivyo pia uwezekano wa kupata saratani hii unavyozidi kuwa mkubwa.

3️⃣ *Uzazi:* Wanawake ambao hawajazaa au kunyonyesha wapo kwenye hatari kubwa ya kupata saratani ya mat**i. Wanawake wanaopata ujauzito kwa mara ya kwanza baada ya miaka 30 nao pia wapo kwenye hatari kubwa ya kupata saratani hii.

4️⃣ *Historia ya ugonjwa huu katika familia:* Wanawake walio katika familia zenye historia ya ugonjwa huu wana uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya mat**i ukilinganisha na wale ambao hawana historia ya ugonjwa huu katika familia zao.

5️⃣ *Umri wa kuvunja ungo:* Wanawake wanaovunja ungo (kupata hedhi) kabla ya umri wa miaka 12 wapo kwenye hatari zaidi ya kupata ugonjwa huu.
Kuacha kupata hedhi: Kwa kawaida wanawake huacha kupata hedhi wafikapo miaka 45, hali ambayo kitaalamu hujulikana k**a menopause. Wanawake wanaochelewa kuacha kupata hedhi, kwa mfano wale wanaoendelea kupata hedhi wakiwa na zaidi ya miaka 45, wapo kwenye hatari kubwa zaidi ya kupata saratani ya mat**i.

Historia ya saratani ya mat**i: Wanawake ambao wamewahi kupata ugonjwa huu kwenye t**i la upande mmoja hapo kabla, wana uwezekano mkubwa wa kupata tena saratani kwenye t**i la upande mwingine hapo siku za usoni.

6️⃣ *Ulaji wa vyakula venye mafuta mengi:*
Tafiti zinaonesha kuwa, wanawake wanaopendelea kula vyakula vyenye mafuta mengi wapo kwenye hatari zaidi ya kupata ugonjwa huu.

*7️⃣ Kuongezeka uzito:* Tafiti nyingine zimeonesha kuwa, wanawake wanene wana uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya mat**i ukilinganisha na wale wa uzito mdogo au wa kati.

*8️⃣ Uvutaji sigara:* Kuna matokeo yenye kukinzana kuhusu uhusiano wa uvutaji sigara na hatari ya kupata saratani ya mat**i. Wakati baadhi ya tafiti zinaonesha uhusiano wa karibu kati ya uvutaji sigara na uwezekano wa kupata saratani ya mat**i.

*TATIZO LA GANZI YA MIGUU NA MIKONO (MIGUU KUWAKA MOTO NA TIBA YAKE)*Ganzi ni moja ya tatizo/ugonjwa unaowakumba watu we...
20/08/2022

*TATIZO LA GANZI YA MIGUU NA MIKONO (MIGUU KUWAKA MOTO NA TIBA YAKE)*

Ganzi ni moja ya tatizo/ugonjwa unaowakumba watu wengine sana na ni tatizo ambalo linakera sana kwa sababu hata unapoenda hospitali Mara nyingi hawapati tatizo lolote.

NINI HASWA CHANZO CHA TATIZO HILI

1: UMRI MKUBWA
Kawaida mtu anapokua umri umeenda, mwili mzima uzeeka pamoja na mfumo mzima wa damu, hii husababisha mishipa midogo midogo ya damu kuziba hii husababisha chakula na hewa ya oksijeni kutofika kwa ufasaha maeneo ya mbali k**a miguuni na vidoleni hali hii hupeleekea mishipa ya fahamu kukosa chakula na hewa safi hivyo ganzi hutokea.

2: KISUKARI
Sukari inapokua nyingi kwenye mzunguko wa damu hupelekea kuunguza mishipa ya damu hali hii husababisha mishipa kusinyaa ambayo hupelekea hewa ya oksijeni na chakula kutofika kwa ufasaha maeneo ya mbali sana k**a miguuni na mikononi hali hii husababisha mishipa ya fahamu kukosa chakula na hewa hivyo husababisha ganzi.

3: DAMU NZITO
Damu inapokua nzito pia hupelekea MTU kupata tatizo LA ganzi kwa ni husababisha kutofika kwa damu kwenye mishipa midogo midogo ya damu hii hupelekea ganzi pia

*TIBA YA GANZI*

▶️ MICRO2CYCLE

• Hii ni tibalishe asili ya kupambana na tatizo hili bila madhara.

• Imetengenezwa na mitishamba mitatu yenye uwezo mkubwa sana wa kufungua mishipa midogo midogo ya damu ambayo inapoziba au inapokua ndio chazo cha tatizo hili.

• Huzuia damu isivilie kwenye mishipa hivyo huondoa hatari ya kiharusi.

• Huuhisha mishipa midogo midogo ya damu na kuruhusu damu kupita vizuri.

▶️ ZAMINOCAL

• Inafaa sana kuifanya damu Iwe nyepesi hivyo husaidia kuondoa tatizo la ganzi k**a ikitumika pamoja na Micro2cycle.

• Huimarisha mishipa midogo midogo ya damu na kuruhusu damu kupenya kiurahisi.

• Huondoa maumivu yote na hali ya ganzi kutoweka kabisa.

Address


Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when jeremiahafya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram