Nesi J4

Nesi J4 Kwa usaidizi maalumu kwa Mtu binafsi, Familia na Jamii juu ya ufahamu wa changamoto au matatizo ya A

Epuka kunywa pombe na methadone kwani huongeza madhara ya dawa kwenye ini na inaweza kusababisha matatizo makubwa ya ini...
25/09/2022

Epuka kunywa pombe na methadone kwani huongeza madhara ya dawa kwenye ini na inaweza kusababisha matatizo makubwa ya ini. Methadone na pombe ni vitu viwili ambavyo havipaswi kutumiwa Pamoja, na madhara ya kuchanganya yanaweza kuwa makubwa. Inakadiriwa, karibu nusu ya wagonjwa wanaotafuta matibabu ya uraibu wa dawa za kulevya ambao wamejiunga kwenye matibabu ya methadone wanauzoefu wa unywaji wa pombe....

Nesi J4 Hatari: Usinywe pombe ikiwa unatumia methadone.

Mara nyingi, kujiua kunaweza kuzuiwa, jifunze mambo yanayoatarisha, ishara au dalili za hatari, ambazo ni pamoja na unyo...
11/09/2022

Mara nyingi, kujiua kunaweza kuzuiwa, jifunze mambo yanayoatarisha, ishara au dalili za hatari, ambazo ni pamoja na unyogovu/huzuni iliyopitiza, mabadiliko ya utu, tabia ya kujidhuru, mgogoro wa hivi karibuni wa maisha na mazungumzo kuhusu kutaka kufa. Ikiwa ni mwanafamilia au rafiki anazungumza juu ya kujiua, mchukulie kwa uzito. Wasikilize bila kuwahukumu na uwatie moyo kutafuta usaidizi wa kitaalamu. Kujitoa uhai…...

Nesi J4 Kujiua: Nini cha kuzingatia?

 .Katika Maisha kuna muda utapata furaha, shida mbalimbali na kukabiliwa na changamoto mbalimbali. Hii ni Pamoja na kuji...
04/09/2022

.
Katika Maisha kuna muda utapata furaha, shida mbalimbali na kukabiliwa na changamoto mbalimbali. Hii ni Pamoja na kujisikia huzuni, hasira, wasiwasi, kujikuta kwenye wakati mgumu katika utafutaji wa Maisha na kujiingiza kwenye makundi yasioyo faa na kutumia dawa za kulevya, na hata kuzidiwa na msongo wakati mwingine.
Ugonjwa wa Akili unaathiri vipi Afya ya Akili?
https://www.nesijeyfo.com/?p=341

Kwanini  mtu hufikia hatua ya kujitoa uhai? 🤔🤔🤔Si watu wengi Wana nguvu ya kusema sasa ninafikiria kujitoa uhai! Inafika...
19/08/2022

Kwanini mtu hufikia hatua ya kujitoa uhai? 🤔🤔🤔

Si watu wengi Wana nguvu ya kusema sasa ninafikiria kujitoa uhai!

Inafika wakati mtu afikie hicho kiwango Cha kujitoa maisha yake amekuwa amewaza na kuwazua, anakua na shida nyingi Sana ukimwangalia kwa uso yuko sawa lakini kinawazo yale anayo yafikiria hujajui ndo maana tunasema sio vizuri tukae chini tunyamaze, tuzungumze na tuulizane - Je, afya yako ya Akili iko sawa?
https://nesijeyfo.com/?p=222

Address


0000

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Nesi J4 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Nesi J4:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram