Healthy_tz

Healthy_tz Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Healthy_tz, Mega Complex Arusha, Arusha.

Healthy_tz wanawaletea bidhaa na huduma mbali mbali za kiafya kwaajili ya kuimarisha afya yako kiujumla pia tunauza virutubisho mbali mbali vinavyoweza kukusaidia, kukuimarisha na kuitunza afya yako usisite kuwasiliana nasi!

DALILI ZA TEZI DUME* Udhaifu katika utoaji wa mkojo, mkojo hauishi.* Kwenda kukojoa mara kwa mara.*  Damu ndani ya mkojo...
31/03/2022

DALILI ZA TEZI DUME

* Udhaifu katika utoaji wa mkojo, mkojo hauishi.
* Kwenda kukojoa mara kwa mara.
*  Damu ndani ya mkojo.
* Kushindwa kukojoa.
* Maumivu ya kiuno na mifupa ya nyonga.
* Wagonjwa wengi huanza maumivu ya nyonga k**a ni dalili za awali.
* Udhaifu katika utoaji wa mkojo pia kunaweza kutokea kwa kuvimba kwa tezi dume bila ya saratani.
* Damu kwenye mkojo nakushindwa kumaliza mkojo ni ishara tosha ya kuwa  tezi dume imeathirika

K**a unaona dalili hizi wasiliana nasi kwa msaada zaidi
Call 255752642660

Saratani ya tezi dume ni nini?      Saratani ya tezi dume maana yake ni tezi dume imepata ugonjwa wa saratani..Na hii hu...
31/03/2022

Saratani ya tezi dume ni nini?

      Saratani ya tezi dume maana yake ni tezi dume imepata ugonjwa wa saratani..
Na hii hutokea pale ambapo chembechembe hai za tezi huasi na kuanza kujigawanya bila kufuata utaratibu wa mfumo wa mwili, chembechembe asi hizi mwishowe hutengeneza vivimbe hatari ndani ya tezi dume na hatimaye husambaa mwilini

*Visababishi hatarishi kwa saratani ya Tezi dume*

Umri  Mkubwa  kuanzia miaka 50
Nasaba (ukoo wenye historia a saratani hii
Lishe hatarishi-nyama nyekundu kwa wingi, mafuta/samli,maziwa ya krimu
Unene uliokithiri
Ukosefu wa mazoezi
Upungufu wa virutubisho,mfano vit D.
Maambukizi ya mara kwa mara kwenye tezi dume

🇹🇿

SARATANI YA TEZI DUMETezi dume ni nini?     Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya ku...
31/03/2022

SARATANI YA TEZI DUME

Tezi dume ni nini?

     Tezi dume ni tezi inayopatikana kwa jinsia ya kiume. Tezi hii ina kazi ya kutengezeza  majimaji meupe mepesi yenye unato kidogo. Majimaji haya husaidia mbegu za kiume kutembea kwa urahisi.

Ipo wapi?

Tezi dume iko mwishoni mwa kibofu cha mkojo. Pia inauzunguka mrija unaounganisha kibofu cha mkojo na na mrija wa mkojo  wa uume (urethra) na iko mbele kidogo ya utumbo mpana ndani ya fupa la nyonga.

PART 1MADHARA YA KUPIGA PUNYETOYafuatayo ni madhara ya kupiga punyeto au wengine huita puli(masturbation)❤1. punyeto hum...
22/03/2022

PART 1

MADHARA YA KUPIGA PUNYETO

Yafuatayo ni madhara ya kupiga punyeto au wengine huita puli(masturbation)

❤1. punyeto humfanya uume kua lege lege na kuonekana mdogo/kibamia na usio jaza yaani mwembamba kabla ya awali
❤2. Husababisha mwanamume kutoa mbegu haraka kipindi cha tendo la ndoa na mwanamke na kushindwa kumfikisha mwanamke kileleni.... (Premature ejaculation)
anaweza akajikuta akigusa tu nanii ndani ya dakika cha he mheshimiwa anatapika.
❤3. Ni moja ya chanzo Kikuu cha kupoteza nguvu za kiume, uume kusinyaa na kukosa nguvu kwa sababu ya kuharibu mishipa ya fahamu wakati MTU akijisugua katika kulitafuta bao
❤4. Hupunguza idadi ya mbegu za kiume (low s***m count) hivyo ni mbaya sana kwa watu wanaotafuta mtoto na huleta infection na kusababisha,manii kuwa nyepesi na unapofanya jimai manii kutoka kwa mkewe badala ya kuingia ukeni na huweza kuwa sababu ya kutopata mtoto
❤5. Husababisha mtu kusahau sahau sana na kushindwa kufanya vitu kwa makini zaidi
❤6. Huleta utumwa wa kifikra kwani ukishaanza huwezi kuacha kirahisi (addiction)
❤7. Punyeto husababisha mwanamke au mwanamume kukosa hamu kabisa na mwenza wake hivyo kuleta usumbufu kwenye mahusiano.

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUMEDalili za kuonesha kuwa una tatizo la upungufu wa nguvu za kiume karibia zote zinahu...
27/02/2022

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Dalili za kuonesha kuwa una tatizo la upungufu wa nguvu za kiume karibia zote zinahusiana na hali itakayo onekana katika tendo la ndoa au mda wa kujamiiana, hizo dalili zake ni k**a;

1. Kuwahi kufika kileleni

2. Kukosa hamu ya mapenzi

3. Kushindwa kurudia tendo la ndoa

4. Uume kusimama kwa uregevu au kushindwa kusimamisha

5. Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu; Miguu, uso na tumbo kuvimba na kujaa maji

6. Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo

7. Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa)

8. Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji

Tatizo hili huripotiwa kuwa katika wanaume watano (5) basi mmoja kati yao anatatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Upung...
18/02/2022

Tatizo hili huripotiwa kuwa katika wanaume watano (5) basi mmoja kati yao anatatizo la upungufu wa nguvu za kiume.

Upungufu wa nguvu za kiume huashiria kuto kuwa sawa kiafya hivyo ni tatizo linalohitaji tiba.

Hili tatizo huwanyima watu raha kwa kuwa na mawazo, kuwa na matatizo katika mahusiano, watu wengi wenye tatizo hili wanahitaji kutumia dawa zisizo na madhara na kubadilisha mitindo ya maisha yao ili kuweza kurudisha hali zao na kuondoa tatizo, cha msingi ni kuzingatia yale utakayoelekezwa.

Kuna matatizo ya kutofanya mapenzi kikamilifu, nayo ni; kuwahi kumwanga mbegu za uzazi, Kuto kumwaga, kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa

CHANZO CHA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Tatizo la nguvu za kiume lina vyanzo vingi ambavyo mara nyingi wengi huvipuuza, hivyo vyanzo huathiri taratibu na vingine huathiri haraka, tunashauri watu kuwa makini sana ili kujiimarisha vizuri. Kuna mitindo ya maisha inayoweza kukuweka hatarini kupata tatizo la nguvu za kiume nayo ni pamoja na;

*Kuwa na halemu (Cholesterol) na Shinikizo la damu (B.P) au ugonjwa wa moyo
*Kuvuta sigara na unywaji wa pombe
*Uzito kupita kiasi na unene uliozidi
*Ulaji holela wa vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
*Kisukari
*Kuwa na mawazo na wasiwasi
*Matumizi ya madawa mbalimbali
*Umri hasa wazee
*Utumiaji wa vinywaji vinavyobadili hali ya mwili
Kuwa na tatizo la kibofu
*Tabia za kujichua kwa mda mrefu
*Kutopata usingizi kamili
*Matumizi makubwa ya dawa zenye kemikali za kutibia magonjwa k**a kansa, vidonda vya tumbo, moyo, kisukari, B.P, na magonjwa mengine

IMARISHA AFYA YA UZÀZI NA TENDO.JE Umekuwa ukishindwa kumridhisha mwenzi wako mpaka kukupelekea kuanza kuwa muoga wa kuk...
18/01/2022

IMARISHA AFYA YA UZÀZI NA TENDO.
JE Umekuwa ukishindwa kumridhisha mwenzi wako mpaka kukupelekea kuanza kuwa muoga wa kukutana na mwenzi wako kwa kuogopa kurudia makosa yale yale ya KUWAHI KUFIKA KILELENI, KUSHINDWA KURUDIA TENDO, DHAKARI KUWA LEGEVU, KUTOA KIWANGO KIDOGO SANA CHA MBEGU au MBEGU KUWA NYEPESI SANA n.k?
Hii PACKAGE INAMALIZA CHANGAMOTO ZIFUATAZO:

- KUWA NA UWEZO. KURUDIA TENDO VIZURI.

-KUONGEZA IDADI YA MBEGU

-KUSIMAMISHA UU'ME VIZURI.

- KUBORESHA MZUNGUKO WA DAMU.

-KUIMARISHA MISULI

-KUPATA HAMU YA KUFANYA TENDO

-KUTOFIKA MAPEMA KILELENI

TUNAFANYA DELIVERY TANZANIA NZIMA NA NCHI JIRANI MZIGO UTAKUFIKIA POPOTE ULIPO.
Call/SMS/WhatsApp 0752642660

Ni vile tunagusa Afya Za watu na Kuokoa ndoa zao…..Usikubali kuendelea kupata changamoto ndogondogo zilizo na madhara ma...
14/01/2022

Ni vile tunagusa Afya Za watu na Kuokoa ndoa zao…..

Usikubali kuendelea kupata changamoto ndogondogo zilizo na madhara makubwa katika mahusiano yako.

Call 255752642660

05/01/2022

Via DHL POPOTE ULIPO TUPO 🔥 ndani na nje ya Tanzania karibu upate huduma zetu +255752642660

04/01/2022

MADHARA YATOKANAYO NA KUJICHUA/ KUPIGA PUNYETO

Watu wengi waliopitia tabia hii na kuwasababishia madhara hukumbana na matatizo k**a
■Uume kusimama lege lege.
■Maumivu ya mgongo.
■Kumaliza tendo la ndoa ndani ya mda mfupi( hata dakika 5 hazifiki kashamaliza na hawezi kuendelea tena mpaka baada ya masaa kadhaa au mpaka siku nyingine).
■Round kupungua kulingana na Mwanzo .
■Kushindwa kuunganisha round na kuipata inayouta inakuwa Mbinde.
■Kukosa hamu ya tendo la ndoa tena baada ya raundi ya kwanza.
■Kuchoka sana(kukosa stamina)
■Maumbile ya uzazi kupungua ukubwa yanakuwa k**a ya mtoto mdogo (inakuwa ni aibu hata kuvua nguo akiwa na mwenza wake maumbili yanaingia ndani)
■Maumbile kupinda.
■Kutoa mbegu nyepesi na chache wakati mwingine haziruki umbali wowote zinadondoka k**a maji (hili ni hatari sana na hupunguza raha ya kupizi) mwisho ..
■Husababisha kutokujiamini mbele ya mpenzi au mke wake (wasi wasi anawaza itakuwaje, Atanichukuliaje)

CALL /WHATSAPP
+255752642660

MWANAUME UKIPATWA NA DALILI HIZI WAHI KUPATA SULUHISHO KWANI UNAPOLIPUUZA NDIVYO LINAVYOZIDI KUKUADalili zinazoonyesha K...
27/12/2021

MWANAUME UKIPATWA NA DALILI HIZI WAHI KUPATA SULUHISHO KWANI UNAPOLIPUUZA NDIVYO LINAVYOZIDI KUKUA

Dalili zinazoonyesha Kwamba Mwanaume amepungukiwa nguvu za kiume.

1️⃣Ukienda Safari Moja Mwili unachoka alafu unahisi usingizi .

2️⃣Sehemu za Siri Zinasinyaa taratibu baada ya goli moja.

3️⃣Mwili unahisi ganzi pamoja na sehemu za Siri.

4️⃣Hamu inakata ghafla Mara baada ya kutoa Manii ,ule uchangamfu unapotea kabisa.

5️⃣Nyeti zinasimama Vizuri Lakini ukitaka kuingiza kwa mwanamke Zinasinyaa .Hapa Wengi huhisi kwamba Wamerogwa Lakini ukweli Ni Kwamba hawajarogwa .

6️⃣Kupoteza hamu ya tendo la ndoa.

7️⃣kushindwa kurudia Mara ya Pili .unakuta ukishatoa Goli Mara Moja, Basi mashine inakata Moto haisimami Tena hata ufanyeje inazidi kulala.

8️⃣Mashine kulala Ndani ya Nyeti Za Mwanamke,unakuta upo katika ya Game ,mzigo unalala ghafla na kulegea Ndani kwa Ndani.

Tuwasiliane K**a una dalili tajwa hapo juu.

Nitakusaidia Nitakupatia Miongozo itakayo kusaidia kutatua changamoto yako kabisa utarudi katika hali yako ya zamani.

PIGA AU WHATSAPP 0752642660

KUWA NA NGUVU ZA KIUME NI JAMBO LINGINE NA KUWA NA UWEZO WA KUTUNGISHA MIMBA NI JAMBO LINGINE Jambo muhimu ambalo wanaum...
26/12/2021

KUWA NA NGUVU ZA KIUME NI JAMBO LINGINE NA KUWA NA UWEZO WA KUTUNGISHA MIMBA NI JAMBO LINGINE

Jambo muhimu ambalo wanaume wanapaswa kulijua pamoja na kuwa na nguvu za kiume na uwezo wa kushiriki tendo la ndoa kikamilifu, bado wanaweza kushindwa kuzaa.

Na wanaume wengi wamekua wakiujiuliza inawezekanaje na tatizo linasababishwa na nini ,sababu hizi hapa;

1.Sababu ya kwanza ni aina ya maisha ya mwanaume na historia ya utumiaji wa baadhi ya dawa, dawa hizo zinaweza kuwa za matibabu au za kulevya.

2.Ulevi na uvutaji sigara; Kati ya wanaume walio hatarini kupoteza uwezo wa kuzaa ni wale wenye tabia ya ulevi na uvutaji sigara. Tabia hizi sio tu zinaathiri nguvu za kiume, pia zinadhoofisha uzalishwaji stahiki wa mbegu za kiume.Pia zinaathiri mbegu zinazozalishwa kwa kuzifanya zikose afya ya kurutubishwa.

3.Uzito uliopitiliza; pia unaathiri utungishwaji wa mimba. Mwanaume anashauriwa kudhibiti uzito wa mwili ili kudhibiti mafuta ya ziada ambayo kwa kawaida yanaathiri uzalishwaji wa mbegu za kiume.

4.Matatizo katika utokaji mbegu za kiume, ni sababu nyingine iliyo nyuma ya tatizo hili haijalishi k**a mwanaume ana nguvu za kiume kwa kiasi gani. Ujazo wa mbegu za kiume pia ni muhimu katika kufanikisha utungishwaji wa mimba.

5.Mirija kuziba,mirija inayosafirisha mbegu za kiume kutoka kwenye korodani ambako ndiko zinakotengenezwa na kuchujwa na kwenda kwenye uume.
Miirija hiyo huziba kutokana na matatizo mengine ya kiafya k**a vile kuwa na mafuta yaliyozidi mwilini, matatizo ya kisukari na hata maambukizi mengine kwenye mfumo wa uzazi.

6.Hormone imbalance;mfumo mzima wa uzazi wa mwanaume unategemea hormones ambazo ni kemikali zinazoendesha cells na organs mbalimbali lakini pia zinahusika na uzalishaji wa mbegu za kiume ikiwemo hormone ya testosterone ambapo zikiwa hazina uwiano mzuri hupelekea mwanaume kushindwa kutungisha mimba.

7.Magonjwa K**a sukari,tezi dume pia maambukizi kwenye via vya uzazi na mfumo wa uzazi kwa ujumla, baadhi ya magonjwa ya kurithi k**a vile chango,ngiri n.k

Hivyo wanaume wote waliopo kwenye ndoa ambao kwa kipindi kirefu wamekuwa wakitafuta watoto kabla ya kuwapa lawama wenza wao wanapaswa kupima afya zao

Address

Mega Complex Arusha
Arusha
208USARIVER

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Healthy_tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Healthy_tz:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram