Afya Huru.

Afya Huru. Tunaisaidia Jamii kuondokana na Changamoto Ki-afya hasa katika magonjwa yasiyoambukiza

+255789102728

Mwanaume bado unapitia Changamoto hizi....✓ Dhakari  kurudi ndani na Kusinyaa wakati upo kwenye  tendo. ✓ Kushindwa Kuru...
25/02/2023

Mwanaume bado unapitia Changamoto hizi....

✓ Dhakari kurudi ndani na Kusinyaa wakati upo kwenye tendo.
✓ Kushindwa Kurudia baada ya Round ya kwanza.
✓ Ulijichua au unajichua, umeilegeza na kuichosha
Misuli Ya Dhakari inakosa Nguvu ya kusimama muda mrefu.
✓ Kuwahi au kuchelewa kufika kilele.
✓ Kukosa Hamu baada ya kufika kilele au baada ya raundi ya kwanza.
✓ Kushindwa Kutungisha
✓ Kusikia Uchovu, Kuchoka choka wakati wa .

↪️Tutatakupatia Muongozo sahihi wa Ulaji Sahihi + Mazoezi Speacial = Vitakusaidia kuwa na afya na
nguvu tele wakati upo kwenye Programme hii.

↪️Tutumie ujumbe WHATSAPP Kwenda nambari +255 (0)744732651
Au tupigie simu kwa huduma ya haraka zaidi.

K**a upo katika mahusiano lakini hadi sasa haujatambua wajibu wako unapokua na mpenzi wako, basi kitakachokutokea katika...
25/02/2023

K**a upo katika mahusiano lakini hadi sasa haujatambua wajibu wako unapokua na mpenzi wako, basi kitakachokutokea katika mazingira usiyotarajia kitakufurahisha.

Pamoja na mambo mengine katika mahusiano, uwepo na utambuzi wa kihisia baina yenu wapenzi ndio unaweza kuimarisha au kuvuruga mahusiano yenu. Wanawake ndio kundi ambalo katika mahusiano linapokua katika uwepo wa kihisia uhitaji angalau 70% ya uwepo wa mwanaume kihisia pia.

Mwanamke anahitaji sana kueleweka na kusikilizwa na kikubwa zaidi kupewa nafasi pale anapokua katika hisia, k**a mwanaume ukishindwa kulitambua hilo au ukilitambua hilo lakini ukashindwa kutoa ushirikiano kwako kila siku utakua unatafuta anayejua kupenda au anayejua mapenzi kumbe wewe ndiye hujui.

Takwimu zinaonyesha kuwa 90% wana upungufu wa nguvu za kiume , Kisukari, Vidonda Vya tumbo , uzito mkubwa / kitambi nk
Unahitaji Ushauri zaidi juu ya Mahusiano yako na kupata ushauri wa kitaalamu na msaada wa kisaikolojia, ungana nasi katika group letu la whatsApp BORESHA AFYA kwa kunitumia ujumbe wako kwenye whatsApp yetu Leo 👆🏾

UKWELI WA MAMBO NI KWAMBA MOJA YA MADHARA YA ULAJI MBOVU, MATUMIZI YA MADAWA YA KU BOOST NA PUNYETO KWA WANAUME NI PAMOJ...
25/02/2023

UKWELI WA MAMBO NI KWAMBA MOJA YA MADHARA YA ULAJI MBOVU, MATUMIZI YA MADAWA YA KU BOOST NA PUNYETO KWA WANAUME NI PAMOJA NA:

1.Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.
2.Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.
3.Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.
Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza
4.Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.
5.Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri.
6.Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena.
7.Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.
8.Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.

K**A UMEKUMBANA au UNAKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A HIZO USISITE,

Tuma neno AFYA YA MWANAUME kwa WhatsApp: 0744732651
Ili kupata elimu zaidi juu ya afya na SULUHISHO la kudumu

      🍆🍌

UHUSIANO KATI YA NGUVU ZA KIUME NA UZITO MKUBWA /ULIOPITILIZA.⤵️🔘Hamna siri namna ambavyo wanaume wanaingia gharama za z...
01/01/2023

UHUSIANO KATI YA NGUVU ZA KIUME NA UZITO MKUBWA /ULIOPITILIZA.⤵️

🔘Hamna siri namna ambavyo wanaume wanaingia gharama za ziada kutokana Na unene/uzito uliozidi, ambao umeibeba furaha ya ndoa, yaani urijali wa wanaume.
Kutokana Na tafiti mbalimbali za afya ya uzazi, Uzito/Unene uliozidi unahusishwa na athari Zifuatavyo;

1)Uzalishaji mdogo wa Homoni za kiume (Testosterone).

Homoni hii ndio hukontroo uwepo wa sauti ya bezi, misuli (muscles), ukuaji wa sehemu ya kiume na afya ya moyo. Hivyo, kwa asili ya mwanadamu, upungufu wa homoni ya kiume huathiri tendo la ndoa kisaikolojia na kimwili.

2) Uwezo mdogo wa ogani ya kiume (uume) kusimama.

Hapa tafiti zinaonesha, mtu mnene hata akipewa homoni ya testosterone ya kutosha bado tatizo hili huwepo.
🔘Kwa sababu, mafuta yaliyo kwenye kitambi ndio haswa yanayohusishwa na tatizo la kusimama kwa sehemu ya kiume. Kushindwa kusimama kwa uume, hupelekea kupoteza hamu na tendo la ndoa, Na kumfanya mwanaume kuwa busy na mambo mengine.

3) Uzalishaji mdogo wa mbegu zenye afya.

-nyama katikati ya mapaja, hufanya korodani ziwe kwenye joto kubwa zaidi ya 35C ambalo sio salama kwa Uzalishaji wa mbegu. Na hii ndio sababu ya korodani kutokuwepo ndani mwili wa binadamu ambao joto lake ni 37C. Hivyo huning'inia nje, kupata joto sahihi, chini ya 35C ambalo ndio linatakiwa ktk utengenezaji wa mbegu zenye afya.

Hatari ya uchache wa mbegu na uwezo mdogo wa kuogelea wa mbegu hufanya tendo la ndoa lisiwe fanisi, yaani kushindwa kutungwa kwa mimba.

4) Tezi dume (Prostate cancer)

Katika umri wa uzeeni, tafiti zinaonesha wanaume wanene zaidi ya inchi 40 kiunoni, wameonesha kuwa kwenye hatari zaidi ya kupata tezi dume, Na kansa yake.

Kiuhalisia, kupunguza uzito ni jambo jema zaidi kwa wanaume ili kuepuka gharama kubwa zaidi ya pesa. Namaanisha kuvunjika kwa ndoa au uaminifu (chepuka) Na dharau katika ndoa. Tuna product ambayo ipo kwa ajili ya kukusaidia kupungua uzito.

TIBA NA USHAURI : sasa waweza kuwasiliana nasi kupitia
WhatsApp +255 744 732 651
Call & Messages +255789102728

Najua unadharau sana kunywa maji ya kutosha, yani unaona kula ndio muhimu kuliko kunywa maji. Wewe unaona vinywaji vingi...
01/01/2023

Najua unadharau sana kunywa maji ya kutosha, yani unaona kula ndio muhimu kuliko kunywa maji. Wewe unaona vinywaji vingine ndio bora kuliko maji.
Na hujui ni hasara kubwa kiasi gani unaipata katika mwili wako kwa kutokunywa maji ya kutosha.

Cha kushangaza 😑Kuna kipindi unashinda siku nzima bila kunywa maji bila Kujua kwamba ni jambo hatari sana kwenye Afya yako ya Uzazi.

Leo nimekuletea hi Elimu uweze kufaham Faida kubwa ambazo utazipata k**a utajenga Tabia ya kunywa maji ya kutosha Kila siku.

Hivi nikikuuliza Kitu gani husababisha uume usimame
utasemaje? Hapa Unaweza kujibu ni msisimko. 😀😀 Ni kweli, Jibu lako linaweza kuwa sahihi. Hata hivyo Msisimko ni matokeo tu! Bali Kipo kinachosababisha kutokea huo msisimko.

Bila hicho, hakuna msisimko unaoweza kutokea kwenye Uume wako.

K**a ni mwanaume unatakiwa kujuwa jibu sahihi la swali hili ili utakapopatwa na tatizo utambue wapi pa kuanzia na pa kuishia.
Kutofatilia lolote kuhusu mwili wako unavyofanya kazi ndiyo sababu kubwa inayokufanya kuparamia dawa 💊💊💉🩸🩺kiholela na hivyo kujikuta unapata madhara zaidi badala ya kujitibu.

Sasa jibu ni hili hapa Mzunguko wa damu ndicho kitu kinachofanya uume USIMAME BARABARA🍆🤪🤪

JE ULISHAWAHI KUJIULIZA KWANINI UNAPITIA CHANGAMOTO YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME?Asilimia kubwa ya Wanaume ambao waliwa...
01/01/2023

JE ULISHAWAHI KUJIULIZA KWANINI UNAPITIA CHANGAMOTO YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME?

Asilimia kubwa ya Wanaume ambao waliwahi au wanaojihusisha na punyeto (ma********on) hukumbana
na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ambapo uume
huwa mdogo k**a wa mtoto mdogo, uume kusimama lege lege na kuwahi kufika kileleni ndani sekunde au dakika chache na pia kushindwa kuendelea na tendo la ndoa.

Hii hutokana na mishipa kuwa dhaifu na kupungua kwa hisia ya tendo la ndoa. Kutoa mbegu k**a maji,
zisizokua na uwezo wa kurutubisha yai la mama.
Pia kunasababu nyingi zinazosababisha tatizo k**a
MAGONJWA mfano ⤵️

➤ Presha
➤ Kisukari
➤ Ngiri
➤ Msongo wa Mawazo
➤ Uzito mkubwa (Obesity)
➤ kutokufanya mazoezi
➤ kukaa kwa muda mrefu sehemu moja zaidi ya Massa 6+
➤ Uvutaji wa sigara
➤ Unywaji pombe kupita kiasi
➤ Matumizi ya dawa za
maumivu bila ushauri wa daktari na matumizi ya dawa za Ku-boost.
➤ Asilimia kubwa vyakula tunavyokula havina virutubisho vya kutosha na hupelekea mishipa ya damu kujaa mafuta na kushindwa kupitisha damu vizuri sehemu muhimu hasa kwenye viungo ya uzazi ambapo vinahitaji damu kwa wingi Sana.
➤ Bawasiri.
➤ Vidonda Vya Tumbo.
➤ Migogoro ya ndani.

Nime kuandalia "PROGRAM MAALUM" itakusaidia kuondokana na Changamoto zako zote za mfumo wa uzazi wa mwanaume.
Karibu tukuhudumie tukupe ushauri na kukupa makala nzuri juu ya afya ya uzazi na tendo la Ndoa.

WhatsApp +255 744 732 651
Call & Messages +255789102728

Address

Arusha
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Huru. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram