Dr.habelnoah

Dr.habelnoah unaswali changamoto uliza jambo jema katika maisha ni kuuliza ili kujifunza

17/11/2025

BY DR.HABELNOAH
MESIC HOSPITAL
ARUSHA

Hatua muhimu za kupiga mswaki

Piga mswaki angalau mara mbili kwa siku baada ya chai na baada ya chakula cha usiku
Tumia dawa ya meno yenye madini ya fluoride, Badili mswaki kila baada ya miezi mitatu
Muone daktari wa meno mara kwa mara kwa uchunguzi na matibabu ya mapema.

Hatua za kupiga mswaki.

1. Weka mswaki wako katika degree 45 na meno yako ili mswaki wako ugusane na meno yako pamoja na fizi.

2. Sugua sehemu ya nje ya meno yako 2-3 taratibu bila kutumia nguvu kwa mwendo wa kuzungusha kisha sogea kwenye meno mengine 2-3 na rudia ivo ivo.

3. Endelea vile vile kwa meno ya ndani, mswaki ukiwa kwenye degree 45 na meno yako kwa mwendo wa kuzungusha mbele na nyuma kwenye meno na fizi zote.

4. Geuza mswaki wako nyuma ya meno ya mbele kisha kwa mwendo wa kwenda juu na chini safisha meno hayo vizuri.

5. Weka mswaki wako kwenye sehemu ya meno ya kutafunia na kwa taratibu safisha sehemu hizo kwa mwendo wa kwenda nyuma na mbele.

6. Malizia kwa kusafisha ulimi vizuri.
BY DR.HABELNOAH
MESIC HOSPITAL
ARUSHA

BY DR.HABELNOAHMESIC HOSPITALARUSHAHatua muhimu za kupiga mswakiPiga mswaki angalau mara mbili kwa siku baada ya chai na...
17/11/2025

BY DR.HABELNOAH
MESIC HOSPITAL
ARUSHA

Hatua muhimu za kupiga mswaki

Piga mswaki angalau mara mbili kwa siku baada ya chai na baada ya chakula cha usiku
Tumia dawa ya meno yenye madini ya fluoride, Badili mswaki kila baada ya miezi mitatu
Muone daktari wa meno mara kwa mara kwa uchunguzi na matibabu ya mapema.

Hatua za kupiga mswaki.

1. Weka mswaki wako katika degree 45 na meno yako ili mswaki wako ugusane na meno yako pamoja na fizi.

2. Sugua sehemu ya nje ya meno yako 2-3 taratibu bila kutumia nguvu kwa mwendo wa kuzungusha kisha sogea kwenye meno mengine 2-3 na rudia ivo ivo.

3. Endelea vile vile kwa meno ya ndani, mswaki ukiwa kwenye degree 45 na meno yako kwa mwendo wa kuzungusha mbele na nyuma kwenye meno na fizi zote.

4. Geuza mswaki wako nyuma ya meno ya mbele kisha kwa mwendo wa kwenda juu na chini safisha meno hayo vizuri.

5. Weka mswaki wako kwenye sehemu ya meno ya kutafunia na kwa taratibu safisha sehemu hizo kwa mwendo wa kwenda nyuma na mbele.

6. Malizia kwa kusafisha ulimi vizuri.
BY DR.HABELNOAH
MESIC HOSPITAL
ARUSHA

17/11/2025

BY DR HABELNOAH
MESIC HOSPITAL
ARUSHA

Unatakiwa kumshukuru mungu kwa anayokufanyia kwenye maisha yako.

Kutana na kijana mwenye miaka 28 anayejulikana kwa jina la Andrew Jones (pichani) ambaye aliishi na moyo wa bandia aliokua anaubeba kwenye begi. Hii ni baada ya kua na matatizo ya moyo.

K**a wewe ni mzima wa afya basi usisahau kuomba na kumshukuru mungu Sema ASANTE MUNGU

BY DR HABELNOAHMESIC HOSPITALARUSHAUnatakiwa kumshukuru mungu kwa anayokufanyia kwenye maisha yako.Kutana na kijana mwen...
17/11/2025

BY DR HABELNOAH
MESIC HOSPITAL
ARUSHA

Unatakiwa kumshukuru mungu kwa anayokufanyia kwenye maisha yako.

Kutana na kijana mwenye miaka 28 anayejulikana kwa jina la Andrew Jones (pichani) ambaye aliishi na moyo wa bandia aliokua anaubeba kwenye begi. Hii ni baada ya kua na matatizo ya moyo.

K**a wewe ni mzima wa afya basi usisahau kuomba na kumshukuru mungu Sema ASANTE MUNGU

15/11/2025

BY DR HABELNOAH
MESIC HOSPITAL
ARUSHA

ETI😀

BY DR HABELNOAHMESIC HOSPITALARUSHAETI😀
15/11/2025

BY DR HABELNOAH
MESIC HOSPITAL
ARUSHA

ETI😀

14/11/2025

Mwenzenu nachoka mimi😅

Mwenzenu nachoka mimi😅
14/11/2025

Mwenzenu nachoka mimi😅

12/11/2025

BY DR HABELNOAH
MESIC HOSPITAL
ARUSHA

WACHACHE WATAJUA HILI TUNDA LINAITWAJE😀

BY DR HABELNOAHMESIC HOSPITALARUSHAWACHACHE WATAJUA HILI TUNDA LINAITWAJE😀
12/11/2025

BY DR HABELNOAH
MESIC HOSPITAL
ARUSHA

WACHACHE WATAJUA HILI TUNDA LINAITWAJE😀

11/11/2025

BY DR.HABELNOAH
MESIC HOSPITAL
ARUSHA TZ

Faida zitokanazo na Mapera

Mapera ni miongoni mwa matunda ya msimu lakini yenye ladha nzuri na yanapotumiwa vizuri huweza kuwa na manufaa kadhaa ndani ya miili yetu.

Leo naomba kukueleza hizi faida nyingine kadhaa kuhusu mapera.

1. Husaiida kuimarisha kinga za miili yetu kutokana na kuwa na vitamin C ya kutosha ndani yake.

2. Pia matumizi ya tunda hili humuweka mhusika kwenye uwezekano mdogo wa kukumbwa na matatizo ya saratani za aina mbalimbali.

3. Tunda hili pia ni tunda rafiki kwa wale wenye shida ya kisukari.

4. Husaidia kulinada afya ya moyo pia.

5. Aidha, tunda hili nalo ni rafiki kwa wenye shida ya kukosa choo.

6. Husiadia kuimarisha afya ya macho kutokana na kuwa na vitamin A ya kutosha ambayo huboresha uoni wa mhusika.

BY DR.HABELNOAHMESIC HOSPITALARUSHA TZFaida zitokanazo na MaperaMapera ni miongoni mwa matunda ya msimu lakini yenye lad...
11/11/2025

BY DR.HABELNOAH
MESIC HOSPITAL
ARUSHA TZ

Faida zitokanazo na Mapera

Mapera ni miongoni mwa matunda ya msimu lakini yenye ladha nzuri na yanapotumiwa vizuri huweza kuwa na manufaa kadhaa ndani ya miili yetu.

Leo naomba kukueleza hizi faida nyingine kadhaa kuhusu mapera.

1. Husaiida kuimarisha kinga za miili yetu kutokana na kuwa na vitamin C ya kutosha ndani yake.

2. Pia matumizi ya tunda hili humuweka mhusika kwenye uwezekano mdogo wa kukumbwa na matatizo ya saratani za aina mbalimbali.

3. Tunda hili pia ni tunda rafiki kwa wale wenye shida ya kisukari.

4. Husaidia kulinada afya ya moyo pia.

5. Aidha, tunda hili nalo ni rafiki kwa wenye shida ya kukosa choo.

6. Husiadia kuimarisha afya ya macho kutokana na kuwa na vitamin A ya kutosha ambayo huboresha uoni wa mhusika.

Address

Arusha

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr.habelnoah posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category