TIBA Tunajifunza Tiba asilia kwa magonjwa yote kama kisukari , presha, vidonda vya tumbo, u.t.i sugu , p.i.d na kadhalika Bure ๐ŸŒณ๐ŸŒฒ๐ŸŒฑ

Juisi spesho kwa wanaume kuongeza nguvu na stamina ๐Ÿ˜๐Ÿ’ชViungo:Kipande kidogo cha kitunguu ๐Ÿง…Sehemu ya tango lililokatwa ๐Ÿฅ’Ki...
29/11/2025

Juisi spesho kwa wanaume kuongeza nguvu na stamina ๐Ÿ˜๐Ÿ’ช

Viungo:

Kipande kidogo cha kitunguu ๐Ÿง…

Sehemu ya tango lililokatwa ๐Ÿฅ’

Kiasi cha tangawizi mbichi

Namna ya kutengeneza:
Changanya viungo hivi kwenye blender, ongeza kikombe kimoja cha maji ๐Ÿ’ฆ kisha saga mpaka iwe laini kabisa.

Matumizi:
Kunywa mseto huu dakika 45โ€“60 kabla ya tendo, kusaidia kuongeza nguvu, kuondoa uchovu na kuongeza mzunguko wa damu โšก๐Ÿ”ฅ.

Matokeo:
Utaingia kwenye "eneo la furaha" ukiwa na nguvu mpya na stamina ya kutosha ๐Ÿ˜‰๐Ÿ’ฏ.

FAIDA 30 ZA NYANYA ๐Ÿ…1. Kula nyanya mbichi huimarisha afya ya moyo. โค๏ธ2. Saga ukinywe juisi yake kuongeza damu mwilini. ๐Ÿฉธ...
29/11/2025

FAIDA 30 ZA NYANYA ๐Ÿ…

1. Kula nyanya mbichi huimarisha afya ya moyo. โค๏ธ

2. Saga ukinywe juisi yake kuongeza damu mwilini. ๐Ÿฉธ

3. Kula kuboresha uwezo wa kuona. ๐Ÿ‘€

4. Paka usoni kuondoa chunusi. โœจ

5. Saga ukinywe kupunguza presha ya juu. ๐Ÿซ€

6. Kula kuimarisha kinga ya mwili. ๐Ÿ›ก๏ธ

7. Saga ukinywe kusawazisha sukari ya damu. ๐Ÿฉบ

8. Kula kupunguza mafuta mabaya mwilini. ๐Ÿงฌ

9. Paka kwenye ngozi iliyochomwa na jua kuipooza. ๐ŸŒžโžก๏ธโ„๏ธ

10. Kula kuboresha mmengโ€™enyo wa chakula. ๐Ÿฝ๏ธ

11. Saga ukinywe kutuliza vidonda vya tumbo. ๐Ÿฅฃ

12. Kula kujenga mifupa na meno imara. ๐Ÿฆด๐Ÿฆท

13. Saga ukinywe kupunguza joto la ndani ya mwili. ๐Ÿ”ฅโžก๏ธโ„๏ธ

14. Kula kupunguza maumivu ya hedhi. โ™€๏ธ๐Ÿ’—

15. Paka kufifisha makovu. ๐ŸŒฟ

16. Saga ukinywe kupambana na maambukizi. ๐Ÿฆ 

17. Kula kufanya ngozi ing'ae. โœจ

18. Saga ukinywe kupunguza msongo wa mawazo. ๐Ÿ˜Œ

19. Kula kutibu choo kigumu. ๐Ÿšฝ

20. Saga ukinywe kusafisha ini. ๐Ÿซ

21. Kula kulinda afya ya figo. ๐Ÿงฌ

22. Saga ukinywe kupambana na upungufu wa damu. ๐Ÿฉธ

23. Kula kuboresha usingizi. ๐Ÿ˜ด

24. Saga ukinywe kuimarisha ubongo. ๐Ÿง 

25. Kula kuongeza uwezo wa uzazi. ๐Ÿ”ฅ

26. Saga ukinywe kupunguza tumbo kujaa gesi. ๐Ÿ’จ

27. Kula kupunguza homa. ๐Ÿค’

28. Saga ukinywe kutibu kikohozi ukichanganya na asali. ๐Ÿฏ๐Ÿคง

29. Kula kusawazisha homoni. โš–๏ธ

30. Kula au kunywa kila siku kwa afya njema kwa ujumla. ๐ŸŒฟ๐Ÿ’ช

Usikimbilie raundi ya pili bila kukojoa ikiwa unatumia njia ya kutoa uume nje (withdrawal method).Hii ni kwa sababu kabl...
29/11/2025

Usikimbilie raundi ya pili bila kukojoa ikiwa unatumia njia ya kutoa uume nje (withdrawal method).
Hii ni kwa sababu kabla hata ya mwanaume kufika kileleni, huwa kuna maji madogo ya awali (pre-cum) ambayo yanaweza kubeba mbegu za kiume. K**a mwanaume hakojoi kabla ya kuanza tena raundi ya pili, mbegu zilizobaki kwenye mrija wa uume zinaweza kuchanganyika na haya maji ya awali, na hivyo kuongeza uwezekano wa mwanamke kupata mimba hata k**a mnafanya "withdrawal".

Kwa hiyo, kukojoa kabla ya raundi ya pili husaidia kusafisha njia na kupunguza hatari ya mimba bila kutarajia.

Dawa nzuri sana kwa vidonda vya tumbo Hata k**a vidonda viko stage mbaya Chukua majani na mizizi yake, OSHA vizuri weka ...
26/11/2025

Dawa nzuri sana kwa vidonda vya tumbo
Hata k**a vidonda viko stage mbaya
Chukua majani na mizizi yake, OSHA vizuri weka kwenye sufuria chemsha upate juice yake asubuhi nusu glass ๐Ÿท na jioni nusu glass ๐Ÿท kabla hujala chochote

๐Ÿ”ฅ Tiba Asili ya Ngiri (Hernia)Ngiri ni uvimbe laini unaotokea pale kiungo kinaposukumwa nje ya sehemu yake ya kawaida ku...
26/11/2025

๐Ÿ”ฅ Tiba Asili ya Ngiri (Hernia)

Ngiri ni uvimbe laini unaotokea pale kiungo kinaposukumwa nje ya sehemu yake ya kawaida kupitia tundu lililo legea au lililoharibika. Ili kupunguza maumivu na dalili, unaweza kutumia mchanganyiko huu wa asili ๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ธ Viambato Unavyohitaji

๐Ÿƒ Majani ya papai yaliyokaushwa (kiasi cha kiganja)
๐Ÿซš Vipande viwili vya tangawizi safi (menywa na kukatwa)
๐ŸŒธ Karafuu kiasi cha kiganja
๐Ÿง„ Kitunguu saumu punje 10 (asilia)

๐Ÿซ™ Namna ya Kuandaa

Weka viambato vyote kwenye sufuria yenye maji ya kunywa lita 2.5, kisha uchemshe mpaka ladha iungane vizuri na kutoa harufu nzuri ya tiba. Acha ipoe kidogo ukisha chuja.

๐Ÿฅค Namna ya Kutumia

Kunywa glasi moja asubuhi, mchana na jioni.
Tumia kwa mwendelezo ili kupata nafuu taratibu.

โš ๏ธ Tahadhari Muhimu

โŒ Usibebe mizigo mizito
โŒ Epuka kutumia nguvu kupita kiasi
Hii husaidia kuzuia ngiri kuongezeka au kurudia.

๐ŸŒธ TIBA ASILI KWA WANAWAKE WANAOPATA FANGASI, HARUFU & KUWASHWAJe, unapata:๐Ÿ”ฅ Kuwashwa ukeni๐ŸŒซ๏ธ Harufu mbaya๐Ÿงช Uchafu unaonu...
23/11/2025

๐ŸŒธ TIBA ASILI KWA WANAWAKE WANAOPATA FANGASI, HARUFU & KUWASHWA

Je, unapata:
๐Ÿ”ฅ Kuwashwa ukeni
๐ŸŒซ๏ธ Harufu mbaya
๐Ÿงช Uchafu unaonuka
๐Ÿž Fangasi (yeast infection)
๐Ÿ˜ฃ Mkojo kuwasha
๐ŸŒธ Upele au michubuko?

Hizi hapa tiba asili za uhakika ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

โœ… 1. Fangasi & Kuwashwa Ukeni

โœ” Maji ya uvuguvugu + chumvi kidogo
โ†’ Kaa kwenye beseni kwa dakika 10 ๐Ÿ›
โ†’ Husaidia kuua fangasi na kuondoa muwasho ๐Ÿ”ฅ๐ŸŒฟ

โœ” Maji ya majani ya mpera
โ†’ Chemsha majani, acha yapoe, osha nje ya uke ๐Ÿšฟ
โ†’ Hupunguza uchafu na harufu ๐ŸŒธ

โœ” Maji ya tangawizi kidogo
โ†’ Chemsha vipande vichache, osha eneo la nje
โ†’ Hupunguza upele & muwasho โšก๐ŸŒฟ

โœ… 2. Harufu Mbaya Ukeni

โœ” Maji ya mchaichai (lemongrass) yalochemshwa
โ†’ Osha sehemu ya nje mara 2 kwa siku ๐ŸŒผ

โœ” Ulimbwende (alovera)
โ†’ Kausha gel yake, paka nje tu
โ†’ Hupunguza harufu & uvimbe โ„๏ธ๐ŸŒฟ

โœ” Maji ya ukwaju yaliyopoa
โ†’ Osha mara 1โ€“2 kwa siku
โ†’ Huvunja bakteria wanaosababisha harufu ๐Ÿงชโœจ

โœ… 3. Mkojo Kuwasha (UTI ya mwanzoni)

โœ” Kunywa maji ya uvuguvugu na asali kidogo
โ†’ Husaidia kusukuma uchafu kutoka kwenye kibofu ๐Ÿ’ง๐Ÿฏ

โœ” Kunywa maji ya majani ya mlonge
โ†’ Yanasaidia kupunguza maumivu na kuondoa sumu ๐Ÿšฐ๐ŸŒฟ

โœ” Kunywa glass ya maji ya tikiti maji
โ†’ Husaidia kufungua njia ya mkojo ๐Ÿ‰๐Ÿ’ง

โŒ USITUMIE Kamwe Ukeni:

๐Ÿšซ Mayonnaise
๐Ÿšซ Lemon
๐Ÿšซ Vinegar
๐Ÿšซ Spirit
๐Ÿšซ Baking soda
(Vinachoma uke, vinaharibu bakteria wazuri)

๐ŸŒฟ KUMBUKA:

Uke ni sehemu nyeti sana. Osha kwa maji ya kawaida, epuka sabuni kali, na tumia chupi za pamba.

๐ŸŒฟ FAIDA AU UMUHIMU WA MMEA WA MSHONA NGUO1๏ธโƒฃ Hutuliza Maumivu ya TumboHusaidia kupunguza kiungulia, gesi na muwasho tumb...
23/11/2025

๐ŸŒฟ FAIDA AU UMUHIMU WA MMEA WA MSHONA NGUO

1๏ธโƒฃ Hutuliza Maumivu ya Tumbo

Husaidia kupunguza kiungulia, gesi na muwasho tumboni ๐Ÿซ—๐Ÿ”ฅ.

2๏ธโƒฃ Husaidia Vidonda vya Tumbo

Huondoa uchungu na kuchochea utulivu wa ukuta wa tumbo ๐Ÿฉบ๐ŸŒฟ.

3๏ธโƒฃ Kuimarisha Mishipa na Misuli ya Mwili

Husaidia watu wenye uchovu wa mwili na maumivu ya viungo ๐Ÿ’ช๐Ÿฆต.

4๏ธโƒฃ Kutuliza Maumivu ya Mgongo wa Ndani

Ni nzuri kwa wanaoshindwa kuinuka haraka au walio na maumivu ya kiuno ๐Ÿ”™๐ŸŒฟ
5๏ธโƒฃ Kusaidia Mzunguko Mzuri wa Damu

Huongeza nguvu na uhai wa mwili kwa ujumla โค๏ธโ€๐Ÿ”ฅ๐Ÿ’ง.

6๏ธโƒฃ Kuondoa Uvimbe Ndani ya Mwili

Ina uwezo wa kupunguza uvimbe wa mwili kwa asili ๐Ÿ’ง๐ŸŒฑ.

7๏ธโƒฃ Kuondoa Mafua na Homa Ndogo Ndogo

Husaidia kufungua njia za hewa na kupunguza mwili kwenda joto ๐Ÿคง๐ŸŒก๏ธ.

8๏ธโƒฃ Kutuliza Uchovu Mkali

Hurejesha nguvu za mwili baada ya kazi ngumu au msongo wa mwili โšก๐Ÿ˜Œ.

9๏ธโƒฃ Kusaidia Kutibu Maumivu ya Tumbo la Uzazi (kwa wanawake)

Hupunguza maumivu ya chini ya tumbo na kubana misuli ๐Ÿง˜โ€โ™€๏ธ๐ŸŒฟ.

๐Ÿ”Ÿ Kusafisha Mwili kwa Kuondoa Sumu (Detox)

Husaidia mwili kuondoa uchafu kwa njia ya mkojo na jasho ๐Ÿšฐโœจ.

๐Ÿฅฃ JINSI YA KUUTUMIA MSHONA NGUO (Njia Rahisi)

Hatua kwa Hatua

1๏ธโƒฃ Chukua mizizi, mashina na majani yake.
2๏ธโƒฃ Osha vizuri sana mpaka mchanga uishe.
3๏ธโƒฃ Weka kwenye sufuria na ongeza maji kidogo tu.
4๏ธโƒฃ Chemsha kwa dakika 10โ€“15 mpaka maji yabadilike rangi.
5๏ธโƒฃ Acha upoe.
6๏ธโƒฃ Kunywa kikombe kimoja asubuhi na jioni.

"Ungโ€™oe mmea huo kisha uoshe vizuri sana. Kisha weka maji kidogo na uuchemshe vizuri. Baada ya hapo uache upoe kisha uny...
23/11/2025

"Ungโ€™oe mmea huo kisha uoshe vizuri sana. Kisha weka maji kidogo na uuchemshe vizuri. Baada ya hapo uache upoe kisha unywe. Ni mzuri sana kwa maumivu ya ndani ya mgongo hasa pale mtu anaposhindwa kusimama haraka."

MUARUBAINI + TANGAWIZI KWA U.T.I & P.I.D ๐ŸŒฟ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ’ง1๏ธโƒฃ Muarubaini husaidia nini? ๐ŸŒฟHupambana na vijidudu vinavyosababisha U.T.I ...
20/11/2025

MUARUBAINI + TANGAWIZI KWA U.T.I & P.I.D ๐ŸŒฟ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ’ง

1๏ธโƒฃ Muarubaini husaidia nini? ๐ŸŒฟ

Hupambana na vijidudu vinavyosababisha U.T.I ๐Ÿšซ๐Ÿฆ 

Husaidia kupunguza maumivu ya chini ya tumbo โšก๐Ÿค•

Hupunguza uchafu, harufu mbaya na muwasho kwenye njia ya mkojo ๐Ÿ’ง๐Ÿ”ฅ

2๏ธโƒฃ Tangawizi husaidia nini? ๐Ÿซš๐Ÿ”ฅ

Hupunguza maumivu ya tumbo na mgongo yanayotokana na PID

Husaidia kupunguza uvimbe na joto la ndani ya tumbo

Huongeza mzunguko wa damu ili kuharakisha kupona ๐Ÿฉธโšก

JINSI YA KUANDAA HATUA KWA HATUA ๐Ÿ‘‡๐Ÿต๐ŸŒฟ

Hatua ya 1: Andaa muarubaini

๐ŸŒฟ Chukua majani 10โ€“15 ya muarubaini
๐Ÿงผ Osha vizuri
๐Ÿ’ง Chemsha katika maji lita 1 kwa dakika 10

Hatua ya 2: Andaa tangawizi

๐Ÿซš Kata vipande 4โ€“5 vya tangawizi mbichi
๐Ÿ”ฅ Weka kwenye sufuria ya muarubaini uliochemsha

Hatua ya 3: Chemsha pamoja

๐Ÿต Chemsha mchanganyiko wote kwa dakika 5โ€“7
๐ŸŒก๏ธ Acha upoe kiasi

Hatua ya 4: Jinsi ya kutumia

๐Ÿฅค Kunywa kikombe 1 asubuhi
๐Ÿฅค Kunywa kikombe 1 jioni
โณ Endelea kwa siku 5โ€“7 mfululizo

JINSI INAVYOFANYA KAZI MWILINI

๐Ÿ”ฅ Huua bakteria wabaya wanaosababisha U.T.I
๐ŸŒฟ Husafisha njia ya mkojo na kupunguza maumivu
๐Ÿ’ง Husaidia kupunguza usaha wa PID na uvimbe
โšก Huongeza kasi ya kupona kwa kuongeza mzunguko wa damu

TAHADHARI โš ๏ธ

Usitumie k**a una mimba

Usitumie k**a una vidonda tumboni

Usizidishe, muarubaini ni mkali sana

NGUVU YA JUICE YA BAMIA MBICHI ZILIZOLOWEKWA ๐Ÿ’ช๐Ÿ”ฅ๐Ÿฅ’Hii juice ya bamia mbichi zilizolowekwa maji usiku kucha husaidia kuonge...
20/11/2025

NGUVU YA JUICE YA BAMIA MBICHI ZILIZOLOWEKWA ๐Ÿ’ช๐Ÿ”ฅ๐Ÿฅ’

Hii juice ya bamia mbichi zilizolowekwa maji usiku kucha husaidia kuongeza nguvu za mwili na stamina ya tendo la ndoa.
Inaboresha mzunguko wa damu, huongeza uimara na kuondoa uchovu wa haraka ๐Ÿฉธโšก

Pia inachochea uke kutoa ute wa kutosha, jambo linalosaidia kupunguza maumivu na kuongeza utamu wa tendo la ndoa kwa dada zetu ๐Ÿ’ง๐Ÿ‘๐Ÿ’ฆ

Unachotakiwa kufanya๐Ÿ‘‡
๐Ÿฅ’ Chukua bamia mbichi 3โ€“5
๐Ÿ’ง Osha kisha loweka kwenye maji usiku kucha
๐Ÿฅค Asubuhi kichanganye vizuri kisha kunywa

Kunywa saa 1 kabla ya tendo la ndoa ili kupata matokeo mazuri zaidi ๐Ÿ’ฅ๐Ÿ”ฅ

MAGONJWA 35 NA TIBA ZA NYUMBANI 1. HOMA YA TYPHOID ๐Ÿค’Pata papai bichi, nanasi bichi, tangawizi, limao na chai ya majani. ...
19/11/2025

MAGONJWA 35 NA TIBA ZA NYUMBANI

1. HOMA YA TYPHOID ๐Ÿค’

Pata papai bichi, nanasi bichi, tangawizi, limao na chai ya majani. Katakata, chemsha kwenye maji ya uji wa mahindi uliolowekwa kwa saa 1.
Kunywa glasi 1 mara 3 kwa siku kwa wiki 1.

2. VIDONDA VYA TUMBO (ULCER) ๐Ÿฅฃ

Chukua ndizi za kupika 7โ€“8 zisizoiva, menya, katakata na twanga. Weka kwenye chupa, jaza maji galoni 1. Acha siku 3.
Kunywa kikombe 1 mara 2 kwa siku kwa wiki 1.

3. PUMU ๐Ÿ˜ฎโ€๐Ÿ’จ

Chukua mbegu za embe, zikate, zikauke juani kisha saga unga.
Tumia kijiko 1 kwenye glasi ya maji mara 1 kwa siku wiki 3โ€“4.

4. MAUMIVU YA VIUNGO / BARIDI YABISI ๐Ÿฆต๐Ÿ”ฅ

Chukua mbegu 5 za parachichi, zikate, zikauke, saga unga.
Changanya unga na asali kupata uji mzito.
Kunywa kijiko 1 mara 3 kwa siku siku 6.

5. CHLORELLA ๐Ÿšฑ

Changanya vijiko 3 vya chumvi, kijiko 1 cha sukari na nusu kijiko cha pombe kali.
Kunywa mara moja.

6. SHINIKIZO LA DAMU (BP) โค๏ธโ€๐Ÿฉน

Saga mbegu 4 za parachichi zilizokaushwa.
Weka kijiko 1 kwenye uji na kunywa mara 1 kwa siku wiki 2.

7. NIMONIA ๐Ÿ˜ค

Saga vitunguu saumu upate maji yake.
Kunywa kijiko 1 na upake sehemu ya kifua na mgongo.

8. KIKOHOZI KIKALI ๐Ÿคง

Saga gongo (bitter kola) 10, changanya na nusu kikombe cha asali.
Kula vijiko 2 mara 3 kwa siku siku 4.

9. KIFUA KIKUU (TB) ๐Ÿ˜ท

Saga gongo 20โ€“23, ongeza tangawizi na vitunguu saumu 3, uchanganye na chupa ya asali.
Kunywa kijiko 1 mara 3 kwa siku kwa mwezi 1.

10. KISUKARI ๐Ÿฏ

Saga vitunguu 6 vikubwa, changanya na chupa ya asali.
Kunywa kijiko 1 mara 3 kwa siku kwa mwezi 1.
Njia mbadala: Changanya majani ya mnavu, mchicha pori, limao, kitunguu saumu na chaki kidogo.
Kunywa nusu glasi mara 2 kwa siku kwa mwezi 1

11. STAFLO (STAPH) ๐Ÿงช

Kata vipande vya aloe vera 2, changanya na chupa ya asali + glasi ya maji.
Kunywa nusu kikombe mara 2 kwa siku wiki 1


12. KUCHOCHEA UCHUNGU WA KUJIFUNGUA KWA URAHISI BILA MAUMIVU ๐Ÿคฐ

Saga majani ya mlenda, mpe mama mjamzito anywe maji yake.
Husaidia uchungu kuanza haraka.

13. MOTO WA NDANI ๐Ÿ”ฅ

Saga majani ya papai, mnavu na mchicha pori.
Kunywa nusu kikombe mara 2 kwa siku siku 4.

15. SHIDA ZA HEDHI ๐Ÿฉธ

Saga gongo 4โ€“5, tangawizi na vitunguu saumu, changanya na maji ya limao + machungwa.
Kunywa vijiko 2 kwa siku siku 3.

16. KUPUNGUZA UZITO โš–๏ธ

Chemsha nyuzi za mahindi na maji ya limao.
Kunywa nusu kikombe kila siku kwa wiki 1 + fanya mazoezi.

17. FANGASI ๐Ÿฆ 

Changanya sabuni ya kienyeji + chaki + limao.
Paka baada ya kuoga.

18. GONO ๐Ÿงฌ

Saga gongo 3โ€“4, tangawizi na vitunguu, changanya na limao.
Kunywa vijiko 2 kila siku hadi kumaliza dawa.

19. JOTO LA NDANI โ™จ๏ธ

Chemsha majani ya papai yaliyokaushwa na majani ya korosho.
Kunywa nusu kikombe kila siku wiki 1.

20. KUKOSA USINGIZI ๐Ÿ˜ด

Changanya vijiko 3 vya asali kwenye glasi ya maziwa.
Kunywa kabla ya kulala wiki 1.

21. UGONJWA WA MOYO โค๏ธ

Saga vitunguu 12 na vitunguu saumu 12, changanya na chupa 3 za asali.
Kunywa vijiko 2 mara 3 kwa siku wiki 2.

23. MAUMIVU YA MENO KWA WATOTO ๐Ÿฆท

Changanya limao na asali sawa sawa.
Mpe mtoto kijiko 1 mara 2 kwa siku.

24. UPUNGUFU WA MBEGU ZA KIUME** ๐Ÿฅ’

Saga majani ya mpera, ongeza maji, chuja.
Kunywa glasi 1 mara 3 kwa siku wiki 1.
Kula karoti na tango kila siku wiki 2.

25. KUMALIZA HARAKA โณ

Kata bamia 3, toa mbegu, zikauke, loweka kwenye soda maji siku 2.
Kunywa nusu kikombe kila siku wiki 1.

26. UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME ๐Ÿ”ฅ

Saga vitunguu 6 vyeupe, chukua maji yake uchanganye na asali.
Kunywa vijiko 2 mara 3 kwa siku wiki 1.

27. KUPATA CHOO KIGUMU ๐Ÿšฝ

Saga gongo 3 + tangawizi + vitunguu, ongeza limao.
Kunywa vijiko 2 mara 2 kwa siku wiki 1.

28. DEGedege KWA WATOTO ๐Ÿ‘ถ

Saga kitunguu, tangawizi na vitunguu saumu, changanya na mafuta ya mbegu za mchikichi.
Mpe anywe na pia upake mwilini.

29. KUUNGUA NA MOTO ๐Ÿ”ฅ

Paka asali safi kila siku.

30. NYWELE KUVUNJIKA ๐Ÿ’‡โ€โ™€๏ธ

Changanya mafuta ya zeituni + asali, chemsha kidogo.
Tumia kusafisha na kulainisha nywele.

31. UPARA ๐Ÿง‘โ€๐Ÿฆฒ

Saga pilipili kali + mbegu za papai bichi + limao.
Paka sehemu yenye upungufu wa nywele.

32. UVIMBE WA KIZAZI (UVIMBE NDANI) ๐ŸŽ—๏ธ

Kula mbegu mbichi 20 za mtende kila siku miezi 2.

33. KUONGEZA DAMU ๐Ÿฉธ

Saga majani ya maboga + mbilingani chungu, chukua juisi yake, changanya na maziwa.
Kunywa siku 3 mfululizo.

34. UKABIBU (CATARACT) ๐Ÿ‘๏ธ

Paka gel ya aloe vera machoni kila usiku.

35. SHIDA YA KOO ๐Ÿซš

Kula tangawizi kidogo kila siku kwa wiki 1.

SHUHUDA ALIYEPONA P.I.D
19/11/2025

SHUHUDA ALIYEPONA P.I.D

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when TIBA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to TIBA:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram