10/02/2026
ZIJUE DALILI ZA ACID REFLUX NA SULUHISHO LAKE
Je, Umekuwa Ukisumbuliwa na Dalili Zisizoeleweka K**a Kiungulia, Kikokozi Kisichoisha au Mapigo ya Moyo Kwenda Mbio Bila Majibu ya Uhakika?
Tafadhali Soma Hii kwa Makini.
Dalili k**a kuwaka moto kifuani, mdomo kuwa mchachu, kuhisi kitu kimekwama kooni, kukosa usingizi, wasiwasi wa mara kwa mara au pumzi kukatika mara nyingi huhusishwa kimakosa na stress au matatizo ya moyo, wakati chanzo halisi kinaweza kuwa kuongezeka kwa tindikali ya tumbo (Acid Reflux / GERD).
Katika GCAT Health Care International Clinic, tunakuletea OFA MAALUM ya vipimo vya kisasa vya afya vinavyolenga kubaini chanzo halisi cha tatizo la acid, badala ya kutibu dalili pekee.
π©Ί HUDUMA ZETU ZA KITAALAMU:
πΉ Kumuona Daktari Bingwa β BURE
πΉ Ushauri wa Kitaalamu β BURE
πΉ Vipimo vya Afya β Tsh 30,000/= tu
πΉ Huduma ya Haraka Bila Foleni
πΉ Matibabu yanazingatia CHANZO CHA TATIZO (Root Cause Approach)
π¬ Tunachunguza na kuhudumia: β
Acid Reflux / GERD
β
Vidonda vya tumbo & matatizo ya mmengβenyo wa chakula
β
Kikokozi sugu, tonsils, harufu mbaya ya mdomo
β
Mapigo ya moyo kwenda mbio yanayosababishwa na acid
β
Kukosa usingizi, wasiwasi unaohusiana na mfumo wa chakula
β
Fangasi mdomoni & koo
π‘οΈ Huduma hutolewa kwa faragha kubwa, uangalizi wa kitaalamu na kwa kuzingatia hali ya mgonjwa mmoja mmoja.
π Mahali: Dar es Salaam (tunawahudumia pia wateja wa mikoani)
π Kwa maelezo zaidi au kuweka miadi:
βοΈ +255 682 139 879
π Bonyeza hapa kuwasiliana nasi WhatsApp moja kwa moja:
π https://wa.me/255682139879
β οΈ Muhimu: Usitumie dawa bila vipimo β inaweza kuzidisha tatizo.
Afya yako ni mtaji. Chukua hatua sahihi leo.