Afya Mtaji

Afya Mtaji Tunakuletea Bidhaa bora za Afya zilizothinitishwa..na zenye ubora wa hali ya juu kwa bei nafuu..tuna bidhaa kwa ajili ya changamoto mbalimbali za kiafya..K

Je una changamoto moja wapo.kati ya hizi??Basi usiteseke Suluhisho lipo..Wasiliana nasi 0748103769Tunapatikana Mlimani c...
01/08/2025

Je una changamoto moja wapo.kati ya hizi??
Basi usiteseke
Suluhisho lipo..
Wasiliana nasi 0748103769
Tunapatikana Mlimani city
Tunatoa ushauri wa Tiba kwa magonjwa yote sugu..

01/08/2025

Sikiliza hiii
Karibu detoxilive uweze kuondoa sumu zote mwilinicall/ what's up.0748103769

0748103769ZIJUE DALILI ZA KUWA MWILI UNA SUMU NYINGI..1. Kuchoka kupita kiasi hata baada ya kupumzika 2. Maumivu ya kich...
01/08/2025

0748103769
ZIJUE DALILI ZA KUWA MWILI UNA SUMU NYINGI..

1. Kuchoka kupita kiasi hata baada ya kupumzika
2. Maumivu ya kichwa mara kwa mara
3. Kichefu chefu au kuatapika bila sababu
4.kuvimbiwa au kushindwa kwenda chooni vzuri
5. Harufu mbaya mdomoni isiyoisha
6. Kukojoa mara kwa mara au harufu isiyoisha
7.Jasho lenye harufu isiyo ya kawaida
8. Miwasho au vipele vya mara kwa mara
9. Ngozi kuwa na chunusi/ ukurutu au miwasho isiyoisha
10. Ngozi kupoteza mng'ao au kuwa njano
11. kupumua kwa shida au kifua kuwa kizito
12. Kukohoa bila kuwa na ugonjwa maalumu
13. Kusahau haraka au kuchanganyikiwa
14.kukosa usingizi au usingizi usiotosheleza
15.kuwa na wasi wasi mara kwa mara
16.Huzni au msongo wa mawazo
17.Hasira zisizoeleweka au mabadiliko ya ghafla ya hisia
18. Kupungua au kuongezeka hamu ya kula
19. Kupungua nguvu za kiume
20.Mabadiloko ya uzito bila sababu
21. kuvimba kwa miguu, vidole,uso au mwili wote
22.Mikono na miguu kuwa na ganzi

Usiishi kuteseka na maumivu
Tunatoa ushauri wa Tiba lishe kwa uhakika zaidi
Tunapatikana Mlimani city
Call/ what's up 0748103769

Heloo wapendwaNawasalimu
01/08/2025

Heloo wapendwa
Nawasalimu

04/10/2024

UGONJWA WA KISUKARI NI NINI?

Ni tatizo linalosababishwa baada ya kongosho kushindwa kutengeneza INSULIN ya kutosha ndani ya mwili. Insulin ni homoni ambayo kazi yake kubwa ni kurekebisha kiwango cha sukari kwenye damu

AINA ZA KISHUKARI
1. KISUKARI TYPE 1
2. KISUKARI TYPE 2

KISUKARI TYPE 1 ni aina ya kisukari ambayo mara nyingi inawapata watoto wadogo, aina hii huwa ni moja ya magonjwa ya kurithi, pia husababishwa na kuharibiwa kwa seli za kongosho hivyo kushindwa kutoa insulin ya kutosha

KISUKARI TYPE 2 ni aina ya pili ya ugonjwa wa kisukari ambayo huwapata watu wazima wenye umri kuanzia miaka 45 na kuendelea. Hapa inawezekana insulin ipo ila haifanyi kazi kutokana na udhaifu au uchakavu wa seli za mwili kushindwa kufunguka kirahisi hivyo mwili kushindwa kupambana na sukari

VIASHIRIA VYA UGONJWA WA KISUKARI
1. Unene uliozidi na kiribatumbo
2. Ulaji mbaya wa chakula
3. Baadhi ya madawa
4. Msongo wa mawazo
5. Kutofanya mazoezi
6. Magonjwa yanayoharibu kongosho
7. Utumiaji wa pombe uliozidi na uvutaji sigara
8. Historia ya ugonjwa wa kisukari kwenye familia
9. Umri zaidi ya miaka arobaini
10. Akina mama wanaojifungua watoto wenye kilo zaidi ya arobaini

DALILI ZA UGONJWA WA KISUKARI
1. Kiu ya mara kwa mara
2. Kupungua uzito licha ya kula vizuri
3. Njaa kali na ya mara kwa mara
4. Jasho jingi
5. Uchovu usioeleweka hata bila kufanya kazi
6. Kizunguzungu
7. Macho kupungua uwezo wa kuona
8. Kidonda kisichopona haraka
9. Kukojoa kupitia kiasi cha kawaida na kwenda haja ndogo mara kwa mara. Watoto kukojoa kitandani

MADHARA YA KISUKARI ENDAPO UTAPUUZWA
1. Magonjwa ya moyo
2. Kiharusi/Kupooza
3. Kupungua nguvu za kiume
4. Figo kushindwa kufanya kazi
4. Upofu

SULUHISHO
Bidhaa zetu za stemcell ni suluhisho kwa ugonjwa huu, zinaenda kuboresha seli katika kongosho na katika mwili, kuweka usawa wa Homoni ya insulin na kuondoa sumu mwilini inayotokana na matumizi ya madawa

Kwa msaada wa matibabu na kuonana nasi 0748103769

FAHAMU UGONJWA WA STROKE AU KIHARUSIStroke (Kiharusi) ni tatizo linalotokea ghafla kwenye ubongo ambapo mtiririko wa dam...
04/10/2024

FAHAMU UGONJWA WA STROKE AU KIHARUSI

Stroke (Kiharusi) ni tatizo linalotokea ghafla kwenye ubongo ambapo mtiririko wa damu kwenye eneo fulani la ubongo husitishwa ghafla au kupungua na hivyo kusababisha eneo hilo la ubongo kukosa damu na virutubisho muhimu na seli za eneo hilo kuanza kufa

Tatizo hili pia linaweza kutokea pale mishipa ya damu ya kuelekea kwenye ubongo kuziba au mishipa ndani ya ubongo kupasuka. Seli za ubongo zikianza kufa kwa kukosa damu na shughuli zote zinazoendeshwa katika ubongo kusimama, mfano kumbukumbu na utashi

Lakini kiharusi pia ni ile hali ya kiungo kupoteza utendaji kazi wake kwa sababu ya neva za fahamu kuathiriwa. Hizi ni dalili chache za kiharusi au stroke nazo ni

1. Kuchanganyikiwa
2. Mtu kupata shida ya kuongea na kuelewa anachoambiwa
3. Maumivu ya kichwa na kupoteza fahamu
4. Ganzi katika viungo vya uso, mikono na miguu na hasa vikiwa vya upande mmoja wa mwili
5. Kupata shida ya kuona kwa jicho moja au yote
6. Kupata shida ya kutembea, kizunguzungu, kupepesuka mwili

SABABU ZA HATARI ZINAZOWEZA KUPELEKEA STROKE (KIHARUSI)
1. Umri. Mtu anapozeeka hatari ya kupata kiharusi huongezeka zaidi
2. Jinsia. Wanawake wako katika hatari kubwa ya kuwa na kiharusi tofauti na wanaume
3. Kiharusi kilichopita ikiwa tayari mtu amepata kiharusi, hatari ya kupata tena kiharusi kingine ni kubwa
4. Historia ya familia. Ikiwa mtu katika familia kuna historia ya watu kupata stroke basi hatari ya kupata kiharusi ni kubwa
5. Uvutaji sigara, madawa ya kulevya na vilevi
6. Shinikizo la damu au kuganda kwa damu
7. Cholesterol nyingi
8. Ugonjwa wa moyo
9. Unene kupita kiasi
10. Ugonjwa wa kisukari

MADHARA YA STROKE
Stroke (Kiharushi) inapokua sugu dalili zake hugeuka kuwa maradhi, mfano kupata ulemavu, kupooza kabisa, kupoteza kumbukumbu na utashi

SULUHISHO
Bidhaa za stemcell ni suluhisho kwa ugonjwa wa Stroke (Kiharushi) maana zina uwezo wa kuzalisha seli mpya katika mwili na kuondoa seli mfu na hivyo kurekebisha mfumo wote wa ubongo, Neva na mifupa iliyoathiriwa

Maelezo zaidi au ushauri tafadhali wasiliana nasi namba 0748103769

JE! UTAJUAJE K**A KINGA YA MWILI IMESHUKA? Watu wengi wanaamini kuwa mtu ambaye kinga ya mwili wake imeshuka basi ni mua...
04/10/2024

JE! UTAJUAJE K**A KINGA YA MWILI IMESHUKA?

Watu wengi wanaamini kuwa mtu ambaye kinga ya mwili wake imeshuka basi ni muathirika wa UKIMWI jambo ambalo silo la kweli kabisa

Ukiona Dalili zifuatazo tambua kabisa kuwa kinga yako ya mwili imeshuka na unaweza kuchukua tahadhari mapema

1. Kuugua mara kwa mara, hata k**a ni mafua au kikohozi na homa ndogo ndogo au magonjwa nyemelezi
2. Mwili kuwa na uchovu au kujisikia kuchoka mara kwa mara
3. Maumivu ya kiuno na mgongo mara kwa mara
4. Kukosa usingizi hata k**a umechoka na uko tayari kupumzika
5. Kuwa na magonjwa yanayoathiri mzunguko wa damu mfano wa kisukari, Pressure, Kiharusi. Mgonjwa yeyote wa kisukari kinga yake huwa ipo chini na ndio maana mtu yeyote mwenye tatizo hili huweza kuandamwa na magonjwa mengi sana
6. Mtu mwenye maradhi yanayoambukizwa na Virusi Mfano HIV/AIDS, Hepatitis B n.k
7. Kujihisi mgonjwa lakini Hospital vipimo havionyeshi tatizo lolote
8. Mgonjwa aliyeugua muda mrefu sana na matatizo mengi anayo ambatana ikiwemo wanaume wengi kuishiwa nguvu za kiume, wanawake kutokuwa na hamu ya tendo la ndoa, Wanawake au wasichana wengi kuugua magonjwa ya njia za mkojo kwa muda mrefu (uti Sugu)

Ukiona dalili hizi tambua upo katika kundi la watu ambao kinga za mwili zimeshuka na unahitaji usaidizi wa kiafya mapema kabla tatizo halijawa chronic

SULUHISHO
Tumia sasa bidhaa zetu za Cellifez Stemcell ili kutatua tatizo la kinga ya mwili na kuongeza CD4 kwa haraka sana. Lakini bidhaa zetu haziongezi kinga tu bali ni suluhisho kwa magonjwa zaidi ya 200 kwa wakati mmoja

Maelezo zaidi au ushauri tafadhali wasiliana nasi namba 0748103769

Je unachangaamoto yoyote ta kiafya? Karibu tukuhudumieWasiliana nasi 0748103769Kwa msaada wa haraka Usikubali kuteseka
04/10/2024

Je unachangaamoto yoyote ta kiafya? Karibu tukuhudumie
Wasiliana nasi 0748103769
Kwa msaada wa haraka
Usikubali kuteseka

Je! wajua CELLIFEZ STEMCELL ni Bidhaa pekee za stemcell zenye teknolojia kutoka Switzerland na JapanBidhaa hizi ni suluh...
04/10/2024

Je! wajua CELLIFEZ STEMCELL ni Bidhaa pekee za stemcell zenye teknolojia kutoka Switzerland na Japan

Bidhaa hizi ni suluhisho kwa magonjwa sugu bila kujali yamekuwa mwilini kwa muda mrefu au mfupi k**a

▪️ Kisukari
▪️ Presha
▪️ Kiharusi
▪️ Siko Seli
▪️ Pumu /Asthma
▪️ Saratani aina zote
▪️ Matatizo ya Mifupa
▪️ Homa ya ini
▪️ Tezi dume
▪️ Presha ya Macho
▪️ Uvimbe kwenye kizazi
▪️ Vidonda vya tumbo
▪️ Matatizo ya Mapafu
▪️ Matatizo ya Moyo
▪️ Matatizo ya Figo
▪️ Uvimbe kwenye Ovari
▪️ Kupoteza kumbukumbu
▪️ Matatizo ya Mgongo
▪️ Matatizo kwenye Ngozi
▪️ Matatizo ya Misuli
▪️ Kutomudu tendo la ndoa
▪️ Homa ya mapafu kwa watoto
▪️ Kuongeza CD4 /Kinga ya mwili
▪️ Na Magonjwa mengine mengi

JE UNA CHANGAMOTO IPI KATI YA HIZI??
Suluhisho limepatikana

Usiendelee kuteseka wala kuona ndugu yako anateseka, mjulishe hizi Habari Njema. Wengi wamepata matokeo ndani ya siku 21 mpaka 90

GHARAMA
240,000 DOSE WEEK 3
320,000 DOSE WEEK 4

Maelezo zaidi au ushauri piga namba 0748103769

Je unaijua nguvu. Ya stemcells kwenye maisha yetu???? Hebu soma hapa kwa makini😍
03/10/2024

Je unaijua nguvu. Ya stemcells kwenye maisha yetu????
Hebu soma hapa kwa makini😍

Je una changamoto yoyote ya kiafya?KisukariPressure Vidonda vya TumboCancer na magonjwa yoyote sugu???Karibu sterm cell ...
05/09/2021

Je una changamoto yoyote ya kiafya?
Kisukari
Pressure
Vidonda vya Tumbo
Cancer na magonjwa yoyote sugu???
Karibu sterm cell Technologia Mpya inayo rejesha uponyaji kwenye Mwili kwa haraka sana.
Usiendelee kuteseka na suluhisho lipo.🔥🔥

Kwa maelezo zaidi karibu what's up 0713570185 tukuhudumie

24/01/2021

Happy New Year to my my People..
K**a unachangamoto yoyote ya kiafya karibu tukuhudumie
Wasiliana na 0713570185

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255713570185

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Mtaji posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram