Afya Kwanza0

Afya Kwanza0 Karibu sana ndugu kutatua changamoto ya upungufu wa nguvu za kiume.

Bonyeza hii link upate elimu ya bure juu ya afya yakohttps://youtu.be/WsWNAUPMXrIIkikushinda njoo Whatsapp namba 0629224...
24/05/2022

Bonyeza hii link upate elimu ya bure juu ya afya yako
https://youtu.be/WsWNAUPMXrI

Ikikushinda njoo Whatsapp namba 0629224104 nikutumie sasa hivi..
🇹🇿

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUMENi Kuwahi kufika Kileleni mapema sekunde tu chache au baada ya kugusa tu mlango wa u...
12/05/2022

DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUMENi Kuwahi kufika Kileleni mapema sekunde tu chache au baada ya kugusa tu mlango wa uke na uume kuwa legelege.Tuma Ujumbe neno AFYA NJEMA kwenda WhatsApp 0629224104.

UGONJWA WA HOMA YA INIDalili za ugonjwa wa Homa ya INI na jinsi unavyoambukizwa (ugonjwa huu ni hatari kuliko UKIMWI)Hom...
27/04/2022

UGONJWA WA HOMA YA INI

Dalili za ugonjwa wa Homa ya INI na jinsi unavyoambukizwa (ugonjwa huu ni hatari kuliko UKIMWI)
Homa ya Ini ni ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya virusi ambavyo vikishaingia mwilini hushambulia ini kabla ya kugeuka maradhi sugu.
Virusi hivyo vinaitwa HEPATITIS VIRUS (vipo vya aina nne yaani Hepatitis A, B, C na D). Utafiti unaonesha kuwa hepatitis B na C ndio hatari sana.
Virusi hivyo husambazwa kwa njia ya damu au majimaji mengine ya mwilini, mfano mate au jasho. Watu takribani 1000000 wanapoteza maisha duniani kote kutokana na ugonjwa wa homa ya ini (hepatitis).
Ugonjwa huu k**a haujatibiwa hutengeneza uvimbe katika ini na kusababisha kansa ya ini na baadaye kifo.

JINSI UNAVYOAMBUKIZWA
Katika maeneo hatari zaidi duiani, virusi vya Hepatitis B (HBV) kwa kawaida husambazwa kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto wakati wa kuzaliwa au kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine hususan nyakati za utotoni.

K**a ilivyo kwa UKIMWI virusi vya homa ya ini pia huambukizwa kwa njia ya kujamiiana, mate,jasho na mwingiliano ule wa damu.

Zifuatazo ni njia kuu za maambukizi;
- Kujamiiana bila kinga
- Kunyonyana ndimi (denda)
- Mama mwenye ugonjwa kumwambukiza mtoto wakati wa kujifungua
- Kuchangia damu isiyo salama
- Kuchangia vitu vyenye ncha kali k**a sindano, wembe nk
- Kuchangia mswaki
- Kuchangia taulo na mwenye ugonjwa Huu
- Kubadilishana nguo au kukumbatiana wakati mkiwa mnavuja jasho.
Tafiti za kitalamu zinaonesha kwa kuwa virusi hivyo ni hatari sana kuliko UKIMWI kwa sababu vinaweza kuishi nje ya mwili wa binadamu (yaani nje ya mfumo wa damu) kwa siku saba.

Virusi vya ukimwi havina uwezo wa kuishi nje ya mfumo wa damu hata kwa dakika moja.

Kutokana na usugu wa HBV, maana yake ni kwamba k**a kirusi kipo kwenye ngozi, kitaendelea kuwa hai kwa siku saba na katika kipindi hicho mtu anaweza kuambukizwa kwa njia ya damu au jasho.
Kwa wastani kirusi cha HBV kikishaingia mwilini, hupevuka ndani ya siku 75, hata hivyo upo uwezekano wa kupevuka kati ya siku 30-180.
Ndani ya siku 60, mtu mwenye HBV anaweza kugundulika ikiwa atapimwa.

Mtu mwenye HOMA YA INI ana wastani mdogo wa kuishi kuliko HIV.
Kwa maana hiyo, mwenye maambukizi ya virusi vya Homa ya Ini hufariki dunia haraka kuliko VVU.

DALILI ZA UGONJWA HUU
Watu wengi hawaoneshi dalili yoyote. Kwa maana hiyo mtu anaweza kuishi na HBV na kusababisha maambukizi kwa wengine bila kugundulika.

Hata hivyo, watu wengine hushambuliwa na homa kali na dalili ambazo hudumu kwa wiki kadhaa.
Dalili hizo ni;

√ Uchovu

√ Kichefuchefu

√ Kupungua uzito

√ Maumivu makali ya tumbo

√ Homa Kali

√ Kupoteza hamu ya kula

√ Maumivu makali ya tumbo upande wa ini

√ Macho na ngozi kuwa vya njano

√ Mkojo mweusi
Kwa wagonjwa wengine, virusi vya Hepatitis husababisha ini kuharibika kabisa (cirrhosis of the liver) au saratani ya ini (liver Cancer).

KINGA

√ Chanjo

√ Kutumia kinga wakati wa kijamiiana

√ Kuacha kuchangia vitu vyenye ncha Kali k**a sindano,wembe,nk

√ Kutochangia miswaki

√ Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu

√ Kutochangia damu isiyo salama

Jali afya yako usizarai changamoto ulonayo kwani mpk sasa hujui ulivyo mwilini mwako wala desturi ya kwenda hospital huna na unashauriwa kila siku tumia virutubisho kuimarisha afya yako umekuwa mtu wa kusahau ✍️

Kujamiana (ama tendo la ndoa) ni moja ya jambo  muhimu sana katika maisha ya binadamu . Ni ukweli  kwamba wengi wetu tun...
26/04/2022

Kujamiana (ama tendo la ndoa) ni moja ya jambo muhimu sana katika maisha ya binadamu . Ni ukweli kwamba wengi wetu tungependa kuwa na mwenza ambao mnaridhishana katika tendo la ndoa. Ukilifanya kiufasaha bila ya upungufu wowote huleta maelewano katika uhusiano wowote ule. Lakini, kuna faida zozote za kiafya za kufanya tendo hili? Ndiyo! Zipo faida kadhaa zinazotokana na kujamiana. 👇

💠 Hupunguza msongo wa mawazo
💠Hupunguza maumivu:
💠Kufanya mapenzi huongeza urembo wa mwanamke
💠Hupunguza uzito na kumfanya mtu kuwa na afya njema
💠Huongeza uwezo wa kunusa
💠Huongeza kinga ya mwili
💠Tendo la ndoa huongeza hali ya kujiamini
💠Huongeza mzunguko wa damu mwilini.
💠Husaidia kuishi kwa muda mrefu
💠Huongeza uwezo wa kunusa:.

K**a una changamoto inakukabili unashindwa kushiriki kiufasaha tendo la ndoa Wasiliana nami sasa hivi kupitia WhatsApp number 0629224104 au Piga Simu usaidiwe mapema.

Hofu ni tabia ya kupatwa na woga kupita kiasi inayokuwa ndani ya binadamu juu ya kitu au vitu fulani. K**a kuachwa, kuac...
24/04/2022

Hofu ni tabia ya kupatwa na woga kupita kiasi inayokuwa ndani ya binadamu juu ya kitu au vitu fulani. K**a kuachwa, kuachishwa kazi,ugumu wa maisha, Ajali, magonjwa. N.k

Wanawaume wengi hupata hii changamoto ambayo huwapelekea Nguvu za kiume kushuka kwa sababu ya kuogopa kushindwa na kuwaza kuendelea na tendo la ndoa kuhofia jana alishindwa kumfikisha mwanamke, wengi hapa hujikuta wakiangukia kwenye madawa ambayo huwasababishia matatizo mengine.

Namna ya kuondokana na hofu 👇
🌀Zungumza na omba ushauri
🌀Kumbuka mambo au maeneo ya furaha
🌀Tafakari madhara ya hofu
🌀Tumia njia za asili

Kwa Ushauri na msaada zaidi wasiliana nami kwa kutuma neno HOFU kwenda WhatsApp namba 0629224104 au piga simu usaidiwe.

Namna Ya Kutambua K**a Una Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Suluhisho Lake. 1.K**a unakosa hamu ya tendo la ndoa, una tatiz...
12/04/2022

Namna Ya Kutambua K**a Una Upungufu Wa Nguvu Za Kiume Na Suluhisho Lake.

1.K**a unakosa hamu ya tendo la ndoa, una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.
2.K**a uume hausimami barabara, una upungufu wa nguvu za kime.
3.K**a uume unasimama kwa muda mfupi na kulegea, una upungufu wa nguvu za kiume.
4.K**a uume wako unalegea muda mfupi tu baada ya kuingia ukeni, una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.
5.K**a unafika kileleni muda mfupi tu baada kuingia ukeni, una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.
6.K**a unashindwa kufika kileleni una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.
7.K**a unasikia maumivu wakati uume unaposimama, una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.
8.K**a unashindwa kutoa mbegu (shahawa), una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.

👆 Ikiwa utakuwa na changamoto k**a izo, fahamu ya kwamba, una UPUNGUFU wa nguvu za kiume, na hivyo sasa ni muda muafaka wa kutafuta matibabu sahihi bila kuchelewa. Unapoanza kujitibu mapema kabla mambo hayajawa mabaya zaidi, unakuwa umejitengenezea fursa pana ya kupona. Lakini, chelewa chelewa…. utakuta mwana si wako!

Wasiliana nami sasa hivi kwa kutuma neni UWEZO kwenda WhatsApp namba 0629224104 au piga simu usaidiwe mapema.

Je Unafanya Makosa Haya Katika Maisha Yako Ya Kila Siku.Maisha yana mambo mengi sana ambayo yanatufanya tuwe bize bila k...
10/04/2022

Je Unafanya Makosa Haya Katika Maisha Yako Ya Kila Siku.

Maisha yana mambo mengi sana ambayo yanatufanya tuwe bize bila kujali afya zetu
Wanaume wengi wamekuwa wakisumbuka na upungufu wa nguvu za kiume na wengi tezi dume zao zimeshatanuka kwa kutojuwa ama kupuuzia tatizo.

✍️Tumekuwa wazembe kwenye tendo la ndoa na kutowarizisha wake zetu.
✍️Mtu ana changamoto lakini anaipuuzia inakuwa sugu ndo huanza kuhangaika.
✍️Hatupo tayari kupata elimu za afya kwa ujuaji mwingi, hali hii hupelekea mausiano kuvunjika kosa ni wewe tu hutimizi wajibu wako.
Naelewa nawe ni mmoja wa changamoto hii kwanini bado unapuuzia, Tuma Ujumbe KWELI kwenda whatsapp namba 0629224104 au piga simu usaidiwe mapema.

Tatizo la nguvu za kiume linatibika ikiwa utafanya mambo makuu ma 3Je ungependa kujuwa mambo hayo ili urudishe heshima y...
03/04/2022

Tatizo la nguvu za kiume linatibika ikiwa utafanya mambo makuu ma 3

Je ungependa kujuwa mambo hayo ili urudishe heshima yako nyumbani

Tuma namba yako inbox na sehemu ulipo ikifika sa 2 usiku nitaunganisha group moja wasap na kukupa Muongozo wa mambo ma3 muhimu ya kukusaidia kuondoa changamoto yako.

Fahamu Dalili zinazoonyesha Kwamba Mwanaume amepungukiwa nguvu za kiume.1️⃣Ukienda Safari Moja Mwili unachoka alafu unah...
26/03/2022

Fahamu Dalili zinazoonyesha Kwamba Mwanaume amepungukiwa nguvu za kiume.

1️⃣Ukienda Safari Moja Mwili unachoka alafu unahisi usingizi .

2️⃣Sehemu za Siri Zinasinyaa taratibu baada ya goli moja.

3️⃣Mwili unahisi ganzi pamoja na sehemu za Siri.

4️⃣Hamu inakata ghafla Mara baada ya kutoa Manii ,ule uchangamfu unapotea kabisa.

5️⃣Nyeti zinasimama Vizuri Lakini ukitaka kuingiza kwa mwanamke Zinasinyaa .Hapa Wengi huhisi kwamba Wamerogwa Lakini ukweli Ni Kwamba hawajarogwa .

6️⃣Kupoteza hamu ya tendo la ndoa.

7️⃣kushindwa kurudia Mara ya Pili .unakuta ukishatoa Goli Mara Moja, Basi mashine inakata Moto haisimami Tena hata ufanyeje inazidi kulala.

8️⃣Mashine kulala Ndani ya Nyeti za Mwanamke,unakuta upo katika ya Game ,mzigo unalala ghafla na kulegea Ndani kwa Ndani.

Wengi hukereka na hii hali na nimekuwa nikiwasaidia kuondoa changamoto zao naamini ata wewe inakukera hii hali. .
Kwa ushauri na msaada zaidi wasiliana nami kwa kutuma neno AFYA KWANZA kwenda WhatsApp namba 0629224104 Wahi mapema usaidiwe.

Whatsapp namba 0629224104 au piga simu usaidiwe mapema.
26/03/2022

Whatsapp namba 0629224104 au piga simu usaidiwe mapema.

Address


Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Kwanza0 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram