Afya ya mwanaume

  • Home
  • Afya ya mwanaume

Afya ya mwanaume Hospital zetu zinapatikana Dar es Salaam, Banana-ukonga, zipo wazi kila siku ya jumapili mpaka ijumaa saa tatu asubuh mpaka saa 11 jioni

*UGONJWA WA NGIRI/HERNIA NA UNAVYOATHIRI NGUVU ZA KIUME.* Ugonjwa huu mara kwa mara huwapata wanaume, ni ugonjwa ambao u...
16/06/2022

*UGONJWA WA NGIRI/HERNIA NA UNAVYOATHIRI NGUVU ZA KIUME.*

Ugonjwa huu mara kwa mara huwapata wanaume, ni ugonjwa ambao umeisha wakumba wanaume wengi sana. Na kujikuta wanakosa Tiba zaidi ya Oparesheni. *VISABABISHI VYA NGIRI*

Kuna sababu nyingi zinazopelekea mtu apate ugonjwa wa NGIRI.

📍Ukosefu wa protini mwilini

📍ajali

📍Kazi ngumu

*DALILI ZA UGONJWA WA NGIRI CHANGA.

* -Kubana tumbo hasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu.

-Kupiga mingurumo tumboni

-Kujaa gesi tumboni

-Kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.

-kupata haja ngumu k**a ya mbuzi

-kukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa

-maumivu makali ya mgongo au kiuno

-Uume kusinyaa na kunywea k**a wa mtoto

-Kuvimba kwa karodani ama korodani kupanda juu(moja ama zote kwa pamoja)

*JINSI UGONJWA WA NGIRI /HERNIA UNAVYOATHIRI NGUVU ZA KIUME.

* K**a ngiri bado ni changa haiwezi kuathiri chochote katika nguvu za kiume.

Hata hivo hernia ambayo imeshakuwa kubwa inaweza kuathiri nguvu za kiume.

-Huathiri utendaji wa mishipa ya neva iliyo kwenye uume au korodani

-upasuaji wa NGIRI unaweza sababisha shida katika korodani kufanya uwezekano wa homoni ya testosterone kuwa chini.

Tunavyo virutubisho vitakavyo kusaidia kutatua hii changamoto ya hernia bila kufanyiwa upasuaji Mawasiliano📞 Whatsapp/SMS/Call +255753356121 &
+255620501290

UNENE KWA MWANAUMEMiongoni mwa vyanzo vingi vinavyopelekea wanaume kushindwa kurudia tendo na uume kua mdogo ni UNENE na...
04/06/2022

UNENE KWA MWANAUME
Miongoni mwa vyanzo vingi vinavyopelekea wanaume kushindwa kurudia tendo na uume kua mdogo ni UNENE na UZITO uliopitiliza.
Unene hutokana kujaa Kwa mafuta mengi yasiyonakazi mwilini wayapatayo kutoka katika vyakula wanavyokula.
Mafuta hayo huganda na kutengeneza tissues ambazo hubana mishipa midogo midogo ya damu hivyo kushindwa kupitisha damu Kwa urahisi na kufanya Kasi ya mzunguko wa Damu kua mdogo.
Kwa afya ya mwanaume mzunguko wa Damu ni kitu muhimu sana katika kusaidia uume kusimama barabara, kurudia tendo mara mbili na zaidi bila ya kupumzika Kwa mda mrefu, n.k

Kwa ushauri zaidi tutafute ufike katika hospital zetu kupata vipimo zaidi ili kujua chanzo Cha Tatizo lako.

Kipimo Cha mwili mzima ni 20,000/= tu
#0620501290
#0753356121

Eternal International Biological Company limited, tunajihusisha na matibabu ya afya Kwa wanadamu Kwa kutumia tiba lishe ...
17/05/2022

Eternal International Biological Company limited, tunajihusisha na matibabu ya afya Kwa wanadamu Kwa kutumia tiba lishe au virutubisho mbalimbali.
HIVYO TUNATIBU MARADHI MBALIMBALI NYEMELEZI K**A VILE;
Mfumo wa damu, mishipa ya damu (moyo na ubongo)
Mfumo wa chakula (vidonda vya tumbo, kukosa choo, n.k)
Mfumo wa fahamu
Maradhi ya ngozi
Matatizo ya uzazi kwa kina Baba (NGUVU za kiume, tezi dume, n.k)
Matatizo ya uzazi kwa kina Mama (kukosa hamu ya tendo la ndoa, uvimbe katika njia za uzazi, P.I.D, fangasi, n.k)
Mfumo wa upumuaji (pumu, TB, N.K)
Maradhi sugu (Kansa, figo, kisukari, U.T.I, n.k)
Kupunguza unene uliopitiliza na kuweka sawia uzito wa mwili (ndani ya muda mfupi na bila madhara yoyote)
Kupandisha kinga za mwili CD4 na kuondoa sumu mwilini
Ukuaji mbovu wa watoto wadogo
Uvutaji wa sigara, matumizi ya vinywaji vikali na madawa

Huduma ni kila siku kuanzia saa 2:00 asubuhi hadi saa 11:00 jioni.
Tunapatikana BANANA- UKONGA
WhatsApp no_0753356121

Address


Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255753356121

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ya mwanaume posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya ya mwanaume:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram