Afya ni mtaji bora

Afya ni mtaji bora karibu Sana katika page langu LA afya bora ni mtaji kwa kujifunza magonjwa mbalimbali nyemelenzi na

*WANAWAKE WOTE FEMICARE NI MUHIMU SANA NA NILAZIMA UTUMIE.*☘Kwanza ijue femicare na faida zake.Femicare ni dawa asili ku...
28/09/2023

*WANAWAKE WOTE FEMICARE NI MUHIMU SANA NA NILAZIMA UTUMIE.*

☘Kwanza ijue femicare na faida zake.
Femicare ni dawa asili kutoka USA inatumiwa na WANAWAKE wote ili kuwaweka salama na maambukizi.
❎ *Haina chemical yeyote ile ni zuri na salama*

1⃣Huondoa harufu mbaya uken,uchafu na kuongeza bacteria walinzi,ni nzuri kwa wanaoshea vyoo.
2⃣Inatibu fangasi ukeni na U.T.I. Sugu.
3⃣Inatibu PID tena ile Sugu ukitumia na dawa ya kumeza inaitwa Refined Yunzhi essence.

4⃣Huondoa maumivu wakati wa tendo landoa na kurudisha ute ute unaohitajika.

5⃣Inafanya uke uwe msafi pasina harufu na salama muda wote.
6⃣Inazibua mirija ya uzazi iliyoziba na kurekebisha hedhi iliyovyrugika.

7⃣Inakaza misuli ya uke iliyolegea nakufanya iwe tight.
8⃣Inaondoa maumivu ya tombu chini ya kitovu kipindi Cha hedhi au Chango.
9⃣Inaondoa michubuko wakati wa tendo landoa
0654705112

21/07/2022

FAIDA ZA UZILE

Uzile ni kiungo kinachotumika sana katika mapishi mbalimbali hasa pilau, wali mweupe,mboga pamoja nk. Licha ya kutumia jira k**a kiungo chenye ladha nzuri, zifuatazo ni faida za jeera mwilini:
1. Uzile inasaidia kuboresha mfumo wa mmen'genyo mwilini,kwa kuamsha vimen'genya pamoja na kuachia nyongo
2. Uzile ni chanzo kikubwa cha madini ya chuma, hata ikitumiwa kidogo tu katika chakula
3. Uzile inaondoa mafuta mabaya mwilini pamoja na kupunguza uzito uliozidi
4. Uzile inaondoa magonjwa yanayosambazwa na vyakula
5. Uzile pia husaidia kuzuia uvimbe (ant inflammatory) mwilini
Kwa mahitaji ya jeera nzuri, iliyokomaa na kukaushwa vizuri usisite kuwasiliana nasi

KWA MAHITAJI YA HUDUMA ZETU

KUPATA SULUHISHO LA KUDUMU LA NGUVU ZA KIUME KUPITIA VIRUTUBISHO

wa.me//255654705112

Agent: tumainiel BF suma
Call/Sms/Whtspp
0654705112

FAIDA ZA UZILEUzile ni kiungo kinachotumika sana katika mapishi mbalimbali hasa pilau, wali mweupe,mboga pamoja nk. Lich...
21/07/2022

FAIDA ZA UZILE

Uzile ni kiungo kinachotumika sana katika mapishi mbalimbali hasa pilau, wali mweupe,mboga pamoja nk. Licha ya kutumia jira k**a kiungo chenye ladha nzuri, zifuatazo ni faida za jeera mwilini:
1. Uzile inasaidia kuboresha mfumo wa mmen'genyo mwilini,kwa kuamsha vimen'genya pamoja na kuachia nyongo
2. Uzile ni chanzo kikubwa cha madini ya chuma, hata ikitumiwa kidogo tu katika chakula
3. Uzile inaondoa mafuta mabaya mwilini pamoja na kupunguza uzito uliozidi
4. Uzile inaondoa magonjwa yanayosambazwa na vyakula
5. Uzile pia husaidia kuzuia uvimbe (ant inflammatory) mwilini
Kwa mahitaji ya jeera nzuri, iliyokomaa na kukaushwa vizuri usisite kuwasiliana nasi

KWA MAHITAJI YA HUDUMA ZETU
KUPATA SULUHISHO LA KUDUMU LA NGUVU ZA KIUME,MFUMO WA UZAZI KWA WANAWAKE,MFUMO WA CHAKULA,MFUMO WA MISHIPA NK KUPITIA VIRUTUBISHO

wa.me//255654705112
Agent: tumainiel BF suma
Call/Sms/Whtspp
0654705112

REISHI ESSENCEMchanganyiko wa uyoga wa Reishi (Ganoderma lucidum) ni dondoo kutoka uyoga. Reish imekuwa ikitumika kwa ma...
03/09/2021

REISHI ESSENCE
Mchanganyiko wa uyoga wa Reishi (Ganoderma lucidum) ni dondoo kutoka uyoga. Reish imekuwa ikitumika kwa maelfu ya miaka katika dawa za jadi za Wachina na inachukuliwa kuwa ya darasa la juu zaidi ya tonics.

Uyoga huu wa dawa hukusaidia kukabiliana na athari mbaya za mafadhaiko k**a vile kuongezeka kwa uchochezi, viwango vya nishati vilivyomo, mishipa ya damu iliyoharibika, na usawa wa homoni. Utafiti pia umeonyesha kuwa dondoo hii ina uwezo wa antioxidant kukuza ustawi wa jumla.



Manufaa ya kiafya ya Mishik**ano ya Reishi :

Inapochukuliwa mara kwa mara, Reishi Mushroom inaweza kusaidia kurejesha mwili wake katika hali yake ya asili na kusaidia kufanya kazi kawaida. Faida zake kuu ni pamoja na:

Kukuza nguvu na maisha marefu

Kusaidia kurejesha mizani ya homoni

Kuboresha afya ya moyo na kazi ya ini

Pia inajulikana kwa tabia yake ya kupambana na mzio

Piga 0654705112

*ZIJUE SABABU ZINAZOPELEKEA KUJAMBA UKENI*  (PIA NI SABABU ZINAZOPELEKEA KUTANUKA/KULEGEA  KWA UKE)*🍃🍇KULEGEA KWA MISULI...
05/08/2021

*ZIJUE SABABU ZINAZOPELEKEA KUJAMBA UKENI* (PIA NI SABABU ZINAZOPELEKEA KUTANUKA/KULEGEA KWA UKE)

*🍃🍇KULEGEA KWA MISULI YA UKE🍇🍃```*uke ukiwa umelegea inasababisha vijambo kwenye Uuke kutokana na uke kuwa wazi, yaani kwa kuwa uke umelegea na upo wazi Basi hewa upita na kusababisha uke kujamba, EPUKA AIBU NDOGO NDOGO KITANDANI KWA UKE KUPWAYA NA KUTEPETA AU KUJAMBA...

KWA MAFUNZO ZAIDI KARIBU KWENYE GRUP LANGU LA WASAP...WEKA NAMBA NIKUUNGE SAIV

*```🍃🍇KUTOJUA KUJISAFISHA UKE* 🍇🍃```

🌹❤️🌹kwa wale wanawake wote wasiojua kujisafisha vizuri uuke tatizo hili lazima likupate
kwahali hiyo basi UKE inatakiwa kuusafisha vizuri na kwa makini na inavyotakiwa pia hakikisha baada ya kuusafisha futa na kitaulo maalum kwaajili ya kufutia sio kanga ulioshindia kwenye mavumbi unaenda kujifutia baada ya kuoga.

KWA MAFUNZO ZAIDI WEKA NAMBA NIKUUNGE WASAP SASA HIV

🍃🍇UTUMIAJI MAJI MOTO🍇🍃 ```

Ukiwa unapenda kusafishaa Uuke wako kwa majimoto tatizo hili lazima likukumbe maana maji ya moto hulegeza uke na kuufanya uwe unatoa hewa chafu wakati wa kufanya tendo la ndoa hata baada ya kufanya Uke inatakiwa usafishekwa maji baridi ni mazuri na yanasaidia kubana misuli ya uuke pamoja na kuwalinda bacteria ambao ni walinzi wa uke kwa ujumla.

KWA MAFUNZO ZAIDI WEKA NAMBA NIKUUNGE WASAP SASA HIVI

*```🍃🍇ULALAJI NA SHAHAWA UKENI🍇🍃* ```

Kwa wale wanawake wasiojisafisha ukeni baada ya kufanya tendo la ndoa hali hii lazima itakukuta na pia wanawake hamtakiwi kulala na shahawa ndani ya uke unalegeza uuke na kupoteza joto la asili la uuke , vilevile kulala na shahawa bila kunawa unasababisha uuke kutoa harufu mbaya

KWA MAFUNZO ZAIDI WEKA NAMBA NIKUUNGE WASAP SASA HIVI

*🍃🍇USAFI PINDI TUMALIZAPO TENDO LA NDOA* 🍇🍃`

Unapomaliza kufanya jimai mfute mmeo na wewe ujifute, nendeni bafuni ikibidi muoge au mtawadhe (ni sunnah) sio ukimaliza unageukia upande wa pili unakoroma shawaha kibao ukeni uke unapoa na kutepeta.
ukifika bafuni chuchumaa kwa muda kuruhusu shahawa zitoke kwa urahisi jikamue kidogo ili shahawa zitoke vizuri
Kisha osha uke kwa maji mengi usitumie sabuni osha na maji baridi kwani maji moto yanarejesha uke nduguzangu ok kisha jifute vizuri kwa kitaulo safi uuke ubaki kikavu

KWA

KUTOFANYA MAZOEZI YA KUBANA UKE
K**a ni mvivu wa kufanya mazoezi ya kubana uke alafu umeshazaa au unabadilisha wanaume K**a mboga Basi Hali hii lazima ikukukute, kila mwanamke shurti afanye mazoez ya kubana uke kwa ajili ya afya ya uke wake,,,,ACHA KUWEKA VITU VYA AJABU AJABU UKENI KUNA KANSA...

STYLE MNAYOKAAA WAKATI WA S*X
Kuna style zingine huwa zinaruhusu hewa kuingia ukeni hatimae kujamba K**a doggy style au chuma mboga..K**a unatatizo la kujamba ukeni epuka style hizi mbaka pale itakapo pona

Na mtaalamu PETERO ✍️✍️

0654705112
*Mwisho

*UREMBO WA ASILI KWA MWANAMKE*  Siri ya mwanamke kuonekana mrembo na kijana kuondoa chunusi, mabaka, makunyanzi ya usoni...
02/08/2021

*UREMBO WA ASILI KWA MWANAMKE*

Siri ya mwanamke kuonekana mrembo na kijana kuondoa chunusi, mabaka, makunyanzi ya usoni na ung'arisha ngozi kwa njia ya Asili.

*FEMINERGY CAPSULES* Imetengenezwa kiasili na kwa kiwango cha hali juu cha mbegu za zabibu ambazo hujulikana kuwa na kiwango kikubwa kinachopambana ba uzee kinachoitwa PROANTHOCY ANIDISM(OPC)

*_Kazi ya feminergy_*
➡Huondoa makunyanzi.
➡Huondoa makovu yaliyo achwa na chunusi.
➡Hung'arisha ngozi na kuondoa mabakaa yasiotakiwa.
➡Huifadhi unyevu wa ngozi.
➡Huzuia magonjwa yaletwayo na umri k**a kansa, kisukari, Magonjwa ya moyo, Macho na Alzheimer's (Watu wazima kupoteza kumbukumbu) Huifanya Organi zako kufanya kazi bila kuzeeka mapema.

*_Faida za feminergy_*
°Husaidia mishipa ya damu itanuke na kusinya hivyo kuiwezesha presha ya damu.
°Husaidia madhara ya mionzi ya jua, simu, Tv na mionzi mingine mwilini mwako.
°Husaidia kupambana na Allegy, Athma na mwili kukosa Nguvu.

**Kwa nini uchague feminergy**
--->Ni ya Asili.
Imetengenezwa na mbegu za MIMEA mbali mbali pamoja na amatunda.

NOTE: Leo inapatikana Kwa KWA BEI YA PROMOTION

Mawasiliano: 0654705112

Huondosha bila Upasuliwaji 👇👇1) UVIMBE (Manyona)KWENYE MFUKO WA UZAZI /Kizazi2)UVIMBE KWENYE MIRIJA YA UZAZI(Fallopian t...
02/06/2021

Huondosha bila Upasuliwaji 👇👇

1) UVIMBE (Manyona)KWENYE MFUKO WA UZAZI /Kizazi

2)UVIMBE KWENYE MIRIJA YA UZAZI(Fallopian tubes)

3) UVIMBE KWENYE MAYAI(Ovaries)

4)UVIMBE KWENYE UBONGO (Tummer)

5) UVIMBE kwenye MATITI/maziwa

6)KUVIMBA KWA TEZI DUME

BIDHAA hizi za VIRUTUBISHO LISHE toka BFSUMA zinafaida zifuatazo:

••Huimarisha KINGA YA MWILI

••• HUYEYUSHA VIMBE SEHEMU MBALI MBALI ZA MWILI BILA UPASULIWAJI na kuzuia zisijirudie

***Husaidia wenye Matatizo ya HORMON IMBALANCES

***Nzuri kwa wenye CANCER/SARATANI AINA mbali mbali

***Nzuri Kwa waathirika wa VIRUSI 🦠 VYA UKIMWI

*** Nzuri Kwa waathiri wa HOMA YA INI /hepatitis B

•••Huimarisha utendaji kazi wa MOYO,INI ,Figo,Kongosho na Mapafu

•••Nzuri Kwa Waliofanyiwa VIPIMO/TIBA ZA MIONZI ,huwasaidia kupunguza madhara ya MIONZI na kuwafanya wapone haraka etc

SHARE kwa watu na Groups mbali mbali uweze KUWASAIDIA WENGI 🙏🙏

Piga/WhatsApp; 0654705112


NOTE: Ni bidhaa za Asili zinazotengenezwa kiasili Kwa mchanganyiko wa virutubisho toka kwenye mimea Mbali mbali ,hivyo ni Salama Kwa kila mtumiaji,HAZIMA MADHARA yoyote.

TIBA YA ASILI YA KUTIBU VIDONDA VYA TUMBO KWA HARakaVidonda vya tumbo(Ulcers) ni ugonjwa unaowasumbua watu wengi kutokan...
12/05/2021

TIBA YA ASILI YA KUTIBU VIDONDA VYA TUMBO KWA HARaka

Vidonda vya tumbo(Ulcers) ni ugonjwa unaowasumbua watu wengi kutokana na staili ya Maisha, Ulaji na Mazingira. Ugonjwa huu kitaalam unasababisha kuwa na michubuko katika kuta za tumbo au utumbo mdogo na hivyo kusababisha maumivu makubwa ya tumbo.

Wakati mwingine vidonda hivi huonekana kati ya tumbo na utumbo mdogo hivyo kitaalam tunaviita PEPTIC ULCERS, aina hii ya vidonda vya tumbo huwaathiri sana Wanaume kuliko wanawake.

DALILI ZA KUWA NA VIDONDA VYA TUMBO

Kuchoka bila sababu maalum
Kuumwa mgongo au kiuno
Kupungukiwa nguvu za kiume
Kizunguzungu
Kukosa Usingizi
Kichefuchefu
Kiungulia
Tumbo kujaa gesi
Tumbo kuwaka moto
Kukosa choo au kupata choo kwa shida
Kutapika nyongo
Kutapika damu au kuharisha
Sehemu za mwili kupata ganzi
Kukosa hamu ya kula
Kusahausahau na hasira bila sababu
Hizo ni baadhi tuu ya dalili za kuwa na vidonda vya tumbo lakini zipo nyingi, hivyo basi pindi uonapo moja kati ya hizo dalili ni vyema ukaenda kupima vidonda vya tumbo mapema.

SABABU KUU ZA KUPATA VIDONDA VYA TUMBO

(1). MSONGO WA MAWAZO(STRESS) : Hii imekuwa sababu kubwa kwa wenye vidonda vya tumbo pindi unapokuwa na msongo wa mawazo au mwili wako unapokosa uwezo mzuri wa kuratibu homoni na vimeng’enya chakula.

Hii itapelekea kuzalishwa kwa wingi Tindikali(Acid) ndani ya tumbo na hivyo kulipelekea kupata vidonda vya tumbo.

(2). Bakteria aina ya Helicobacteria Pylori (H. Pylori) : Bakteria hawa wamekua chanzo kikubwa cha mtu kupata vidonda vya tumbo. Pindi Bakteria hawa wanapoingia tumboni husababisha kuongezeka kwa kiwango cha tindikali(acid) mwilini na kupelekea michubuko kwenye kuta za tumbo.

Sababu nyingine ndogo ndogo ni k**a vile Kurithi, uvutaji wa sigara na Matumizi ya pombe kali.

TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO

Watu wengine wanaamini vidonda vya tumbo havina dawa lakini kiukweli dawa za kutibu tatizo hili zipo na za uhakika, 0654705112 👇🏽👇🏽

Figo zikiacha kufanya kazi changamoto kubwa kwa mgonjwa na  familia ni gharama ya kusafisha damu ili mtu aendelee kuishi...
26/04/2021

Figo zikiacha kufanya kazi changamoto kubwa kwa mgonjwa na familia ni gharama ya kusafisha damu ili mtu aendelee kuishi.Gharama ya kusafisha (Dialysis) session moja inafikia tsh 240,000/= kwa mwaka gharama inaweza fika 56,000,000. Tujitahidi sana kutunza Afya.
-
Moja ya Maadui wakubwa wa Figo ni Kisukari na Shinikizo la damu.K**a una mzee wako jitahidi anazingatia masharti ya kudhibiti presha na Sukari ikiwemo matumizi sahihi ya Dawa. Mbadala wa dialysis kwa mgonjwa ambaye Figo yake imeshindwa kabisa kufanya kazi ni tiba ya kupandikiza Figo (Renal Transplant), ambapo mtu mwenye Figo iliyo nzima humpatia Figo moja ndugu mwenye shida.Tiba ya upandikizaji figo sasa inapatikana nchini.
-
LINDA FIGO zako kwa kuzingatia vitu hivi:
1.Kunywa maji ya kutosha
2.Usivute sigara
3.Fanya mazoezi
4.Dawa za mitishamba huweza kuumiza figo;kuwa mwangalifu
5.Kuwa mwangalifu na dawa za maumivu k**a aspirin;Usitumie hovyo
6.Dhibiti sukari na presha
7. Punguza unywaji wa pombe,ikiwezekana acha.

Ili kupata tiba ya kudumu ya tatizo lako piga/meseji/whatsup 0654705112

KWANINI KUNYWA MAJI KWA WINGIAsilimia 75 ya mwili wa binadamu ni maji. Kwa hivyo, ili mwili kufanya kazi vizuri ni lazim...
18/04/2021

KWANINI KUNYWA MAJI KWA WINGI

Asilimia 75 ya mwili wa binadamu ni maji. Kwa hivyo, ili mwili kufanya kazi vizuri ni lazima uwe na maji ya kutosha. Unywaji wa maji una faida nyingi na kwanza husaidia mwili katika kudumisha usawa wa umajimaji wa mwili.

Kazi ya maji ya mwilini ni, ufyonzaji, usambazaji, utengenezaji wa mate, usafirishaji wa virutubisho, na udumishaji wa joto la mwilini.

Hapa ni faida kuu za unywaji maji.

1. Matatizo ya choo
Maji ni dawa ya kutibu ukosefu wa choo, kunywa maji ya kutosha kila siku na utajiepusha na tatizo la ukosefu wa choo mara kwa mara.

2. Usafishaji wa mwili
Maji husaidia katika kuondoa sumu mwilini kwa kutoa uchafu wote kwa njia ya mkojo na haja kubwa.

3. Kupunguza uzito
Unywaji wa maji mengi unasaidia kupunguza uzito, kwani maji hayana mafuta, kalori wala sukari.

4. Tiba ya kichwa kuuma
Dalili ya mtu kupungukiwa maji mwilini ni kuumwa kichwa. Unashauriwa kunywa maji ya kutosha na hautasumbuliwa sana na kuumwa kichwa mara kwa mara.

5. Nishati ya mwili
Mwili unapopungukiwa maji, hukufanya ujihisi mchovu, hivyo kwa kunywa maji ya kutosha kila siku utakuwa mwenye nguvu. Pendelea kunywa maji badala ya vinywaji baridi mfano soda, juisi au bia.

6. Ngozi nyororo
Unywaji maji ya kutosha kila siku unaweza kuisafisha ngozi yako na kuifanya ionekane nyororo na ya kupendeza.

7. Afya ya moyo
Unywaji wa maji ya kutosha unaweza kupunguza hatari ya kupatwa na ugonjwa wa moyo. Utafiti uliofanywa Marekani kwa muda wa miaka sita umeonesha kuwa watu wanaokunywa glasi za maji zisizopungua 5 kila siku, hujiepusha na uwezekano wa kupatwa na ugonjwa wa moyo kwa asilimia 41 zaidi ya wale wanaokunywa glasi 2 au chini ya hapo.

8. Usafishaji wa mwili
Maji husaidia kuondoa sumu mwilini kwa kutoa uchafu wote kwa njia ya mkojo na haja kubwa.

9. Mazoezi
Mwili unapokuwa na maji ya kutosha, yatakufanya uwe na nguvu ya kufanya mazoezi yako ya kutosha, hivyo kupata faida ya mazoezi ipasavyo.

10. Saratarani
Utajiepusha na saratani ya tumbo kwa kunywa maji, kwani maji husaidia suala la usagaji wa chakula tumboni na hivyo wakati wote tumbo lako litakuwa safi. Utajiondoa katika hatari ya kupata saratani ya tumbo kwa asilimia 45 na asilimia 50 kwa saratani ya kibofu cha mkojo.

Imeandaliwa na tumainiel

Mawasiliano piga au whatsup 0654705112

SIRI YA MAJIMAJI YANAYOTOKA UKENI NA MAANA ZAKEUke wako hutoa maji maji ya aina gani?Majimaji yanayotoka kwenye uke ikiw...
06/04/2021

SIRI YA MAJIMAJI YANAYOTOKA UKENI NA MAANA ZAKE
Uke wako hutoa maji maji ya aina gani?

Majimaji yanayotoka kwenye uke ikiwemo damu ya hedhi kitaalamu yanajulikana k**a vaginal discharge yanaweza kuwa na rangi mbalimbali unaweza pia kujiuliza labda utakuwa unaumwa, kwani muda mwingine unaweza kuona yanatoka yakiwa na rangi ya tofauti kabisa. K**a ulivyo mkojo hubadili rangi hali kadhalika hata majimaji yanayotoka ukeni huweza kubadilika. Makala hii itakwenda kukueleza maana za kiafya kutokana na rangi za majimaji haya:-

Majimaji haya yana umuhimu mkubwa sana katika kulinda afya ya mwanamke na ujauzito. Miongoni mwa kazi zake ni:-
1.kuondoa uchafu mwilini mwa mwanamke

2.Kuondoa seli zilizokufa mwilini

3.Kulinda mimba dhidi ya bakteria, fangasi na virusi (kwa wajawazito)

4.Kulinda mwili wa mwanamke dhidi y ha vimelea vya maradhi visiingie kwenye mfumo wa kizazi kupitia ukeni

5. Kuweka mfumo wa kizazi katika usalama na ubora wake.

Kiasi cha majimaji yanayotoka ukeni huweza kutofautiana kwa rangi kulingana na siku katika mzunguruko wake wa hedhi
Kutokana na mizunguko kuwa tofauti kati ya mwanamke na mwanamke .

Ok tumeshaona mabadiliko hayo ya majimaji yanavyobadilika kulingana na siku. Sasa hebu tuone badiliko la hizi rangi zinatuambia nini kiafya:-

1.rangi nyekundu:-
Hii ni damu ya hedhi, mara nyingi damu hii inakuwa ni anga’vu na yenye kufanana na rangi ya kutu. Hii ni kawaida kwa wanawake wote hivyo inaashiria afya ya kawaida. Na endapo itatoka kwa siku nyingi zaidi ya wiki, kiafya haionyeshi usalama (mvurugiko wa homoni au shida ya uvimbe kwenye KIZAZI n.k). Ni vyema kumuona daktari aliye karibu nawe.

2. rangi nyeupe

Majimaji meupe yanaweza kuwa na rangi k**a ya cream ama njano iliyo pauka. K**a mwanamke hana dalili zozote basi rangi hii inaonyesha mwanamke huyo yupo katika afya njema.

Hata hivyo ikiwa majimaji haya ni meupe na yameshik**ana k**a maziwa ya mgando au yakiwa yana harufu kali inaweza kuashiria kuna maambukizi ya vimelea vya maradhi k**a fangasi na bakteria.

Ila kwa mara nyingi majimaji meupe yakiwa mazito, yana harufu kali hali hii inahusiana na maambukizi ya fangasi.
Hali hii inaweza kusababisha miwasho katika baadhi ya nyakati au muda wote.

3. Rangi ya njano kuelekea ukijani
K**a majimaji haya yana rangi ya njano huenda hakuna tatizo ila yakiwa ni njano iliyowiva ama njano iliyo na ukijani ama majimaji haya yakiwa ni ya kijani hii huashiria maambukizi ya bakteria ama magonjwa
ya zinaa, fika kituo cha afya k**a yatakuwa yanatoa
Wasilian kwa number 0654705112

*Mbegu za maboga zinakuwa mbegubora na muhimu kutafuna kila wakati baada ya kuzikaanga au zikiwa mbichi au k**a zimepikw...
04/04/2021

*Mbegu za maboga zinakuwa mbegu
bora na muhimu kutafuna kila wakati baada ya kuzikaanga au zikiwa mbichi au k**a zimepikwa na boga lenyewe kwani imethibitika pasipo na shaka kuwa mbegu za maboga zina faida lukuki kiafya na zina uwezo wa kukuepusha na magonjwa hatari zaidi:-*

KINGA YA MWILI
Mbegu za maboga zenye kiasi kingi cha madini ya Zinc yana faida nyingi mwilini, ikiwemo kuimarisha kinga ya mwili, kuboresha ukuaji na uundaji wa chembechembe hai za mwili, kuboresha usingizi, kuboresha ladha mdomoni na harufu, huboresha afya ya macho na ngozi, hurekebisha kwenye damu sukari na huboresha nguvu za kiume pia huongeza uwezo wa kufikiri. Upungufu wa madini ya Zinc mwilini una uhusiano mkubwa sana na matatizo ya kuzaa watoto njiti, mwanamke au mwanaume kuota chunusi nyingi mwilini, watoto kuwa na uwezo mdogo wa kuelewa wanachofundishwa darasani kimasomo na matatizo mengine mengi ya kimwili na kiakili.
Mbegu za Maboga

MAFUTA YA OMEGA -3
Omega-3 ni moja kati ya mafuta muhimu sana mwilini. Jamii ya karanga pamoja na mbegu za maboga ni miongoni mwa mbegu zenye kiasi kingi cha mafuta aina hii. Hivyo ulaji wa mbegu za maboga utakuwezesha kupata kirutubisho hiki muhimu katika mwili wako na kukupa faida za mafuta haya ambazo ni nyingi.

UGONJWA WA MOYO
Mbegu za maboga zina kiasi kingi cha madini aina ya maginizia Magnesium ambayo huboresha utendaji kazi wa viungo vya mwili. Huimarisha usukumaji wa damu kwenye moyo, huimarisha ukuaji wa mifupa na meno, huifanya mishipa ya damu kupitisha damu kwa urahisi na hufanya upatikanaji wa haja kubwa kuwa laini.

KINGA DHIDI YA SARATANI
Imethibitika kwamba watu ambao hula mlo wenye kiasi kingi cha mbegu za maboga wamegundulika kuwa na hatari ndogo sana ya kupatwa na saratani za tumbo, matiti, mapafu na kibofu, hivyo unapokula mbegu hizi husaidia mambo hayo na mengine mengi.

Share na mwingine anufaike na faida hizi

👏We care we Share
Tupigie kwa Ushauri na matibabu kwa kutumia Tiba lishe (Sayansi ya chakula)📲0654705112

Nini maana ya Pumu?Pumu ni hali ambayo huathiri njia za hewa, njia hizi za hewa pia huitwa mirija ya kupumulia. Mirija h...
29/03/2021

Nini maana ya Pumu?
Pumu ni hali ambayo huathiri njia za hewa, njia hizi za hewa pia huitwa mirija ya kupumulia. Mirija hii huanzia kwenye njia ya hewa(trachea) hadi kwenye mapafu.

Mchakato wa kupumua kwa watoto walio wengi ni rahisi : Watoto huingiza hewa kupitia puani au mdomoni na hewa huingia kwenye njia ya hewa(trachea) na kuelekea kwenye mapafu. Lakini Kwa watoto wenye pumu, hupumua Kwa shida Kwa sababu njia ya hewa hushindwa kupitisha hewa kwa sababu ya njia yao kuwa imehathiriwa na hali ya pumu.

Shambulio la pumu (Asthma attack) ni nini?
Hii ni hali ambayo hutokea wakati njia ya hewa inapo vimba na kuwa nyembamba na inakuwa vigumu kwa hewa kuingia na kutoka kwenye mapafu. Wakati mwingine njia za hewa zinapokuwa zimevimba hutoa majimaji mfano wa mak**asi, hali ambayo husababisha mchakato mzima wa mabadlishano ya hewa katika mapafu kuwa mgumu na hii hali ndo inapelekea tatizo zima la mtotoanapo patwa na pumu kushindwa kupumua vizuri.

Wakati ugonjwa huu unaanza, upumuaji kwa mtoto unaweza kuwa wa kawaida na kuonekana k**a vile hakuna tatizo, Lakini kipindi ugonjwa unapoanza, unaweza kuhisi kwamba mtu anapumua kupitia kwenye mrija. Mtoto mwenye pumu anaweza kutoa mlio k**a wa filimbi (anapopumua), kukohoa, na kusikia kifua kubana.

Wakati shambulio la ugonjwa wa pumu(asthma attack), hali inaweza kuwa mbaya zaidi k**a mtoto hatatumia dawa sahii za pumu. Baada ya kutumia dawa na kupata matibau sahii wakati wa shambulio la ugonjwa wa pumu, njia ya hewa mara nyingi hurudia hali yake ya kawaida, ingawa inaweza kuchukua muda mrefu kidogo wakati mwingine.

Pumu huwapata watu gani?
Pumu ni ugonjwa ambao huwapata watu wengi zaidi ya unavyo weza kufikiri.Karibia watoto milioni sita nchini marekani wanaumwa ugonjwa wa pumu(Hatujui hapa kwetu Tanzania ni idadi gani?).Ugonjwa wa pumu humpata mtoto mmoja hadi wawili katika kila watoto 10 kwa marekani. Hii ina maana kwamba k**a una watoto 20 darasani, watoto 2-4 kati yao wanaweza kuwa na ugonjwa wa pumu. Ugonjwa wa pumu unaweza kumpata yeyote .Ugonjwa wa pumu unapoanza,huonyesha k**a vile ni mafua,ambayo huambatana na kikohozi chenye kutoa mlio wa filimbi,lakini ugonjwa wa pumu siyo wa kuambukizwa. Huwezi kuambukizwa K**a unavyopata mafua

Ni sababbu zipi zinazopelekea Kupata shambulio la ugonjwa wa pumu (Asthma attack)?
Visababishi hutofautiana kutoka mtoto mmoja hadi mwingine. Sababu zipo nyingi.Baadhi ya watoto huwa na mzio(allergy), kwa vile vitu ambavyo huathiri njia ya hewa. Mara nyingi vitu vinavyoleta mzio kwa mawasiliano zaid 0654705112

*MAUMIVU YA NYONGA*Dalili za maumivu ya nyonga hutofautiana kwa wagonjwa, wengine hupata maumivu mepesi na wengine hupat...
28/03/2021

*MAUMIVU YA NYONGA*
Dalili za maumivu ya nyonga hutofautiana kwa wagonjwa, wengine hupata maumivu mepesi na wengine hupata maumivu makali. Kwa baadhi ya watu maumivu huweza kuwa makali hadi kupelekea kukwamisha shughuli za kimaisha k**a mazoezi, kutembea na tendo la ndoa. Kwa ujumla maumivu ya nyonga huambatana na matatizo mengine k**a kushindwa kufanyatendo la ndoa vizuri.
*Nini kinasababisha maumivu ya nyonga?*
Kuna sababu nyingi zinazopelekea maumivu ya nyonga kwa wanawake na wanaume. Inaweza kuwa ni maambukizi, ama athari kwenye viungo vya ndani k**a kibofu cha mkojo, utumbo mpana, kwa wanawake yaweza kuwa ni shida kwenye uzazi. Hapa chini ni maelezo sababu kuu zinazopelekea maumivu ya nyonga.
*Constipation:* kukosa choo ama kupata choo kigumu kwa muda mrefu husababisha maumivu ya nyonga kutokana na presha na kujaa gesi kwa tumbo. Constipation yaweza kusababishwa na lishe mbaya, msongo wa mawazo, matatizo ya homoni, upungufu wa madini ya magnesium, kupungua kwa bacteria wazuri tumboni na kutoshugulisha mwili. Kwa kutumia package yetu ya digestive care unaweza kupona tatizo lako la constipation na kuimarisha afya ya tumbo. bonyeza hapakuanza huduma ya virutubisho asili.
*Matatizo ya kibofu cha mkojo:* kibofu kinapopata hitilafu hupelekea kuvimba kwa tishu zake na kusababisha maumivu kwenye eneo la nyonga. Ugonjwa wa kibofu uitwao interstitial cystitis, ambao huletekeza dalili za UTI ni moja ya matatizo yanayosababisha maumivu ya nyonga.
*Matatizo ya figo:* matatizo k**a maambukizi kwenye figo au mawe kwenye figohusababisha maumivu ya nyonga. Tatizo la mawe kwenye figo husababisha maumivu ya chini ya mgongo ambayo husambaa mpaka kwenye eneo la nyonga.
*Hernia:* hernia hutokana na kutofunga kwa eneo la chini ya tumbo na kupelekea kukua kwa tishu kukua kuelekea eneo la uzazi. Hernia husababisha maumivu makali ya nyonga.
*Maumivu ya nyonga kwa wanawake*
Maumivu ya nyonga kwa wanawake yanaweza na shida kwenye uzazi. Piga 0654705112

27/03/2021

. UKE MCHAFU
LIJUE SOMO KUHUSU UKE MCHAFU

UKE MCHAFU:Ni uke ambao hutoa harufu na hutoa uchafu k**a maji maji ya njano k**a maziwa ya mtindi yeny harufu mbaya k**a shombo la samaki

VISABABISHI VYA UKE MCHAFU
-matumizi ya sabuni za antbiotics kujisafishia uke km protex,medicatede soap, n.k
-Kujiingiza vidole ukeni mara kwa mara
-Fangasi sugu ukeni
-U.T.I sugu
-Kutojisafisha na kujikausha vizuri ukeni
-Magonjwaa ya zinaa k**a kaswende,gonorea n.k
-Hormone imbalance
-Unywaji na ulaji wa vyakula vyeny sukari kwa wingi mara kwa mara
-Ulaji wa vyakula vyeny mafuta mara kwa mara

DALILI ZA UKE MKAVU
-kutokwa na uchafu ukeni usio wa kawaida
-Kutokwa na uchafu weny harufu mbaya
-Kuwashwa sehem za siri ndan ya uke
-Maumivu sehem za siri wakat wa kukojoa
-Maumivu makali chini ya kitovu
-Kutokwa na uchafu ulio changanyikana na damu
-Kutokwa na maji maji ya njano k**a mtindi yeny harufu mbaya k**a shombo la samaki

0654705112
http://wa.me/0654705112

JINSI YA KUTATUA CHANGAMOTO YA MFUMO WA UZAZI KWA AKINA MAMA *K**a wewe ni mwanamke unayehangaika kutatua tatizo LA uvim...
22/03/2021

JINSI YA KUTATUA CHANGAMOTO YA MFUMO WA UZAZI KWA AKINA MAMA
*K**a wewe ni mwanamke unayehangaika kutatua tatizo LA uvimbe WA kizazi KWA kipindi kirefu Bila kuona mafanikio. Basi Nina Habari njema nzuri mno
*nimekundalia darasa Bure kabisa yenye kukuonyesha jinsi ya kutatua tatizo LA uvimbe wa uzazi Bila Ya kutumia dawa ya hospital
*kujiunga Hilo darasa andika namba yako YA simu hapo chini nitakuingiza katika group letu la mafunzo mara KWA moja.
*ndani Ya darasa hilo tutazungumzia yafuatayo
1.uvimbe wa kizazi
2.uke kuwa mkavu
3.uti sugu
4.kukosa hamu ya tendo la ndoa
5.kuhesabu mzunguko WA hedhi
*kuhudhuria hilo darasa wahi Mara moja kw kuandika namba yako ya whatspp hapa chini
*wahi kabla ya group kuja
*mimi mwenye kujali mafanikio na afya yako
Tumainiely afy ni bora
Wasilian KWA number 0654705112

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ni mtaji bora posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram