Dk sadock afya kwanza

Dk sadock afya kwanza Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Dk sadock afya kwanza, Dar es Salaam.

KARIBUNI  CHINA PLAZA JOHN HEALTH (0763891581) tunatibu magonjwa yote sugu k**a vilei.Matatizo ya kisukariii.matatizo  y...
24/11/2022

KARIBUNI CHINA PLAZA JOHN HEALTH (0763891581) tunatibu magonjwa yote sugu k**a vile
i.Matatizo ya kisukari
ii.matatizo ya kansa
iii.matatizo ya vidonda vya tumbo
iv.matatizo ya macho
v.matatizo ya uzazi
v.matatizo ya mano
v.kujikojolea kitandani
vi.pia tunazo dawa za kupunguza mwili na uzito
vii.magonjwa ya watu wazima na wazee
tunapatikana mkoa wa dar-es-salaam gorofa la china plaza kariakoo mtaa wa uhuru .Njoo ukutane na madaktari bingwa na wazoefu na wakarimu
huduma nyingine zitolewazo ni pamoja na ;-
head message machine-hii ni mashine nzuri kwa walnayouwanaosumbuliwa na matatizo ya kichwa kuuma na kukosa usingizi pia huondoa maumivu ya kichwa na shingo

KARIBUNI  CHINA PLAZA HAPPYNESS HEALTH (0789641275) tunatibu magonjwa yote sugu k**a vilei.Matatizo ya kisukariii.matati...
15/09/2022

KARIBUNI CHINA PLAZA HAPPYNESS HEALTH (0789641275) tunatibu magonjwa yote sugu k**a vile
i.Matatizo ya kisukari
ii.matatizo ya kansa
iii.matatizo ya vidonda vya tumbo
iv.matatizo ya macho
v.matatizo ya uzazi
v.matatizo ya meno
v.kujikojolea kitandani
vi.pia tunazo dawa za kupunguza mwili na uzito
vii.magonjwa ya watu wazima na wazee
tunapatikana gorofa la china plaza mkoa wa dar-es-salaam .Njoo ukutane na madaktari bingwa na wazoefu na wakarimu
huduma nyingine zitolewazo ni pamoja na ;-
head message machine-hii ni mashine nzuri kwa wale wanaosumbuliwa na matatizo ya kichwa kuuma na kukosa usingizi pia huondoa maumivu ya kichwa na shingo

DAWA YA MENO YA ETERNAL(ETERNAL TOOTHPASTE)HII NI DAWA YA MENO NA KINYWA KWA UJUMLA NA PIA NI DAWA YA NGOZIIngredientsgl...
09/09/2022

DAWA YA MENO YA ETERNAL
(ETERNAL TOOTHPASTE)
HII NI DAWA YA MENO NA KINYWA KWA UJUMLA NA PIA NI DAWA YA NGOZI

Ingredients
glycerin, calcium phosphate +Xylitol(Xylitol

Hii ni dawa ya meno inayotokana na mimea tiba ya asili ambayo imechanganywa kwa pamoja na kuifanya kuwa ni dawa yenye nguvu zaidi na bora kuliko zote.

Kutokana na aina ya mimea tiba iliyotumika dawa hii imekuwa na matumizi mbalimbali.

Dawa hii haina fluorine
DAWA HII INAONDOA MATATIZO YAFUATAYO;
➖Huzuia kutoboka kwa meno
➖Hufanya meno kuwa meupe
➖Inauwa bakteria wanaoeneza maradhi ya kinywa na meno
➖Inasaidia kwa wale wanaosumbuliwa na ganzi ya meno
➖Huondoa harufu mbaya katika kinywa

PIA DAWA HII INAHUSIKA NA NGOZI
➖Inatibu chunusi na fangasi
➖Inatibu afya ya ngozi
➖Huondoa makovu
➖Pia inatibu tumbo na kusaidia kufunga kwa tatizo la kuhara.
➖Inatibu mafindofindo
➖Pia inawasaidia wenye manyama ya pua
➖Inatibu mapunye na muwasho,
➖Pia inakausha damu kwa mtu aliepata jeraha

mawasiliano zaidi 0763891581

ZOEZI LA UCHUNGUZI WA KIAFYA KWA WATU WOTE.Unachangamoto yoyote ya kiafya inayokusumbua, au inayokukabili au kukukosesha...
09/09/2022

ZOEZI LA UCHUNGUZI WA KIAFYA KWA WATU WOTE.

Unachangamoto yoyote ya kiafya inayokusumbua, au inayokukabili au kukukosesha usingizi au kukupa mawazo?

Umewahi kufanya uchunguzi wa kina watatizo lako?

Kwa sasa taasisi ya Gcat eternal health inayojihusisha na afya na kutoa huduma ya uchunguzi wa mag'onjwa mbalimbali imeanza zoezi la utoaji wa vipimo vya mwili mzima kwa gharama nafuu sana ya 20,000 tu.

Utafanyiwa uchunguzi kwenye maeneo haya;
1/Mfumo wa damu/mishipa ya damu(Moyo na ubongo)
2/Mifupa na maradhi ya Mifupa
3/Mfumo wa uyeyushaji na mmeng'enyo wa chakula
4/Afya ya uzazi kwa kina mama
5/Afya ya Ngozi na maradhi ya Ngozi
6/Mfumo wa fahamu
7/Jicho na maradhi ya macho
8/Afya ya uzazi kwa kinababa
9/Mfumo wa upumuaji.

Zaidi ya watu 230 sasa wamepata huduma ya uchunguzi wa vipimo na kupatiwa ufumbuzi wa matatizo yanayowakabili.

Baada ya uchunguzi utaweza jua chanzo Cha tatizo lako, tatizo lenyewe na ugonjwa nyemelezi.

Pia utakutana na wataalamu watakao kusimamia, kukushauri, na kukusaidia kuondokana na tatizo lako,

Zaidi sana utaokoa muda wako Kwa kuhudumiwa kwa haraka na Kwa gharama nafuu.

Tupo Dar es salaam, kariakoo mtaa wa Uhuru na Muheza,
Mawasiliano 0763891581

Kumbuka Huduma hii ni Kwa watu 20 tu wa mwanzo idadi ikitimia gharama itapanda.

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dk sadock afya kwanza posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram