AFYA NA TIBA

AFYA NA TIBA Maswala ya afya na tiba

*PID*Huu ni uambukizo katika via vya uzazi. Hutokea pale ambapo bakteria hupanda na kushambulia via vya uzazi vya mwanam...
06/11/2021

*PID*
Huu ni uambukizo katika via vya uzazi. Hutokea pale ambapo bakteria hupanda na kushambulia via vya uzazi vya mwanamke k**a tumbo la uzazi, mirija ya fallopian au mifuko ya mayai yenyewe “ovaries” kupitia katika njia ya uke au kupitia mifumo ya damu.

Dalili za PID zinaweza kuwa za ghafla au kuja taratibu sana, na baadhi ya wanawake wanakuwa hawana dalili yoyote mpaka wanapopata shida kubeba ujauzito au kuwa na maumivu yasiyoisha ya nyonga.

DALILI.
PID inaweza kujificha na ikawa ngumu kuigundua. Na baadhi ya wanawake hawawi na dalili yoyote. Isipokuwa dalili zinapojitokeza.
01. Maumivu ya kawaida au makali hasa chini ya kitovu na kwenye nyonga.
02. Majimaji yasiyokuwa ya kawaida kutoka ukeni na wakati fulani yanakuwa na harufu.
03. Kutoka damu wakati au baada ya kufanya mapenzi “sex” au katikati ya hedhi kabla ya mzunguko kuisha.
04. Kupata maumivu wakati wa kufanya mapenzi.
05. Homa zisizoeleweka na mwili kuhisi baridi mara kwa mara.
06. Maumivu wakati wa kukojoa au kupata mkojo kwa shida.

SABABU (CAUSE)
Bakteria aina nyingi husababisha ugonjwa huu japo sababu sababu kubwa ni GHONORRHEA NA CHLAMYDIA ambayo ni magonjwa ya zinaa.

Sababu nyingine inaweza kuwa kuzaa, mimba kuharibika, kutoa mimba na kuumwa UTI inayojirudia rudia.

MADHARA
PID ambayo haijatibiwa inaweza kutengeneza makovu au malengelenge ya usaha kwenye viungo vya uzazi.
Hali hiyo inaweza kuleta uharibifu wa kudumu katika via vya uzazi.
PID iliyokomaa husababisha Mwanamke Kushindwa kushika ujauzito na ikiwa akishika Basi ujauzito huo hua katika hatari ya kuweza kutoka/kuharibika

MATIBABU YAKE
TUMIA YUNZHI NA FEMICARE KWA MUDA WA SIKU 30 MPAKA 90 (MWEZI MMOJA MPAKA MIEZI MITATU)

DOSE YA MWEZI MMOJA NI 165,000/= TU.

PIGA SIMU KUPATA HUDUMA MAHALA ULIPO
AU FIKA OFISINI ZETU ZILIZOPO MIKOA MBALIMBALI

KARIBUNI SANA
+255____
0718044002

*PID*Huu ni uambukizo katika via vya uzazi. Hutokea pale ambapo bakteria hupanda na kushambulia via vya uzazi vya mwanam...
06/11/2021

*PID*
Huu ni uambukizo katika via vya uzazi. Hutokea pale ambapo bakteria hupanda na kushambulia via vya uzazi vya mwanamke k**a tumbo la uzazi, mirija ya fallopian au mifuko ya mayai yenyewe “ovaries” kupitia katika njia ya uke au kupitia mifumo ya damu.

Dalili za PID zinaweza kuwa za ghafla au kuja taratibu sana, na baadhi ya wanawake wanakuwa hawana dalili yoyote mpaka wanapopata shida kubeba ujauzito au kuwa na maumivu yasiyoisha ya nyonga.

DALILI.
PID inaweza kujificha na ikawa ngumu kuigundua. Na baadhi ya wanawake hawawi na dalili yoyote. Isipokuwa dalili zinapojitokeza.
01. Maumivu ya kawaida au makali hasa chini ya kitovu na kwenye nyonga.
02. Majimaji yasiyokuwa ya kawaida kutoka ukeni na wakati fulani yanakuwa na harufu.
03. Kutoka damu wakati au baada ya kufanya mapenzi “sex” au katikati ya hedhi kabla ya mzunguko kuisha.
04. Kupata maumivu wakati wa kufanya mapenzi.
05. Homa zisizoeleweka na mwili kuhisi baridi mara kwa mara.
06. Maumivu wakati wa kukojoa au kupata mkojo kwa shida.

SABABU (CAUSE)
Bakteria aina nyingi husababisha ugonjwa huu japo sababu sababu kubwa ni GHONORRHEA NA CHLAMYDIA ambayo ni magonjwa ya zinaa.

Sababu nyingine inaweza kuwa kuzaa, mimba kuharibika, kutoa mimba na kuumwa UTI inayojirudia rudia.

MADHARA
PID ambayo haijatibiwa inaweza kutengeneza makovu au malengelenge ya usaha kwenye viungo vya uzazi.
Hali hiyo inaweza kuleta uharibifu wa kudumu katika via vya uzazi.
PID iliyokomaa husababisha Mwanamke Kushindwa kushika ujauzito na ikiwa akishika Basi ujauzito huo hua katika hatari ya kuweza kutoka/kuharibika

MATIBABU YAKE
TUMIA YUNZHI NA FEMICARE KWA MUDA WA SIKU 30 MPAKA 90 (MWEZI MMOJA MPAKA MIEZI MITATU)

DOSE YA MWEZI MMOJA NI 165,000/= TU.

PIGA SIMU KUPATA HUDUMA MAHALA ULIPO
AU FIKA OFISINI ZETU ZILIZOPO MIKOA MBALIMBALI

KARIBUNI SANA
+255____

0718044002

Dozi ya ugumba:-- Inaongeza mbegu zakiume - Inaongeza nguvu zakiume - Inaongeza hamu yatendo la ndoa(low sexy drive) - U...
05/11/2021

Dozi ya ugumba:-
- Inaongeza mbegu zakiume
- Inaongeza nguvu zakiume
- Inaongeza hamu yatendo la ndoa(low sexy drive)
- Uume kusimama kwa ulegevu/kushindwa kusimama kwa muda mrefu wakati wa tendo landoa likiendelea (Erectile dysfunction)
- Kuwahi kufika kileleni kabla ya mwanamke nakukosa nguvu/hamu yakuendelea na tendo landoa (Premature ej*******on)

0718044002

Suluhisho la tatizo la kina mama
05/11/2021

Suluhisho la tatizo la kina mama

Address

Hananasifu
Dar Es Salaam
KINONDONI

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA NA TIBA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram