Michael Duma

Michael Duma Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Michael Duma, Dar es Salaam.

Karibu kwenye group la afya ya uzazi kwa mwanamke kupata utatuzi wa matatizo yote ya uzazi, wanaosumbuliwa na fungus, P....
16/05/2022

Karibu kwenye group la afya ya uzazi kwa mwanamke kupata utatuzi wa matatizo yote ya uzazi, wanaosumbuliwa na fungus, P.I.D, Mimba zinazotoka mara kwa mara, uchafu ukeni, U.T.I, matatizo wakati wa hedhi, saratani ya kizazi, hormone imbalance, mikunjo kwenye kizazi, michubuko ukeni na maumivu wakati wa tendo la ndoa.
https://chat.whatsapp.com/J7ejAKWhJcs6cclbOT5dGZ

Bado unasumbuliwa na pumu na mfumo wako wa upumuaji una shida na labda umejaribu kutibu na imeshindikana basi hilo sio t...
30/04/2022

Bado unasumbuliwa na pumu na mfumo wako wa upumuaji una shida na labda umejaribu kutibu na imeshindikana basi hilo sio tatizo tena! Pumu(Asthma) isikusumbue tena!

Gingko Herbal Tea

Dawa hii imetengenezwa kwa mfumo wa chai

Gingko hutibu maradhi yanayoshambulia mfumo wa upumuaji,maradhi yanayohusiana na uzazi pamoja na maradhi mengine sugu.

Majani ya mmea huu hutibu maradhi ya ubongo, moyo na mishipa ya damu

Matumizi sahihi ya mmea huu husaidia kuupa ubongo uwezo mzuri wa kufanya kazi, kuimarisha kumbukumbu na kuzuia ugonjwa wa kutetemeka mwili kwa watu wazee sana inasaidia pia mwili kutozeeka na kushindwa kufanya kazi haraka

Mmea huu wa Gingko Biloba unaviambata visivyopungua 20 na viasilia vingine muhimu K**a Gingko lactone, Flavonoids n.k. ambavyo kwa pamoja husaidia mwili kuweza kudhibiti kiwango cha sukari hivyo basi kutibu na kuwapa nafuu wagonjwa wa kisukari, pumu na matatizo ya moyo.

WATUMIAJI.

Dawa hii inaweza kutumiwa na wale wanaosumbuliwa na matatizo ya ubongo na moyo

Ni nzuri kwa kwa watu wenye matatizo ya mafuta mengi katika damu na viungo K**a ini, figo na mapafu

Ni nzuri sana ikitumiwa na watu wanaosumbuliwa na mfumo wa upumuaji k**a pumu yaani 'Asthma"

Njoo uonane na madaktari bingwa

Pia ofa ya kipimo cha mwili mzima kwa tshs 20,000/= bado inaendelea

Tuko Ukonga-Banana (Dar es Salaam).

Wasiliana na sisi kwa namba 0713195474 na 0744660345
Whatsapp 0620516206
TUNALINDA UNACHOKITHAMINI

Je, bado unasumbuliwa na meno.?Je, una meno yaliyokatika na yanayotoboka mara kwa mara.?Je, una ganzi ya meno na fidhi n...
11/04/2022

Je, bado unasumbuliwa na meno.?
Je, una meno yaliyokatika na yanayotoboka mara kwa mara.?
Je, una ganzi ya meno na fidhi na meno yako hayana weupe kabisa
Je, meno yako yameoza na yanaendelea kuharibika.?

K**a jibu ni ndio, suluhisho limepatikana. Jipatie toothpaste yako na kwa familia yako kwa ajili ya kuimarisha meno na fidhi, kutibu meno kutoboka, kukatika na kuoza, kutibu maumivu yote ya meno, kuweka kinywa safi na kurudisha weupe wa meno.
Hata k**a si mgonjwa toothpaste hii inaimarisha meno na kuyalinda dhidi ya bacteria wanaoharibu meno kabisa wanaoingia kinywani kutokana na mtindo wa maisha na vyakula tunavyokula.
Jipatie toothpaste hii ndani ya siku tatu upate ofa ya kuletewa mpaka mahali ulipo ndani ya daressalaam bure kabisa!
Piga simu sasa 0713195474 ujipatie toothpaste yako kwa bei rafiki ya tsh 20000 tu.!
TUNALINDA UNACHOKITHAMINI.!

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Michael Duma posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram