06/04/2026
Ugonjwa wa Presha hujulikana k**a muuaji wa Kimyakimya kwani dalili zake hasa kwenye hatua za awali huwa hazipo wazi hivyo ni muhimu kujijengea utaratibu wa kupima afya mara kwa mara ili kuepuka athari zake.
Dkt. Engerasia Kifai, Bingwa wa Magonjwa ya Moyo kutoka Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete
Video: Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)