29/04/2026
Una vidonda vya tumbo? Usitumie Gofen (Ibuprofen) na Diclofenac maana huongeza maumivu na kiungulia na wakati mwingine zinaweza kusababisa kuvujia kwa damu tumboni.
Ikiwa una Vidonda vya tumbo na unahitaji dawa ya maumivu ya mwili au hata kutuliza Homa, tumia Paracetamol (Panadol) kwani ni salama.
Epuka kutumia dawa za maumivu bila ushauri wa mtaalamu wa afya ili kulinda afya ya tumbo lako.