Kitonka Medical Hospital

Kitonka Medical Hospital This page is about to show medical services provided from our hospital.

Page hii ni mahususi kwa ajili ya kuwafahamisha Watanzania juu ya huduma mbalimbali zinazotolewa na hospitali yetu.

Tumefurahi kumpokea mmoja wa waandishi maarufu wa habari nchini  pamoja na familia yake hapa Kitonka Medical Hospital.Tu...
23/10/2025

Tumefurahi kumpokea mmoja wa waandishi maarufu wa habari nchini pamoja na familia yake hapa Kitonka Medical Hospital.

Tunathamini imani yao katika huduma zetu, na tunaendelea kujivunia kutoa matibabu bora, huduma yenye utu na mazingira rafiki kwa kila mgonjwa.

Tabasamu lako ni zawadi kwa ulimwengu — hakikisha linang’aa kila siku!                                                  ...
21/10/2025

Tabasamu lako ni zawadi kwa ulimwengu — hakikisha linang’aa kila siku! Kitonka Medical Hospital inakuletea huduma kamili za kliniki ya meno; kutoka kung’arisha na kusafisha meno hadi kurekebisha mpangilio wa meno na matibabu ya mizizi ya jino. Tunahakikisha unatoka ukiwa na tabasamu jipya, safi, na la kujiamini. Karibu ujionee tofauti ya huduma yenye upendo na ubora

Healthy bones, healthy future. Join us in raising awareness for osteoporosis
20/10/2025

Healthy bones, healthy future. Join us in raising awareness for osteoporosis

Usikubali matatizo ya mfumo wa mkojo yaendelee kukutesa!Kuanzia tarehe 10 hadi 15 novemba 2025, Daktari Bingwa wa Mfumo ...
17/10/2025

Usikubali matatizo ya mfumo wa mkojo yaendelee kukutesa!

Kuanzia tarehe 10 hadi 15 novemba 2025, Daktari Bingwa wa Mfumo wa Mkojo atakuwepo Kitonka Medical Hospital kwa kambi maalum ya wiki moja.

👉 Tezi dume
👉 UTI sugu
👉 Matatizo ya uzazi kwa wanaume
👉 Mkojo kutoka bila hiari
👉 figo na matatizo mengine ya njia ya mkojo

Usikose! Hii ni nafasi adimu ya kupata huduma ya kibingwa bila kusafiri mbali.
Huduma bora. Muda mfupi. Matokeo ya uhakika.

📍 Gongo la Mboto, Dar es Salaam
📞 0676 483 195 | 0620 196 596
Afya yako ni kipaumbele – fika mapema!

👂 Kliniki ya Daktari Bingwa wa UsikivuJe, unapata changamoto ya kusikia vizuri?Tunayo huduma maalum ya uchunguzi wa kina...
16/10/2025

👂 Kliniki ya Daktari Bingwa wa Usikivu

Je, unapata changamoto ya kusikia vizuri?
Tunayo huduma maalum ya uchunguzi wa kina kwa kutumia vifaa vya kisasa, chini ya usimamizi wa daktari bingwa mwenye uzoefu.

🕒 Kila Jumanne | Saa 2:00 Asubuhi – 12:00 Jioni
💳 Huduma inapatikana kwa bima zote za afya zote na malipo ya moja kwa moja (cash)

📍 Kitonka Medical Hospital – Gongo la Mboto, Dar es Salaam
📞 0676 483 195 | 0734 866 396

In honor of Mwalimu Julius K. Nyerere — the Father of our Nation, whose vision, compassion, and dedication to humanity c...
14/10/2025

In honor of Mwalimu Julius K. Nyerere — the Father of our Nation, whose vision, compassion, and dedication to humanity continue to inspire our service to the people.

Ngozi yako inahitaji huduma bora
13/10/2025

Ngozi yako inahitaji huduma bora

Kitonka Medical Hospital inakuhimiza kuzungumza, kushirikiana, na kujitunza – Afya ya akili ni msingi wa afya njema
10/10/2025

Kitonka Medical Hospital inakuhimiza kuzungumza, kushirikiana, na kujitunza – Afya ya akili ni msingi wa afya njema

08/10/2025

Sasa unaweza kugundua kuongezeka kwa tezi dume (prostate enlargement) bila ile njia ya zamani. Kwa vipimo viwili tu unap...
07/10/2025

Sasa unaweza kugundua kuongezeka kwa tezi dume (prostate enlargement) bila ile njia ya zamani. Kwa vipimo viwili tu unapata majibu yako.

✅ Kupima PSA kupitia damu
✅ Ultrasound ya tezi dume

Njia salama, ya kisasa na ya uwakika.

Karibu Kitonka Medical Hospital — Afya yako, Heshima yako. .

06/10/2025

Kitonka Medical Hospital imeendelea kuonesha dhamira yake ya kuifikia jamii kwa kutoa huduma bora za afya kwa wote, baada ya kufanya ziara maalum katika Kanisa la KKKT Usharika wa New Land, Pugu jijini Dar es Salaam. Ziara hiyo ililenga kutoa huduma za uchunguzi na ushauri wa kiafya bure kwa waumini na wakazi wa eneo hilo.

Katika tukio hilo lililofanyika siku ya Jumapili, tarehe 5 Oktoba 2025, wataalamu wa afya kutoka Kitonka Medical Hospital walitoa huduma mbalimbali zikiwemo:

Vipimo vya shinikizo la damu (pressure)

Vipimo vya kisukari (blood sugar)

Uchunguzi wa kinywa na meno

Pamoja na ushauri wa kitaalam kuhusu lishe bora na mtindo wa maisha wenye afya.

Huduma hizo zilipokelewa kwa furaha kubwa na waumini wa kanisa hilo, huku wengi wakipongeza juhudi za hospitali hiyo katika kuelimisha na kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa uchunguzi wa afya mapema.

Akizungumza baada ya huduma hizo, Mchungaji Mkuu wa Kanisa la KKKT Usharika wa New Land – Pugu, aliishukuru Kitonka Medical Hospital kwa moyo wa kujitoa kusaidia jamii kupitia huduma hizo za kijamii. Aidha, aliomba kuwa huduma hiyo iwe endelevu, kwani imeleta manufaa makubwa kwa waumini na imegusa maisha ya watu wengi.

Kwa upande wake, mwakilishi wa Kitonka Medical Hospital alieleza kuwa ziara k**a hizi ni sehemu ya mkakati wa hospitali hiyo wa kukuza afya ya jamii kupitia huduma jumuishi, elimu ya afya, na upimaji wa magonjwa yasiyoambukiza. Alisisitiza kuwa hospitali itaendelea kushirikiana na taasisi za kidini, mashirika na shule katika kufikisha huduma bora za afya kwa wananchi.

Kampeni k**a hizi zimekuwa sehemu muhimu ya dhamira ya Kitonka Medical Hospital ya kuhakikisha jamii inakuwa na ufahamu sahihi kuhusu afya, na kuchukua hatua mapema kabla ya magonjwa kuwa sugu

06/10/2025

Every patient. Every moment. Every smile.
Celebrating our frontline heroes who make compassionate care possible

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kitonka Medical Hospital posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Kitonka Medical Hospital:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram