Dr. Aswai

Dr. Aswai ๐—ง๐—”๐—™๐—จ๐—ง๐—” ๐—”๐—™๐—ฌ๐—”,,๐—ž๐—”๐—•๐—Ÿ๐—” ๐—”๐—™๐—ฌ๐—” ๐—›๐—”๐—œ๐—๐—”๐—ž๐—จ๐—ง๐—”๐—™๐—จ๐—ง๐—”

๐—™๐—”๐—ก๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ฃ๐—œ๐— ๐—ข ๐— ๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ž๐—ช๐—” ๐— ๐—”๐—ฅ๐—” NAPENDA KUHUDUMIA WATU

20/06/2025
MWANAMKE SOMA HII NII YAKO::wanamke kupendelea kunywa maziwa ya mtindi Mara kwa Mara humsaidia kuimarisha kinga ya mwili...
22/03/2025

MWANAMKE SOMA HII NII YAKO::

wanamke kupendelea kunywa maziwa ya mtindi Mara kwa Mara humsaidia kuimarisha kinga ya mwili na kuongeza kiwango kizuri cha bakteria wanaolinda uke usishambuliwe na fangasi au bakteria wabaya wanaosababisha shombo, miwasho na ukavu sana ukeni.

Amka asubuhi unywe angalau nusu lita ya maji kabla hujala chochote (k**a ukikamulia limau itakuwa poa sana).

Baada ya k**a nusu saa pigilia glass yako ya maziwa mtindi. Ukifanya hivi kwa wiki kadhaa lazima utaona jinsi gani hali ya uke wako inavyobadilika hata,

Muhimu zaidi endelea kujikinga na P.I.D kwa kujiwekea utaratibu mzuri hapo nyumbani kwako....

๐Ÿ‘‰๐Ÿฝ Chai yako iunde kiasili zaidi kwa kutumia viungo k**a iliki, mdalasini, tangawizi, mchaichai, mshona nguo, majani makavu ya mpapai, mlonge, majani ya limau, karafuu, n.k atleast upate vitatu au vinne kati ya hivi na unaweza usiweke sukari ukitumia asali k**a mbadala ni nzuri na utaipenda sana chai yako na kwa sababu ngano (mikate, chapati na mandazi) sio vitu vizuri kwako basi unaweza kuandaa mchemsho wako wa ndizi, au muhogo, au magimbi au hata mayai ili kuisogeza chai yako.

๐Ÿ‘‰๐Ÿฝ Kuhusu mlo wako, iwe mchana au usiku hakikisha hukosi tunda pembeni au mboga ya majani ni muhimu kwa ajili ya kuimarisha kinga yako ya mwili.

K**a unahisi P.I.D yako imekuwa ya muda na imeshakuwa sugu, tunazo dawa asili kwa ajili ya kusafisha mirija, kuondoa uchafu katika uzazi na kuongeza wingi wa homoni ili mzunguko wa hedhi uzidi kubalansi na mayai kupevuka kwa wakati.

k**a unahisi una tatizo lolote katika mfumo wako wa uzazi,bhas usisite kutupigia simu kwa Ushauri bureee,,,,baada ya kushauriana unaweza kuanza na vipimo au kuanza matibabu moja kwa moja

PACKAGE YA MFUMO MZIMA WA UZAZI NI, Tsh 383500/=

Dr. Aswai

Simu / WhatsApp 0743211302

20/03/2025

JE!! UMESHATUMIA FISH OIL YA ETERNAL INTERNATIONAL???
JARIBU LEO UTANISHUKURU,

Mtoto mchanga anaweza kuwa na tatizo la gesi au matatizo ya utumbo yanayojitokeza kwa njia ya kutoa hewa tumboni au kusa...
18/03/2025

Mtoto mchanga anaweza kuwa na tatizo la gesi au matatizo ya utumbo yanayojitokeza kwa njia ya kutoa hewa tumboni au kusababisha maumivu.

Kuna mambo muhimu kuhusu tatizo la gesi kwa Mtoto Mchanga:

1. Kawaida:
Kutoa gesi ni kawaida kwa watoto wachanga. Wanaweza kutoa gesi mara nyingi na hii inaweza kuwa kawaida ya kawaida ya mfumo wao wa utumbo.

2. Maumivu:
Watoto wachanga wanaweza kuonekana kuhisi maumivu au kutokwa na machozi wanapokuwa na gesi. Hii inaweza kusababisha kuhema kwa shida na kuwa na wasiwasi.

3. Sababu za Gesi: Gesi inaweza kusababishwa na mambo k**a kumeza hewa wakati wa kunyonyesha, Utumbo kuchakata chakula au hata kutanuka kwa utumbo.

SULUHISHO:
Kuna njia kadhaa za kusaidia mtoto mchanga na tatizo la gesi:
. Burudisha mtoto kwa kumfanyia mazoezi ya kubembeleza, kumfanyia masaji ya tumbo, masaji ya viganja vyake vya mkono, kumbebea begani ili kumfanya abeue n.k mliopo whatsapp video nakuwekea whatsapp

Wito kwa Mzazi: Ikiwa mtoto ana maumivu makali, anaendelea kuwa na tatizo la gesi sana, au kuna dalili zingine za wasiwasi k**a vile kutapika au kukosa hamu ya kula, ni muhimu kuwasiliana na daktari wa watoto mapema. Tatizo la gesi linaweza kuwa dalili ya matatizo mengine ya utumbo au afya.

Inapaswa kueleweka kuwa tatizo la gesi kwa watoto wachanga mara nyingi ni jambo la kawaida na hupungua kadri mtoto anavyokua.

Ni muhimu kuwa na mawasiliano ya mara kwa mara na wahudumu wa Afya ili ujifunze mengi kuhusu malezi ya watoto

Dr. Aswai
0743211302

HOMA YA INI INATIBIKA DALILI 9 ZA HOMA YA INI โœ“Manjanoโœ“Mkojo mweusiโœ“Kutapika Mara kwa Maraโœ“Homa Kali na za Mara kwa Mara...
17/03/2025

HOMA YA INI INATIBIKA

DALILI 9 ZA HOMA YA INI

โœ“Manjano

โœ“Mkojo mweusi

โœ“Kutapika Mara kwa Mara

โœ“Homa Kali na za Mara kwa Mara

โœ“Kukosa hamu ya kula

โœ“Kuharisha

โœ“Maumivu ya tumbo hasa ubavu wa kulia

โœ“Mwili kuchoka

โœ“Maumivu ya viungo

MADHARA YA HOMA YA INI ( hepatitis B )

โ€ข Saratani ya Ini

โ€ข Figo zote kufeli ( ini Kushindwa kufanya kazi zake )

โ€ข Kifo

KAGUA AFYA YAKO MARA KWA MARA(JALI AFYA YAKO KWANZA)

Dr. Aswai
0743211302

JE, MATATIZO YA HOMA YA INI YANAWEZA KUZUIWAJE....?       UGONJWA WA INI NI..   Ugonjwa wa ini au ugonjwa wa ini ni hali...
11/03/2025

JE, MATATIZO YA HOMA YA INI YANAWEZA KUZUIWAJE....?

UGONJWA WA INI NI..

Ugonjwa wa ini au ugonjwa wa ini ni hali yoyote inayoharibu ini na kuathiri vibaya utendaji wake. Ugonjwa wa ini uliodumu kwa muda mrefu au ambao haujatibiwa unaweza kusababisha uharibifu mkubwa na usioweza kurekebishwa kwa ini.

KAZI YA INI NI K**A....

_Hutoa nyongo dutu inayohitajika kusaga mafuta
_Hubadilisha amonia kuwa urea ambayo ni muhimu katika kimetaboliki
_Inaharibu RBC ya zamani
_Huhifadhi vitamini na chuma
_Huhifadhi na kutoa glucose
_Inadhibiti kimetaboliki.

AINA ZA VIRUSI VYA HOMA YA INI..

Hepatitis ya virusi (ya kuambukiza): Hepatitis ina maana ya kuvimba (uvimbe na reddening) ya ini. Husababishwa na virusi vya homa ya ini, Hepatitis A, B, C, D na E. Hepatitis A na B zinaweza kuzuilika kwa Kupata matibabu sahihi.

SABABU ZA UGONJWA WA INI NI K**A.

Homa ya ini, au hepatitis, ni ugonjwa unaosababishwa na uchochezi wa ini. Sababu zake zinaweza kujumuisha:

1. **Virusi**: Homa ya ini inaweza kusababishwa na virusi mbalimbali, k**a hepatitis A, B, C, D, na E.

2. **Madhara ya pombe**: Matumizi ya kupita kiasi ya pombe yanaweza kuleta homa ya ini ya pombe.

3. **Madawa**: Baadhi ya dawa na kemikali zinaweza kuathiri ini na kusababisha uchochezi.

4. **Magonjwa ya autoimmune**: Mfumo wa kinga ya mwili unaweza kushambulia ini, kuleta homa ya ini ya autoimmune.

5. **Maambukizi**: Maambukizi mengine, k**a vile homa ya mononucleosis, yanaweza kusababisha homa ya ini.

6. **Chakula**: Ufungaji wa chakula au virusi vya chakula k**a vile hepatitis A.

Kuwa na ufahamu wa sababu hizi ni muhimu kwa ajili ya kuzuia na kutibu ugonjwa huu.

Dr Aswai
0743211302

Ukinywa pombe fahamu kwamba unakunywa vifuatavyo1.INI2.KONGOSHO3. UBONGO4. FIGOUnywaji wa pombe nyingi mara kwa mara uta...
08/03/2025

Ukinywa pombe fahamu kwamba unakunywa vifuatavyo

1.INI
2.KONGOSHO
3. UBONGO
4. FIGO

Unywaji wa pombe nyingi mara kwa mara utakua unakunywa nilivotaja hapo juu ba hivo basi utapata majibu yafuatayo

1. Ngozi kufubaa
2. Kuzeeka haraka yaani mtu una miaka 30 ila unaonekana k**a una miaka 50
3. Kupata kiribatumbo
4. kupata kisukari
5. Kupata presha ya kupanda
6. Matatizo ya moyo k**a moyo kutanuka na kufeli
7. Mafigo kufeli
8. Kupata kitambi cha pombe yaani utakuta mtu anakua na tumbo limeenda mbele lakini kwingine yuko flat flat tu,ndugu yangu mlevi ukiona una kitambi hicho jua ini lako lina matatizo
9. Matatizo ya usahaulifu,uwezo wa kufikiri kupungua
10.kua malaya,kahaba,kua shoga,kuuza mwili,kua msagaji
11.kukosa watoto kwa wanaume na wanawake
12. kupata matatizo ya gauti

Zaidi ya watu milioni 3 hupoteza maisha kila mwaka kutokana na matumizi holela na hatari ya pombe,idadi hii ni kubwa sana na inakadiriwa kuwakilisha k**a asilimia ya vifo vyote duniani.

Unywaji holela na wa hatari wa pombe UNAHUSIKA AU UNASABABISHA MAGONJWA ZAIDI YA 200 KWA MNYWAJI.

Wanywaji wote wa pombe ni walemavu wa mwili na akili,uzalishaji wao kwa jamii ni mdogo sana

Punguzeni au acheni kabisa matumizi ya pombe

K**a umejaribu au una ndugu ambae anataka kuacha pombe na anashindwa muambie amuone dr kuna kadawa Fulani atapata na ataacha pombe

Jamani pombe ni adui wa afya kati ya wale maadui 1000 pombe ni adui mmoja wapo wa afya yako...wewe shupaza shingo yako ila ukweli ni huu baadae kongosho ini ubongo moyo aisee vyote hivi vitapiga hodi katika mwili wako.jukumu langu ni kusema ila kuteleza ni hiyali yako...
[08/03, 09:19] +255 767 919 586: We kunywa tu. Kwasababu sumu zitabaki mwilini na zitaendelea kufanya kazi yake kawaida...kwani hujawahi sikia mtu ini limeungua Kwasababu yapombe unafikiri wengine wanakunywa kila siku magonjwa huwa yanakuja baadae...

Dr Aswai
0743211302

Huduma ya kwanza kwa mgonjwa wa shinikizo la damu (pressure) inategemea hali ya mgonjwa. ...Hapa kuna hatua muhimu za ku...
07/03/2025

Huduma ya kwanza kwa mgonjwa wa shinikizo la damu (pressure) inategemea hali ya mgonjwa.

...Hapa kuna hatua muhimu za kutoa huduma ya kwanza kwa mgonjwa wa shinikizo la damu:

1. Tathmini Hali ya Mgonjwa:
..Angalia dalili za shinikizo la damu k**a vile kichwa kuuma, kizunguzungu, kutapika, maumivu ya kifua, au kuhisi kizunguzungu..

2. Mtoe Mgonjwa Mahali Penye Utulivu:**

....Weka mgonjwa katika mazingira penye utulivu na faraja. Hakikisha hewa safi inapatikana.

3. Pima Shinikizo la Damu:
....Ikiwa inawezekana, pima shinikizo la damu ya mgonjwa kwa kutumia kifaa cha kupima shinikizo la damu...

4. Mpe Mgonjwa Dawa:
....Ikiwa mgonjwa ana dawa ya shinikizo la damu, muhimishe kuitumia kulingana na maelekezo ya daktari wake au tumia vitunguu swaum na tangawizi kwa pamoja

5. Punguza Msongo:
..Mgonjwa wa shinikizo la damu mara nyingi hupata faida kwa kupunguza msongo wa mawazo
....Saidia mgonjwa kupumzika na kuepuka hali za msongo.

6. Punguza Chumvi:
...Ili kusaidia kupunguza shinikizo la damu, epuka kumpa mgonjwa chakula chenye kiwango kikubwa cha chumvi....

7.Toa Msaada wa Dharura
.....Ikiwa mgonjwa ana dalili kali za shinikizo la damu k**a vile maumivu makali ya kifua au kizunguzungu kikali, piga simu kwa huduma za dharura au mupeleke mgonjwa hospitalini haraka iwezekanavyo.....

8.Wasiliana na Mtoa Huduma za Afya

Baada ya kutoa huduma ya kwanza, ni muhimu kuwasiliana na mtoa huduma za afya kwa ushauri zaidi na msaada wa matibabu

Kumbuka, ni muhimu daima kutathmini hali ya mgonjwa kwa makini na kuchukua hatua za haraka kulingana na dalili na hali yake

Wasiliana nasi kwa ushauri zaid

Dr. Aswai
0743211302

KIJUE KIFAFA CHA MIMBAKifafa cha mimba, kinachojulikana kitaalamu k**a eclampsia, ni hali hatari inayoweza kutokea kwa m...
06/03/2025

KIJUE KIFAFA CHA MIMBA

Kifafa cha mimba, kinachojulikana kitaalamu k**a eclampsia, ni hali hatari inayoweza kutokea kwa mjamzito, hasa ikiwa na shinikizo la damu la juu sana (pre-eclampsia). Chanzo chake kikuu ni pre-eclampsia isiyodhibitiwa, ambayo husababisha mshtuko wa kifafa wakati wa ujauzito, wakati wa kujifungua, au baada ya kujifungua.

Vyanzo na Visababishi vya Kifafa cha Mimba:

1. Shinikizo la damu la juu โ€“ Husababisha matatizo katika mzunguko wa damu kwenye placenta na mwili wa mama.

2. Matatizo ya mishipa ya damu โ€“ Upungufu wa damu kwenye placenta unaweza kusababisha matatizo ya shinikizo la damu.

3. Msongo wa mfumo wa kinga โ€“ Mfumo wa kinga ya mwili unaweza kushambulia seli za placenta na kusababisha shinikizo la damu kupanda.

4. Historia ya familia โ€“ Ikiwa mama au dada yako alipata pre-eclampsia au kifafa cha mimba, una uwezekano mkubwa wa kupata pia.

5. Mimba ya kwanza โ€“ Wanawake wengi wanaopata kifafa cha mimba huwa katika mimba yao ya kwanza.

6. Mimba za mapacha โ€“ Uwezekano wa kifafa cha mimba huongezeka kwa wanawake wenye ujauzito wa mapacha au zaidi.

7. Umri wa mama mjamzito โ€“ Wajawazito walio na umri chini ya miaka 20 au zaidi ya miaka 40 wana hatari kubwa zaidi.

8. Kisukari au magonjwa ya figo โ€“ Magonjwa haya huongeza hatari ya kifafa cha mimba.

๐Ÿ’ฅDalili za Kifafa cha Mimba:๐Ÿ’ฅ

๐Ÿ“Œ.Shinikizo la damu kupanda sana (zaidi ya 140/90 mmHg)

๐Ÿ“Œ.Maumivu makali ya kichwa

๐Ÿ“Œ.Kutoona vizuri au kuona miale ya mwanga

๐Ÿ“Œ.Kuvimba usoni, mikononi, na miguuni

๐Ÿ“Œ.Maumivu ya tumbo upande wa juu (chini ya mbavu kulia)

๐Ÿ“ŒMshtuko wa kifafa (kushindwa kudhibiti mwili)

๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅNamna ya Kuzuia Kifafa cha Mimba:๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅ

โœ“Kudhibiti shinikizo la damu kwa kutumia dawa zinazofaa kwa wajawazito

โœ“Kutembelea kliniki mara kwa mara ili kufuatilia afya ya mama na mtoto

โœ“Kula chakula bora chenye virutubisho vya kutosha

โœ“Kuepuka unene kupita kiasi kabla na wakati wa ujauzito

โœ“Kupumzika vya kutosha na kuepuka msongo wa mawazo

N.b
๐Ÿ’ฅ๐Ÿ’ฅIkiwa mama mjamzito ana dalili za pre-eclampsia, anapaswa kupata matibabu haraka ili kuepuka kifafa cha mimba, ambacho kinaweza kuhatarisha maisha ya mama na mtoto.

Dr Aswai
0743211302

05/03/2025

*CHEMBE YA MOYO NI* *NINI?*

*Chembe moyo* au kwa kitaalamu stable angina au angina pectoris. Ni aina ya maumivu ya kifua yanayatokea baada ya kupungua kwa mzunguko wa damu kwenye moyo.

Kupungua kwa mzunguko wa damu husababisha kukosa hewa safi ya oksijeni kwenye moyo.

Maumivu hutokea baada ya mwili kufanya kazi flani ama pale unapopata msongo wa mawazo.
Mumivu haya ya chembe moyo husababisha mtu kukosa raha, kuhisi k**a kifua kimejaa na kubana kwa kifua eneo la katikati.

*Dalili za Chembe Moyo*
Pamoja na maumivu na kubana kwa kifua dalili zingine za chembe ya moyo ni k**a:

1. Kushindwa kupumua vizuri
2. Kupata kichefuchefu
3. Mwili kukosa nguvu na kupata ganzi
4. Kutokwa na jasho na
5. Msongo wa mawazo
6. Kushindwa kushiriki tendo la ndoa

*Mazingira na tabia Hatarishi* *Zinazopelekea kupata Chembe moyo:*

1. Kuwa na uzito mkubwa na kitambi

2. Kuwa na historia ya kugua magonjwa ya moyo

3. Kuwa na kiwango kikubwa cha cholesterol au shinikizo la damu kuwa juu

4. Mgonjwa wa kisukari

5. Uvutaji wa sigara

6. Kutofanya mazoezi au kushugulisha mwili

7. Kula mlo mkubwa na
8. Mazingira ya joto kali au baridi kali

Usipuuzie kabisa maumivu ya chembe moyo

0743211302

Detox kazi yake ni ๐Ÿ€Inapunguza uzito๐Ÿ€Inaondoa manyama uzembe.๐Ÿ€Inakata vitambi.๐Ÿ€Inarekebisha kiwango cha sukari mwilini.N...
26/02/2025

Detox kazi yake ni

๐Ÿ€Inapunguza uzito
๐Ÿ€Inaondoa manyama uzembe.
๐Ÿ€Inakata vitambi.
๐Ÿ€Inarekebisha kiwango cha sukari mwilini.Ni nzuri kwa wagonjwa wa kisukari.
๐Ÿ€Inamaliza tatizo la magonjwa ya moyo,presha ya kupanda.
๐Ÿ€Inaondoa mafuta machafu mwilini.
๐Ÿ€Ni msaada kwa wagonjwa wa stroke (waliopooza)
๐Ÿ€Inasaidia mmeng'enyo wa chakula tumboni.
๐Ÿ€Inaondoa gesi na muungurumo tumboni.
๐Ÿ€Inawasaidia kwa wenye Matatizo ya kukosa choo(Constipation)
๐Ÿ€Inamaliza tatizo la kuganda kwa damu na mafuta mwilini.
๐Ÿ€Inarekebisha hormon/Hormonal imbalance
๐Ÿ€Inamaliza changamoto za magonjwa wakati wa Menopause na Andropause(Kukoma kwa hedhi)
๐Ÿ€Inaimarisha afya ya akili,
๐Ÿ€Inaondoa msongo wa mawazo(STRESS)
๐Ÿ€Inaondoa magonjwa ya kuwa na wasiwasi(ENXIETY)
๐Ÿ€Inasaidia tatizo la kuyumba kwa ufahamu.
โ˜˜๏ธInasaidia kukupa utulivu

โ˜Ž๏ธ0743211302
Dr Aswai

VIPIMO,,USHAURI NA MATIBABU KWA BEI YA PUNGUZO๐Ÿ‘‰SHIRIKA LA AFYA KUTOKA CHINA GCAT HOSPITAL IMETOA OFA YA PUNGUZO KWA WATU...
10/02/2025

VIPIMO,,USHAURI NA MATIBABU KWA BEI YA PUNGUZO
๐Ÿ‘‰SHIRIKA LA AFYA KUTOKA CHINA GCAT HOSPITAL IMETOA OFA YA PUNGUZO KWA WATU WOTE WATAKAOFIKA KATIKA VITUO VYAKE VYOTE NCHI NZIMA, KUPATA HUDUMA YA VIPIMO NA MATIBABU

VIPIMO MWILI MZIMA,,KUPIMA CHANGAMOTO YOYOTE KWENYE MWILI KWA Tsh 30000/= tu
PUNGUZO LA DAWA ZETU 20%

MAGONJWA TUNAYOTIBU NI,
Kansaโœ… Pumuโœ… Kisukariโœ…
Strokuโœ… Ngoziโœ… Figoโœ… P.I.Dโœ…
Moyoโœ… Iniโœ… Fangasi suguโœ…
U.T.I suguโœ… Bawasiriโœ…Mifupaโœ… Tezi dumeโœ… Vidonda vya tumbo suguโœ… PRESSURE โœ…
Heniaโœ… Matatizo ya uzazi kwa wanawake na wanaumeโœ… Uhafifu wa kuhimili tendoโœ…
kuongeza kinga mwilini [CD4]โœ…
watoto wasiopenda kulaโœ…

TIBA ZETU HUFANYA KAZI KUU NNE(4) KWENYE MWILI
๐Ÿ‘‰kuosha
๐Ÿ‘‰kulinda/kukinga
๐Ÿ‘‰kujenga
๐Ÿ‘‰kutibu

KARIBU KWENYE VITUO VYETU VILIVYOPO TANZANIA NZIMA UPATE HUDUMA BORA KABISA NA UHAKIKA๐Ÿซถ

Mpigie mshauri wa afya,madam Agness
โ˜Ž๏ธ0743211302

Dar,,majumba sita karibia na airport โ˜Ž๏ธ0743211302

Address

Majumba Sita
Dar Es Salaam
0152252610800CRDB

Telephone

+255743211302

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr. Aswai posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram