Bright Health Care in Bf Suma

Bright Health Care in Bf Suma AFYA NI MTAJI

*NDUGU WANAINCHI MNAKARIBISHWA  KUJIANDIKIASHA NA KUJIUNGA  HUDUMA YA BIMA YA AFYA CHF FIKA TABATA ZAHANATI*  PIGA SIMU ...
09/07/2025

*NDUGU WANAINCHI MNAKARIBISHWA KUJIANDIKIASHA NA KUJIUNGA HUDUMA YA BIMA YA AFYA CHF FIKA TABATA ZAHANATI*
PIGA SIMU *+255769716435*

**VIWANGO VYA KUCHANGIA MWANACHAMA WA CHF KWA MWAKA*

*✍️TSH 40,000*
MTU MOJA BILA KUJALI UMRI KUANZIA MTOTO MPAKA MZEE

*✍️TSH 150,000*
FAMILIA YENYE IDADI YA WATU 6 yaani
Watu wazima wawili
Watoto wanne walio chini ya UMRI wa miaka 18

*✍️UTARATIBU WA MATIBABU*

HUDUMA zinapatikana kuanzia Ngazi ya Zahanati mpaka hospitali ya RUFAA ya mkoa Kwa njia ya RUFAA
Mikoa yote ya TANZANIA BARA

*HUDUMA UTAKAZOPATIWA MWANACHAMA WA BIMA YA AFYA YA ICHF*

✅Kufungua faili na kumuona daktari

✅ vipimo vya maabara
Dawa sindano kufunga vidonda POP

✅Matibabu ya maogonjwa yote ya kwenda na kurudi pamoja na kulazwa yaani ( OPD &IPD)

✅Afya ya uzazi

✅HUDUMA za wajawazito

✅ Afya akili

✅ x ray na Ultrasound

✅Macho bila miwani

✅Masikio bila ENT Mshine

✅Upasuaji mdogo na mkubwa

🇹🇿✍️Kwa maelezo zaidi
+255769716435
By
Chw
LOH SAMWEL GUNDA
AHSANTE 🙏🇹🇿✍️🙏🙏😀😀
wote mnakaribishwa

Address

Mlimani City
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bright Health Care in Bf Suma posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Bright Health Care in Bf Suma:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram