09/07/2025
*NDUGU WANAINCHI MNAKARIBISHWA KUJIANDIKIASHA NA KUJIUNGA HUDUMA YA BIMA YA AFYA CHF FIKA TABATA ZAHANATI*
PIGA SIMU *+255769716435*
**VIWANGO VYA KUCHANGIA MWANACHAMA WA CHF KWA MWAKA*
*✍️TSH 40,000*
MTU MOJA BILA KUJALI UMRI KUANZIA MTOTO MPAKA MZEE
*✍️TSH 150,000*
FAMILIA YENYE IDADI YA WATU 6 yaani
Watu wazima wawili
Watoto wanne walio chini ya UMRI wa miaka 18
*✍️UTARATIBU WA MATIBABU*
HUDUMA zinapatikana kuanzia Ngazi ya Zahanati mpaka hospitali ya RUFAA ya mkoa Kwa njia ya RUFAA
Mikoa yote ya TANZANIA BARA
*HUDUMA UTAKAZOPATIWA MWANACHAMA WA BIMA YA AFYA YA ICHF*
✅Kufungua faili na kumuona daktari
✅ vipimo vya maabara
Dawa sindano kufunga vidonda POP
✅Matibabu ya maogonjwa yote ya kwenda na kurudi pamoja na kulazwa yaani ( OPD &IPD)
✅Afya ya uzazi
✅HUDUMA za wajawazito
✅ Afya akili
✅ x ray na Ultrasound
✅Macho bila miwani
✅Masikio bila ENT Mshine
✅Upasuaji mdogo na mkubwa
🇹🇿✍️Kwa maelezo zaidi
+255769716435
By
Chw
LOH SAMWEL GUNDA
AHSANTE 🙏🇹🇿✍️🙏🙏😀😀
wote mnakaribishwa