17/08/2022
UMEWAHI KUSIKIA KUHUSU FIBROIDS"(UVIMBE KWENYE VIA VYA UZAZI)
Mpaka sasa wataalamu wanashindwa kuelewa nini haswa kinachi sababisha uvimbe huo kutokea kwenye mfuko wa kizazi.
Lakini inajulikana kua kuna baadhi ya mambo ambayo yanaweza kufanya na kupelekea wanawake kupata uvimbe moja wapo ni
-:mabadiliko ya homoni
▪︎Kutozaa kabisa
▪︎Kuwahi kuvunja ungo(kuvunja ungo kabla ya miaka 10)
▪︎Uzito mkubwa hasa ukiwa na uzito mkubwa wakati wa ujana.
▪︎Kula sana nyama nyekundu
▪︎Uvutaji wa sigara na unywaji pombe kupita kiasi hasa bia.
🤏 uvimbe huu huambatana na kuvuja damu sana wakati wa hedhi .
Matibabu yake yanaweza kua kwa njia mbili upasuaji au kutumia dawa
Lakini mala nyingi ukifanyiwa upasuaji huwa unaludi tena na,zipo dawa zinaweza kuyeyuusha uvimbe kunakua hakuna haja ya upasuaji.
Pia tiba lishe inasaidia sana kuyeyusha hizi vimbe
Zungumza nasi afya99 .
One family one way to make the world happier and healthier place. Afya99
Whatsapp +255764338612