31/03/2025
UFAHAHAMU UGONJWA WA MAOTEA
MAOTEA ni ugonjwa unaotambulika kwa kitaalamu "Hipapilloma virus"(HPV)-: Ni kundi la virusi ambavyo vinasababisha kutokwa na vipele au vinyama visivyo vya kawaida hasa ktk maeneo ya kinywa/mdomoni,sehemu za Siri K**a njia ya haja kubwa na haja ndogo
*Visababishi vya HPV
-kufanya mapenzi na mtu mwenye tatizo hili.
-kufanya mapenzi Kwa njia ya kunyonyana sehemu za Siri na mwenza wako
-kuchangia nguo au taulo pia kugusana sehemu zenye unyevunyevu hata jasho na mtu mwenye HPV
# # # K**a wewe ni muhanga wa changamoto hii wasiliana nami nkupatie suluhisho 👇
+25557151811 kawaida au Whatsapp