Bertha Afya Clinic

Bertha Afya Clinic Tunatoa ushauri,tiba asilia na virutubisho lishe kwa magonjwa ya mifupa na maungio yake, bawasiri na afya ya uzazi kwa ujumla

UFAHAHAMU UGONJWA WA MAOTEAMAOTEA ni ugonjwa unaotambulika kwa kitaalamu "Hipapilloma virus"(HPV)-: Ni kundi la virusi a...
31/03/2025

UFAHAHAMU UGONJWA WA MAOTEA
MAOTEA ni ugonjwa unaotambulika kwa kitaalamu "Hipapilloma virus"(HPV)-: Ni kundi la virusi ambavyo vinasababisha kutokwa na vipele au vinyama visivyo vya kawaida hasa ktk maeneo ya kinywa/mdomoni,sehemu za Siri K**a njia ya haja kubwa na haja ndogo
*Visababishi vya HPV
-kufanya mapenzi na mtu mwenye tatizo hili.
-kufanya mapenzi Kwa njia ya kunyonyana sehemu za Siri na mwenza wako
-kuchangia nguo au taulo pia kugusana sehemu zenye unyevunyevu hata jasho na mtu mwenye HPV
# # # K**a wewe ni muhanga wa changamoto hii wasiliana nami nkupatie suluhisho 👇
+25557151811 kawaida au Whatsapp

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Bertha Afya Clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Bertha Afya Clinic:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram