Docsmart.Afya Ni Mtaji

Docsmart.Afya Ni Mtaji TUNASIAIDIA KUTATUA CHANGAMOTO YA MWANAMKE KUTOKA UCHAFU SEHEMU ZA SIRI BURE .

ZINGATIA HAYA UWEZE KUSHIKA MIMBA:1. Uwepo wa Yai la mwanamke,lenye ubora, yaani a good quality O**M2. UPEVUSHAJI YAI, O...
23/10/2024

ZINGATIA HAYA UWEZE KUSHIKA MIMBA:

1. Uwepo wa Yai la mwanamke,lenye ubora, yaani a good quality O**M
2. UPEVUSHAJI YAI, OVULATION, lazima uwepo maana hapa ndipo yai hutoka kwenye mfuko wa mayai na kuingia kwenye mrija kwa ajil ya kukutana na mbegu ya kiume.

3. Mirija yenye uwezo wa kupitisha yai na mbegu za kiume, patent fallopian Tubes,mirija ikiziba mbegu ya kiume na Yai la k**e Haviwezi Kukutana

4. Hormones ziwe zinapanda na kushuka kwa uwiano,yaan balanced hormones,eg siku ya ovulation ili ovulation itokee laazma LUTENAIZING HORMONE IWE JUU. .

5. Mbegu ya kiume yenye ubora (ubora wa muonekano yaani mbegu yenye Kichwa, mkia na kuweza kuogelea na kutembea kwa kasi kufikia Yai na kuweza kurutubisha Yai).
6. Mwanamke Awe na mazingira mazuri kwenye VAGINA,Yaan Va**na PH iwe conducive na isiwe TOO ACID maana inaua mbegu za Kiume
6. Mwanamke awe na OVULATION MUCUS,ute unaotoka siku za hatari TU,ute mzuri k**a ute mweupe wa yai,

Unavutika katikati ya Mikono k**a KAMBA,utafiti unaonesha kuwa huu ute una vitundu vidogo vidogo Kupitisha mbegu za kiume
..na kuzilinda ili zisafiri salama mpaka kwenye kizaz,kisha kwenye mirija.
7. mfuko wa uzazi yaan Uterus wenye uwezo wa kupandikiza yai lilirorutubishwa yaan IMPLANTATION itokee na pia kizazi kiwe na uwezo wa Kuitunza mimba mpaka Mimba ifike miezi 9.

Mwanamke mwenye UVIMBE kwenye kizazi au vijidudu,Infection k**a PID,ENDOMETRITIS,
Anaweza pata mimba ikatoka kirahis.

Maeneo yote hayo yakiwa Vizuri, Mwanamke anapata MIMBA, KIRAHISI ZAIDI, na UWEZEKANO WA MIMBA kutoka unakuwa mdogo sana .

Ikiwa Upo kwenye Changamoto Hii, haushiki mimba Nitumie Ujumbe whatsapp 📨 inbox.




0692173223

Kwani nina Dawa nzuri sana sana na ushauri wa kitaalamu sana kuhusu Uzazi kijumla.

Takwimu zinaonyesha Maambukizi ya via vya uzazi husababisha Makovu Kwenye kizazi hivyo hutengeneza ugumba na kansa ya sh...
10/09/2024

Takwimu zinaonyesha Maambukizi ya via vya uzazi husababisha Makovu Kwenye kizazi hivyo hutengeneza ugumba na kansa ya shingo ya kizazi k**a hayatatibika mapema .

Kwanini usubiri kupata Hayo madhara yote ,Kwanini ukose raha Kwenye ndoa Yako kwa kukosa mtoto.?

Sasa Unaweza kupata suluhisho litakalo kuondolea Maumivu ya nyonga wakati wa hedhi,kuondolea hali ya uchafu unakukera unaotoka mara kwa mara ,harufu mbaya na hali ya kukosa Hamu ya tendo au Maumivu wakati wa tendo .

Sasa inapatikana kwa gharama nafuu( Offer ) na kukufikia Popote ulipo .

Hii program ukilipia Tsh laki moja na elf 75 kwa sasa utapata vifuatavyo:

1.Utaokoa gharama maana Upo kwneye offer
2.Utapata virutubisho pekee ambayo vinatenda kazi kwa haraka na matokeo ya muda mfupi
3.Utatumiwa ulipo bure
4.Utapata nafasi ya kuonana na daktar Ana kwa ana kwa wakazi wa Dar es salaam kwa Siku ya Jumatatu ,jtano, Jumamos .
5.Utapigiwa simu na kusimamiwa Kwa muda wako wote wa matibabu.

Sasa unasubiri Nini uwahi sasa Offer hii ni ya Siku ya Leo na Kesho tu .Nahitaji watu 10 tu ambao wanasema Wapo tayari niwape utaratibu wa malipo .

Piga simu namba :0692173223

MHANGA WA MATATIZO YA UZAZI ZINGATIA HAYA:    kuna sababu mbali mbali zinazoweza kumfanya Mwanamke Asishike ujauzito na ...
23/02/2024

MHANGA WA MATATIZO YA UZAZI ZINGATIA HAYA:

kuna sababu mbali mbali zinazoweza kumfanya Mwanamke Asishike ujauzito na sababu hizo zinaweza zikawa zinamhusu Mwanamke au Mwanaume.

Miaka ya Sasa uzazi umekuwa na changamoto kubwa mno, Asilimia 25 yawatu wanaotaka kubeba ujauzito wanakabiliwa na tatizo la kutobeba ujauzito.

🔸MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOTAKA KUBEBA UJAUZITO.

1: Hakikisha Afya yako ya uzazi iko sawa, Onana na daktari wako akufanyie vipimo wewe na Mumeo ili kujua K**a Afya yenu iko salama kubeba ujauzito.

2: zingatia kula vyakula sahihi( lishe Bora) itakayokusaidia kuboressha Afya ya Mwili na uzazi zaidi.

3:Mwanaume aache kunywa pombe, sigara, naye azingatie vyakula sahihi kwake .

4: Epuka kutumia Madawa holela, kwenda duka la saw kununua dawa Bila Ruhusa ya daktari Ni hatari zaidi.

5: Anza kutumia vidonge vya folic Acid, Tumia virutubisho hivi miezi 3-4 kabla ya kuanza kutafuta Mtoto.

6: Zingatia kufanya zaidi tendo landoa siku zako za Ovulation kuzidi siku zingine za kawaida.

7; Zingatia na kufuatilia Mzunguko wako wahedhi kwani itakurahishia kujua siku zako za kushika ujauzito.

8: Punguza stress ( Msongo wa mawazo, Acha mwili uwe huru zaidi, itakurahishia homoni kuwa sawa.

9: Panga muda/ wakati sahihi wakubeba ujauzito zaidi.

NB: zingatia kuwa na uzito sahihi unaotakiwa, uzito mkubwa nichanzo pia chakufanya usibebe ujauzito.

Mimba za watoto wako ulikuwa unapanga au unajikuta tu imoooo?😁

Usisahau kuja kupata package yako leo!! Mwaka wako wakupata ujauzito huu!!🫃🏾

Nipo tayari kukusaidia, niandikie Ujumbe kupitia whatsapp no:

0692173223, Dr Mawalla
-

Kila Mwaka idadi ya watu 19,000 hupoteza maisha kwa sababu ya mionzi ya mikali kutoka Kwenye jua au vyanzo vingine vinav...
22/02/2024

Kila Mwaka idadi ya watu 19,000 hupoteza maisha kwa sababu ya mionzi ya mikali kutoka Kwenye jua au vyanzo vingine vinavyozalisha Uv radiation.

Zaidi ya watu 15milion duniani kwa Mwaka huwa vipofu na 10% ya vipofu husababishwa na Miale mikali ya jua .

Ultraviolet radiation (uv radiation) ni miale ambayo Huwezi kuona wala kuhisi ila inatengeneza madhara makubwa:
🌅Kansa ya ngozi
🌅kansa ya macho
🌅Upofu (cataracts,conjactivity)
🌅Kupungua kwa kinga ya mwili .

Unajilindaje na hili ;
✔️Kaa Kwenye kivuli wakati wa jua kali
✔️vaa kofia ya kuzuia jua inayocover sehemu kubwa ya kichwa 👒
✔️Vaa nguo za kuzuia jua na miwani a jua 😎
✔️Ebuka tanning beds
✔️paka sunscreen 🧴

Muhimu :Naamini asilimia kubwa tumeadhirika na hili Bila kujijua sasa tumekuja na Tiba ya kuimarisha ngozi yako ,macho na kukuongezea kinga ila kukutoa Kwenye hayo majanga.

Msaada na ushauri wasiliana nasi kwa Tiba piA . #0692173223

*MKOJO WA NJANO SIO U.T.I*Mtu kukojoa mkojo wa njano zaidi na wenye harufu mbaya haimanishi kuwa hiyo ndio u.t.i.Hiyo hu...
27/12/2023

*MKOJO WA NJANO SIO U.T.I*
Mtu kukojoa mkojo wa njano zaidi na wenye harufu mbaya haimanishi kuwa hiyo ndio u.t.i.

Hiyo humaniisha kuwa mwili wako bado unahitaji maji zaidi, yaan unatakiwa kunywa maji zaidi.

Dalili za U.T.I ni pamoja na kuumwa chini ya kitovu, kuumia mkojo unapotoka na kukojoa damu.

Kijana anaetokwa usaha kwenye uume hiyo mara nyini huwa Gonorea.

Kunywa maji, ukishindwa kunywa juice ya muwa, tikiti kuongeza maji mwilini.

Mawasiliano :piga/whatsapp 0692173223

Enjoy your holiday 😎🌊
24/12/2023

Enjoy your holiday 😎🌊

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Docsmart.Afya Ni Mtaji posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Docsmart.Afya Ni Mtaji:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram