AfyaplusTz

AfyaplusTz Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AfyaplusTz, Medical and health, San Nujoma, Road, Dar es Salaam.

NASAIDIA JAMII KATIKA KUTATUA VYANZO&KUTIBU MAGONJWA YOTE SUGU YANAYOHUSIANA NA MIFUMO YA UZAZI KWA WANAUME&WANAWAKE,,N.K


, N.K { KARIBUNI SANA}

25/01/2026

🔑 USIUE BUI BUI KWA NYUNDO 🕷️🔨"SCOLIOSIS INAZUILIKA" CHUKUA SIRI SASA...✅👇👇👇🩺 SABABU ZINAZOWEZA KUSABABISHA MGONGO WA MTOTO KUPINDA (SCOLIOSIS & AINA NYINGINE)
1️⃣ Hali za Kimaumbile za Mgongo
• Scoliosis
Mgongo kupinda pembeni (S au C), huanza utotoni (miaka 5–15), mara nyingi chanzo hakijulikani.
• Kyphosis
Mgongo wa juu kupinda mbele kupita kiasi; husababishwa na kukaa vibaya au udhaifu wa misuli.
2️⃣ Changamoto za Misuli na Mfumo wa Fahamu
Magonjwa k**a cerebral palsy husababisha misuli kushindwa kuhimili mgongo vizuri.
3️⃣ Upungufu wa Virutubisho Muhimu
Ukosefu wa Vitamin D na Calcium husababisha mifupa kuwa laini (rickets) — sababu ya kawaida kwa watoto.
4️⃣ Mkao Mbaya wa Maisha ya Kila Siku
Kukaa vibaya darasani au kubeba mizigo mizito upande mmoja kwa muda mrefu.
5️⃣ Majeraha au Maambukizi ya Mifupa
Si ya kawaida sana, lakini yanaweza kuchangia kupinda kwa mgongo.
⚠️ DALILI ZA KUANGALIA MAPEMA
📌Bega moja kuwa juu kuliko lingine
📌Mgongo kuonekana kupinda zaidi kadri mtoto anavyokua
📌Maumivu ya mgongo (kwa watoto wakubwa)
📌Kukaa au kutembea kwa mkao usio wa kawaida
✅ CHA KUFANYA MUHIMU
Muone daktari bingwa wa mifupa (Orthopedic) mapema
📌Fanya vipimo k**a X-ray inapohitajika
Tiba hutegemea hali:
✅Mazoezi ya kurekebisha mgongo
✅Virutubisho (Vitamin D & Calcium)
⚠️Korseti maalum (brace)
⚠️Upasuaji (hali kali sana)
📌 Ujumbe Muhimu wa💫Afyaplus_Tanzania:
Kadri tatizo linavyogunduliwa mapema, ndivyo linavyorekebishika kwa urahisi na kwa gharama ndogo.
🤍Afya yako ni kipaumbele chetu🤝✅
💫DR.PAUL_AFRICA
📌Follow, Share, like &Comment

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Loveness Emmanuel, Estar Makaya, Jackline Agustino
08/01/2026

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Loveness Emmanuel, Estar Makaya, Jackline Agustino

31/12/2025

Afyaplus_Tanzania inawatakia Heri ya Kuuona Mwaka Mpya kila mwana jamii...

💫Mwaka huu uwe wa nuru mpya, imani thabiti, matumaini hai na baraka zisizokoma. 🔑Usikate tamaa—bado kuna sababu ya kuamini na kuinuka tena.
🩺Uwe mwaka wa afya bora, nguvu mpya, maamuzi sahihi na bidii inayozaa matunda. Jali afya yako, jenga mwili na akili, songa mbele bila hofu.
👉 Mwaka mpya ni nafasi mpya.
Simama. Amua. Songa mbele.
Afya yako ni kipaumbele chetu. 💚 Asante sana kwa kuwa Pamoja Nasi 🤝🙏🎉 2026 We are Winners 💪💪💪

28/12/2025

🩺 "WANAJAMII" USIUE BUI BUI KWA NYUNDO..🔨

🔑PATA PROGRAM HII BORA&SALAMA USAIDIKE SASA✅
🧠K**A UNAHITAJI KUWA MMOJA WAO ANDIKA KWENYE COMMENT HAPO CHINI KWENDA NENO{ NIPO TAYARI.....

💚Afya yako ni kipaumbele chetu 🤝

26/12/2025

🩺USIUE BUI BUI KWA NYUNDO...📌🔨
CHUKUA SIRI HII SASA USAIDIKE 🔑
💎KUNA DHANA NYINGI AMBAZO ZIMEKUWA MSAADA KWA JAMII KATIKA FARAGHA ZAO BILA KUJUA, KUNA ATHARI ZINAZOSABABISHWA NDANI YAKE KUTOKANA NA NJIA/MIFUMO HII, LETS GOOO....✅

LEO TUNAANGAZIA ZAIDI AFYA KAMILI YA UZAZI KWA WANAUME WOTE HUWA INATAMBULIKA KWA MAMBO HAYA 5} KABLA YA KUPATWA NA ATHARI KUBWA KATIKA JAMII NA KUPELEKEA UGUMBA,MIGOGORO,MKANGANYIKO KWENYE FAMILIA ZETU N.K....👇👇👇
✅LIBIDO {HAMU YA TENDO
✅ ER****ON {UUME KUSIMAMA IMARA
✅EJACULATION{KUMWAGA MBEGU
✅FERTILITION{URUTUBISHWAJI/UZALISHAJI.
✅ORGASM{KILELE CHA FARAGHA}

N.B AFYA YA UZAZI HUPIMWA KWA KANUNI HIZI 5}
📌IKIWA KANUNI MOJAWAPO KATI YA HIZI HAZIPO SAWA KWENYE FARAGHA YA JAMII YAKO HII INAMAANISHA KWAMBA KUNA CHANZO CHA CHANGAMOTO KINAPASWA KUSHUGHULIKIWA HARAKA"
🩺NA SI KILA MATIBABU HUMTIBU KILA MTU BALI INATEGEMEA NA CHANZO,MUDA, MIFUMO YA MWILI WA MTU IPOJE...
🤔Je? Ipi ni Changamoto Kati ya hizi iliyo kwenye Jamii Yetu kwa kasi kubwa hivi sasa?...
🔑 Usisahau kufollow, kushare, kulike& Comment Ili Elimu hizi kwa pamoja Tuweze Ikomboa jamii yetu na kuwafikia kwa Ukubwa Zaidi 🙏
💎Afyaplus_Tanzania
🤍Afya yako ni kipaumbele chetu🤝


@msumbiji

09/12/2025

🔑USIUE BUI BUI KWA NYUNDO...🔨 CHUKUA SIRI HII MAPEMA 👇 👇 👇

JINSI MAJI SAFI + SALAMA YANAVYOTOA TIBA NA KINGA BILA MADAWA

(a) Huchochea figo kuchuja damu vizuri

✅Figo hutumia maji kutengeneza mkojo.

✅Maji mengi = sumu zinavuja haraka nje ya mwili.

✅Hupunguza uwezekano wa mawe ya figo na maambukizi.

(b) Husaidia ini kuvunja kemikali nzito

✅Ini linahitaji maji ili kuzalisha enzymes za detox.

✅Maji safi hupunguza mzigo kwenye ini na kufanya uchakataji wa sumu kuwa mwepesi.

(c) Hurekebisha mmeng’enyo na kuzuia kuvimbiwa

✅Maji hutengeneza gel kwenye utumbo unaosaidia kinyesi kutoka kwa urahisi.

✅Hakuna mabaki = hakuna sumu kurudi kwenye damu.

(d) Huongeza jasho la asili

🔑Ngozi ni “fungu la tatu la kutoa sumu.”

📌Ukiwa na maji ya kutosha, jasho hutoa sumu bila kuathiri mwili.

(e) Hurejesha usawa wa kemikali (pH balance)

📌Maji hupunguza asidi mwilini.

📌Mazingira yenye asidi nyingi husababisha kuongezeka kwa sumu na magonjwa.

(f) Huimarisha kinga

📌Seliseli nyeupe za damu hufanya kazi vizuri katika mwili wenye maji ya kutosha.

📌Hupunguza magonjwa ya mara kwa mara k**a mafua, maumivu ya mwili, maambukizi madogo.

(g) Maji huondoa utegemezi wa madawa madogo madogo

Katika hali nyingi:

⚠️Kichwa kuuma

⚠️Uchovu

⚠️Maumivu ya tumbo

⚠️Gesi

⚠️Uvimbe

⚠️Kukosa choo

…vinasababishwa na sumu na ukosefu wa maji—sio ukosefu wa dawa.
Maji safi hurejesha mwili kwenye mfumo wake wa asili wa kujitibu.

---

💧 JINSI YA KUTUMIA MAJI K**A TIBA YA ASILI (Hatua fupi)

🔑Glasi 1 ya maji ya uvuguvugu asubuhi

🔑Kunywa maji kila saa 1–2, taratibu

🔑Maji dakika 20 kabla ya mlo

💧Pendelea maji safi + salama pekee

✅Jasho la dakika 20–30

✅Usingizi wa saa 7–8

✅Kupunguza vyakula vyenye kemikali wakati wa detox

---

🔑. HITIMISHO

Mwili unajikusanyia sumu kila siku, lakini suluhisho la kwanza si dawa—
ni maji safi na salama, yanayosaidia mwili kujitibu na kujisafisha bila madhara.
Maji ni tiba ya msingi, salama, rahisi na inayoleta kinga ya muda mrefu kwa kila Binadamu.

Usiache kushare,kufollow,kulike na wengine wapate elimu hii,
🔑Afyaplus_Tanzania
💚Afya yako ni kipaumbele chetu 🤝

06/12/2025

USIUE BUI BUI KWA NYUNDO...🔨

TUMIA SIRI HII MAPEMA KABLA OGANI ZAKO FIGO,INI,KONGOSHO, MAPAFU, HAZIJAPATA MADHARA YA UHARIBIFU

1. UTANGULIZI

Mwili wa binadamu hutengeneza na kukutana na sumu kila siku kutokana na vyakula, mazingira, msongo wa mawazo, ukosefu wa usingizi na kukaa bila mazoezi. Kadri sumu zinavyozidi kujikusanya, ndivyo viungo vinavyohusika na usafishaji—k**a ini na figo—vinavyopungua nguvu.
Hapa ndipo maji safi na salama yanapokuwa nguzo ya tiba ya asili isiyoleta utegemezi wa dawa.

---

2. JINSI MWILI UNAVYOKUSANYA SUMU KUTOKANA NA MTINDO WA MAISHA

(a) Vyakula vyenye kemikali na mafuta yaliyokoroga

Vyakula vya kukaanga, vya viwandani, sukari nyingi, na vinywaji baridi huacha mabaki ya kemikali mwilini.

Ini hupata mzigo mkubwa kuvunja kemikali hizi.

Mwili unaanza kuhifadhi sumu kwenye mafuta, tumbo na mishipa.

(b) Kukosa kunywa maji ya kutosha

Figo zinashindwa kuchuja damu vizuri bila maji ya kutosha.

Mkojo kuwa mkali au wenye rangi ya njano nzito ni ishara ya sumu kusimama mwilini.

(c) Kukosa choo

Mazoea ya kuvimbiwa husababisha mabaki ya chakula kukaa tumboni muda mrefu.

Mabaki haya hutengeneza sumu mpya (toxins) zinazopenya kwenye damu.

(d) Usingizi hafifu

📌Ini hufanya kazi ya detox usiku.

📌Usingizi mdogo = sumu hazichujwi vizuri = uchovu siku nzima.

📌Msongo wa mawazo (stress)

📌Stress huongeza homoni za sumu (cortisol).

📌Hubadilisha mmeng’enyo na kuongeza oxidation inayoharibu seli.

📌Kuka sana nyumbani/ofisini bila mazoezi

📌Hakuna jasho = sumu haziwezi kutoka kupitia ngozi.

📌Mzunguko wa damu hupungua = sumu kusambazwa mwilini.

---

3. ATHARI ZA MUNDIKANO WA SUMU MWILINI

⚠️Kichwa kuuma mara kwa mara

⚠️Kizunguzungu

⚠️Uchovu sugu

⚠️Kuwa na chunusi au mapele yasiyoisha

⚠️Maumivu ya tumbo na gesi

⚠️Mwili kuwa mzito, kupoteza nguvu

⚠️Harufu mbaya ya mwili na mdomo

⚠️Kupungua kwa kinga na kupata magonjwa mara kwa mara,

🔑Afyaplus_Tanzania {Tunahimiza Kuchukua Hatua Stahiki za Mtindo Bora wa Maisha yako ili kuepukana na Mazoea ya kumeza Madawa kiholela Yanayopelekea Athari Nyingi Na kusababisha Vifo kwa kasi kubwa kwenye Jamii

💎Follow, Share, like&Comment

💚Afya yako ni kipaumbele chetu 🤝

02/12/2025

USIUE BUI BUI KWA NYUNDO..🔨
🔑 CHUKUA SIRI HII MAPEMA AMBAYO JAMII YA WANAWAKE WENGI IMEKUWA MSAADA KWAO,,,

📍USISAHAU KUFOLLOW, SHARE, LIKE & COMMENT ILI NIWEZE KUSAIDIA JAMII YA WATU WENGI KUPITIA WEWE.

💚Afya yako ni kipaumbele chetu 🤝

Address

San Nujoma, Road
Dar Es Salaam
21493

Opening Hours

Monday 08:30 - 18:00
Tuesday 08:30 - 18:00
Wednesday 08:30 - 18:00
Thursday 08:30 - 18:00
Friday 08:30 - 18:00
Saturday 08:30 - 18:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AfyaplusTz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AfyaplusTz:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram