AfyaplusTz

AfyaplusTz Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from AfyaplusTz, Medical and health, San Nujoma, Road, Dar es Salaam.

NASAIDIA JAMII KATIKA KUTATUA VYANZO&KUTIBU MAGONJWA YOTE SUGU YANAYOHUSIANA NA MIFUMO YA UZAZI KWA WANAUME&WANAWAKE,,N.K


, N.K { KARIBUNI SANA}

27/09/2025
27/09/2025

🌿“Afya yako ni kipaumbele chetu”🌿

🍼 Afya Bora ya Mtoto ni Msingi wa Jamii Imara

🔹 Vyanzo vya Changamoto za Afya ya Mtoto

Upungufu wa virutubisho muhimu (vitamin na madini).

Lishe duni yenye vyakula visivyo na uwiano.

Maambukizi ya mara kwa mara (ukosefu wa kinga imara).

Kutopata unyonyeshaji wa kutosha au ulaji bora.

🔹 Dalili Kuu za Upungufu

Kukonda au uzito kutopanda.

Ngozi kukauka, nywele kudhoofika.

Uchovu wa mara kwa mara.

Kung’oka meno mapema au kuchelewa kutembea/kuzungumza.

Upungufu wa damu (kuchoka, rangi ya ngozi kupauka).

🔹 Madhara Makuu

Kudumaa kwa akili na mwili.

Kushuka kwa kinga ya mwili → magonjwa ya mara kwa mara.

Kukuza hatari ya udumavu wa kudumu (stunting).

Kupungua uwezo wa kujifunza na utendaji shuleni.

🔹 Ushauri wa Vyakula Bora vyenye Vitamin & Madini Muhimu

1. Vitamin A → Karoti, viazi vitamu vya rangi ya chungwa, mboga za majani.

2. Vitamin C → Machungwa, nanasi, embe, nyanya.

3. Vitamin D & Kalsiamu → Maziwa, samaki wadogo wa kukaangwa na mifupa, mayai.

4. Chuma (Iron) → Maini, kunde, spinach, nyama nyekundu.

5. Zinki → Karanga, korosho, samaki, nafaka zisizokobolewa.

👉 Ushauri wa Kitaalamu:

Mtoto apewe chakula chenye uwiano sahihi cha wanga, protini, mboga, matunda na mafuta yenye afya.

Epuka vyakula vyenye sukari nyingi na vinywaji baridi visivyo na virutubisho.

Hakikisha mtoto anapata mlo kamili mara 3 kwa siku na vitafunwa vyenye afya katikati ya milo.

Elimu ya lishe kwa wazazi ni msingi wa kinga ya afya ya mtoto.

💎Kwa Msaada wa lishe Bora iliyo na Mchanganyo Sahihi kiafya Usisite kuwasiliana Nasi leo🌿

✅ Afyaplus_Tanzania – Tunahakikisha watoto wanakua kwa afya bora, akili timamu na kinga imara Daima}

💚Afya yako ni kipaumbele chetu...🤝

25/09/2025

"DISTIVE PILLS " ni bidhaa mojawapo ya mfumo wa chakula ambayo imetengenezwa kwa mimea na viungo asilia K**a vile YELLOW CYPRESS, CINNAMON, LIQUORICE, CLOVE pamoja na DRIED TANGERINE.

Moja ya Sifa za TIBA HII ni kutoa Majibu haraka kwa muda mfupi Sana au Ndani ya masaa machache au Dakika kadhaa Mara baada ya kutumia (INSTANTLY RESULTS).

KAZI YAKE
1.Inadhibiti na kutibu tumbo la kuhara papo kwa hapo.

2.Inadhibiti kichefuchefu na kutapika.

3.Inatibu tumbo kujaa gesi.

4.Inatibu kuvimbiwa.

5.Inatibu typhoid na kuhara ndani ya dakika3.

6.Inatibu meno yanayouma na kuondoa mdudu kwenye meno.

7.Inatibu harufu Mbaya mdomoni.

8.Inaondoa sumu mwilini. Kwa mfano K**a mtu Amekula chakula Chenye sumu, hii dawa ni kiboko yake yaani Hakuna kuchelewesha unaokoa Maisha ya mtu hapo hapo.

9.Inaondoa matatizo ya kukosa hamu ya Kula.

10.Inatibu vidonda vya tumbo kwa haraka ikitumika na Bidhaa saidizi

11.Inaondoa kujisikia vibaya kutokana na uvimbe tumboni.

12. Ni zuri sana kwa wasafiri, ni kinga na Tiba ukiwa safarini.

Kulingana na sifa hizi DIGESTIVE PILLS si yakokosekana Katika familia yako.

Namna ya kuipata tuwasiliane kwa namba +255 697 650 762

24/09/2025

💎Mwanaume: Epuka Hatari za Madawa ya Kuongeza Maumbile!

Kuwa na maumbile madogo ni changamoto inayowakumba wanaume wengi, lakini kutumia madawa kiholela ni hatari kubwa. Madawa haya yanaweza kusababisha madhara makubwa k**a:

Kuathiri moyo na shinikizo la damu

Kuangamiza mfumo wa homoni

Kupoteza uwezo wa kiume kwa muda mrefu

Suluhisho Salama na Rahisi:
Njia za asili zinaweza kusaidia kukuza na kudumisha maumbile kwa afya:

1. Lishe bora: Kula vyakula vyenye madini k**a zinc, selenium, na protini (mayai, samaki, karanga).

2. Mazoezi ya mwili: Mazoezi ya moyo (cardio) na mazoezi ya kiakili (k**a Kegel) huongeza mzunguko wa damu kwenye sehemu za siri.

3. Kupunguza msongo wa mawazo: Stress inasababisha udhaifu wa kiume. Jitahidi kupumzika, tafakari au kufanya meditation.

4. Kutunza afya ya mwili kwa ujumla: Kunywa maji ya kutosha, kulala vizuri, na kuepuka kuvuta sigara au kutumia pombe kupita kiasi.

LET'S GOOO👇👇👇

💎Ushuhuda wa Matokeo: 💎
“Nilikuwa na changamoto ya maumbile madogo na hii ilisababisha kutokuwa na kujiamini. Baada ya kufuata mwongozo wa Afyaplus_Tanzania, nimeona tofauti kubwa – afya yangu na ufanisi wangu vimerudi maradufu!” – Juma, Dar es Salaam✅✅✅

📌CHUKUA HATUA SASA:
Usisubiri! Tafadhali wasiliana nasi sasa ili upate ushauri wa kitaalamu na suluhisho salama la kudumu. Afyaplus_Tanzania tayari imeshasaidia wanaume wengi kurejea kwenye afya zao na ufanisi wa kiume maradufu.

Afyaplus_Tanzania – Afya yako ni kipaumbele chetu

24/09/2025

🔴 Madhara ya Dawa za Kutuliza Maumivu Wakati wa Hedhi kwa Wanawake

Wanawake wengi hutumia vidonge vya kutuliza maumivu (painkillers) wanapopata hedhi kali. Ingawa hutoa nafuu ya haraka, matumizi ya mara kwa mara yanaweza kusababisha madhara yafuatayo:

🩸 Kuongezeka kwa hatari ya kutokwa na damu tumboni (ulcer/vidonda vya tumbo).

❤️ Shinikizo la damu na madhara kwenye moyo.

🧠 Kuathiri figo na ini baada ya matumizi ya muda mrefu.

⚖️ Kutegemea dawa na mwili kushindwa kujitibu kiasili.

---

🌿 Tiba Asili Rahisi na Salama

Badala ya kukimbilia dawa, mwanamke anaweza kutumia njia hizi:

💎Tangawizi na mdalasini +kitunguu swaumu-husaidia kupunguza maumivu na uvimbe.

💎Maji ya uvuguvugu au kuweka kitambaa cha moto tumboni – hupunguza maumivu ya misuli.

💎Chakula chenye madini ya chuma na vitamini C (mboga za majani, matunda, nafaka zisizokobolewa) – huimarisha damu na mwili.

💎afyMazoezi mepesi k**a kutembea au yoga – hupunguza maumivu ya hedhi kwa asili.

---

🟢 Ushauri wa Mtindo Bora wa Maisha

📌Epuka vinywaji vyenye kafeini na sukari nyingi.

📌Lala na pumzika vya kutosha wakati wa hedhi.

📌Fanya mazoezi mara kwa mara ili kuongeza mzunguko mzuri wa damu.

📌Kuwa na ratiba ya kula vyakula vyenye virutubisho bora kila siku. LET'S GO.....👇👇👇

💎 HAKIKISHA UNATUMIA MCHANGANYIKO HUU NDANI YA SIKU 7} KABLA YA KUINGIA KWENYE MZUNGUKO WAKO WA HEDHI, TANGAWIZI+MDARASINI+KITUNGUU SWAUMU HAKIKISHA UNACHEMSHA MAJI YA MOTO KISHA UNAWEKA MALIGHAFI HIZI, KISHA MCHANYIKO HUO UKIWA TAYARI, IPUA KISHA WEKA KIASI CHA KIKOMBE CHA ROBO ASUBUHI NA JIONI WAKATI WA KULALA, NDANI YA SIKU SABA HAKIKISHA UNATUMIA IKIWA WAMOTO

HAKIKISHA NOW..
👉UNASHARE
👉UNALIKE
👉UNACOMMENT
📌ILI TUWAFIKIE WANAWAKE WENGI ZAIDI NAO WASAIDIKE

---

✍️ Afyaplus_Tanzania
Motto: Afya yako ni kipaumbele chetu

20/09/2025
20/09/2025

🚫USIUWE BUI BUI KWA NYUNDO📍

💎HII NDIO SIRI PEKEE KWANINI WATU WENGI HAWAPONI MAGONJWA MOJA MOJA NA KUDUMU KWENYE AFYA NJEMA"
‼️ NAJUA HII ITAKUSHANGAZA SANA😱

💎WATU WENGI WAMEKUWA WAKIWA NA MTINDO WA MAISHA MBOVU YAANI, WANAKULA DAWA K**A CHAKULA NA KUHATARISHA AFYA ZAO....

📌JIULIZE WEWE LEO HII UKIHISI KICHWA KINA UMA AU MWILI UNA UCHOVU HUWA UNACHUKUA HATUA GANI YA KWANZA❓
" JAMII YA WATU WENGI HUCHUKUA HATUA YA KUMEZA MADAWA YA KUTULIZA MAUMIVU NA BAADHI YA ANTIBIOTICS BILA VIPIMO NA USHAURI KUTOKA KWA WATAALAMU WA AFYA, KUULETEA MWILI USUMBUFU NA ATHARI ZA MUDA MREFU NA KUATHIRI OGANI K**A FIGO, INI, KONGOSHO, MAPAFU, N.K

⚠️YAANI JAMII IMEFIKA WAKATI WA KUIFANYA MIILI YAO KUWA CHUMBA CHA MAJARIBIO YA KISAYANSI {LABORATORY}😎

💎UNAFIKA WAKATI UNAUMWA MWILI UNASHINDWA KUTIBIKA KWA SABABU YA MRUNDIKANO WA USUGU WA SUMU NYINGI MWILINI, NA UNABAKI KULAUMU WATOA HUDUMA WA AFYA KUMBE WEWE NDIO CHANZO CHA HILO TATIZO LAKO📍

💎PIA MATIBABU UNAYOPATA YANADILI NA DALILI ZA TATIZO SIO CHANZO, MHESHIMIWA HAPA USIPOLIJUA HILI UTAPOTEZA FEDHA ZAKO NYINGI BILA KUPATA MATOKEO LENGWA{STAHIKI} LEO NIISHIE HAPA...✍️ K**A UNAHISI UMEPETA KITU NA ELIMU HII IMEKUFUNGUA KWA NAMNA BORA NISAIDIE KUSHARE ZAIDI ILI TUWEZE KUIKOMBOA JAMII WEWE NA MIMI✓✓✓

💎EPUKA VYAKULA HIVI KULINDA AFYA YAKO YA MFUMO WA MMENG'ENYO WA CHAKULA

📌VINYWAJI VYENYE CAFFEINE,SUKARI NYINGI, VYA KUSINDIKWA VINAVYO SISIMUA MWILI

📌 VYAKULA VYENYE MAFUTA MENGI NA CHUMVI NYINGI KUPITA KIWANGO CHA AFYA

📌VIPOLO NA VYAKULA VILIVYO KOBOLEWA NA KUONGEZWA LADHA

📌 EPUKA KULA VITAFUNWA VYA NGANO MARA KWA MARA

📌 EPUKA KULA CHAKULA KIZITO NA MDA MCHACHE NA KWENDA KULALA HASA NYAKATI ZA USIKU

📌 EPUKA KUKAA MDA MREFU SANA NA ULAJI WA P**I KUPITA KIASI

✅K**A ULISHAJITIBIA ILA BADO HUPATI MATOKEO LENGWA NA HUJUI TATIZO NI NINI? AU HUJUI UFANYAJE?

WASILIANA NASI LEO✅👆

⚠️JE? NI KIASI GANI IMEATHIRIKA NA UMEZAJI WA DAWA
HOLELA?.... ANDIKA HAPO CHINI KWENYE COMMENT HAPO CHINI ILI NIKUSAIDIE....✍️

'enyo

19/09/2025

JE? UNAPITIA CHANGAMOTO YOYOTE INAYOHUSIANA NA MFUMO WA MMENG'ENYO WA CHAKULA FANYA HIVI AU EPUKA MAMBO YAFUATAYO⬇️

⚠️EPUKA VYAKULA VYENYE MAFUTA MENGI NA VINYWAJI VILIVYOSINDIKWA
⚠️EPUKA ULAJI WA P**I KUPITA KIASI NA MATUMIZI YA SUKARI KUPITA KIASI
⚠️ EPUKA KULA VYAKULA VYA NGANO MARA KWA MARA
⚠️EPUKA KUCHELEWA KULA...
⚠️ EPUKA KULA CHAKULA KIZITO NA KUPITA KIASI WAKATI WA USIKU
⚠️ EPUKA KWENDA KULALA MDA MCHACHE BAADA YA KULA HASA NYAKATI ZA USIKU
⚠️EPUKA MATUMIZI MAKUBWA YA TUMBAKU,POMBE,KAHAWA N.K
⚠️ EPUKA KUKAA MDA MREFU

📌K**A ULISHAJITIBIA ILA BADO HUPATI MATOKEO LENGWA‼️AU UNADALILI YOYOTE INAYOKULETEA USUMBUFU USISITE KUWASILIANA NAMI KWA MSAADA ZAIDI....


19/09/2025

Usipoteze tena fedha zako bila kupata Elimu na Ushauri Stahiki kutoka kwa Mabingwa wetu, Wataalamu wa Afya ya Uzazi kwa mwanaume& mwanamke pia..

Karibu tukusaidie ☎️+255683178299

HEALTH IS OUR PRIORITY #

18/09/2025

💎Madhara ya Kukaa na Matatizo ya Mfumo wa Mmeng'enyo wa Chakula bila Suluhisho Stahiki

✨Kukaa na matatizo ya mfumo wa mmeng’enyo wa chakula bila kupata tiba sahihi ni hatari kubwa kwa afya yako. Changamoto k**a kiungulia, gesi, kuharisha mara kwa mara, kuvimbiwa, au kutoa harufu mbaya kinywani zikipuuzwa zinaweza kupelekea madhara makubwa zaidi:

📌Kuchakaa kwa tumbo na umio kutokana na tindikali kupanda mara kwa mara.

📌Kushuka kwa kinga ya mwili, kwani virutubisho havipatikani ipasavyo.

📌Magonjwa sugu k**a vidonda vya tumbo, reflux, au hata saratani ya njia ya chakula.

📌Madhara ya kijamii na kisaikolojia – mfano, aibu kutokana na harufu mbaya kinywani.

👉 Usisubiri tatizo liwe kubwa ndipo utafute tiba. Afya yako ni urithi wako – ichunge sasa.

📌 Afyaplus_Tanzania ipo pamoja nawe kukupa elimu, ushauri, na suluhisho stahiki.

Address

San Nujoma, Road
Dar Es Salaam
21493

Opening Hours

Monday 08:30 - 18:00
Tuesday 08:30 - 18:00
Wednesday 08:30 - 18:00
Thursday 08:30 - 18:00
Friday 08:30 - 18:00
Saturday 08:30 - 18:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AfyaplusTz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AfyaplusTz:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram