Afya Na Uchumi

Afya Na Uchumi BY.MR.MBISE.Afya ya ini ni msingi wa maisha bora. Tuchukue hatua mapema."

UGONJWA WA GAUT NI NINI? Gauti (Gout) ni aina ya ugonjwa unaoathiri viungo vya mwili unaosababishwa na kuwepo kwa kiasi ...
27/10/2025

UGONJWA WA GAUT NI NINI?

Gauti (Gout) ni aina ya ugonjwa unaoathiri viungo vya mwili unaosababishwa na kuwepo kwa kiasi kikubwa kuliko kawaida cha tindikali ya Urea (uric acid) katika damu.

Ongezeko la uric acid husababisha madhara katika jointi (joint) (joint ni sehemu ya mwili inapokutana/ inapoungana mifupa miwili). Gauti inaweza kutokea ghafla (acute gout) au ikawa sugu (chronic gout). Gauti inayotokea ghafla huwa na maumivu makali na mara nyingi huathiri jointi moja tu wakati gauti sugu inaweza kuathiri jointi zaidi ya moja na huambatana na hali ya kujirudia ya maumivu na uvimbe kwenye jointi.

Visababishi vya Gaut

Gauti husababishwa na kuwepo kwa kiwango kikubwa kuliko kawaida cha uric acid katika damu. Hali hutokea iwapo mwili wa mgonjwa unatengeneza uric acid nyingi kuliko kawaida au unashindwa kutoa uric acid mwilini k**a inavyotakiwa.

Ongezeko hili husababisha mrundikano wa uric acid katika maji maji yanayozunguka jointi yanayoitwa synovial fluid na hatimaye kutengeneza vijiwe vidogo vidogo vya tindikali ya urea yaani uric acid crystals ambavyo husababisha jointi kuvimba na hatimaye kuathirika.

Vihatarishi (risk factors)

Ingawa chanzo hakieleweki vema, ugonjwa wa gauti hutokea kuwapata baadhi ya watu walio katika familia moja. Wanaume huathiriwa zaidi kuliko wanawake ingawa wanawake waliokoma kupata hedhi huathiriwa zaidi kuliko wale wanaoendelea kupata hedhi.

1. Unywaji wa pombe na uvutaji wa sugars.
Unywaji pombe na sigara unachangia kwa kiasi kikubwa kuwepo kwa ugonjwa huu.
2. Matumizi makubwa ya baadhi ya madawa k**a vile dawa za kutoa maji mwilini ambazo kwa ujumla husababisha ongezeko la kiwango cha uric acid katika damu.
3. Magonjwa k**a kisukari, magonjwa ya figo, unene uliopitiliza, ugonjwa wa sickle cell anemia au aina nyingine za upungufu wa damu, pamoja na saratani ya damu (leukemia)

Dalili

Dalili za gauti kwa kawaida uhusisha jointi moja au joint chache. Jointi zinazoathiriwa zaidi ni pamoja na kidole kikubwa ha mguuni, magoti, au kiwiko cha mguu.
Wagonjwa huwa na maumivu yanayoanza kwa ghafla hususani nyakati za usiku. Mara nyingi mgonjwa hudai anasikia maumivu makali k**a kitu kinachokata, kupwita au mifupa inayosagana.
Jointi hubadilika na kuwa na joto, kuvimba na kuwa na nyekundu (hujionesha zaidi kwa watu wenye ngozi nyeupe). Kwa kawaida mgonjwa hulalamika maumivu makali ikiwa ataguswa kwenye jointi yenye matatizo.
Shambulio linaweza kudumu kwa siku kadhaa kabla mgonjwa hajapata nafuu, lakini pia laweza kujirudia mara kwa mara.
Pia mgonjwa anaweza kujihisi homa.
Baadhi ya wagonjwa hupata gauti sugu ambayo huwaletea madhara sugu katika jointi (chronic arthritis) hali ambayo husababisha mgonjwa kujihisi maumivu na muda mwingi kushindwa vizuri kutumia jointi zake. Wagonjwa wenye gauti kwa muda mrefu huwa pia na vinundu chini ya ngozi inayozunguka jointi zilizoathirika. Vinundu hivi kwa kitaalamu huitwa trophy na ni ishara ya muhimu kwa madaktari.

Vipimo

1. Vipimo vya damu

Kiwango cha uric acid katika damu. Hata hivyo, si kila aliye na kiwango kikubwa cha uric acid katika damu huwa na gauti.
Kiwango cha uric acid katika mkojo
Uchunguzi wa maji maji yanayozunguka jointi (synovial fluid) kuchunguza vijiwe katika jointi
2. X- ray ya jointi iliyoathirika
3. Synovial biopsy chunguzi wa utando unaozunguka jointi

Matibabu

Matibabu ya gauti hujumuisha matumizi ya dawa mbali mbali za maumivu, virutubisho lishe pamoja na mabadiliko katika mfumo wa maisha ya mgonjwa.
Lishe na mabadiliko katika mfumo wa maisha husaidia pia kuthibiti na kumuepusha mgonjwa na mashambulizi ya mara kwa mara ya gauti. Njia hizi ni pamoja na:

Kuacha kunywa pombe
Kupunguza ulaji wa vyakula vyenye viasili vya purine (aina ya protini) k**a vile nyama ya mbuzi, samaki jamii ya sardines na herring, nyama ya maini au figo, mkate mtamu, maharage yaliyokaushwa, njegere, baadhi ya aina za uyoga, spinachi, n.k.
Thibiti pia ulaji wa nyama kwa kila mlo unaokula
Jiepushe na matumizi ya vyakula vya mafuta k**a vile ice creams, mayonise au vyakula vya kuokwa
Kula kiasi kikubwa cha wanga
Iwapo utaamua kupunguza uzito, hakikisha unapunguza kidogo kidogo kwa sababu upunguzaji wa kasi unaweza kusababisha vijiwe vya uric kujitengeneza katika figo
Matarajio

Madhara ya gauti

Gauti inaweza kusababisha matatizo sugu kwenye jointi (chronic gouty arthritis)
Vijiwe katika figo
Mrundikano wa uric acid unaoweza kusababisha ugonjwa sugu wa figo

Ili kupunguza kiwango cha uric acid katika damu,na kuondoa maumivu katika Viungo kwa njia ya ASILI pasipokuongeza sumu mwilini wasiliana nasi 0718105628

Maelezo ya JumlaAFA Cell Plus imetengenezwa kwa kuchanganya viambata asilia vinavyotoka kwenye:1. Aphanizomenon flos-aqu...
26/10/2025

Maelezo ya Jumla

AFA Cell Plus imetengenezwa kwa kuchanganya viambata asilia vinavyotoka kwenye:

1. Aphanizomenon flos-aquae (AFA) – ni blue-green algae kutoka ziwa la Klamath, Marekani.

2. Moringa Extract – dondoo kutoka majani ya Moringa oleifera, mmea unaojulikana kwa virutubisho vingi.

Bidhaa hii inakuja katika mfumo wa sachets (vifuko vidogo vya unga) unaoweza kuchanganywa na maji ya kawaida au juisi.

---

⚗️ Viambata Muhimu

1. Aphanizomenon flos-aquae (Blue Green Algae)

Chanzo bora cha chlorophyll, amino acids, vitamini B, na minerals.

Huchochea uzalishaji wa seli mpya za damu na kuimarisha mfumo wa kinga.

2. Moringa Extract

Ina zaidi ya vitamini 90, madini 46 ya kupambana na sumu mwilini (antioxidants), na asidi muhimu za amino.

Inasaidia kupunguza uchovu, kuboresha nguvu na kinga ya mwili.

3. Phycocyanin

Ni rangi ya asili ndani ya algae yenye uwezo mkubwa wa kupambana na uvimbe (anti-inflammatory) na saratani.

4. Phenylethylamine (PEA)

Husaidia kuongeza mood nzuri, umakini, na nguvu za akili.

5. Polysaccharides

Huongeza kinga ya mwili (immune booster) na kusaidia ujenzi wa tishu.

---

💪 Faida Kuu za AFA Cell Plus

1. Kuongeza nguvu na kinga ya mwili.

2. Kusaidia kutengeneza seli mpya za mwili.

3. Kuongeza nguvu ya ubongo na umakini.

4. Kurekebisha shinikizo la damu na kusaidia afya ya moyo.

5. Kusaidia detoxification – kuondoa sumu mwilini.

6. Kuimarisha afya ya ini, figo na mfumo wa mmeng’enyo.

7. Kuchelewesha kuzeeka kutokana na antioxidants nyingi.

8. Kwa baadhi ya watu, husaidia pia kuboresha afya ya ngozi na nywele.

17/06/2025

MJUKUU WANGU KARIBU UJIFUNZE KUHUSU MIMBA KUTUNGA NJE YA KIZAZI

Naweza kusema Kwa kawaida mbegu za kiume na yai la k**e hukutana katika mirija ya uzazi (follopian Tube) na mimba hutungwa.

👉🏽 Kiinitete husafiri polepole kwenda kwenye mji wa mimba (Uterus) ambako hujipandikiza kwenye ukuta wa mji wa mimba na kuanza kukua.

👉🏽 Katika tatizo hili Tatizo la mimba kutunga nje ya kizazi Yaani (ectopic pregnancy) mbegu ya kiume na yai huungana kutengeneza kiinitete kwenye mirija ya uzazi (follopian tube) Badala ya kupandikizwa kwenye mji wa mimba (Uterus)

👌 Kwa mantic hiyo k**a mimba ikijipandikiza kwenye mirija ya uzazi (follopian tube) inakuwa na hatari ya kupasuka kadri mimba inavyo kua

👉🏽 Kwasababu mirija hushindwa kutanuka ni mara chache sana mimba zinatunga nje ya kizazi huweza kukua mpaka mwisho nyingi huishia kupasuka kwa mirija na kuondole kwa upasuaji.

ZIPO SABABU ZINACHANGIA MIMBA KUTUNGA NJE YA KIZAZI

Moja ya Sababu Ni hizi apa

🥬. Infection k**a PID,Fangas na U.T.I sugu hupelekea mirija ya uzazi kuziba
🥬.K**a uliwai kutoa mimba zaidi ya 3 unauwezekano wa kupata ectopic pregnancy
🥬.Uvutaji sigara kwa mwanamke
🥬.Upasuaji wa mirija ya maji ya uzazi
🥬.Matumizi ya familly planing hushangia wewe kuja kupata ectopic pregnancy
🥬.Umri wa zaidi miaka 40 kwa mwanamke

NB: Licha hizo Apo Sababu juu nilizokupa naomba nieleweke kwamba Mimba kutunga nje ya kizazi (Ectopic pregnacy) inaweza kutokea kutokana na sababu zingine za kiafya na mabadiliko ya mwili

Karibu tujifunze pamoja.

Huu ndio ule ugonjwa wa kutoka usaha masikioni.  Unasababishwa na maambukizi ya bakteria. Katika hatua za awali unaweza ...
25/05/2025

Huu ndio ule ugonjwa wa kutoka usaha masikioni.

Unasababishwa na maambukizi ya bakteria. Katika hatua za awali unaweza kusababisha ngoma ya sikio kuvimba na baadae kupasuka.

Ugonjwa huu unaweza kusababisha maumivu makali sana.

Watoto wote wenye umri chini ya miezi 6 wenye ugonjwa huu, na watoto wenye umri chini ya miaka 2 ambao wana maambukizi masikio yote mawili na wale ambao masikio yanayotoa usaha ni lazima waanzishie antibiotiki haraka sana.

Wengine ambao hawako katika makundi hayo wanaweza waanzishiwe antibiotiki mpaka hapo baadae.

Dawa za matone za kuweka masikioni hazisaidii k**a ngoma hiajatoboka. Dawa za maumivu ni muhimu sana kwa wagonjwa wenye hali hii.

MATIBABU YA SIKIO YA ASILI NI HAYA

K**a sikio linatoa usaha au maji yenye harufu, chukua kitunguu maji kisage au twanga kikiwa katika mfuko, kila binya mfuko ukielekeza kwenye sikio, unaweza ingiza matone mawili mpaka matatu

Ukitumia asubuhi na jioni kwa siku tatu utaona matokeo, ni msaada wa haraka sana k**a una kidonda ndani na bakteria hufa haraka.

Sema k**a kidonda kibichi huwa yanawasha k**a sekunde 30 hivi kisha maumivu yanakata

K**a mgonjwa ataendelea kutoka usaha au tatizo litaendelea kujirudia mara kwa mara amuone Daktari.

1: Usitumie kinywaji cha baridi sana hata k**a ni maji hakikisha yanakuwa ya joto la kawaida2: Epuka vinywaji vyenye kaf...
07/05/2025

1: Usitumie kinywaji cha baridi sana hata k**a ni maji hakikisha yanakuwa ya joto la kawaida

2: Epuka vinywaji vyenye kafeina (caffeine) k**a kahawa, soda za viwandani na kinywaji chochote k**a kina kafeina inasababisha kuvurugika kwa siku za hedhi na misuri ya tumbo kukaza hivyo kukusababishia maumivu ya tumbo

3: Usibebe vitu vizito sana au kufanya kazi ngumu sana siku za hedhi kutoka

4: Usitumie tango wala juisi yake kipindi cha hedhi maana ubaridi wake hufanya mwili kupoa sana na kusababisha maumivu wakati wa hedhi

Katika kipindi hiki ni vyema k**a utapata vyakula / viungo vya kuongeza joto mwilini mfano tangawizi, iliki, manjano, karafuu, mdalasini, kitunguu saumu, lozi (almonds), matunda na mboga za majani...

Nikukumbushe kuwa
• Mwanamke mwenye changamoto za homoni / hedhi ni muhimu kuacha matumizi ya sukari nyingi, vitu k**a keki, ice cream, keki, soda n.k ni vitu ambavyo hupaswi kuviendekeza maana huvuruga zaidi mpangilio wa homoni

• Punguza au Ikibidi achana na matumizi ya nafaka za kukobolewa mfano sembe, wali mweupe na ngano nyeupe, sio rafiki kwa wenye changamoto hizi za homoni / hedhi

• Kuhusu pombe na vilevi hivyo kila mmoja anafahamu kuwa si rafiki wa afya kwa ujumla... Tumia kiasi au Acha maana hutopungukiwa na chochote usipolewa

MAMBO YA KUZINGATIA ZAIDI

• Tumia kwa wingi nafaka zisizokobolewa ugali wa dona, wali wa brown, ngano isiyokobolewa, viazi vitamu, mihogo, n.k

Ili kubalansi homoni za uzazi kwa wingi zaidi tunahitaji sana vyakula vyenye Omega 3, Folic, Vitamin C, Faiba na Vitamins kwa wingi zaidi ambapo orodha hii ya vyakula ni pamoja na kula vyakula vya baharini k**a samaki wabichi, karoti, parachichi, mboga za majani aina zote, papai, mafuta ya zeituni, maharage ya soya, walnuts, mafuta ya n**i, matunda aina zote, mayai ya kienyeji, maziwa, broccoli, mrehani, mdalasini, iliki, tangawizi, mchemsho wa ndizi na nyama / kongoro, n.k

Nimekupa orodha, wewe utaamua utavyoweza kupangilia kulingana na jinsi ambavyo utaweza kumudu

Kwa mfano unaweza kupangilia hivi

•Asubuhi ukiamka, unakunywa nusu lita ya maji (unaweza kamulia limao) kabla hujapiga hata mswaki [Faida zake unaweza kuuliza-Google kwa muda wako]

Muda wa kifungua kinywa, ukaandaa mchemsho wa ndizi au ukaanda supu ya nyama

Au unaweza kuandaa chai ya mchanganyiko wa tangawizi, iliki, mdalasini, tangawizi, mchaichai n.k na kitafunwa unaweza kuwa na viazi au mihogo ya kuchemsha, mkate wa brown, karanga, mbegu za maboga, kashata au chochote ambacho utakipata muhimu kisiwe cha kukobolewa au kutengenezwa kwa sukari nyingi

Au unaweza kuandaa tu mchanganyiko wa matunda k**a mlo wako wa asubuhi

• Mchana, lunch yako ukaandaa ugali dona, mboga ikawa nyama au samaki, pembeni iwepo mboga ya majani na tunda au juisi ya matunda au uwepo mchanganyiko wa matunda / salad / kachumbari ya maana

Jioni, unaweza kula kiasi kidogo cha nafaka ila usikose mboga ya majani au tunda pembeni na kabla hujalala, irudie chai yako ya viungo
Binafsi kabla sijalala napendelea kunywa chai ya maziwa fresh na natia vijiko kadhaa vya asali na kijiko kidogo cha mdalasini, inasaidia kuleta usingizi mwololo

Afya ni vile tu unavyoamua kula na juhudi yako katika mlo ndio itakuwezesha kuwahi kuona matokeo

Endelea kujifunza na kuzingatia, matokeo mazuri yapo

K**a una changamoto ya uzazi na unapenda kujifunza namna ya kuitatua, tuandikie changamoto yako kwenda whatsapp namba 0763872652

Ukihitaji dawa ya kukusaidia kusafisha mfumo wako wa uzazi na matatizo ya homoni ipo MIXED HERBS POWDER

Kwa mwezi huu una Ofa Ya Dawa Ya Uzazi "MIXED HERBS POWDER" kwa Tsh 46,000 tu

Hii tiba lishe ambayo imeandaliwa kwa mchanganyiko wa dawa asili za uzazi ambayo

✓ Itakusaidia kusafisha via vya uzazi.
Inasafisha mirija ya uzazi, huondoa majimaji au uchafu kwenye tumbo la uzazi, na inaondoa maambukizi ya fangasi na P.I.D sugu

✓ Itakuondolea makovu na vivimbe kwenye fuko la uzazi, kwenye mirija na kwenye vifuko vya mayai (fibroids, scars & ovarian cysts)

✓ Kwa kuwa imechanganywa na mrehani ndani yake, dawa hii itakusaidia pia kuondoa changamoto ya mvurugiko wa hedhi k**a unapata tatizo la kukosa hisia, kuwa mkavu ukeni wakati wa tendo, period kupishana, damu ya hedhi kuwa na utelezi, mayai kutokupevuka, kukosa kubeba mimba n.k....

Weka oda kwa kupiga simu au kwa kutuma ujumbe wenye neno "NAHITAJI OFA" kwenda namba 0678 475 581

Lengo ni huu mwezi uutimie vizuri ili kufikia mwezi ujao uwe na matokeo mazuri zaidi

Karibu utimize ndoto ya uzazi

𝗞𝗶𝗸𝗼𝗵𝗼𝘇𝗶 𝗰𝗵𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗱𝗮𝗺𝘂 𝘀𝗶 𝗰𝗵𝗮 𝗸𝗮𝘄𝗮𝗶𝗱𝗮 – 𝗻𝗶 𝘂𝗷𝘂𝗺𝗯𝗲 𝘄𝗮 𝗺𝘄𝗶𝗹𝗶 𝗸𝘄𝗮𝗺𝗯𝗮 𝗸𝘂𝗻𝗮 𝗷𝗮𝗺𝗯𝗼 𝗸𝘂𝗯𝘄𝗮 𝗹𝗶𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮. 𝗣𝗶𝗺𝗮 𝗺𝗮𝗽𝗲𝗺𝗮, 𝗼𝗸𝗼𝗮 𝗺𝗮𝗶𝘀𝗵𝗮. ...
21/04/2025

𝗞𝗶𝗸𝗼𝗵𝗼𝘇𝗶 𝗰𝗵𝗲𝗻𝘆𝗲 𝗱𝗮𝗺𝘂 𝘀𝗶 𝗰𝗵𝗮 𝗸𝗮𝘄𝗮𝗶𝗱𝗮 – 𝗻𝗶 𝘂𝗷𝘂𝗺𝗯𝗲 𝘄𝗮 𝗺𝘄𝗶𝗹𝗶 𝗸𝘄𝗮𝗺𝗯𝗮 𝗸𝘂𝗻𝗮 𝗷𝗮𝗺𝗯𝗼 𝗸𝘂𝗯𝘄𝗮 𝗹𝗶𝗻𝗮𝗲𝗻𝗱𝗲𝗹𝗲𝗮. 𝗣𝗶𝗺𝗮 𝗺𝗮𝗽𝗲𝗺𝗮, 𝗼𝗸𝗼𝗮 𝗺𝗮𝗶𝘀𝗵𝗮. 𝗔𝗙𝗬𝗔 𝗞𝗔𝗠𝗜𝗟𝗜 𝗡𝗗𝗜𝗢 𝗠𝗧𝗔𝗝𝗜 𝗪𝗔𝗞𝗢.,0678 475 581

𝗙𝗔𝗛𝗔𝗠𝗨 𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗟𝗔 𝗣𝗥𝗘𝗦𝗛𝗔 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗣𝗔𝗡𝗗𝗔 Ugonjwa wa presha ya kupanda, unaojulikana kitaalamu k**a shinikizo la juu la damu (h...
25/03/2025

𝗙𝗔𝗛𝗔𝗠𝗨 𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗟𝗔 𝗣𝗥𝗘𝗦𝗛𝗔 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗣𝗔𝗡𝗗𝗔

Ugonjwa wa presha ya kupanda, unaojulikana kitaalamu k**a shinikizo la juu la damu (hypertension), ni hali ambapo shinikizo la damu ndani ya mishipa linakuwa juu zaidi ya kawaida kwa muda mrefu. Hali hii huongeza mzigo kwa moyo na mishipa ya damu, na inaweza kusababisha matatizo makubwa ya kiafya k**a vile magonjwa ya moyo, kiharusi, na matatizo ya figo.

■ 𝗭𝗜𝗙𝗨𝗔𝗧𝗔𝗭𝗢 𝗡𝗜 𝗕𝗔𝗔𝗗𝗛𝗜 𝗬𝗔 𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗣𝗥𝗘𝗦𝗛𝗔 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗣𝗔𝗡𝗗𝗔

Mara nyingi presha ya kupanda haina dalili za wazi, lakini baadhi ya watu wanaweza kuhisi:

○ Maumivu ya kichwa mara kwa mara

○ Kizunguzungu

○ Uchovu usio wa kawaida

○ Maono hafifu au matatizo ya kuona

○ Mapigo ya moyo kwenda kasi au kuhisi moyo unadunda vibaya

■ 𝗕𝗔𝗔𝗗𝗛𝗜 𝗬𝗔 𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 𝗭𝗜𝗡𝗔𝗭𝗢𝗖𝗛𝗔𝗡𝗚𝗜𝗔 𝗣𝗥𝗘𝗦𝗛𝗔 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗣𝗔𝗡𝗗𝗔

○ Msongo wa mawazo

○ Unene kupita kiasi

○ Lishe isiyo bora (vyakula vyenye chumvi nyingi, mafuta mengi)

○ Kutofanya mazoezi

○ Uvutaji sigara na unywaji pombe kupita kiasi

○ Kurithi kutoka kwa familia

○ Magonjwa mengine k**a ugonjwa wa figo au kisukari

■ 𝗕𝗔𝗔𝗗𝗛𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗗𝗛𝗔𝗥𝗔 𝗬𝗔 𝗣𝗥𝗘𝗦𝗛𝗔 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗣𝗔𝗡𝗗𝗔 𝗜𝗦𝗜𝗣𝗢𝗧𝗜𝗕𝗜𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗣𝗘𝗠𝗔

○ Kiharusi (stroke)

○ Matatizo ya moyo k**a shambulio la moyo (heart attack)

○ Figo kushindwa kufanya kazi vizuri

○ Upofu kutokana na uharibifu wa mishipa ya damu kwenye macho

■ 𝗡𝗝𝗜𝗔 𝗭𝗔 𝗞𝗨𝗗𝗛𝗜𝗕𝗜𝗧𝗜 𝗣𝗥𝗘𝗦𝗛𝗔.

○ Kupunguza matumizi ya chumvi kwenye chakula

○ Kufanya mazoezi mara kwa mara

○ Kupunguza uzito ikiwa una uzito mkubwa

○ Kula matunda, mboga za majani, na vyakula vyenye nyuzinyuzi nyingi

○ Kuepuka msongo wa mawazo

○ Kuepuka sigara na pombe

○ Kutumia virutubisho lishe vya asili

𝑲𝑨𝑹𝑰𝑩𝑼 𝑻𝑼𝑲𝑼𝑺𝑰𝑲𝑰𝑳𝑰𝒁𝑬 𝑵𝑨 𝑻𝑼𝑲𝑼𝑯𝑼𝑫𝑼𝑴𝑰𝑬 𝑻𝑨𝑭𝑨𝑫𝑯𝑨𝑳𝑰 - 𝐓𝐮𝐧𝐚𝐭𝐨𝐚 𝐮𝐬𝐡𝐚𝐮𝐫𝐢 𝐧𝐚 𝐦𝐚𝐭𝐢𝐛𝐚𝐛𝐚𝐛𝐮 𝐤𝐚𝐫𝐢𝐛𝐮 𝐬𝐚𝐧𝐚.
𝑷𝒊𝒈𝒂 𝒔𝒊𝒎𝒖 𝒔𝒂𝒔𝒂 𝒉𝒊𝒗𝒊 𝒂𝒖 𝒕𝒖𝒎𝒂 𝒖𝒋𝒖𝒎𝒃𝒆 𝒎𝒇𝒖𝒑𝒊 𝒘𝒂 𝒎𝒂𝒂𝒏𝒅𝒊𝒔𝒉𝒊.
📞📩 +0678475581+

𝗞𝗨𝗜𝗦𝗛𝗜𝗪𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗗𝗔𝗠𝗨 𝗠𝗪𝗜𝗟𝗜𝗡𝗜 ...(𝗔𝗡𝗔𝗘𝗠𝗜𝗔)*Anemia ni tatizo linalohusisha kuishiwa na damu mwilini. Hili tatizo linatokana n...
23/03/2025

𝗞𝗨𝗜𝗦𝗛𝗜𝗪𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗗𝗔𝗠𝗨 𝗠𝗪𝗜𝗟𝗜𝗡𝗜 ...(𝗔𝗡𝗔𝗘𝗠𝗜𝗔)*

Anemia ni tatizo linalohusisha kuishiwa na damu mwilini. Hili tatizo linatokana na seli nyekundu za damu zinapokosa protini mhimu ....

Protini hiyo huitwa *𝒉𝒆𝒎𝒐𝒈𝒍𝒐𝒃𝒊𝒏*
...kazi ya protin hii husaidia kusafirisha damu yenye oksijeni kutoka kwenye mapafu tu kwenda sehemu nyingine za mwili.

Hivyo basi ukosefu wa protini au kupungua hizi ndio sababu ya Anemia ama kupungua kwa damu mwilini

*𝗔𝗶𝗻𝗮 𝘁𝗼𝗳𝗮𝘂𝘁𝗶 𝘇𝗮 𝗮𝗻𝗲𝗺𝗶𝗮*
..Kuna aina tofauti za anemia zinazotokana na sababu tofauti.

A) 𝗜𝗿𝗼𝗻 𝗱𝗲𝗳𝗳𝗶𝗰𝗶𝗲𝗻𝘁 𝗮𝗻𝗲𝗺𝗶𝗮* - k**a jina lake lilivyo hii huweza kutokea kutokana na upungufu wa madini ya chuma mwilini

Ivi unajua rangi ya damu ni kutokana na uwepo wa madini ya chuma?

Na hii ndio maarufu zaidi, mwili hauwezi kutengeneza hemoglobin bila uwepo wa madini haya ya Chuma

Mama mjamzito anaweza akapata hili tatizo k**a k**a hapati virutubisho vya madini ya chuma vya kutosha

Pia shida k**a kubleed damu nyingi, shida za vidonda, na matumizi ya dawa za kutuliza maumivu kupita kiasi k**a matumizi ya *Asprin*

B) 𝗦𝗶𝗰𝗸𝗹𝗲 𝗰𝗲𝗹𝗹 𝗮𝗻𝗮𝗺𝗶𝗮* - hii pia k**a inavyojieleza hii huzifanya seli nyekundu kuwa na umbo k**a la siko... hii mara nyingi mtu anaipata kwa kurithi kutoka anapozaliwa
.Tunaposema siko yaani .. kawaida ya seli nyekundu za damu zinaumbo la duara au mviringo ambalo huzisaidia kupita kirahisi kwenye mishipa ya damu...

Utofauti wa seli hizi za Siko huwa na umbo k**a la mwezi mchanga, hivyo basi kushindwa kupita vizuri kwenye mishipa ya damu na zaidi hufa haraka kuliko hizo za kawaida

C) 𝗔𝗽𝗹𝗮𝘀𝘁𝗶𝗰 𝗮𝗻𝗲𝗺𝗶𝗮* - hii inatokana pale mwili unashindwa kutengeneza seli mpya kwa haraka. Hii inatokana hasa na maambukizi na matumizi ya baadhi ya dawa kwa mda mrefu

Pia shida ya magonjwa ya autoimune, ( yanayopelekea kinga za mwili kushambulia mwili) k**a rhematoid arthritis

D) 𝗩𝗶𝘁𝗮𝗺𝗶𝗻 𝗱𝗲𝗳𝗶𝗰𝗶𝗲𝗻𝗰𝘆 𝗮𝗻𝗲𝗺𝗶𝗮*
..kadhalika hii hutokana na upungufu wa vitamin mwilini, ukiachana na Madini ya chuma (iron)

mwili pia unahitaji folate na Vitamin B-12 kuweza kutengeneza seli nyekundu zenye Afya
..Hivyo mlo ambao hauna vitamin hivi vya kutosha huongeza uwezo wa hizi shida....

𝗙𝗔𝗜𝗗𝗔 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔 𝗬𝗔 𝗦𝗔𝗠𝗔𝗞𝗜 𝗬𝗔 𝗢𝗠𝗘𝗚𝗔-𝟯 𝗦𝗔𝗟𝗠𝗢𝗡 𝗣𝗟𝗨𝗦 𝗬𝗔𝗡𝗔 𝗙𝗔𝗜𝗗𝗔 𝗡𝗬𝗜𝗡𝗚𝗜 𝗞𝗜𝗔𝗙𝗬𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗠𝗪𝗜𝗟𝗜:𝐇𝐚𝐩𝐚 𝐧𝐢 𝐛𝐚𝐚𝐝𝐡𝐢 𝐲𝐚 𝐟𝐚𝐢𝐝𝐚 𝐳𝐚𝐤𝐞 𝐤𝐮𝐮:𝟭. ...
23/03/2025

𝗙𝗔𝗜𝗗𝗔 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗙𝗨𝗧𝗔 𝗬𝗔 𝗦𝗔𝗠𝗔𝗞𝗜 𝗬𝗔 𝗢𝗠𝗘𝗚𝗔-𝟯 𝗦𝗔𝗟𝗠𝗢𝗡 𝗣𝗟𝗨𝗦 𝗬𝗔𝗡𝗔 𝗙𝗔𝗜𝗗𝗔 𝗡𝗬𝗜𝗡𝗚𝗜 𝗞𝗜𝗔𝗙𝗬𝗔 𝗞𝗪𝗔 𝗠𝗪𝗜𝗟𝗜:

𝐇𝐚𝐩𝐚 𝐧𝐢 𝐛𝐚𝐚𝐝𝐡𝐢 𝐲𝐚 𝐟𝐚𝐢𝐝𝐚 𝐳𝐚𝐤𝐞 𝐤𝐮𝐮:

𝟭. 𝗔𝗳𝘆𝗮 𝘆𝗮 𝗠𝗼𝘆𝗼.

Hupunguza kiwango cha mafuta mabaya (triglycerides) kwenye damu.

Husaidia kudhibiti shinikizo la damu.

Hupunguza hatari ya magonjwa ya moyo na kiharusi.

𝟮. 𝗔𝗳𝘆𝗮 𝘆𝗮 𝗨𝗯𝗼𝗻𝗴𝗼 𝗻𝗮 𝗞𝘂𝗺𝗯𝘂𝗸𝘂𝗺𝗯𝘂.

Husaidia kuboresha utendaji wa ubongo na kumbukumbu.

Hupunguza hatari ya matatizo k**a Alzheimer's na dementia.

Hupunguza msongo wa mawazo (stress) na wasiwasi.

𝟯. 𝗠𝗮𝘂𝗺𝗶𝘃𝘂 𝘆𝗮 𝗩𝗶𝘂𝗻𝗴𝗼 𝗻𝗮 𝗠𝗶𝗳𝘂𝗽𝗮

Hupunguza uvimbe na maumivu kwenye viungo, hasa kwa wenye arthritis.

Husaidia kuimarisha mifupa na kupunguza hatari ya osteoporosis.

𝟰. 𝗔𝗳𝘆𝗮 𝘆𝗮 𝗠𝗮𝗰𝗵𝗼
Hupunguza hatari ya matatizo ya macho k**a macular degeneration.

Husaidia kudumisha unyevunyevu wa macho, hivyo kuzuia macho makavu.

𝟱. 𝗞𝗶𝗻𝗴𝗮 𝘆𝗮 𝗠𝘄𝗶𝗹𝗶

Husaidia kuimarisha kinga ya mwili na kupambana na magonjwa.

Hupunguza hatari ya magonjwa ya mzio (allergies) na athari za autoimmune.

𝗞𝘄𝗮 𝘂𝘀𝗵𝗮𝘂𝗿𝗶 𝗻𝗮 𝗺𝗮𝗲𝗹𝗲𝘇𝗼 𝗻𝗮 𝗻𝗮𝗺𝗻𝗮 𝗻𝘇𝘂𝗿𝗶 𝘆𝗮 𝗸𝘂𝗽𝗼𝗻𝗮 𝗰𝗵𝗮𝗻𝗴𝗮𝗺𝗼𝘁𝗼 𝘆𝗮𝗸𝗼
𝑷𝒊𝒈𝒂 𝒔𝒊𝒎𝒖 𝒔𝒂𝒔𝒂 𝒉𝒊𝒗𝒊 𝒂𝒖 𝒕𝒖𝒎𝒂 𝒖𝒋𝒖𝒎𝒃𝒆 𝒎𝒇𝒖𝒑𝒊 𝒘𝒂 𝒎𝒂𝒂𝒏𝒅𝒊𝒔𝒉𝒊.
📞📩 +0678 475 581

21/03/2025

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Na Uchumi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram