Dr.Seif TZ

Dr.Seif TZ HABARI TUNASAIDIA KUWAPA WATU USHAURI NA KUTATUA CHANGAMOTO MBALI MBALI ZA KI AFYA KWA KUTUMIA TIBA ASILIA ZISIZO KUA NA KEMIKALI..

KWA USHAURI NA TIBA WASILIANA NASI KWA NAMBA +255673616221
AU WHATSAPP https://wa.me/255673616221

16/12/2025

Kipimo cha kuonyesha PID bila ultrasound”

“Si lazima uende ultrasound kujua k**a una PID. Kuna dalili mwili unakuonyesha mapema.”

• Maumivu chini ya kitovu
• Uchafu mzito usioisha
• Maumivu wakati wa tendo
• Maumivu wakati wa kukojoa
• Kuvuja damu katikati ya mwezi

“Hizi dalili zikiungana, PID inawezekana. Nitafute sasa nikupe ushauri sahihi — Dr. Seif Afya Point.” ゚viral

15/12/2025

Kwa nini uchafu ukeni huanza kuwa na harufu mbaya?”

• Mabadiliko ya pH ya uke
• Bakteria wabaya kuongezeka kuliko wazuri
• Pads kukaa masaa mengi
• Tendo bila lubrication ya kutosha
• PID inayoanza kimya kimya

“Ikiwa harufu imekuanza, usizoea. Nipige au nitafute WhatsApp — Dr. Seif Afya Point nitakusaidia.”

15/12/2025

“Umefanya tendo, dakika chache baadaye unapata muwasho au maumivu? Hii ndiyo sababu.”

• Ukeni kukosa uwezo wa kujilinda (low immunity)
• Bakteria wa nje kuingia kwa urahisi
• Lubrication kuwa kidogo
• Kutojisaidia baada ya tendo
• PID iliyo ndani bila dalili

“Ikiwa maambukizi yanatokea baada ya tendo, unahitaji usaidizi wa kitaalamu. Nipate WhatsApp — Dr. Seif Afya Point.”

13/12/2025

PID haiji kwa makelele, lakini madhara yake ni makubwa—utasa, maumivu ya kudumu, na mateso ya kimya,Saratani n.k ,Usicheze na afya yako ya uzazi. Dr. Seif Afya Point tunakusaidia mapema kwa tiba sahihi.Afya ni maisha—chagua kujitibu sasa ゚viral

12/12/2025

“PID haianzi kwa maumivu makali… huanza kimya kimya. Hizi ndizo dalili za mwanzo ambazo wanawake wengi huzipuuza.”

• Maumivu ya tumbo la chini yanayokuja na kuondoka
• Uchafu mzito wenye harufu isiyo ya kawaida
• Maumivu wakati wa tendo
• Kuvuja damu katikati ya mzunguko
• Uchovu wa mwili usioelezeka

“Ukiona dalili hizi, usisubiri zikue. PID ikichelewa kutibiwa husababisha mimba kushindikana. Nitafute sasa kwa ushauri au tiba — Dr. Seif Afya Point.” #+255673616221 ゚viral

12/12/2025

“Unashangaa nguvu zimepungua ghafla? Hii huwa haiji bila sababu…”

1. Msongo wa mawazo kupita kiasi
2. Usingizi mdogo
3. Maambukizi ya njia ya mkojo bila dalili
4. Kudhoofika kwa mtiririko wa damu
5. Lishe duni na tumbo kujaa gesi
6. Viroboto vya mwili (toxins) kuongezeka

“K**a nguvu zimekushuka bila kueleweka, usiogope. Nipatie ujumbe WhatsApp — Dr. Seif Afya Point nitakuongoza vizuri.”

11/12/2025

“Sababu kubwa ya UTI kwa wanawake haiko kwenye choo… iko kwenye tabia moja ndogo unayofanya kila siku.”

• Wengi hukaa muda mrefu bila kukojoa wanaposhikwa na haja
• Mkojo unapokaa kwenye kibofu muda mrefu, bakteria huzaliana haraka
• Hii ndiyo inafanya UTI kurudi-rudia bila kuisha
• Hata k**a unatumia dawa, ukizichelewesha kukojoa, tatizo linarudi

“UTI ikikusumbua au kukurudia, usiteseke kimya. Nipigie au tuma ujumbe WhatsApp — Dr. Seif Afya Point.”+255673616221 ゚viral

11/12/2025

“Kwa nini unapata fungus kila mwezi hata baada ya dawa? Hizi ndizo sababu 5 ambazo wanawake wengi hawajui.”

(Sehemu kuu)
1. Kuosha uke kwa sabuni zenye harufu – Unaua bakteria wazuri, fungus inarudi.
2. Nguo za ndani kubana & joto – Hufanya mazingira mazuri ya fangasi.
3. Kutumia pads nyingi masaa mengi – Unafanya uke kuwa na unyevunyevu muda mrefu.
4. Kufanya tendo bila lubrication ya kutosha – Inaumiza na kufungua mlango wa maambukizi.
5. Kutotibu mzizi wa maambukizi – Wanatibu dalili, chanzo kinabaki.

“Ikiwa fungus imekutesa mara nyingi, usizoea maumivu. Nipatie ujumbe WhatsApp, nitakuongoza mpango sahihi wa tiba — Dr. Seif Afya Point.” +255673616221

07/12/2025

*K**a upo na miaka 25+ ni Muda sahihi wa...👇*

1. Kupunguza Wanga...

2. Kupunguza Sukari....

3. Kupunguza Chumvi...

4. Kutoka jasho mara kwa mara, Kupitia Mazoezi 💪

5. Kuwa na mwenza unayemfurahia...

6. Kuwa na hobies angalau tatu...

↳ Inayokupa furaha.
↳ Inayokupa elimu.
↳ Inayoingiza pesa.

*NB:* Miaka 25+ siyo Uzee…Ni kipindi ambacho makosa madogo ya lishe na mtindo wa maisha hujenga hatari kubwa kimya kimya...

Unene, kisukari, shinikizo la damu, kupungua kwa nguvu za kiume, afya ya uzazi, Na uchovu wa kila siku...

Huu ndiyo wakati wa kufanya maamuzi sahihi, ili kulinda afya wako kwa miaka 50+ ijayo...

*By Mr Health A sound of health | Jifunze na chukua hatu kuboresha afya yako...🩺🫡*

06/12/2025

“🌍 Popote ulipo duniani, usitie shaka!
Tiba zangu zinakufikia moja kwa moja hadi ulipo kwa usalama, uaminifu wa hali ya juu na huduma ya kitaalamu.
Nimejihakikisha kila mteja anapokea dawa sahihi, kwa wakati, na bila usumbufu.
Afya yako, nguvu yako — Dr. SEIF Afya Point yupo kwa ajili yako!”

04/12/2025

najua fungus ukeni inaweza kukupa maumivu, muwasho, harufu mbaya na hata kukupotezea amani ya mwili na kujiamini. Lakini nataka ujue kitu kimoja—haikufanyi kuwa dhaifu wala si kosa lako. Ni hali inayotibika kabisa ukipata tiba sahihi.

Usiingie kwenye hofu, usiishi kwa maumivu au aibu. Nipo hapa kuhakikisha unarudi kwenye hali yako ya kawaida kwa usalama na uhakika.

Kwa tiba iliyo sahihi na matokeo ya uhakika, Dr. SEIF Afya Point ndiyo sehemu yako ya kwanza. Afya yako ni kipaumbele changu, na nataka uache kuhangaika—tiba sahihi ipo, na nitaifahamu mwili wako kwa uangalifu mpaka upone kabisa.

04/12/2025

“Kila mwanamke ana nguvu ya kujitambua, lakini nguvu hiyo huongezeka mara mbili anapozijua siku zake za hatari na mzunguko wake wa hedhi.”

Kujua mzunguko wako ni zaidi ya kufuatilia hedhi — ni ufunguo wa:
✅ Kupanga mimba au kuepuka mimba
✅ Kutambua dalili za mwili mapema
✅ Kujua aina ya mimba (mimba ya mapema, mimba iliyopangwa, mimba isiyopangwa n.k.)
✅ Kujilinda dhidi ya maambukizi ya mfumo wa uzazi

Unapozijua siku zako za hatari:
🌿 Unajua ni lini yai linatolewa (ovulation)
🌿 Unatambua siku ambazo uwezekano wa kushika mimba ni mkubwa
🌿 Unapewa uwezo wa kupanga maisha yako ya uzazi kwa usahihi na utulivu

Kumbuka…
Mwanamke anayejitambua mzunguko wake, anajitawala.
Mwanamke anayejitawala, anapanga maisha yake kwa uhuru na hekima. Nitafute whatsApp +255673616221 ゚viral

Address

Dar Es Salaam
12101

Telephone

+255673616221

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr.Seif TZ posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dr.Seif TZ:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram