15/02/2023
The best way of managing Your Finance.
1:Knowing your earnings can be daily or monthly. Lazima katika biashara yako uwe unajua mapato yako kwa siku, week, month mpaka hata mwaka. Mfano Mimi pale ELIKAS najua kabisa tukifungua saa kumi na mbili mpaka saa sita usiku labda najua minimum earnings, kwa hiyo ikitokea mpato kwa siku hiyo siyo k**a siku zote basi lazima nijuwe kunatatizo hapo labda tumechelewa kufungua au nimechezewa mchezo.
2:Having daily or monthly budget, hapa sasa tunatkiwa kujua ;
i)How much do you have to save, Lazma utoe savings kwanza before expenses..Saving sio lazma iwe kubwa (can be 10%-20% of your earnings)
ii) kupriotise expense zetu, kuna vitu ambavo n muhimu na kuna ambavo sio muhimu(know what you need not what you want)
3:Having plans /business plans of your saving-Ili upate hamasa ya kusave lazma uwe na reason ya kusave can be personal reason, family reason au business reason
4.Tusiogope kufanya biashara, sio lazma uwe na mamilioni kuanza kufanya biashara(passion n how commited you are inaweza ikawa factor nzr ya kukufanya ufanye biashara)
Nice day!