JALI AFYA YAKO

  • Home
  • JALI AFYA YAKO

JALI AFYA YAKO 💊Fertility doctor.

(Mtabibu wa Changamoto za Uzazi).

🩺" Nasaidia wanaume na wanawake kutatua changamoto zao za uzazi kwa kutumia Tibalishe zilizothibitishwa".

💡"Kila mtu ana nafasi ya kuitwa Mama au Baba,usikate tamaa tupo kwa ajili yako".

09/01/2026

Ishini nao Kwa wema Hao wake zenu, kwani Hakuna Mwanamke aliekamilika K**a Ambavyo Hakuna mwanaume mkamilifu.

Kuna Ile njia Maarufu na mashuhuri  katika suala zima la Kupanga Uzazi Kwa njia ya Asili k**a njia ya kumwaga nje (withd...
08/01/2026

Kuna Ile njia Maarufu na mashuhuri katika suala zima la Kupanga Uzazi Kwa njia ya Asili k**a njia ya kumwaga nje (withdrawal method). kitaalamu ni kwamba ufanisi wake hua ni asilimia 80% tu.

⚖️Asilimia 20% zinazobaki ni kwamba ukijichanganya unatembea na kikopo cha kutema mate.😂

✍️ Vipi kwako wewe Hii njia imeshawahi kukusaidia au kilikulamba mwenzetu?😀

🎁Zawadi Hunogesha Huba na kupalilia Pendo, peaneni Zawadi.✍️Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali katika masuala ya saikolojia...
07/01/2026

🎁Zawadi Hunogesha Huba na kupalilia Pendo, peaneni Zawadi.

✍️Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali katika masuala ya saikolojia Mahusiano na mapenzi unaambiwa wanawake hupenda sana zawadi zenye muendelezo.

✨Kwa mfano akipewa zawadi flani leo katika akili yake huanza kuwaza zawadi nyingine k**a hiyo au kubwa zaidi ya hiyo hivi karibuni.
Tuchukulie Leo umempa Zawadi ya Saa Mpya yenye Thamani, Akili yake Huwaza Tena kwamba Zawadi ijayo itakuwa Simu au kitu kikubwa zaidi ya Thamani ya Saa.

🎁Je! Huwa unampa mwenza wako Zawadi au Tukuache tusifuatilie maisha yako? 😀

06/01/2026

Mwaka ndio kwanza Bado Mpya Mpya, vipi Unauonaje?

2026 Utatoboa?

K**a unataka Kuimarisha Afya yako ya Uzazi basi kuanzia Leo Achana kabisa na Vi**ra &Mkongo.👉Leo nakupa Code Bora na ya ...
04/01/2026

K**a unataka Kuimarisha Afya yako ya Uzazi basi kuanzia Leo Achana kabisa na Vi**ra &Mkongo.

👉Leo nakupa Code Bora na ya kipekee ambayo k**a utaizingatia vizuri Kwa makini basi nakuhakikishia utakua Simba Kwenye 6*6..

✍️Mambo yasiwe mengi sana: Hapa kuna Karang + Almonds + Korosho + Mbegu za maboga, ndizi na Tende.

🫒Nafaka hizi zimejaa madini ya Zinc kwa Asilimia 78%, Mwanaume anahitaji madini ya Zinc kwa kiwango kikubwa sana Kwa ajili ya Afya yake ya Uzazi pamoja na kuimarisha homoni yake ya Testosterone.

🫵Sasa Kwanini utumie Mkongo &Vi**ra, kwanini mpaka leo utumie Busta na huku Unafahamu madhara yake ni makubwa sana?

🪢Jinsi ya Kutayarisha:-

👉Chukua Vitu hivyo tajwa hapo juu, Saga kwenye blender pamoja na maziwa fresh, au tui la n**i k**a ukikosa maziwa.

Tafadhali Usitie sukari wala Asali.

Tumia glas moja kila siku jioni baada ya mazoezi ya Kegel, Mabadiliko utayapata baada ya siku 15 Tu.

✨Mwaka mpya hauanzi kwa kubadilika kwa tarehe, unaanza pale unapochukua uamuzi. Watu wengi husubiri mpaka wajisikie taya...
02/01/2026

✨Mwaka mpya hauanzi kwa kubadilika kwa tarehe, unaanza pale unapochukua uamuzi. Watu wengi husubiri mpaka wajisikie tayari, lakini maendeleo huanza kwa hatua ndogo unazochukua leo. Uaminifu wa kila siku hata kwenye mambo madogo, hujenga nidhamu, tabia na hatimaye mafanikio makubwa.

🫵Anza sasa, usisubiri mazingira yakubali. Leo ni siku ya kupanda mbegu ya mabadiliko unayotaka kuyaona mwisho wa mwaka.

01/01/2026

Nawatakia AFYA njema, mafanikio na baraka tele katika mwaka mpya. Anza mwaka kwa kuchagua afya asilia na maisha bora
Tunawatakia afya njema.

Je! Huwa Unapitia changamoto ya Maumivu makali wakati wa Hedhi na Haujui ufanye Nini?🧕Wanawake wengi sana Kipindi wanapo...
31/12/2025

Je! Huwa Unapitia changamoto ya Maumivu makali wakati wa Hedhi na Haujui ufanye Nini?

🧕Wanawake wengi sana Kipindi wanapoingia Katika Hedhi Huwa wanakumbana na Changamoto ya Maumivu makali hasa chini ya kitovu, wengine Huhisi Kichefuchefu kikali, Mood ya kazi inakua ndogo pamoja na maudhi mengine mengi.

✍️Fanya Mambo haya Yafuatayo ikiwa Huwa unakumbana na Maumivu ya Hedhi, Pia Hata wewe Baba Mfanyie Mkeo au mwenza wako Mambo haya Ili kumsaidia changamoto yake:-

1️⃣‎Asubuhi Andaa/ muandalie
‎✅Chai ya mdalasini au Chai ya tangawizi, angalau kikombe kimoja cha 250mls na dark chocolate (chocolate nyeusi). Usitie Sukari.

2️⃣‎Mchana mpe k**a
‎✅ Nanasi, Parachichi,Ndizi na Karanga & mbegu za maboga.

3️⃣‎Jioni Fanya
‎✅Mazoezi mepesi / kutembea.
‎✅kisha malizia Kwa kuweka heating pad tumboni kwa 15 dk mpka 30 dk , Kisha Fanya Massage ya tumbo kwa mafuta ya n**i au mzeituni.

👉Hii imewasaidia wengi sana,Fanya hayo Kisha Leta Mrejesho.

✍️Kwa msaada wa changamoto zingine za Kiafya usisite kuwasaliana nasi ☎️+255717920637/Whatsapp.



30/12/2025

Hongereni sana Taifa Stars, Mmetuwakilisha vyema.🇹🇿🇹🇿🇹🇿

30/12/2025

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Patrick Samwel, Nabii Mweusi, Antonio Nyepe

29/12/2025

Kwanini Imekua Ngumu kwako mpaka Leo Hii Kuacha Kuangalia p**n na kufanya ma********on?

28/12/2025

Tupige story nje ya Afya.
Hivi Jana Taifa Stars mmewaonaje?😄

mie Kwa kweli wamenikera sana.

Address

Ilala Boma

Telephone

+255717920637

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when JALI AFYA YAKO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to JALI AFYA YAKO:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram