Dr Nazar

Dr Nazar Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Dr Nazar, Dar es Salaam.

18/09/2022

MADHARA YAPI MTU MWENYE MAUMIVU YA MGONGO, MAGOTI NA VIUNGO
K**a magari na vifaa vingine vinavyo zunguka kwa kutumia vilaishi mbalimbali pale vinapokosa ubora wa kulainishwa huleta shida katika utendaji kazi wake na kila tatizo huwa linatengemeana na kiasi gani limeathiri. hata katika upande wa mifupa kwa mwanadamu na joints kwa ujumla pale inapokosa ubora mwathirika hupatwa na moja ya changamoto k**a zifuatazo;
i. Kukosa uwezo wa kihisia. Asilimia kubwa mtu anapopatwa na changamoto za mifupa au kwenye maungio ya aina yoyote swala la tendo la ndoa au kihisia kimapenzi hupotea na muda mwingine hujawa na hasira za ajabu ajabu bila kujari au bila hata yay eye mwenye kujua k**a ana hasira.
ii. Ulemavu. Kadiri mtu anapokuwa anaendelea kuzeeka k**a tayari ana maumivu ya viungo ni kirahisi kabisa kuja kuwa mlemavu wa viungo na wengine hushidwa kutembea au kuinama hasa pale anapofikia umri wa kuanzia miaka ya 50+ na wengine huanza kutembelea fimbo kumbe ni tatizo tu la kutokuwa na mifupa imara na iliyopoteza ubaora wake.
iii. Kansa ya mifupa au wepesi wa uzito wa mifupa. Mfupa au mifupa inatakiwa kuwa na uzito ulio standard lakini kuligana na changamoto za hapa na pale pamoja na utumiaji wa madini ya fluoride kwa wingi kutoka kwenye dawa za meno na kwenye maji na kutokupata vitamin D ya kutosha kutoka kwenye vyakula mbalimbali mifupa ya mwanadamu huadhirika na inakuwa kirahisi kuvujika n ahata ikivunjika vi vigumu au huchukua muda mrefu kujiunga na kuwa mhanga wa ugonjwa wa mifupa.

18/09/2022

Hakuna mwanadamu ambae hapendi kutembea kwa kutumia miguu yake miwili Sasa swala siyo kutembea tu bali kutembea bila kuwa na maumivu ya namna yeyote kwenye mwili wako,na njia pekee itakayo kuhakikishia kuwa unaouwezo wa kutembea vizuri na hakuna changamoto yeyote ya miguu wala joint.Sasa leo hii ungana name uweze kufahamu na kuelewa nini umuhimu wa mifupa yako na viungo kwa ujumla.
Mfumo mzima ambao unakuwerzesha wewe kutembea na kufanya shughuli zako zote za kiuzalishaji na kutembea kwa ujumla inahusisha,viungo,mifupa,pamoja na misuli sasa huwa hivi hupatwa changamoto na hapo ndipo maumivu yanapoanzia.Kwapamoja tu tazame nini tafsiri sahihi ya joint na mifupa kwa ujula na madhara yake husababishwa na nini,,
JOINT (KIUNGIO) huu ni muunganiko kati ya mfupa na mfupa,ambao unakuwezesha wewe uweze kujongea au kutembea wakati
MFUPA huu ndio muundo dhabiti ambao kwanza kabisa unakupa picha au muonekano halisi wa ubinadamu ambao unakazi nyingi pamoja na kubeba misuli ya mwili wako,na kazi kubwa ya mifupa ni kuakikisha mwili wako unatimia k**a mwanadamu pamoja na viungo vyake,sasa vitu hivi huwa vinaathiriwa tuweze kuona nini hasa kinachopelekea maumivu ya joint kwa wlio wengi,na hasa watu wanao fanya mazoezi mara kwa mara hupelekea sana kupata hizi athari au maumivu ya joint pamoja na mifupa,lakini pia wamama ambao wako kipindi cha kukoma hedhi hupata sana hii changamoto ya mifupa kwenye kiuno na mgongo.,pia watu wazima sana hasa wazee hawa miili yao huwa inaudhaifu mkubwa sana kwasababu yakukosa vitu vyakuweza kusaidia afya zao kuwa sawa hali kadharika uzito mkubwa nao ni changamoto kubwa kwenye swala la joint na mifupa kwani mwili uzidiwa na uzito mkubwa wa mwili wako.
hivyo ni muhimu kupata elimu ya mifupa na maungio kwa ujumla kuanzia uti wa mgongo hadi kwenye miguu, pingili za uti wa mgongo zimegawanyika katika sehemu kuu tatu.
a. Pingili za uti wa mgongo sehemu za shingo, hii sehemu endapo ikipata shida hupelekea mtu kuhisi maumivu kuanzia kwenye shingo hadi mikono kufa ganzi na kushindwa kufanya kazi vizuri au mikono kupalalaizi
b. Kwenye mgongo, hii humfanya mtu kushindwa hata kunyanyua baadhi ya mizigo au kusindwa kuinama kabisa na muda mwingi hulazimika awe ameunyoosha tu mgongo bila kuukuja.
c. Na mwisho pingili sehemu ya kiuno, hii ni sehemu muhimu sana pia kwenye mwili wa binadamu maana k**a haitafanya kazi vizuri husababisha madhara k**a miguu kufa ngazi au kupooza kwa miguu au maumivu kwenye nyonga

Tatizo la maumivu ya viungo au mifupa kwa ujumla inakumba sana watu wazima hii ni kutokana na kadili mtu anapozidi kuzeeka na mifupa hudhoofika na yenyewe ubora wake japo hili tatizo linaweza kumpata mtu wa aina yoyote endapo tu asipokuwa makini na afya yake, baadhi ya mambo yanayosababisha kupata maumivu ya mgongo na magoti ni k**a haya;

CHANZO CHA MAUMIVU YA KIUNO NA TIBA YAKE✍🏻Maumivu ya kiuno yamekuwa ni tatizo la kawaida na siyo kwa watu wenye umri mku...
18/09/2022

CHANZO CHA MAUMIVU YA KIUNO NA TIBA YAKE

✍🏻Maumivu ya kiuno yamekuwa ni tatizo la kawaida na siyo kwa watu wenye umri mkubwa, bali hata kwa vijana. Hali hii imewa tishio kubwa na mara nyingine kutofahamika Chanzo ni nini.

✍🏻Leo tutaona baadhi ya sababu na vyanzo vikuu vya tatizo hilo;

1️⃣MAUMIVU YA MGONGO

✍🏻Katika maisha ya binadamu mara moja moja hukutana na huu ugonjwa wa kuumwa na kiuno hutegemeana na ukubwa wa tatizo kuna unao weza kuuma kwa mda na mwingine kuumwa kabisa na kua ni ugonjwa wake kias cha kushindwa kutembea sababu ni nyingi kutegemeana na chanzo cha tatizo.

2️⃣KUNYANYUA VITU VIZITO

✍🏻Mara nyingi watu haswa wakina mama wanakua ni wahanga wa huu ugonjwa wa mgongo bila kujua tatizo hulisababisha kwa kunyanyua vitu vizito mfano ndoo huku akiwa ameinama na kusababisha misuli ya kiuno kuvuta

3️⃣MISULI KUUMA

✍🏻Hutegemeana na sababu ila mfano wa hapo juu unapo nyanyua vitu vizito vibaya mfano ndoo kubwa ya maji ukiwa wima una pelekea maumivu ya pingili za uti wa mgongo kwa sababu hiyo misuli ya mgongo hujiminya na kua midogo kulinda uti wa mgongo na unapata maumivu makali.

4️⃣PINGILI ZA UTI WA MGONGO

✍🏻Katika uti wa mgongo kuna pingili 33 na kila moja ikifanya kazi yake sasa katika hizo pingili zipo k**a donati na huwa zinazungukwa na mafuta pindi inapo jisugua kwa kukosa mafuta husababisha maumivu kushuka mpaka miguuni kwa maumivu

5️⃣MKAO MBAYA NA MUONDOKO

✍🏻Mara nying watu wenye kusimama mda mrefu hua ni wenye kupata na tatizo la pressure tofaut na pressure pia swala la mgongo kuwa uma ni swala ambalo lipo kwao sana kwa sababu ya mkandamizo wa mkao mbaya wa kusimama kwa mda mrefu pia watu wenye kushinda kwenye kuendesha magar pia wale wenye kukaa vibaya kwenye computer kwa mda mrefu

✍🏻Kuondoka ghafla kwa kishindo husababisha k**a nilivyo sema mvutiko wa misuli ya kiuno na kupelekea maumivu makali.

6️⃣MAGONJWA K**A JIWE KATIKA FIGO, UTI NA ARTHRITIS

✍🏻Moja ya sababu nyingine ni kua na jiwe kwenye njia ya figo inapelekea mtu kuumwa na kiuno pia magonjwa ya njia ya mkojo husababisha kiuno kuuma mfano wake ni k**a UTI hupelekea maumivu makali sana ya kiuno.

✍🏻Pia kuna ugonjwa ambao ni haru yabis huu husambulia mifupa na kupelelkea maumivu ya mifupa na pia maumivu ya kiuno.

7️⃣Pia kuna mama kua mjamzito
8️⃣Mwanaume kuwa na kitambi na vingine maana nakumbuka ukiwa kijana ukiskika una umwa mgongo unaambiwa oa bhana uondokane na tatizo hilo.
9️⃣Mwanamke kuwa na Tatizo la PID au Homon Imbalance au Mjamzito husababisha au huchangia kupata maumivu ya kiuno na mgongo.

TIBA YA MAUMIVU YA MGONGO NA KIUNO

✍🏻K**a tatizo linasababishwa na Arthritis, mikao, miondoko, pingili, misuli, kunyanyua vitu vizito utatumia Arthroxtra, Gluzojoint na zaminal 3 k**a tiba.

✍🏻K**a matatizo ya hedhi, PID, Homon Imbalance, ujauzito atatumia zaminal na Yuhnzi. Na k**a ni mtoto wa chini ya miaka 18 anatumia zaminal na Arthroxtra.

⚠️Kwa ushauri kiafya na Tiba piga/whatsapp 0711717053

18/09/2022

Dr_Nazar na Afya ya mifupa na maungio bila upasuaji.
📞 0711717053
Maumivu ya joint ni tatizo linalosumbua watu wengi kwa sasa kutokana na mabadiliko ya mitindo ya Maisha. Umri mkubwa ni moja ya sababu inayopelekea kutokea kwa tatizo, ambapo tishu za mwili zinakuwa kavu na kupoteza uwezo wa kuvutika.

Tatizo hili limewafanya watu wengi kushindwa kukaa na kutembea umbali mrefu sababu ya maumivu makali wanayoyapata..

Pia limewaondolea watu uwezo wa kushiriki kwenye michezo na shughuli zingine za kujenga uchumi na wengine wengi kupata ulemavu wa maisha sababu ya kuwa na tatizo kwa muda mrefu sana na kulichukulia kawaida kwa kutumia dawa za maumivu (ant pains)

Na changamoto hii endapo isipotatuliwa mapema inaweza kukuondolea uwezo wa kutembea milele.

Kubwa Zaidi Wengi wamekuwa wakihangaika kupata Suluhu ya kudumu bila mafanikio.

Wengine wamekuwa wakipata tiba za kutuliza maumivu na baada ya muda mfupi tatizo linarudi tena.

K**a wewe umekuwa ukihangaika kupata suluhu la hili tatizo,usiwaze tena. Nina habari njema kwako.

Habari njema nikwamba unauwezo wa kutumia dawa asili zitokanazo na virutubisho lishe (food suppliments) ambazo zimewasaidia wengi kutibu matatizo yao yaliyo wasumbua kwa muda mrefu sana
karibu tukuhudumie sasa ASANTE.
📞 0711717053

Dr_Nazar na Afya ya mifupa na maungio bila upasuaji.📞 0711717053Maumivu ya joint ni tatizo linalosumbua watu wengi kwa s...
18/09/2022

Dr_Nazar na Afya ya mifupa na maungio bila upasuaji.
📞 0711717053
Maumivu ya joint ni tatizo linalosumbua watu wengi kwa sasa kutokana na mabadiliko ya mitindo ya Maisha. Umri mkubwa ni moja ya sababu inayopelekea kutokea kwa tatizo, ambapo tishu za mwili zinakuwa kavu na kupoteza uwezo wa kuvutika.

Tatizo hili limewafanya watu wengi kushindwa kukaa na kutembea umbali mrefu sababu ya maumivu makali wanayoyapata..

Pia limewaondolea watu uwezo wa kushiriki kwenye michezo na shughuli zingine za kujenga uchumi na wengine wengi kupata ulemavu wa maisha sababu ya kuwa na tatizo kwa muda mrefu sana na kulichukulia kawaida kwa kutumia dawa za maumivu (ant pains)

Na changamoto hii endapo isipotatuliwa mapema inaweza kukuondolea uwezo wa kutembea milele.

Kubwa Zaidi Wengi wamekuwa wakihangaika kupata Suluhu ya kudumu bila mafanikio.

Wengine wamekuwa wakipata tiba za kutuliza maumivu na baada ya muda mfupi tatizo linarudi tena.

K**a wewe umekuwa ukihangaika kupata suluhu la hili tatizo,usiwaze tena. Nina habari njema kwako.

Habari njema nikwamba unauwezo wa kutumia dawa asili zitokanazo na virutubisho lishe (food suppliments) ambazo zimewasaidia wengi kutibu matatizo yao yaliyo wasumbua kwa muda mrefu sana
karibu tukuhudumie sasa ASANTE.
📞 0711717053

18/09/2022

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Nazar posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram