23/11/2025
Je Unasumbuliwa Na Fangasi Ukeni Kwa Muda Mrefu? K**a Jibu Ni NDIYO Soma Hapa
Ukeni ni makazi ya Bacteria...
Ukeni kuna bacteria wazuri wanaoitwa Lactobacillus
Lakini pia,
Kunabacteria wabaya k**a vile E-coli , mycetes na wengine wanaoweza kusababisha Maambukizi ukeni
Wote huishi pamoja bila madhara, wakiendelea kupambana kila siku na kubalance kiwango chao
Bacteria wote hao huwa hawaleti matatizo, mtu hupata Maambukizi baada ya haya kutokea...
1) Baada ya mabadiliko ya uke PH au acid ukeni yanayoweza kusababishwa na...
Kufanya mapenzi,
mbegu always ni alkaline hivyo hupelekea mabadiliko ya Bacteria
Ambapo mabadiliko ya PH ni sawa na kuharibu Mazingira yao
Hilo hufanya bacteria wabaya kumultiply au kuongezeka kwa haraka kiasi ambacho bacteria wazuri hushindwa kuwazuia
Kuosha uke kwa sabuni au marashi
Hedhi inavyotoka pia huharibu PH ya uke na kuongeza hatari
2) Kuvaa nguo za kubana
Uke unahitaji hewa safi k**a sehemu nyingine
Nguo za ndani zinazobana, majinsi hupelekea uke kushindwa kupumua na hali ya joto kuzidi
Hilo husaidia ukuaji na kuzaliana kwa kasi kwa Fangasi ukeni na kumdhuri mtu
3) Kujipangusa vibaya, kutoka nyuma kuja mbele na kuvaa nguo chafu
Huwafanya hata wale bacteria ambao wanaishi kwenye kinyesi kuja kwenye uke,
hapo huongeza hatari ya kupata Maambukizi
4) Njia za uzazi wa mpango na Dawa kila mara
Dawa za kuweka ukeni, hupelekea mabadiliko ya PH
Lakini pia antibiotics huua aina zote za bacteria, hivyo hata bacteria wazuri hufariki ambao ndio walinzi (Lactobacillus )ukeni
Njia za uzazi wa mpango hasa za uingizaji wa kifaa kwenye mji wa mimba
K**a usafi hautafanyika basi hutengeneza njia ya bacteria kuingia kwenye kizazi
5) Kutumia mate ukeni au kunyonya
Hupelekea bacteria wa mdomoni kuja ukeni, ambapo hupelekea mabadiliko ya tofauti
Hali inayoongeza udhaifu na mwanya wa bacteria kuingia kwenye kizazi
By the way, k**a wewe unachangamoto ya Maambukizi ukeni
Basi wasiliana nami kwa kubonyeza hii link: https://wa.me/+255625305487 ili kupata matibabu ambayo yatakufanya usiwe mtumwa wa dawa kila mara
Kumbuka: kupuuzia maambukizi ukeni ni kupuuzia uzazi wako, ni kupuzia ndoa yako na ni kupuzia uhai wako