28/12/2022
UVIMBE ( Fibroids) KWENYE KIZAZI UNAVYO TOKEA NA JINSI GAN UNALETA MADHARAA....
Kwanza kabisa vimbe hutokea kwenye mfumo wa uzazi wa mwanamke na uvimbe huo pind ikitokea huwa una leta athari nyingi katika afya ya mwanamke.
AINA ZA VIMBE....
• Kuna Uvimbe unao tokea ndan ya kizazi.
•kuna unaotokea nje ya kizazi.
Sababu ambazo husababisha uvimbe kutokea kwenye mfumo wa uzazi...
🌑historia kwenye familia K**a Kuna mtu alishawahi kupata (Genetic history)
🌑Homones imbalance, hususan hormone ya estrogen ( hii ndio kichocheo wakat wa hedhi ndio hufanya kuta za uzazi kuwa nyembamba kwa maandaliz ya kupokea yai kutungwa,
🌑kuwa na mawazo kupita kiasi(Kuna pelekea mvurugiko wa vichocheo pia)
🌑ukosefu wa vitamin D hupelekea kupata Uvimbe
🌑matumizi ya dawa za kuzuia mimba mfano kitanzi, sindano n.k
Dalili za ugonjwa huu,
🛑 kukojoa Mara kwa Mara, maana Uvimbe hukandamiza kibofu
🛑kutokwa na damu nying wakat wa hedhi na mda mwingne mabonge mabonge ya damu
🛑kupata hedhi katikat ya mwezi na wakat huo huo maumivu ya kiuno
🛑kupata maumivu wakat wa tendo la ndoa
🛑kupata maumivu ya mgongo
🛑kushindwa kubeba ujauzito au ujauzito kunaribika
Uvimbe ukizid Sanaa miguu huvimba,kupungukiwa damu,
Watu walio kwenye hatarii ya kupata ugonjwa huu....
🔴 mwanamke ambae hajawahi kuzaa kabisa
🔴wanawake wanene hususan unene was kujiongezea
🔴wanaopata hedhi mapema
Ni kwann Uvimbe humfanya mwanamke asipate ujauzito.
Pale Uvimbe ukiota kwenye mfuko wa uzazi huweza kuziba mirija inayo safirisha mayai kutoka kwenye o***y kwenda kwenye uterus ( sehem ambapo mtoto hutungwa)..
Na K**a huo Uvimbe usipo ziba mirija bhasi mimba hutungwa na huharibika pia na kutoka,
Matibabu yake....
🔵hupelekwa hospital na kufanyiwa upasuaji na k**a uvimbe ni mkubwa umeathiri sehem kubwa
Huwa anatolewa kizazi kabisa na kubaki bila kizazi. Na huwaga uvimbe unarudia tena k**a hormones zikiwa hajizasawazishwa mwilin.
Wasiliana nami kupata suluhisho la kudumu na kupona uvimbe bila upasuaji... #0689501029