gaspar_kifanga

gaspar_kifanga Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from gaspar_kifanga, Dar es Salaam.

Umeshawahi kutazama video kwenye Instagram halafu ikapotea ghafla baada ya kutoka app? 😩Usijali, kuna njia rahisi sana y...
28/10/2025

Umeshawahi kutazama video kwenye Instagram halafu ikapotea ghafla baada ya kutoka app? 😩
Usijali, kuna njia rahisi sana ya kuipata bila hata kuhangaika tena.

Katika post hii nimekuonyesha hatua kwa hatua jinsi ya kuipata video uliyoitazama Instagram hata k**a hukui-save! 🔍

📌 Save na share hii post ili ikutumie siku ukipoteza video unayopenda.
👇
tunakupa elimu za teknolojia na vifaa bora vya laptop kila siku! 💻✨

26/10/2025
Offer offer kwa 550,000 badala ya 650,000  utapata laptop hii ikiwa Na Mouse pamoja na Sleeve bagCall +255748 262 715 +2...
25/07/2025

Offer offer kwa 550,000 badala ya 650,000 utapata laptop hii ikiwa Na Mouse pamoja na Sleeve bag
Call

+255748 262 715

+255685661089

Basic details

HP EliteBook 820 g3

✴️PROCESSOR

✴️Intel Core i5

✴️6th Generation

✴️MEMORY: 8GB DDR4-2666 SDRAM

✴️DISPLAY:
13.3 -inch diagonal FHD (1920 x 1080) IPS display

✴️STORAGE:
256GB SSD Fast storage

✴️GRAPHICS:
Intel UHD Graphics
✳️Total graphics=4164 inter graphics video memory=128 (dedicated)

✳️SOUND CARD :BANG & OLUFSEN


FEATURES

✴️Type C port

✴️finger print ✅

✴️bluetooth✅

✴️ Web cam

✴️PORTS:
- 2 USB 3.1 Gen

-1 headphone/microphone combo

- ✴️OS:
Windows 10 Pro

- ✴️BATTERY:
4 hours of battery life

♻️Packages:

📌1 LAPTOP
📌1 Power AC adapter
📌 Mouse
📌Sleevebag
📌Warranty

- COLOUR: Silver

Condition: refublished clean as new

OPERATING systeam :window 10pro 64bits 2019 activated

Price ..... 550,000

CONTACT(whatsapp & call)
no.+255685661089

+255748262715

LOCATION : Agrey & likoma street kariakoo
DAR ES SALAAM

About this Item✨Brand : Jeep✨Color : Brown, Black, khaki✨Material : Leather✨Handbag Type : Shoulder Bags✨Targeted Group ...
18/06/2025

About this Item
✨Brand : Jeep
✨Color : Brown, Black, khaki
✨Material : Leather
✨Handbag Type : Shoulder Bags
✨Targeted Group : Men

✨Description
- Size: 14 inches & modern 15 inches

✨Specification: 39 x 6 x 30 cm
✨Material: PU leather
✨Case shape: horizontal square type
✨Open cover: zip

✨Bag internal structure:
- mobile phone bag
- ⁠zipper bag
- ⁠document bag
- ⁠zipper pocket

✨Number of shoulder straps: single
✨Style: European and American style
✨Processing method: soft surface
✨Style: men's handbag

✨PRICE
75,000

Call +2557 482 62715

🔥🔥Offer offer offer naam hizi bag nzuri utazipata kwa 55,000 badala ya 75,000 ➡️Bag ni material aina YA  LEATHERIkiwa na...
18/06/2025

🔥🔥Offer offer offer naam hizi bag nzuri utazipata kwa 55,000 badala ya 75,000

➡️Bag ni material aina YA LEATHER

Ikiwa na mgawanyiko. Mzuri ndani utakao kuwezesha
Kuweka

✅Laptop

✅Simu

Na Accessories nyingine kwa pamoja

Na muonekano wake ukabaki kuwa mzuri

Kwa sasa ziko katika offer ya 55,000 badala ya 75,000

Bags ziko rangi tatu ambazo ni

✳️Brown

✳️Coffe

✳️Black

Kuipata offer hii piga simu au tuma ujumbe sasa hivi kwenda namba +255 748 262 715

Location yetu ni KARIAKOO Agrey NAlikoma

Fanya Mawasilisho Yako Yaonekane Kitaalamu!Kwa wahadhiri, watoa mafunzo, wanafunzi, na wafanyabiashara wanaotaka kuwasil...
07/05/2025

Fanya Mawasilisho Yako Yaonekane Kitaalamu!

Kwa wahadhiri, watoa mafunzo, wanafunzi, na wafanyabiashara wanaotaka kuwasilisha kwa ufanisi zaidi, Logitech R400 Laser Presentation Remote inakupa uhuru wa kuonyesha slaidi zako kwa urahisi. 📊🖥️

Ikiwa na

🔹 Teknolojia ya Wireless - Hadi mita 15
🔹 Laser Pointer - Inayoangazia kwa usahihi.
🔹 Rahisi Kutumia - Plug and Play, huna haja ya kusakinisha programu.
🔹 Ubunifu wa Ergonomic - Imeundwa vizuri kwa mshiko wa uhakika.

Inapatika kwa bei ya offer 39,000 tu badala ya 55,000

Kuipata piga +2557 482 62715

LAPTOP BAGS 💼 SLEEVES WITH HANDLE AND CUSHION INSIDE AVAILABLE IN 13" INCHES14" INCHES 15" INCHES IN GRAY,BLACK,PEACH,PU...
06/05/2025

LAPTOP BAGS 💼
SLEEVES WITH HANDLE AND CUSHION INSIDE
AVAILABLE IN
13" INCHES
14" INCHES
15" INCHES

IN GRAY,BLACK,PEACH,PURPLE,DARK BLUE

PRICE 30,000/= ✅✅✅

Call /watsapp

+2557 482 62715
+255 6856 61089

Kula Chokleti Wakati Unasoma? Kumbe Kuna Siri Nzito Hapo!Sasa basi, hebu tuletee chai ya ubongo kidogo! Kumbe ile tabia ...
22/04/2025

Kula Chokleti Wakati Unasoma? Kumbe Kuna Siri Nzito Hapo!

Sasa basi, hebu tuletee chai ya ubongo kidogo! Kumbe ile tabia ya baadhi ya watu kula chokleti kila wanapokaa kusoma haikuwa tu tamaa ya meno au kutafuta comfort—hapana! Kuna siri nzito imejificha humo, na wanasayansi wameamua kutuambia kilicho jificha.

Hebu fikiria, unamkuta mtu library anajifanya yupo serious na vitabu, lakini pembeni kuna Dairy Milk, Snickers au dark chocolate . Unadhani anakula tu kwa starehe? Kumbe hiyo chokleti (hasa ile yenye cocoa flavanols nyingi) inaboresha mzunguko wa damu kwenye ubongo, inakuongezea focus, kumbukumbu, na hata uwezo wa kuelewa mambo haraka. Sasa usishangae kuona mtu huyo anafaulu mitihani sana—chokleti ilifanya kazi yake kisirisiri!

Wanasema hata hivyo, si kwamba ukila chokleti tu ghafla utakuwa Einstein. Hapana. Lakini kwa wale wanaojua kutumia akili na chokleti kwa pamoja (na kwa kiasi!), matokeo yanaweza kuwa mazuri zaidi.

Kwa hiyo, k**a ulikuwa unawaza ni kwanini yule demu wa darasani anayekula chokleti kila siku anashika namba moja—sasa umepata jibu. Acha kudharau wanaokula chokleti wakati wa kusoma… pengine wanachojua ni zaidi ya unavyodhani.

Na k**a wewe ni mmoja wao, hongera, una siri ya ushindi. Ila kumbuka—kula kwa kiasi, maana hata ubongo haupendi kuzidishiwa sukari kupita kiasi!

Tutasikia mengi kwenye post ijayo... lakini kwa sasa, usisahau chokleti yako kabla ya kusoma!

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 23:00
Tuesday 09:00 - 23:00
Wednesday 09:00 - 23:00
Thursday 09:00 - 23:00
Friday 09:00 - 23:00
Saturday 09:00 - 23:00
Sunday 12:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when gaspar_kifanga posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram