AJAM herbal

AJAM herbal TUNAWASAIDIA WAHANGA WA MAGONJWA MBALIMBALI KWA KUTUMIA MIMEA TIBA

P I DPID NI NINI?⏹️PID NI UFUPISHO WA PELVIC INFLAMMATORY DISEASE    NI MAAMBUKIZI KATIKA NJIA ZA UZAZI WA MWANAMKE🟥PID:...
13/02/2023

P I D

PID NI NINI?
⏹️PID NI UFUPISHO WA PELVIC INFLAMMATORY DISEASE

NI MAAMBUKIZI KATIKA NJIA ZA UZAZI WA MWANAMKE

🟥PID: ni ugonjwa hatari sana ambao unaonekana kuwa tishio zaidi katika afya ya uzazi wa mwanamke kutokana na athari zake.tatizohili limewakumba wanawake wengi na baadhi yao hawajui njia gani zinapelekea kupata maambukizi haya
PID hushambulia na kuathiri nyama ya mfuko wa UZAZI (endometrium) .Hali hii kitaalamu hujulikana ENDOMETRITIS

pia PID huathiri shingo ya kizazi (cervix) .hali hii kitaalamu hujulikana k**a CERVICITIS

Pia huathiri mirija ya mayai (Fallopian tubes) hali hii kitaalamu hujulikana k**a SALPINGITTIS

🟥 BAKTERIA WANAOSABABISHA PID
pamoja na kuwa kuna vimelea wengi wanaosababisha PID lakini wapo ambao ndio maarufu zaidi duniani wanaoongoza kwa kusababisha ugonjwa wa PID.bakteriahao ni
>NEISSERIA GONORRHOEA
>CLAMYDIA TRACHOMATIS

Bakteria hawa huingia katika mfumo wa uzaz kupitia uke

🟩 SABABU ZINAZOPELEKEA KUPATA PID

▶️ NGONO ISIYO SALAMA
Hapa inakusudiwa kuwa na mahusiano ya kimapenz yasiyokuwa na uaminifu ambayo yanaweza kusababisha kuambukizwa vimelea vya PID
Mfano mwanamke mwenye mahusiano na mwanaume zaidi ya mmoja yupo hatarini kupata ugonjwa huu

▶️UTOAJI MIMBA KIHOLELA (Abortion) NA KUHARIBIKA KWA MIMBA (miscarriage)
Hali hizi zote mbili zinapelekea mwanamke kupata maambukizi katika mfumo wa uzaz kwa urahisi kutokana na hali inayopatikana baada ya kutoka mimba na hasa asiposafishwa vizuri inakuwa rahisi bakteria kuingia na kuanza kukuathiri hivyo tunamshauri mwanamke ikitokea mimba kuharibika afanye jitihada kufika hospital ili asafishwe kwa haraka.

▶️ MATUMIZI YA VIPANDIKIZI NDANI YA UTERUS (IUCD)
Mwanamke anayetumia vipandikizi k**a njia ya uzazi wa mpango huyu pia yupo katika risk ya kupata vimelea vya PID kwa urahisi zaidi

▶️KUPITIA DAMU YENYE VIMELEA VYA PID
Hapa hasa hasa katika nyakati za kujifungua (POSTPARTUM) PERIOD) ikiwa kuna kuchangia vifaa baada ya kujifungua Kuna uwezekano mkubwa wa kuambukizwa vimelea vya PID

▶️KUKAA NA UTI & FANGASI KWA MUDA MREFU
Hali hii inatokea kwa mwanamke ambaye amekaa na infections hizi za UTI au fangasi kwa muda mrefu anakuwa na uwezekano mkubwa wa kupata maambukizi ya pid kwa sababu fungus zinapelekea kuharibu na kuua bakteria wa ulinzi katika uke hivyo kupelekea kupata maambukizi kwa urahisi.

🟩 DALILI ZA PID
@ Kutokwa na uchafu ukeni mithili ya maziwa mtindi
Utoko huu mara nyingi huwa na harufu mbaya
@ kupata miwasho ukeni
makali ya tumbo chini ya kitovu
@ maumivu ya mgongo/kiuno
wakat wa kukojoa
damu bila mpangilio wakati wa hedhi
wakati wa tendo la ndoa
hamu ya tendo la ndoa
kuwa mkavu
kuharibika (miscarriage)
fulani kuhisi kichefuchefu na hata kutapika
homa

🟩 MADHARA YA PID
⏹️Saratani ya shingo ya kizazi
⏹️Mimba kuharibika
⏹️ Kutokushika ujauzito
⏹️ Kuvurugika kwa hormones
⏹️Kupoteza hisia za kushiriki tendo la ndoa
⏹️ Kuziba mirija ya uzazi
⏹️ Kusababisha uvimbe

🟩NJIA ZA KUJIKINGA NA PID
Epuka sababu zilizotajwa mwanzoni ambazo husababisha kupata maambukizi ya pid

USHAURI
Mwanamke uonapo dalili miongoni mwa dalili zilizotajwa wahi matibabu kuepuka madhara makubwa yanayotokana na ugonjwa huu hatari kwa afya yako ya uzazi

🔵MATIBABU
KARIBU UTUMIE RUTI'S POWDER
DAWA YA ASILI YENYE MCHANGANYIKO WA MIMEA TIBA MBALIMBALI

✍️imeandaliwa na Dr.abbas
Ilala Dar es salaam Tanzania

Mawasiliano:⤵️

whatsApp +255748267740

📞+255748267740

✍️ Dr. Abbas

AJAM-HERBAL

WhatsApp group kwa WANAWAKE bonyeza Link hapa chini

https://chat.whatsapp.com/DnoHC2xfdjA5XCSSh29pSD

PID NA HORMONAL IMBALANCEHizi ni changamoto zinazowakabili wanawake wengi na zimekuwa zikizidi kwa kasi kutokana na njia...
13/02/2023

PID NA HORMONAL IMBALANCE
Hizi ni changamoto zinazowakabili wanawake wengi na zimekuwa zikizidi kwa kasi kutokana na njia zake za utokeaji ambazo zimetuzunguka

Sasa AJAM HERBAL INAKULETEA SULUHISHO LA PID NA HORMONAL IMBALANCE

(HOS POWDER & RUTI'S POWDER)

DALILI ZA PID
🔵kutokwa na uchafu ukeni wenye rangi k**a maziwa mtindi/kijani au mweupe
🔵 Harufu mbaya ukeni/shombo
🔵Miwasho ukeni
🔵Maumivu wakati wa tendo
🔵 Maumivu ya kiuno na mgongo
🔵 Maumivu ya tumbo chini ya kitovu, homa, kichefuchefu na wakati mwingine kutapika

Tiba RUTI'S POWDER

DALILI ZA HORMONAL IMBALANCE
🔵Uke kuwa mkavu wakati wa tendo
🔵Kukosa hamu ya tendo la ndoa
🔵 Hedhi isiyo na mpangilio, kutokupata hedhi baadhi ya miezi
🔵Chuchu kutoa maziwa haliyakuwa huna mimba wala haunyonyeshi
🔵Kuhisi dalili k**a mjamzito ukipima huna mimba
🔵Kutokupata Ute wa uzazi ukiwa siku za hatari
Maumivu wakati wa tendo na kushindwa kubeba ujauzito kwa muda mrefu

TIBA HOS POWDER

TUNAPATIKANA MTAA WA PANGANI ILALA DAR ES SALAAM

MAWASILIANO

WHATSAPP +255748267740
CALL/SMS+255748267740

KWA ELIMU ZAIDI KUHUSU CHANGAMOTO HIZI UNAWEZA KUJIUNGA NA GROUP LETU JIPYA MAALUMU KWA AJILI YA PID NA HORMONES

BONYEZA LINK HAPA KUJIUNGA 👇

Follow this link to join my WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/DnoHC2xfdjA5XCSSh29pSD

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255748267740

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AJAM herbal posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AJAM herbal:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram