AFYA YAKO NI MTAJI

AFYA YAKO NI MTAJI Dr. Albertus๐Ÿฅผ
Wasiliana Nasi WhatsApp/Call ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ0765119695๐Ÿ’ฌ
Kwa Matibabu ya uhakika๐Ÿ’ฏ

Njia Rahisi Ya Kutokomeza Maumivu Ya Mifupa Na Maungio bila upasuaji*Tatizo hili limewafanya watu wengi kushindwa kukaa ...
30/08/2025

Njia Rahisi Ya Kutokomeza Maumivu Ya Mifupa Na Maungio bila upasuaji*

Tatizo hili limewafanya watu wengi kushindwa kukaa na kutembea umbali mrefu.

Mbaya Zaidi limewaondolea watu ule uwezo wa kushiriki kwenye michezo na shughuli zingine za kujenga uchumi.

Cha kusikitisha zaidi endapo tatizo hili usipolitibu mapema linaweza kukuondolea uwezo wa kutembea milele.

Kubwa Zaidi Wengi wamekuwa wakihangaika kupata Suluhu ya kudumu bila mafanikio.

Wengine wamekuwa wakipata tiba za kutuliza maumivu na baada ya muda mfupi tatizo linarudi tena.

K**a na wewe umekuwa ukihangaika kupata suluhu la hili tatizo,usiwaze tena. Nina habari Nzuri kwako.

Nimekuandalia Tiba Maalum kwa Bei nafuu itakayokuwezesha kutatua changamoto yako pasipo upasuji.
Ukiwa na changamoto wasiliana nasi Kwa
Sms
Whsp
Piga๐Ÿ“ž
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ0765119695

TATIZO LA KIUNO NA MGONGO.HUSABABISHWA na vyanzo mbalimbali ikiwemo.๐Ÿ“KULIKA na KUSAGIKA Kwa baadhi ya  PINGILI  kwenye U...
30/08/2025

TATIZO LA KIUNO NA MGONGO.

HUSABABISHWA na vyanzo mbalimbali ikiwemo.
๐Ÿ“KULIKA na KUSAGIKA Kwa baadhi ya PINGILI kwenye UTI wa mgongo.
๐Ÿ“Matumizi ya dawa za Muda mrefu K**a dawa za SUKARI ,TB na kufubaza virusi VYA ukimwi.
๐Ÿ“Kupungua na kuisha Kwa madini na vitamini zinazoimarisha na kujenga mifupa.
๐Ÿ“ Aina ya KAZI mtu anayofanya ikiwemo kukaa ,kusimama Muda na kunyanyua mizigo mizito kupita kiasi.
๐Ÿ“Kulalia godoro lenye mabonde au mkao MBAYA Kwa Muda mrefu.
๐Ÿ“Kuisha Kwa Ute na KUSAGIKA Kwa gegedu kwenye maungio.

MADAHARA YA TATIZO.๐Ÿ‘Œ๐Ÿ‘Œ
๐Ÿ‘Œ Kushindwa kushiriki tendo takatifu la ndoa๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ.
๐Ÿ‘ŒKushindwa kufanya KAZI za kawaida za Kila siku.
๐Ÿ‘Œ Kushindwa kutembea Muda mrefu.
๐Ÿ‘Œ Maumivu MAKALI na Kukosa usingizi.
๐Ÿ‘ŒKupata Ganzi kwenye viungo ambayo Kwa muda mrefu kupotea Mawasiliano ya Baadhi ya viungo.
๐Ÿ‘ŒKuweka usugu wa TATIZO.
๐Ÿ‘Œ Kuathiri pingili zingine na kuhama Kwa PINGILI.
๐Ÿ‘Œ Kupata mawazo hivyo hupelekea Kupata Magonjwa mengine K**a pressure na vidonda VYA Tumbo.

TIBA.
Pata suluhisho la kudumu la TATIZO lako Kwa haraka uhakika kutoka kwangu wasiliana no.
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ0765119695

JE  WEWE UNA MAUMIVU YA MGONGO, KIUNO , MAGOTI , PINGILI , NYONGA  & GANZI ?TUNAWEZA KUKUSAIDIA HARAKA UWEZE KUPONA KARI...
26/05/2025

JE WEWE UNA MAUMIVU YA MGONGO, KIUNO , MAGOTI , PINGILI , NYONGA & GANZI ?
TUNAWEZA KUKUSAIDIA HARAKA UWEZE KUPONA

KARIBU,

NI , AFYA BORA KIPATO IMARA

TUNAWASAIDIA WATU KUTIBU CHANGAMOTO MBALI MBALI ZA AFYA KWA NJIA YA USHAURI KUPITIA TIBA LISHE , VIRUTUBISHO NA MAZOEZI TIBA (REHABILITATION) ,

TUPO TAYARI KUKUSAIDIA KUKUPA USHAURI KUTIBU KABISA CHANGAMOTO YAKO YA VIUNGO NA MIFUPA TUMESAIDIA WENGI KUPONA KABISA KURUDI KATIKA MAJUKUMU YAO YAKAWAIDA

๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Wasiliana nasi 0765119695

Njia Rahisi Ya Kutokomeza Maumivu Ya Mifupa Na Maungio bila upasuaji*Tatizo hili limewafanya watu wengi kushindwa kukaa ...
04/05/2025

Njia Rahisi Ya Kutokomeza Maumivu Ya Mifupa Na Maungio bila upasuaji*

Tatizo hili limewafanya watu wengi kushindwa kukaa na kutembea umbali mrefu.

Mbaya Zaidi limewaondolea watu ule uwezo wa kushiriki kwenye michezo na shughuli zingine za kujenga uchumi.

Cha kusikitisha zaidi endapo tatizo hili usipolitibu mapema linaweza kukuondolea uwezo wa kutembea milele.

Kubwa Zaidi Wengi wamekuwa wakihangaika kupata Suluhu ya kudumu bila mafanikio.

Wengine wamekuwa wakipata tiba za kutuliza maumivu na baada ya muda mfupi tatizo linarudi tena.

K**a na wewe umekuwa ukihangaika kupata suluhu la hili tatizo,usiwaze tena. Nina habari Nzuri kwako.

Nimekuandalia Tiba Maalum itakayokuwezesha kutatua changamoto yako pasipo upasuaji.
Ukiwa na changamoto wasiliana nasi Kwa
Sms
Whsp
Piga๐Ÿ“ž
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ0765119695

๐—ง๐—œ๐—•๐—” ๐—ฌ๐—”  ๐— ๐—œ๐—™๐—จ๐—ฃ๐—” ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—จ๐—ก๐—š๐—œ๐—ข ๐—ž๐—ช๐—” ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐—ข๐—ฆ๐—จ๐— ๐—•๐—จ๐—Ÿ๐—œ๐—ช๐—” ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—จ๐— ๐—œ๐—ฉ๐—จ ๐—ฌ๐—”ยฐ ๐—ก๐—ฌ๐—ข๐—ก๐—š๐—”ยฐ ๐—ž๐—œ๐—จ๐—ก๐—ขยฐ ๐— ๐—š๐—ข๐—ก๐—š๐—ข ๐—ก๐—” ยฐ ๐— ๐—”๐—จ๐—ก๐—š๐—œ๐—ข (๐—๐—ข๐—œ๐—ก๐—ง๐—ฆ)๐Œ๐’๐‡๐€๐”๐‘๐ˆ: ๐—ฆ๐—”๐—•๐—”๐—•๐—จ ...
04/05/2025

๐—ง๐—œ๐—•๐—” ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—œ๐—™๐—จ๐—ฃ๐—” ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—จ๐—ก๐—š๐—œ๐—ข ๐—ž๐—ช๐—” ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐—ข๐—ฆ๐—จ๐— ๐—•๐—จ๐—Ÿ๐—œ๐—ช๐—” ๐—ก๐—” ๐— ๐—”๐—จ๐— ๐—œ๐—ฉ๐—จ ๐—ฌ๐—”
ยฐ ๐—ก๐—ฌ๐—ข๐—ก๐—š๐—”
ยฐ ๐—ž๐—œ๐—จ๐—ก๐—ข
ยฐ ๐— ๐—š๐—ข๐—ก๐—š๐—ข ๐—ก๐—”
ยฐ ๐— ๐—”๐—จ๐—ก๐—š๐—œ๐—ข (๐—๐—ข๐—œ๐—ก๐—ง๐—ฆ)

๐Œ๐’๐‡๐€๐”๐‘๐ˆ:

๐—ฆ๐—”๐—•๐—”๐—•๐—จ ๐—ญ๐—œ๐—ก๐—”๐—ญ๐—ข๐—ฃ๐—˜๐—Ÿ๐—˜๐—ž๐—˜๐—” ๐— ๐—”๐—จ๐— ๐—œ๐—ฉ๐—จ ๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—œ๐—จ๐—ก๐—ข ๐—ก๐—” ๐—ก๐—ฌ๐—ข๐—ก๐—š๐—” (๐— ๐—ถ๐—ณ๐˜‚๐—ฝ๐—ฎ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—จ๐—ท๐˜‚๐—บ๐—น๐—ฎ) ๐Ÿ‘‡
โœ๏ธ Kujichua muda mrefu hupelekea maumivu hayo. Zipo dawa za kuacha kujichua na kurudisha nguvu zilizopotea.
โœ๏ธ Namna ya kulala (style) /godoro linaweza kukusababishia maumivu hayo
โœ๏ธ Kubeba mizigo kwa kuinama na mzigo.
โœ๏ธ Mawazo (stress).
โœ๏ธ Kulala kwa muda mrefu
โœ๏ธ Matumizi mabaya ya mto.

๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐— ๐—”๐—จ๐— ๐—œ๐—ฉ๐—จ ๐—›๐—”๐—ฌ๐—ข ๐—ก๐—œ ๐—ž๐—”๐— ๐—” ๐—ฌ๐—”๐—™๐—จ๐—”๐—ง๐—”๐—ฌ๐—ข ๐Ÿ‘‡
โ˜˜๏ธ Hupelekea miguu na mikono kufa ganzi na kuwaka moto
โ˜˜๏ธ Hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili na kushindwa kutembea (kupata kilema cha kudumu)
โ˜˜๏ธ Hupelekea kuwahi kufika kileleni mapema wakati wa tendo na kushindwa kurudia.
โ˜˜๏ธ Unaweza kushindwa kutembea kabisa /kunyanyuka, utakaa ukiwa umelala.
โ˜˜๏ธ Inaweza kusababisha mtu kupata Kansa ya Mifupa na kusababisha kifo k**a Tatizo halijaondolewa mapema.

๐Œ๐”๐‡๐ˆ๐Œ๐” (๐™๐ˆ๐๐†๐€๐“๐ˆ๐€) โœ๏ธ
Habari njema ni kwamba baada yakufanya Utafiti wa kina kwa Muda mrefu sasa tiba imepatikana Tiba ya uhakika na Waliopata Bahati ya kuitumia 97% Wamepona Kabisaa Changamoto za Mifupa na Maungio ๐Ÿ™

๐—ž๐—ช๐—” ๐—ง๐—œ๐—•๐—” ๐—ก๐—” ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ญ๐—”๐—œ๐——๐—œ
Tembelea Ofisi Zetu au Tupigie Sasa Kupitia

โ˜Ž๏ธ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ0765119695

*MATEGE (rickets) ni nini* .?Matege ni kupinda miguu kwa watoto wadogo kutokana na uwepesi au ulegevu wa mifupa. *SABABU...
16/03/2025

*MATEGE (rickets) ni nini* .?

Matege ni kupinda miguu kwa watoto wadogo kutokana na uwepesi au ulegevu wa mifupa.

*SABABU*
โ˜‘๏ธUkosefu na upungufu wa Calcium na vitamini D uliokithiri na wa mda mrefu.
Vitamini D huusaidia mwili wa mtoto kufyonza na kutumia madini ya Calcium na Phosphorus kutoka kwenye chakula. Ukosefu wa mda mrefu au upatikanaji kwa uhafifu wa Vitamini D hupelekea mwili kupata ugumu wa kufyonza na kuyauwianisha madini hayo ya Calcium na Phosphorus mwilini na hali hiyo ikiwa ya mda mrefu hupekea kupata matege.

*DALILI*
โ˜‘๏ธKuchelewa kwa ukuaji wa mtoto.
โ˜‘๏ธMtoto kulalamika maumivu ya uti wa mgongo mara kwa mara.
โ˜‘๏ธMiguu kupinda na kushindwa kugusana magoti
โ˜‘๏ธKuchelewa kwa maendeleo ya mtoto k**a vile;
>Kukaza shingo
>Kukaa
>Kutambaa
>kusimama na kutembea

*VIHATARISHI*
โ˜‘๏ธNgozi nyeusi.
Ngozi nyeusi ina melanin nyingi, ambayo hupunguza uwezo wa ngozi wa kuzalisha vitamini D kutoka katika mwanga wa jua.
โ˜‘๏ธMama mjamzito kukosa vitamini D wakati wa ujauzito.
โ˜‘๏ธWatoto ambao wanaishi katika maeneo ya kijiografia ambapo kuna jua kidogo huwa katika hatari kubwa ya kupata matege.
โ˜‘๏ธWatoto waliozaliwa kabla ya tarehe zao zinazofaa huwa na kiwango cha chini cha vitamini D kwa sababu walikuwa na wakati mdogo wa kupokea vitamini kutoka kwa mama zao tumboni.
โ˜‘๏ธMatumizi ya dawa za kuongeza kinga mwilini kwa wamama wenye VVU & UKIMWI wakati wa ujauzito hupunguza uwezo wa mwili wa mtoto kutumia vitamini D na huweza kusababisha baadae kupata matege.
โ˜‘๏ธUnyonyeshaji wa maziwa tu kwa miezi 6 ya mwanzo bila mtoto kupata matone ya vitamini D.

*MADHARA YA MATEGE*
โ˜‘๏ธKukosa ukuaji mzuri wa kawaida.
โ˜‘๏ธKibiyongo (Mgongo uliopinda).
โ˜‘๏ธUpungufu wa meno.

*KINGA YA MATEGE*
โ˜‘๏ธKupata mwanga wa jua la asubuhi hadi kabla jua halijawa kali zaidi walau kwa dakika 15.
โ˜‘๏ธEpuka kumpa mtoto vyakula vilivotengenezwa kwa mtindi vyakula k**a jibini n.k
โ˜‘๏ธMama mjamzito kutumia virutubisho vyenye vitamini D
โ˜‘๏ธWatoto wachanga wenye kulishwa na chupa wanaweza pia kuhitaji virutubisho vya vitamini D ikiwa hawapati vitamini D vya kutosha kutoka kwa lishe wapewayo.
โ˜‘๏ธKuongeza vitamini D au kalsiamu kwenye lishe kwa ujumla hurekebisha shida za mifupa zinazohusiana na kusababisha matege.

*Je unahofia mwanao kuzaliwa na shida ya matege au ana tatzo hilo..?*

Tuwasilane kwa ushauri na tiba zaidi.

*Mawasiliano* :-
Simu:- ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ0765119695
Imeandaliwa na mtaalamu wa afya
TUKIPATA MDA TUTAENDELEA NA UGONJWA MWINGINE WA MIFUPA NA MAUNGIO ..............
comment na uliza chochote

Hujachelewa, changamoto zote za uzazi zinatatulika,bei zetu ni rafiki unaweza anza na pesa yoyote uliyo nayo...tupigie s...
12/02/2025

Hujachelewa, changamoto zote za uzazi zinatatulika,bei zetu ni rafiki unaweza anza na pesa yoyote uliyo nayo...tupigie sasa k**a unatafuta mtoto na sababu ni

1.Homoni hazijakaa sawa(Hormonal Imbalance) -tatizo linaloongoza
2.PID/UTI sugu
3.Kuziba kwa mirija
4.Uvimbe kwenye kizazi(fibroids)
5.Kutokupevusha mayai
N. K au hujui tatizo bado tutakusaidia kujua tatizo na tutakusaidi

Wasiliana nasi 0765119695 Call/Wasap

TUNA TIBU WATU WENYE CHANGAMOTO ZA MIFUPA NA MAUNGIO  MAGOTI YALIYOISHIWA UTE UTE NA CARTILAGE (KUSAGIKA) TUNA TIBA ZINA...
11/02/2025

TUNA TIBU WATU WENYE CHANGAMOTO ZA MIFUPA NA MAUNGIO MAGOTI YALIYOISHIWA UTE UTE NA CARTILAGE (KUSAGIKA) TUNA TIBA ZINAZOENDA KUTENGENEZA CARTILAGE NA KWENDA KUONGEZA UTEUTE.
TUNA HUDUMIA WATU WENYE CHANGAMOTO YA SCIATICA NERVE PAIN YAN DISC KUKANDAMIZA MISHIPA YA FAHAMU NA KUPEKEA MAUMIVU MAKALI MGUU MMOJA KUSHUKA CHINI KWENYE MISULI HADI KWENYE UNYAYO KUPATA HISIA ZA GANZI
WATU WENYE URIC ACID (GOUT) INAWEZA IKAWA NDO CHANZO CHA CHANGAMOTO KUTOKUISHA
SO TUTAKUHOJI NA KUJUA CHANGAMOTO ZAKO ILI UPATE TIBA SAHIHI KUTOKANA NA TATIZO LAKO.
TUNAJUA UMETUMIA DAWA NYINGI BILA MATOKEO SISI TUNA TIBA ZA VIRUTUBISHO LISHE TIBA ZETU NI ZA KUMALIZA CHANGAMOTO KWANZIA CHANZO MPAKA TATIZO LENYEWE.
K**A UNAHITAJI USHAURI NA TIBA SERIOUS PIGA SIMU
0765119695
AU WHATSAPP

NILITESEKA NA TATIZO LA MIFUPA, JOINTS NA MGONGO KWA MIAKA MINGI HADI NILIPOIJUA SIRI HII!!Naitwa James. Nina umri wa mi...
11/02/2025

NILITESEKA NA TATIZO LA MIFUPA, JOINTS NA MGONGO KWA MIAKA MINGI HADI NILIPOIJUA SIRI HII!!

Naitwa James. Nina umri wa miaka 47 sasa. Naishi Ukonga Dar es Salaam.

Kwa kifupi sana ni kuwa nimepitia changamoto kubwa sana ya mifupa, joints na MGONGO kwa muda mrefu. Na licha ya kujaribu matibabu mengi tofauti sikupata nafuu yoyote.
Nikaanza kukata tamaa!

Lakini miezi michache iliyopita nikaona makala moja Facebook ikiongelea mambo 7 ambayo mtu mwenye changamoto ya mifupa na joints anapaswa kuyajua. Nikawa interested kusoma.

Nikakuta wanaeleza hivyo vitu 7. Sababu zingine niliona zinanihusu. Mfano kukimbilia DAWA ZA KUTULIZA MAUMIVU (pain killers) ambazo zenyewe zipo kwa ajili ya kumpa mhusika nafuu ya muda tu na siyo kudili na chanzo cha tatizo. Na kwamba kumbe zina madhara makubwa mwilini hasa zikitumika kwa muda mrefu!

Kingine walielezea kuwa watu wengi hawazingatii vitu vidogo k**a vile kiti anachokalia ofisini kipoje, mazoezi anayofanya yapoje na anafanya kwa KIPIMO, lishe unayokula inaimarisha mifupa na joints au la? Godoro unalolalia na mito ipoje. Nk.

Nilisoma kwa umakini na kugundua kuna sababu 3 za changamoto kwa upande wangu ambazo nilikuwa sijawahi kujua kabisa. So niliwatafuta kwa namba zao. Nilipewa ushauri wa kipekee sana. Na kufanyia kazi mambo yale 3 ambayo nilikuwa siyafahamu huko nyuma. Mwezi August nikaona nafuu ya tofauti kabisa. Mwezi wa 9 nikaona nafuu zaidi. Na mwezi huu October mpaka sasa nimeimarika mno kwa kweli.

Naamini hadi mwaka huu uishe nitakuwa katika ubora mkubwa k**a enzi za ujana wangu!

Naendelea na maelekezo yao na sasa nimerejea kwenye maisha yangu vizuri zaidi kazini na nyumbani pia k**a MUME WA MTU๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

K**a wewe pia umehangaika k**a mimi kwa muda mrefu nakushauri watafute hawa wataalamu watakusaidia sana! Ninayajua maumivu ya mifupa na mgongo na joints aisee!!๐Ÿ˜ฅ

Wasaliana nasi WhatsApp tiba na ushauri .

โ˜Ž๏ธโ˜Ž๏ธ 0765 119 695


Barikiwa. Furaha yako ikatimie!

Ushuhuda wa James kutokea Ukonga Dar es salaam.

(Mwisho wa kunukuu)

# # # # # # # # # # # # # # # # # # # # # #

04/01/2025

Afya ya mifupa na maungio bila upasuaji.
๐Ÿ“ž +255765119695
Maumivu ya joint ni tatizo linalosumbua watu wengi kwa sasa kutokana na mabadiliko ya mitindo ya Maisha. Umri mkubwa ni moja ya sababu inayopelekea kutokea kwa tatizo, ambapo tishu za mwili zinakuwa kavu na kupoteza uwezo wa kuvutika.

Tatizo hili limewafanya watu wengi kushindwa kukaa na kutembea umbali mrefu sababu ya maumivu makali wanayoyapata..

Pia limewaondolea watu uwezo wa kushiriki kwenye michezo na shughuli zingine za kujenga uchumi na wengine wengi kupata ulemavu wa maisha sababu ya kuwa na tatizo kwa muda mrefu sana na kulichukulia kawaida kwa kutumia dawa za maumivu (ant pains)

Na changamoto hii endapo isipotatuliwa mapema inaweza kukuondolea uwezo wa kutembea milele.

Kubwa Zaidi Wengi wamekuwa wakihangaika kupata Suluhu ya kudumu bila mafanikio.

Wengine wamekuwa wakipata tiba za kutuliza maumivu na baada ya muda mfupi tatizo linarudi tena.

K**a wewe umekuwa ukihangaika kupata suluhu la hili tatizo,usiwaze tena. Nina habari njema kwako.

Habari njema nikwamba unauwezo wa kutumia dawa asili zitokanazo na virutubisho lishe (food suppliments) ambazo zimewasaidia wengi kutibu matatizo yao yaliyo wasumbua kwa muda mrefu sana
karibu tukuhudumie sasa ASANTE.
๐Ÿ“ž 0765 119 695

Dr_Obure na Afya ya mifupa na maungio bila upasuaji.๐Ÿ“ž +255765119695Maumivu ya joint ni tatizo linalosumbua watu wengi kw...
03/01/2025

Dr_Obure na Afya ya mifupa na maungio bila upasuaji.
๐Ÿ“ž +255765119695
Maumivu ya joint ni tatizo linalosumbua watu wengi kwa sasa kutokana na mabadiliko ya mitindo ya Maisha. Umri mkubwa ni moja ya sababu inayopelekea kutokea kwa tatizo, ambapo tishu za mwili zinakuwa kavu na kupoteza uwezo wa kuvutika.

Tatizo hili limewafanya watu wengi kushindwa kukaa na kutembea umbali mrefu sababu ya maumivu makali wanayoyapata..

Pia limewaondolea watu uwezo wa kushiriki kwenye michezo na shughuli zingine za kujenga uchumi na wengine wengi kupata ulemavu wa maisha sababu ya kuwa na tatizo kwa muda mrefu sana na kulichukulia kawaida kwa kutumia dawa za maumivu (ant pains)

Na changamoto hii endapo isipotatuliwa mapema inaweza kukuondolea uwezo wa kutembea milele.

Kubwa Zaidi Wengi wamekuwa wakihangaika kupata Suluhu ya kudumu bila mafanikio.

Wengine wamekuwa wakipata tiba za kutuliza maumivu na baada ya muda mfupi tatizo linarudi tena.

K**a wewe umekuwa ukihangaika kupata suluhu la hili tatizo,usiwaze tena. Nina habari njema kwako.

Habari njema nikwamba unauwezo wa kutumia dawa asili zitokanazo na virutubisho lishe (food suppliments) ambazo zimewasaidia wengi kutibu matatizo yao yaliyo wasumbua kwa muda mrefu sana
karibu tukuhudumie sasa ASANTE.
๐Ÿ“ž 0765 119 695

27/12/2024

MWANAUME USIPITE BILA KUSOMA HII POST..๐Ÿค”

Mwanaume Unapojigundua kuwa huwezi kushiriki tendo la ndoa kikamilifu huwa unahangaika sana kutumia madawa bila kujua hasa chanzo cha tatizo na dawa unayotumia kazi yake ni ipi haswa!

Sababu hasa zinazofanya uanze kutumia dawa ni kwasababu, unakuta unawahi sana kufika kileleni, au mashine kusimama legelege baada ya round ya kwanza muda mwingine haisimami kabisa nk

Kwahiyo unapotumia dawa huwezi kupata matokeo ya kudumu ndo pale unakuta unafanya tendo nakushindwa Kuperfom kwa muda mrefu

Sasa njia sahihi ya kuweza kushiriki tendo kikamilifu na wote mkafurahia pamoja, nimekuandalia elimu fupi ambayo ntakuelezea utumie vitu gani ili uweze kuwa mwanaume wa shoka ๐Ÿ’ช

Wahi sasahivi kwa kunitumia ujumbe neno AFYA what'sapp namba ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ0765119695 https://wa.me/message/EATOA4CCBUKXG1 au piga simu moja kwa moja

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+255765119695

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA YAKO NI MTAJI posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram