Essential Oils Supplier, Acupressure, Herbal Medicine & Natural Healing

Essential Oils Supplier, Acupressure, Herbal Medicine & Natural Healing Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Essential Oils Supplier, Acupressure, Herbal Medicine & Natural Healing, Medical spa, Samora Tower, Samora Avenue, opposite TTCL headquarters, Dar es Salaam.

Ili kusaidia mifumo yetu ya kusaga chakula iwe na hali nzuri lazima kuzingatia yafuatayo: 1. Epekaneni na ulaji vyakula ...
14/01/2024

Ili kusaidia mifumo yetu ya kusaga chakula iwe na hali nzuri lazima kuzingatia yafuatayo:

1. Epekaneni na ulaji vyakula vya baridi

2. Pendeleeni zaidi matumizi ya ngano ambayo haijakobolewa

3. Unga wa Dona muhimu kuliko sembe. Wenye afya migogoro tumieni Mchele wa brown zaidi ya ule mweupe, Ulezi na mtama pia ni nzuri

4. Matumizi ya vyakula vilivyokaangwa iwe kwa nadra sana

5. Matumizi ya Samuli yana manufaa kwenye chakula

6. Tafuneni chakula vizuri kabla ya kumeza

7. Miloo ipishane kwa masaa yasiyo chini ya matano

8. Chakula lazima kiwe na ladha nzuri

9. Usilale bada tu ya kula. Angarau chukuwa lisaa limoja au hata mawili ili kuruhusu mfumo wa kusaga chakula ufanye kazi. Isipokuwa k**a ni mwenye kuumwa njaa mara kwa mara, unaweza kula matunda. Lakini pia unywaji chai kupunguza hamu ya kula ya mara kwa mara

10. Chakula cha asubuhi ni kabla ya saa mbili, chakula cha mchana ni kuanzia saa sita hadi nane kasorobo, kitafunwa saa tisa na nusu hadi kumi. Chakula cha usiku kabla ya saa mbili usiku. Ukipitiwa mida hii bila kula, unaweza kula matunda

11. Kunyweni chai hata mara mbili kwa siku. Zingatieni matumizi ya mimea niliyo zungumzia kwenye message za mwanzo. Hata watoto wapeni chai: Majani ya molonge, Majani ya Kashwagara (wild or holy Basil), mchai chai, au tangawizi kiasi, au mdalasini, na majani ya wild sage; mimea yote hii unaweza kuipata bure kabisa maana ipo kila sehemu. Chai yako ikiwa na mimea k**a hii miwili hadi mitatu kinga itakuwa ngangari

12. Nyama nyekundu siyo sawa kwa kila mtu. Ukiona ukiila unakaa siku mbili bila kupata choo, au ukawa unapata choo ngumu achana nayo, usiimeze hata kakipande, ila supu yake unaweza kunywa

Wanaokunywa damu mbichi kumbukeni hata wanyama wana magonjwa ya mambukizi. Lakini pia kuna watu ambao mifumo yao ya kusaga chakula imesha haribika na haiwezi kusaga damu mbichi

13. Maziwa fresh yachanganywe na maji kwa wenye afya migogoro na hata watoto.

14. Kukeni matunda na mboga mboga

15. Niombeeni Mungu atubariki mimi na wanagu

Pumzi nzuri hutuliza neva na mishipa; hii inasisimua hamu ya kula na kufanya usagaji chakula kuwa mkamilifu zaidi na hus...
14/01/2024

Pumzi nzuri hutuliza neva na mishipa; hii inasisimua hamu ya kula na kufanya usagaji chakula kuwa mkamilifu zaidi na husababisha sauti kuwa nzuri, na pia kusaidia kupata usingizi mzuri.

Ikiwa ugavi wa kutosha wa oksijeni haupatikani, damu kutembea kwa uvivu.

Uchafu wenye sumu ambayo inapashwa kutupwa kupitia pumzi kutoka kwenye mapafu huhifadhiwa, na hii kuchafua damu na kuifanya najisi.

Mapafu, tumbo, ini na ubongo vyote vinaathirika.

Kisha ngozi inakuwa haina mvuto, mfumo wa kusaga chakula una haribika na kuchelewesha mwili kupokea lishe sitahiki; moyo unaanza huzunika kirahisi, ubongo unajaa mawingu, mawazo yanakuwa yanachanganyikiwa, huzuni hutanda juu ya roho, mfumo mzima unakuwa hovyo na kutofanya kazi, na badaye kushambuliwa na magonjwa kwa njia ya kila aina.

Watu wanaosumbuliwa na matatizo ya vidonda tumboni hua wana historia ya misongo ya mawazo, na wengine ni wenye tabia ya kukasilika mara kwa mara.

Wanaosumbuliwa na kisukari nao waliyo wengi wana tatizo la kutopata choo laini; hii nayo kuongeza mchafuko mwilini na kisha kuunguza pancreas (kongosho).

SOLUTION

Kwanza kabisa nikutumia dawa zinazotoa uchafu mwilini.

Pili ni kutumia Health Powder iliyotengenezwa kutokana na mimie yenye calcium, na uwezo wa kuboresha mfumo wa kusaga chakula na kuchekecha uchafu sehemu mbali mbali za mwili ikiwemo utumbo, ini, na mfumo wa hewa.

Na kwasababu inatakiwa kutumika kwa mda mrefu, haitakiwi kuwa na mimea yenye asili ya kusababisha kuhara.

Tuna health powder ambayo ni mimimea 100%. Kijiko kimoja cha chakula kina Calcium ya machungwa 21.

Inasafisha tumbo, ini, kongosho, na mfumo wa hewa na kuviweka kwenye hali nzuri.

Inaongeza nguvu za mwili mzima, na Ina uwezo wa kutoa uchafu wa miaka yote ya nyuma pasipo kusababisha kuhara wala kutapika.

Matumizi yake yanafungua milango ya uponyaji.

Kwasababu kuna baadhi ya matatizo yanayoweza kukulazimu kutumia mimea ya kusababisha kuhara, na pengine kutapika kwa nadra. Tuna Cute ambayo unaweza kutumia kwa wiki mara moja au mara mbili. Hii itakusaidia kupitia kuharisha. Mara nyingi utakwenda mara mbili au tatu na haitokusumbua tena.

Tibiwa ukiwa kazini, wasiliana nasi kupitia +255672406667

Hupambana na magonjwa yafuatayo: 1. VVU (HIV)2. Candidiasis3. Pneumonia4. Cytomegalovirus5. TB6. Taxoplamosisi7. Saratan...
13/01/2024

Hupambana na magonjwa yafuatayo:

1. VVU (HIV)
2. Candidiasis
3. Pneumonia
4. Cytomegalovirus
5. TB
6. Taxoplamosisi
7. Saratani (Cancer)
8. Matitizo ya Neva (Neurosis)
9. Magonjwa ya Figo (Nephritis)
10. Magonjwa ya Ini (Acidosis, hepatitis, Jaundice, etc)
11. Uvimbe tumboni (stomach problems)
12. Cryptosporidiosis
13. Ancephalopathy
14. Herpes/ simplex/ zoster (Mkanda wa jeshi)
15. Vidonda vya tumbo (Ulcers)
16, Kuishiwa nguvu mwilini (General debility),
17. Malaria/ Typhoid
18. UTI, PID

Hufanya kazi haraka bila madhara (Works faster without side effects)

Call or WhatsApp to order: +255672406667

Call or WhatsApp for further inquiry +255672406667
08/01/2024

Call or WhatsApp for further inquiry +255672406667

We have a huge stock of essential oils for Aromatherapy in Dar es salaam Tanzania, and we offer delivery locally and acr...
10/05/2022

We have a huge stock of essential oils for Aromatherapy in Dar es salaam Tanzania, and we offer delivery locally and across the boarders. Call or Whatsapp to order: +255742008000

We offer all types of essential oils. Call 0742008000. We deliver to all regions in Tanzania and across borders.
13/04/2022

We offer all types of essential oils. Call 0742008000.
We deliver to all regions in Tanzania and across borders.

08/03/2022

Address

Samora Tower, Samora Avenue, Opposite TTCL Headquarters
Dar Es Salaam
00255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Essential Oils Supplier, Acupressure, Herbal Medicine & Natural Healing posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category