17/04/2023
VITAMIN D HUSAIDIA KUPUNGUZA KASI YA UKUAJI WA UVIMBE. TUMIA VYAKULA HIVI 👇
1️⃣. Asali mbichi ya nyuki yeyote yule vijiko2 asubuhi kingine jioni.
2️⃣.Tumia aina7 za matunda mbalimbali kila siku bila kuacha.
3️⃣. Tumia aina7 tofauti za mboga mboga za majani kila siku bila kuacha.
4️⃣. Tumia kitunguu saumu punje 5 asubuhi, mchana 5 na jioni 5 kila siku, unamenya na kukata vitodogo k**a kidonge kisha unameza kwa maji ya kawaida nusu Lita wiki4 mfululizo.
Ila k**a una vidonda vya tumbo hii itakujazia gesi tumboni, kwa wenye presha ya kushuka usitumie inashusha presha zaidi.
5️⃣ Tumia maji ya vuguvugu yenye tangawizi asubuhi saa moja kabla ya chai, k**a una presha ya kupanda inapandisha zaidi na k**a una vidonda vya tumbo inaongeza gesi usitumie hii.
6️⃣. Tumia kiini Cha yai la kienyeji lilochemshwa kila siku yai moja au mawili.
7️⃣. Punguza vyakula vyenye mafuta mengi k**a Chips, pizza na Baga.
8️⃣. Punguza sumu mwilini kwa kutokutumia baadhi ya vinywaji vya kiwandani k**a soda, pombe, juice n.k
9️⃣. Punguza matumizi ya wanga na uongeze matumizi ya vitamin D, inapatikana kwenye matunda, mboga za majani na yai maziwa fresh, jua la asubuhi na jioni n.k
🔟. Fanya mazoez kila siku japo kwa dk 30 ili kufanya mwili uwe active mda wote na utumie maji yakutosha kila siku.
NB: Ukifanya hivo uvimbe hautakusumbua na utapungua kasi ya ukuaji.
K**a unahitaji kupona bila operation tuna supplement maalumu hazina kemikali yoyote, huu ni mwaka wa 4 tangu tumeanza kuzitumia kutibu watu. Na wanapona kwa dozi ya miez3 hadi 6.
Tambua kuwa Mvurugiko wa hormone hasa ikitokea homoni ya OESTROGEN ikapanda zaid, kizazi huanza kuhitaji mtoto na hatimae hutengeneza uvimbe kupitia tishu mbalimbali ambazo hujikusanya sehem moja.
~Tishu hizi zikijikusanya nje ya kizazi huitwa subserosal fibroid,
~Ikiwa ndani ya kizazi ni submucosal fibroid
~Ikiwa ni katikati ya ukuta wa kizazi huitwa intramural fibroid.
Karibu katika group WhatsApp
.
https://chat.whatsapp.com/G7uuUIB9r9G1r334y1V0Nd