Afya Ya Uzazi

Afya Ya Uzazi Imarisha mfumo wa UZAZI ,JIKINGE na TIBU Kwa kitumia VIRUTUBISHO

🥰😍Ok
04/04/2024

🥰😍Ok

29/06/2023

💥 PELVIC INFLAMMATORY DISEASE (PID) -Ni maambukizi kwenye via vya uzazi vya mwanamke yaani uterus, Fallopian tube, o***y na parametrium.

💥 HUSABABISHWA NA WADUDU WAJULIKANAO K**A:
🖍️Gonococci
🖍️Chlamydia
Hawa wawili ndo visababishi vikubwa vya PID, na wengineo K**a vile:
🖍️ Staphylococcus
🖍️ Streptococcus
🖍️ Coliforms
🖍️ Mycoplasma
🖍️Colistridium perfringens

🔷Huenezwa kwa njia ya kufanya mapenzi (through sexual in*******se) kwa asilimia kubwa.
🔷Njia zingine ni k**a:
👉 Wakati wa ukuwekewa kitanzi cha uzazi wa mpango (insertion of intrauterine contraceptive device)
👉 Wakati wa kutoa mimba(therapeutic or elective abortion)
👉 Wakati wa kujifungua mtoto(during childbirth)
👉 Wakati wa Upasuaji wa endometrium(endometrial biopsy)

💥 DALILI ZA PID NI HIZI HAPA💥
🖍️Kutoka uchafu usio wa kawaida ukeni (vaginal discharge with abnormal colour)
🖍️ Maumivu ya Tumbo la chini(lower abdominal pain)
🖍️ Hedhi isiyoeleweka (irregular menstrual cycle)
🖍️ Maumivu wakati wa hedhi(increased menstrual cramping)
🖍️ Maumivu wakati wa kufanya mapenzi (pain during sexual in*******se)
🖍️Kutoka damu baada ya tendo(bleeding after sexual in*******se)
🖍️ Kichefuchefu (nausea)
🖍️Kukosa hamu ya chakula (lack of appetite)
🖍️ Kuchokachoka (fatigue)
🖍️ Maumivu ya kiuno(lower back pain)

🔷WATU WALIOPO KWENYE HATALI YAKUPATA PID NI🔷
👉Watu waliofikia umri wa kufanya mapenzi (sexually active age group)
👉Watu wenye mahusiano na mpenzi zaidi ya moja(multiple sexual partners)
👉Wenye upungufu wa Kinga ya mwili(immunodeficiency)
👉Wenye historia ya kuwa na PID(past history of PID)
👉Wenye kuingiziwa vitanzi(Insertion of IUCD).

🔷 MADHARA YA PID NI🔷
🖍️Ugumba/kushindwa kubeba mimba (infertility)
🖍️Mimba kutungwa nje ya mfuko wa uzazi (ectopic pregnancy)
🖍️ Maumivu ya muda mrefu(chronic pelvic pain)
🖍️ Kutungwa kwa usaha(pelvic abscess)
🖍️Mimba kuharibika (Miscarriage)
🖍️Kukosa hamu ya tendo la ndoa
🖍️Mirija ya uzazi kuziba
🖍️Kupata saratani ya shingo la kizazi
🖍️Kuvurugika kwa mfumo wa homoni (hormonal imbalance)

👉👉 *NOTE* UONAPO DALILI HIZO TAFUTA MSAADA WA KUONDOKANA NA TATIZO HILO🔷 ....................
KARIBUNI+255718220060

Pata SULUHISHO  0718 220 060
17/06/2023

Pata SULUHISHO
0718 220 060

16/06/2023
24/05/2023

OKOA GHARAMA OKOA MAISHA OKA MUDA ISHI KWA FURAHA
0718 220 060

Address

Morogoro
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Ya Uzazi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya Ya Uzazi:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram