Tiba bora

Tiba bora Tiba bora ni lazima ianze na Kuondoa chanzo cha tatizo.

JE UNAJUWA NI KWA NINI WATU WENGI HAWAPONI ACID REFLUX ( GERD)? 1. Kutafuta dawa za kupunguza maumivu tu, sio chanzo cha...
25/11/2025

JE UNAJUWA NI KWA NINI WATU WENGI HAWAPONI ACID REFLUX ( GERD)?

1. Kutafuta dawa za kupunguza maumivu tu, sio chanzo cha tatizo :- Watu wengi hutumia antacids mara kwa mara, lakini hazitibu chanzo — zinapunguza dalili tu kwa muda.

2. Kula vyakula vinavyochochea acid bila kujua
Kahawa, chai, pilipili, mafuta mengi, soda, tangawizi nyingi, limao — watu huendelea kula bila kujua vinaongeza reflux.

3. Kula usiku sana au kulala mara baada ya kula :- Hii ndiyo sababu kubwa watu hawaponi, tumbo halijamaliza kumeng’enya.

4. Bacteria H. pylori kutotibiwa _ Watu wengi wana reflux inayoendeshwa na H. pylori, lakini hawajawahi kupima wala kutibu na hawajui hilo.

5. Kupata stress na anxiety mara kwa mara
Stress huongeza ute wa acid na kuathiri mmeng’enyo — wengi hawajui kabisa.

6. Uzito mkubwa kupuuzwa _ Kitambi husukuma juu tumbo na kusababisha acid kurudi juu — bila kupunguza uzito, dalili hurudi kwa haraka.

7. Kula chakula kingi kwa mara moja
Over eating hufanya acid reflux kuongezeka.

8. Kutokunywa maji ya kutosha
Maji husaidia kupunguza ukali wa acid, watu wengi hunywa chini ya lita 1 kwa siku.

9. Tatizo la Hiatal Hernia halijajulikana
Wengine wanateseka kwa miaka bila kujua wana ngili ya juu (hiatal hernia).

10. Wanatumia matibabu ya kizamani sana - Kutotumia tiba ya mimea sahihi kwa muda sahihi _ Wengi huanza dozi, wanapona kidogo, wanakata — acid hurudi.

Angalizo _ Dawa za kawaida k**a antacids, PPIs (omeprazole, esomeprazole) hufanya kazi kwa:

• Kupunguza acid muda mfupi
• Kuzuia uzalishaji wa acid siku chache

Lakini hazitibu chanzo, ndiyo maana ukiacha tu dalili hurudi kwa haraka. .

• Tatizo la Acid / Tindikali Ya Tumbo Linatibika na Kupona Kabisa.

-📞"Wasiliana nasi kuhusu afya - Kupitia Simu Namba 0655562181 / 0769600821

°Au Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini 👇👇
http://.wa.me/255655562181

- Pia Waweza Jiunga na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa 👉👉👉 https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

, & Usaidie na Wengine

FAHAMU UNDANI KUHUSU UGONJWA WA ACID REFLUX/TINDIKALI YA TUMBO (GERD-GastroEsophagaelRefluxDesease)+255655562181 , +2557...
14/11/2025

FAHAMU UNDANI KUHUSU UGONJWA WA ACID REFLUX/TINDIKALI YA TUMBO

(GERD-GastroEsophagaelRefluxDesease)

+255655562181 , +255769600821

• Ni tatizo linalotokea katika mfumo wa mmeng'enyo na kusababisha hitilafu ya chakula au maji kurudi katika koo la chakula (*Umio*) mara baada ya kuwa chakula Hiko kimeshamezwa au Ni kitendo cha kupanda kwa acid ( *tindikali* ) ya tumbo hadi kwenye Koo /Umio la chakula kwa muda mrefu na kusababisha kiungulia ( *HEARTBURN* ).

• Kiungulia hiki huanza muda mfupi baada kumaliza kula na kuisha baada ya masaa mawili.
• Pia dalili za tatizo hili kwa watoto hujionesha pale m tototo anapotapika kupita kiasi au kupaliwa mara kwa mara wakati wa kula chakula.

_*Dalili zingine ni k**a*_

• Tumbo kuunguruma na Kukosa hamu ya kula chakula na kuhisi kichefuchefu.
• Mdomo kunuka kutokana na kurudi juu kwa chakula cha tumboni chenye tindikali.
• Kupata hali ya kuunguza kwenye kifua karibu na moyo, hali inayotokea Muda Mfupi baada tu ya kula na kupata shida wakati wa kumeza chakula.
• Kucheuwa Maji Maji Yenye Tindikali Ukiwa Usingizini Hasa Baada Ya Kulala Muda Mfupi Baada Ya Kula.
• Kukohoa au kupaliwa mara kwa mara ikiambatana na kuweweseka Kwa Kukosa Pumzi.
• Mdomo kuwa mchachu muda mwingi.
•Kuvimba Kwa Tezi za Shingoni K**a Vile Tonses na Goita.
• Mdomo kukauka.
• Meno kupoteza uimara na kuanza kumomonyoka kutokana na uwepo wa tindikali.
• Tumbo kujaa Gesi , Kupata Choo K**a Tope Kunakoambatana kujamba sana.
• Tumbo Kuunguruma Hasa Muda Mfupi Baaada Ya Kula.

• Tatizo la Acid / Tindikali Ya Tumbo Linatibika na Kupona Kabisa.

-📞"Wasiliana nasi kuhusu afya - Kupitia Simu Namba 0655562181 / 0769600821

°Au Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini 👇👇
http://.wa.me/255655562181

- Pia Waweza Jiunga na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa 👉👉👉 https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

, & Usaidie na Wengine

𝙎𝘼𝘽𝘼𝘽𝙐 𝙆𝙐𝙐 ( 𝙑𝙔𝘼𝙉𝙕𝙊 ) 𝙕𝙄𝙉𝘼𝙕𝙊 𝙎𝘼𝘽𝘼𝘽𝙄𝙎𝙃𝘼 𝘼𝘾𝙄𝘿 𝙍𝙀𝙁𝙇𝙐𝙓 / 𝙂𝙀𝙍𝘿. Call & WhatsApp  +255655 562 181 , +2557696008211. Vyakula na...
08/11/2025

𝙎𝘼𝘽𝘼𝘽𝙐 𝙆𝙐𝙐 ( 𝙑𝙔𝘼𝙉𝙕𝙊 ) 𝙕𝙄𝙉𝘼𝙕𝙊 𝙎𝘼𝘽𝘼𝘽𝙄𝙎𝙃𝘼 𝘼𝘾𝙄𝘿 𝙍𝙀𝙁𝙇𝙐𝙓 / 𝙂𝙀𝙍𝘿.

Call & WhatsApp +255655 562 181 , +255769600821

1. Vyakula na vinywaji fulani
Vyakula vyenye mafuta mengi

• Chokoleti
• Kahawa, chai kali, soda
• Vitunguu na pilipili
• Nyanya na vyakula vyenye asidi nyingi
• Pombe
• ladha za kuongeza kwenye mboga na baadhi ya vyakula zinazo tokana na kemikali.

2. Tabia za kula.

• Kula chakula kingi kwa mara moja
• Kulala au kuinama muda mfupi baada ya kula
• Kula usiku sana
• Kutokula kwa ratiba maalum

3. Shinikizo tumboni (abdominal pressure)
Unene/uzito kupita kiasi

• Mimba
• Nguo zinazobana sana kiunoni

4. Sababu za kitabibu Kulegea kwa LES (valve ya umio wa chini)

• Hiatal hernia (sehemu ya tumbo inapanda juu ya diaphragm)
• Maambukizi ya H. pylori au vidonda vya tumbo
• Matumizi ya dawa k**a aspirin, ibuprofen, au dawa za arthritis

5. Mtindo wa maisha.

• Uvutaji wa sigara (husababisha valve kulegea)
• Msongo wa mawazo (stress)
• Kukosa usingizi au kuchoka kupita kiasi

• Tatizo la Acid / Tindikali Ya Tumbo Linatibika na Kupona Kabisa.

Je umehangaika sana na madawa mbali mbali ya kutibu ACID REFLUX Bila matanikio? Usihofu tunalo suluhisho la uhakika sana ndani ya wiki moja tu utasahau kuhusu Acid reflux.

-📞"Wasiliana nasi kuhusu afya - Kupitia Simu Namba 0655562181 / 0769600821

°Au Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini 👇👇
http://.wa.me/255655562181

- Pia Waweza Jiunga na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa 👉👉👉 https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

, & Usaidie na Wengine

𝗔𝗜𝗡𝗔 𝗭𝗔 𝗠𝗔𝗚𝗢𝗡𝗝𝗪𝗔 𝗬𝗔 𝗙𝗜𝗚𝗢1. Figo kushindwa kufanya kazi ghafla (Acute Kidney Failure) – hutokea ghafla kutokana na maambu...
24/10/2025

𝗔𝗜𝗡𝗔 𝗭𝗔 𝗠𝗔𝗚𝗢𝗡𝗝𝗪𝗔 𝗬𝗔 𝗙𝗜𝗚𝗢

1. Figo kushindwa kufanya kazi ghafla (Acute Kidney Failure) – hutokea ghafla kutokana na maambukizi, upungufu wa damu au dawa.

2. Figo kushindwa kufanya kazi sugu (Chronic Kidney Disease) – huchukua muda mrefu na huendelea polepole.

3. Maambukizi ya figo (Pyelonephritis) – bakteria hushambulia figo.

4. Mawe kwenye figo (Kidney Stones) – madini hukusanyika na kuunda mawe.

5. Kisukari cha figo (Diabetic Nephropathy) – kisukari huharibu mishipa ya damu ya figo.

6. Shinikizo la damu la figo (Hypertensive Nephropathy) – BP kubwa huharibu figo.

7. Kuvuja damu kwenye figo (Glomerulonephritis) – figo hushambuliwa na kinga ya mwili.

8. Figo zenye uvimbe wa maji (Polycystic Kidney Disease) – uvimbe unaokua ndani ya figo.

9. Maambukizi ya njia ya mkojo (UTI) – yakifika figoni husababisha matatizo makubwa.

10. Kansa ya figo (Kidney Cancer) – chembe za figo hukua vibaya na kuunda uvimbe mbaya.

𝗗𝗔𝗟𝗜𝗟𝗜 𝗭𝗔 𝗧𝗔𝗧𝗜𝗭𝗢 𝗟𝗔 𝗙𝗜𝗚𝗢

1. Kuchoka kupita kiasi – kutokana na damu chache au sumu mwilini.

2. Uvimbaji wa mwili – hasa usoni, mikononi na miguuni.

3. Mkojo kubadilika – rangi, harufu au kuwa na povu.

4. Kukojoa mara chache – au kuacha kabisa kukojoa.

5. Maumivu ya mgongo – chini ya mbavu, hasa upande mmoja.

6. Kichefuchefu na kutapika – kutokana na sumu mwilini.

7. Kupoteza hamu ya kula – mwili ukiwa umechoka.

8. Kuwashwa kwa ngozi – au ngozi kuwa kavu sana.

9. Kupumua kwa shida – maji yakijikusanya kwenye mapafu.

10. Kizunguzungu na maumivu ya kichwa – shinikizo la damu likipanda.

11. Kupungua uzito – au kukonda bila sababu.

12. Kuchanganyikiwa – kutokana na sumu nyingi mwilini.

Rekenisha figo zako na kufanya figo zirudi katika hali yake ya kawaida ya kutoa mkojo kwa ufanisi.

𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐍𝐈𝐊𝐔𝐒A𝐃𝐈𝐄 𝐏𝐈𝐆𝐀 & 𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏

Call➖text&sms➖whatsapp👇

➖ Ili Kupata Ushauri na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255655562181 au +255769600821

➖ Jiunge na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa 👉👉👉 https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

➖ SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA 🙏🙏🙏 kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini

𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐀𝐒𝐀𝐍𝐓𝐄.

19/10/2025

𝙎𝘼𝘽𝘼𝘽𝙐 𝙆𝙐𝙐 ( 𝙑𝙔𝘼𝙉𝙕𝙊 ) 𝙕𝙄𝙉𝘼𝙕𝙊 𝙎𝘼𝘽𝘼𝘽𝙄𝙎𝙃𝘼 𝘼𝘾𝙄𝘿 𝙍𝙀𝙁𝙇𝙐𝙓 / 𝙂𝙀𝙍𝘿.

Call & WhatsApp +255655 562 181 , +255769600821

1. Vyakula na vinywaji fulani
Vyakula vyenye mafuta mengi

• Chokoleti
• Kahawa, chai kali, soda
• Vitunguu na pilipili
• Nyanya na vyakula vyenye asidi nyingi
• Pombe
• ladha za kuongeza kwenye mboga na baadhi ya vyakula zinazo tokana na kemikali.

2. Tabia za kula.

• Kula chakula kingi kwa mara moja
• Kulala au kuinama muda mfupi baada ya kula
• Kula usiku sana
• Kutokula kwa ratiba maalum

3. Shinikizo tumboni (abdominal pressure)
Unene/uzito kupita kiasi

• Mimba
• Nguo zinazobana sana kiunoni

4. Sababu za kitabibu Kulegea kwa LES (valve ya umio wa chini)

• Hiatal hernia (sehemu ya tumbo inapanda juu ya diaphragm)
• Maambukizi ya H. pylori au vidonda vya tumbo
• Matumizi ya dawa k**a aspirin, ibuprofen, au dawa za arthritis

5. Mtindo wa maisha.

• Uvutaji wa sigara (husababisha valve kulegea)
• Msongo wa mawazo (stress)
• Kukosa usingizi au kuchoka kupita kiasi

• Tatizo la Acid / Tindikali Ya Tumbo Linatibika na Kupona Kabisa.

-📞"Wasiliana nasi kuhusu afya - Kupitia Simu Namba 0655562181 / 0769600821

°Au Kuchart Nasi Moja Kwa Moja Watssapp Bofya link hapo chini 👇👇
http://.wa.me/255655562181

- Pia Waweza Jiunga na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa 👉👉👉 https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

, & Usaidie na Wengine

𝙆𝙒𝘼 𝙉𝙄𝙉𝙄 𝙈𝙒𝘼𝙉𝘼𝙈𝙆𝙀 𝙃𝙐𝙏𝙊𝙆𝘼 𝘿𝘼𝙈𝙐 𝙐𝙆𝙀𝙉𝙄 𝙒𝘼𝙆𝘼𝙏𝙄 𝙒𝘼 𝙏𝙀𝙉𝘿𝙊 𝙇𝘼 𝙉𝙀𝙏𝘼? Hizi hapa ndiyo Sababu kuu za Postcoital Bleeding-Kwa kawai...
17/10/2025

𝙆𝙒𝘼 𝙉𝙄𝙉𝙄 𝙈𝙒𝘼𝙉𝘼𝙈𝙆𝙀 𝙃𝙐𝙏𝙊𝙆𝘼 𝘿𝘼𝙈𝙐 𝙐𝙆𝙀𝙉𝙄 𝙒𝘼𝙆𝘼𝙏𝙄 𝙒𝘼 𝙏𝙀𝙉𝘿𝙊 𝙇𝘼 𝙉𝙀𝙏𝘼?

Hizi hapa ndiyo Sababu kuu za Postcoital Bleeding-

Kwa kawaida mtu mwenye hormonal imbalance anaweza kutokwa damu wakati wa tendo la ndoa (s*x) kwa sababu kadhaa zinazohusiana na mabadiliko ya homoni, hasa estrogen na progesterone.

Hapa kuna maelezo ya kina:

🧠 1. Upungufu wa homoni ya estrogen
Estrogen husaidia kuweka kuta za uke zikiwa nene, zenye unyevu na zenye elastic.

Wakati kiwango chake kimeshuka (k**a kwenye hormonal imbalance, stress, au baada ya uzazi), ukuta wa uke hukauka na kuwa mwembamba.

Hivyo, wakati wa s*x ukuta huu mwembamba huweza kupasuka kirahisi na kusababisha damu kidogo au maumivu.

🩸 2. Mabadiliko ya homoni kwenye mzunguko wa hedhi.

Wakati mwingine mwili unapata mabadiliko ya ghafla ya homoni kabla au baada ya hedhi.

Hali hii inaweza kufanya mfuko wa mimba (uterus) kutoa damu kidogo wakati wa tendo la ndoa.

Kwa wanawake wenye hormonal imbalance, hii hutokea mara kwa mara bila ratiba maalum.

🌿 3. Uchochezi au uvimbe kwenye shingo ya kizazi (cervix).

Homonal imbalance inaweza kufanya tishu za shingo ya kizazi kuwa nyeti na kuvimba (cervical erosion).

Shingo ya kizazi ikiguswa wakati wa s*x, damu hutoka kwa urahisi.

⚠️ 4. Sababu nyingine zinazochangia ni
Maambukizi ya uke au shingo ya kizazi (yeast, PID, trichomonas, n.k.)

Fibroids au polyps kwenye kizazi.

Matumizi ya vidonge vya kupanga mimba visivyo na uwiano wa homoni.

Stress na usingizi duni, ambavyo pia huharibu uwiano wa homoni.

𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐍𝐈𝐊𝐔𝐒A𝐃𝐈𝐄 𝐏𝐈𝐆𝐀 & 𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏

Call➖text&sms➖whatsapp👇

➖ Ili Kupata Ushauri na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255655562181 au +255769600821

➖ Jiunge na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa 👉👉👉 https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

➖ SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA 🙏🙏🙏 kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini

𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐀𝐒𝐀𝐍𝐓𝐄.

UTAJUAJE K**A UNA ACID REFLUX NA  MICHUBUKO TUMBONI? - ( Gastric Ulcers). ~ +255655562181 , +255769600821 ~• Kifua kwa n...
18/09/2025

UTAJUAJE K**A UNA ACID REFLUX NA MICHUBUKO TUMBONI? - ( Gastric Ulcers).

~ +255655562181 , +255769600821 ~

• Kifua kwa ndani kana kwamba unachomwa na kitu cha moto au chenye ncha kali. • Maumivu hayo wakati mwingine hutokeza mgongoni na huchoma k**a sindano na kuacha maumivu makali

•𝐊𝐢𝐜𝐡𝐞𝐟𝐮𝐜𝐡𝐞𝐟𝐮
•𝐊𝐢𝐮𝐧𝐠𝐮𝐥𝐢𝐚
•𝐓𝐮𝐦𝐛𝐨 𝐤𝐮𝐣𝐚𝐚 𝐠𝐞𝐬𝐢
•𝐓𝐮𝐦𝐛𝐨 𝐤𝐮𝐰𝐚𝐤𝐚 𝐦𝐨𝐭𝐨
• Kukosa hamu/ufanisi wa tendo la ndoa.
• Maumivu makali sehemu kilipo kidonda.
• Kukosa choo au kupata choo kwa shida tena kikiwa kigumu na chenye kukatika k**a cha mbuzi.
• Kutapika nyongo.
•Kutapika damu au kupata choo chenye damu..
• Kukosa hamu ya kula.
• Kusahahu sahau na kupatwa na hasira bila sababu

𝐌𝐀𝐃𝐇𝐀𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐕𝐈𝐃𝐎𝐍𝐃𝐀 𝐕𝐘𝐀 𝐓𝐔𝐌𝐁𝐎, (𝐏𝐞𝐩𝐭𝐢𝐜 𝐮𝐥𝐜𝐞𝐫𝐬).

• Hali hii yaweza kusababishwa na vidonda kuenea hadi kwenye mishipa ya damu na hivyo kufanya damu kuanza kuvuja kwenye utumbo.

• Pia 𝐕𝐈𝐃𝐎𝐍𝐃𝐀 𝐕𝐘𝐀 𝐓𝐔𝐌𝐁𝐎, (𝐏𝐞𝐩𝐭𝐢𝐜 𝐮𝐥𝐜𝐞𝐫𝐬) - huweza kusababisha tundu (kutoboka kwa ukuta wa tumbo) na kufanya vitu vilivyo ndani ya utumbo kutapakaa katika tumbo (abdomen) Hali hii huitwa peritonitis na ni hatari sana na inahitaji matibabu ya dharura.

• 𝐕𝐈𝐃𝐎𝐍𝐃𝐀 𝐕𝐘𝐀 𝐓𝐔𝐌𝐁𝐎, vinaweza pia kuenea na kuathiri pia viungo vya jirani k**a vile ini au kongosho (pancrease).

• iwapo vidonda vya tumbo vimesababishwa na H. pylori, kuna uwezekano wa kati ya mara tatu hadi ya sita ya mgonjwa kupata kansa ya tumbo (stomach cancer).

•USHAURI
Vidonda vya tumbo vinatibika na kupona kabisa tuna product nzuri kwa ugonjwa huu wa vidonda vya tumbo haijalishi umeumwa muda mrefu kiasi gani•

𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐍𝐈𝐊𝐔𝐒A𝐃𝐈𝐄 𝐏𝐈𝐆𝐀 & 𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏

Call➖text&sms➖whatsapp👇

➖ Ili Kupata Ushauri na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255655562181 au +255769600821

➖ Jiunge na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa 👉👉👉 https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

➖ SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA 🙏🙏🙏 kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini

𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐀𝐒𝐀𝐍𝐓𝐄.

_*DALILI NA MATIBABU YA UGONJWA WA TEZI DUME*_ ~ +255769600821 , +255655562181 ~• Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la ...
27/07/2025

_*DALILI NA MATIBABU YA UGONJWA WA TEZI DUME*_

~ +255769600821 , +255655562181 ~

• Tezi dume ni moja ya tezi la uzazi la kiume ambalo kila mwanaume analo, tezi hili lipo chini ya kibofu cha mkojo na linazunguka njia ya mkojo toka kwenye kibofu kwenda kwenye uume,Jinsi umri unavyo ongezeka tezi dume nalo huongezeka ukubwa ambao unaweza kuwa wa kawaida au saratani.

• Kuna aina tatu za magonjwa ya tezi dume: (1) Maambukizi ya Bakteria (Prostatitis). (2) Kukua kwa tezi dume ambalo sio saratani (Benign Prostatic Hypertrophy-BPH). (3) Saratani ya tezi dume.

_*Dalili*_

• Dalili huonekana baada ya umri wa miaka ya hamsini . Karibu wanaume wote wenye umri wa sabini na themanini huwa na tatizo hili.
• Dalili huanza polepole na kuzidi jinsi miaka inavyo ongezeka. Dalili hizi ni k**a zifuatazo:-
• Kukojoa mara nyingi hasa nyakati za usiku. Hii ni dalili ya mapema sana.
Kulazimika, mara nyingi hasa nyakati za usiku,
• Mkojo kutiririka polepole, kukatikakatika na hutumia nguvu kutoka au Mkojo kushidwa kutoka hata wakati mtu anapohisi kukojoa.
• Mkojo kuendelea kutoka kidogokidogo baada ya kukojoa, matone ya mkojo huendelea kutoka hata baada ya kukojoa hivyo kulowesha nguo za ndani.

_*Matatizo ya tezi dume iliyotanuka*_

• Tezi dume ikitanuka sana huleta matatizo mengi kwa wagonjwa wengine hali hii isipotibiwa. Matatizo hayo ni k**a yafuatayo:
• Mkojo kushindwa kabisa kutoka na kulazimu mgonjwa awekewe kathetra ili kumimina mkojo.
• Madhara kwenye kibofu na figo .

_*Matibabu ya Tezi Dume.*_

• Matibabu ya BPH yameganyika katika sehemu mbili, yale yanayofanywa kwa kutumia dawa na yale yanayofanywa kwa kutumia upasuaji mdogo.
• Matibabu kwa Njia ya Dawa hutumika kwa lengo la kulifanya tezi dume kusinyaa na kupungua ukubwa wake.
• Upasuaji mdogo husaidia kuondoa dalili za BPH na hufanyika pale ambapo matibabu kwa njia ya dawa yameshindwa kuonesha mafanikio yeyote.

• Njia nyingine ni tiba ya kutumia mawimbi ya joto (Transurethral microwave procedures, TUMT).
• Tiba ya kutumia Joto la maji (Water-induced thermotherapy).

• Madaktari wengi hushauri kuondolewa kabisa kwa tezi dume iwapo itathibitika kuwa mgonjwa ana BPH.

_* Za Upasuaji wa Tezi dumeAina*_

• Zipo njia nyingi za upasuaji wa BPH, nazo ni pamoja na upasuaji kwa kupitia kwenye mrija wa mkojo (Transurethral surgery, TURP), upasuaji mkubwa wa wazi (Open surgery), upasuaji wa kutumia nishati kuondoa tishu za tezi dume Laser surgery), na upasuaji wa kutumia joto la fibreoptic probe kuchoma tishu za tezi dume (Interstitial laser coagulation).

_*Madhara Ya Upasuaji*_

• Kukosa uwezo wa kufikia kishindo yani hutoi shahawa (retrogade ej*******on) wazee wengi hulalamika sana baada ya hizi operation hivyo ushauri nasaha lazima utolewe ili mgonjwa ajue nini madhara yake kabla ya operation.
• Kuziba kwa njia ya mkojo kutoka na kuumia kwa njia hizo wakati wa kitendo hicho.
• Baada ya upasuaji mgonjwa anapoendelea kupona kovu linaweza kuziba njia ya mkojo.
• Shida ya kushindwa kudhibiti mkojo usitoke ovyo (Incontinence): Ni kawaida kwa mgonjwa kushindwa kudhibiti kutoka kwa mkojo katika siku za mwanzo baada ya operesheni.
• Hata hivyo hali hii hujirekebisha baada ya siku kadhaa kupita.
• Kutokwa na damu katika siku za awali mara baada ya upasuaji kupitia njia ya mkojo: Kidonda kwenye tezi dume kinaweza kuvuja damu ambayo itaonekana katika mkojo.
• Kuwa mgumba , Ni kawaida Wanaume kuwa wagumba yaani wasioweza kupata watoto. Kwa kawaida, wakati wa tendo la ngono, mbegu za kiume kutoka kwenye korodani huingia kwenye urethra karibu na kijitundu cha kibofu cha mkojo. Wakati wa tendo la ngono, misuli maalum hufunga kijitundu hicho ili kuzuia mbegu zisiingie kwenye kibofu badala yake zielekee kwenye urethra ya katika uume • • Hata hivyo, upasuaji wa tezi dume huondoa misuli hiyo na kufanya mbegu kuingia kwenye kibofu cha mkojo badala ya kuendelea kwenye urethra ya uume. Shahawa hizo hatimaye hutolewa nje ya kibofu pamoja na mkojo.

Njia Sahihi.

Matumizi ya Virutubisho yameonekana kuwa njia Sahihi na salama kutokana na uwezo wake wa kupenya ndani ya sell za tezi dume na kuziboresha hali inayofanya tezi iliyovimba kusinyaa na kurudi katika umbo lake la awali bila kuacha madhara yoyote kwa mgonjwa na kufanya aendelee kufurahia maisha k**a zamani
𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐍𝐈𝐊𝐔𝐒A𝐃𝐈𝐄 𝐏𝐈𝐆𝐀 & 𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏

Call➖text&sms➖whatsapp👇

➖ Ili Kupata Ushauri na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255655562181 au +255769600821

➖ Jiunge na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa 👉👉👉 https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

➖ SHARE kwenye MA GROUP NA WATU MBALI MBALI UWASAIDIE WENGI WANAO TESEKA 🙏🙏🙏 kisha tuandikie maoni yako au ushauri hapo chini

𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐀𝐒𝐀𝐍𝐓𝐄.

--""MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOKUWA NA MIAKA 40 AU ZAIDI ""--       +255655562181 / +2557696008211 A. Mambo mawili ya kupi...
06/04/2025

--""MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOKUWA NA MIAKA 40 AU ZAIDI ""--

+255655562181 / +2557696008211

A. Mambo mawili ya kupima mara kwa mara:

(1) Msukumo wa damu(presha)
(2) Sukari kwenye damu

B. Mambo sita ya kupunguza kabisa kwenye chakula chako:

(1) Chumvi
(2) Sukari
(3) Vyakula vya makopo na vilivyokaa muda mrefu
(4) Nyama nyekundu kipekee ya kuchoma
(5) Bidhaa za maziwa
(6) Vyakula vyenye wanga

C. Vitu vinne vya kuongeza kwenye vyakula:

(1) Mbogamboga
(2) Maharage
(3) Matunda
(4) Karanga, korosho, macadamia, almond(nuts)

D. Mambo matatu unayotakiwa kuyasahau:

(1) Umri wako
(2) Yaliyopita
(3) Majonzi yako

E. Mambo manne ya lazima kuwa nayo, bila kujali hali yako:

(1) Marafiki wanaokupenda kweli
(2) Familia inayokujali
(3) Mawazo chanya
(4) Nyumba yenye furaha.

F. Mambo manne ya kufanya ili kuwa na afya njema:

(1) Kufunga
(2) Kutabasamu na kucheka
(3) Kutembea/mazoezi ya mwili
(4) Kupunguza uzito

G. Mambo sita ya kutofanya:

(1) Usisubiri hadi upate njaa ili ule.
(2) Usisubiri upate kiu ndio unywe maji
(3) Usisubiri upate usingizi ndio ulale.
(4) Usisubiri uchoke kabisa ndipo ulale
(5) Usisubiri uugue ndipo uende hospitalini kupima afya yako la sivyo utajutia baadae
(6) Usisubiri uwe na tatizo ndipo umwombe Mungu akusaidie

JIJALI

Utaweza kutimiza ndoto zako ukizingatia hizi dondoo na kuwaona watoto wa watoto wako.

Asante kwa kusoma na kushea 🙏🏿🙏🏿🙏🏿

☆Unaposhea kontenti k**a hii unawezesha watu wengi zaidi kipekee marafiki zako kufahamu jinsi ya kuwa na afya njema na maisha bora zaidi.

Jali Afya Yako +255655562181 / +255769600821

🕳 Kwa msaada zaidi :- Tafadhali Usisite Kuwasiliana Nasi Kuhusu Tiba Kwa Njia za Kisasa Kabisa na Ushauri wa Masuala Mbali Mbali Ya Afya.

𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐍𝐈𝐊𝐔𝐒A𝐃𝐈𝐄 𝐏𝐈𝐆𝐀 & 𝐖𝐇𝐀𝐓𝐒𝐀𝐏𝐏

Call➖text&sms➖whatsapp👇

➖ Ili Kupata Ushauri Bure na Msaada Zaidi Kuhusu Matatizo Mbali Mbali Kiafya - Mawasiliano - +255655562181 au +255769600821

➖ Jiunge na Group letu la Afya la WhatsApp Kwa Kubonyeza Link Hii hapa 👉👉👉 https://chat.whatsapp.com/C4qdsFaTDTB7tUPplBak8Q

*TATIZO LA MISULI NA MISHIPA YA UUME KULEGEA* -  ( *Erectile Dysfunctional* )  +255655562181 / +255769600821 " Hili ni T...
28/03/2024

*TATIZO LA MISULI NA MISHIPA YA UUME KULEGEA* - ( *Erectile Dysfunctional* )

+255655562181 / +255769600821

" Hili ni Tatizo kubwa ambalo linawakumba vijana wengi wa Kitanzania kwa sasa na kutishia Uimara wa mahusiano ya kimapenzi.

" *Erectile Dysfunction* -
ni kulegea kwa uume ama kutosimama vizuri kunako pelekea kushindwa kumridhisha mwenz Wako kingono.

" *Erectile dysfunction* ( *ED* ) - Imekuwa Chanzo Cha kuvunjika kwa mahusiano mengi na matatizo ya kisaikologia kutokana na msongo wa mawazo kwa wahanga.

"Kwa Kawaida muhanga wa tatizo la kutosimama uuume na kulegea kwa uume anapaswa Kufuata Yafuatayo:-

1. Apate huduma ya kisaikolojia.
2. Apatiwe Huduma ya kimwili Kwa Kupatiwa Product Maalum za Kusaidia Mwili Kuongeza nguvu na Uimara wa Misuli na Mishipa Ya Damu.
3. Apatiwe produt Maalum Kwa ajili Ya Kuongeza Vichocheo Vitakavyoupa Mwili Msisimko na Kufanya afurahie tendo na apate hamasa ya Kufanya.

" Kuna virutubisho vingi ambavyo vinaweza kukusaidia kuongeza uzajlishaji wa horome ya testosterone na kuongeza hamu ya tendo la ndoa.

" *Erectile Dysfunction ni nini?

"Ni kupungua ama kutokuwa na uwezo wa kuhimili kusimama kwa uume kwa mda mrefu kwenye tendo la ndoa.

" Ni tatizo kubwa linalowakumba wanaume wengi hasa kwa wanaume wazee. 80% ya wagonjwa wanaofika ofisini kwetu wana tatizo hili na hawawezi kuwaridhisha wanawake wao.

" Kikawaida unapokuwa kwenye tendo la ndoa damu nyingi husukumwa kuelekea kwenye uume na hivo kufanya misuli na mishipa kujaa na uume kusimama.

"Misuli inaposinyaa baada ya kumaliza kufanya ngono basi damu nyingi pia hupungua kwenye eneo la uume.

" Kupungua huku kwa uwezo wa kusimama kwa uume inaonesha kwamba kuna shida ya kiafya, kwa wanaume wachache hali hii huchukua muda mfupi na kupotea kutokana changamoto za kawaida za kimaisha k**a msongo wa mawazo, mwili kuchoka na matumizi ya pombe.

" Lakini kwa wanaume wengi hali hii huendelea kuwa mbaya zaidi kila wanapotaka kufanya ngono.

*MCHANGO WA PICHA ZA NGONO KWENYE UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME NA MISULI YA UUME KULEGEA*.

Tafiti za hivi karibuni zinaonesha kuongezeka kwa tatizo la ED kwa miaka ya hivi karibuni, hii inatokana na upatikanaji wa vifaa k**a simu na kompyuta hivo kuwarahisishia vijana wengi uwezo wa kuingia mtandaoni kiurahisi na kutazama picha za ngono muda wowote.

"Wengi hutazama picha na video za ngono ili kujiridhisha kimapenzi na kupiga punyeto. wanaume wanaoangalia pono wanafadhaika pale wenza wao wanaposhindwa kuwafanyia vitu kwa mtazamo k**a ule kwenye pono.

" Japo kuna mchango wa mitindo fulani ya maisha k**a kuwa na uzito mkubwa na kitambi, lakini kutazama picha chafu za ngono zinaufanya mwili utake msisimko mkubwa sana kuliko uliozoeleka na jinsi mwili ulivoumbwa ili kuamsha hisia, yaani kwa lugha rahisi ni kwamba mwili unakuwa sugu.

"Mazingira gani hatarishi yanayopelekea uwe muhanga wa tatizo hili la misuli ya uume kulegea na kutosimama.

"ED - inaweza kusababishwa na matatizo ya kiafya pamoja mitindo ya kimaisha k**a

Kisukari:
Wanaume wenye kisukari hasa tatizo la muda mrefu wana upungufu wa nguvu za kiume na uume kutosimama kwa nguvu

Shinikizo la damu:
utafiti unaonesha kwamba shinikizo kubwa la damu pamoja na uume kufeli kusimama ni vitu vinavyoenda kwa pamoja.

Matatizo kwenye njia ya mkojo:
matatizo kwenye njia ya mkojo huambatana na dalili k**a kupata mkojo mara kwa mara, kushindwa kutoa mkojo wote kwenye kibofu ambayo hupelekea kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa na uwezo wa kufanya ngono kikamilifu.

Uzito mkubwa na kitambi:
Uzito mkubwa na kitambi ni chanzo kikuu kusababisha shida kwenye nguvu za kiume na kulegea kwa jogoo. Kitambi na uzito huvuruga homoni, kufanya mwili kutosikia uwepo wa insulin na hivo kiasi cha sukari kupanda kwenye damu. Kiwango cha sukari kwenye damu kinapokuwa kingi hupunguza utengenezaji wa kichocheo cha testosterone kupungua. Testosterone ndio kichocheo kinachofanya mwanaume kuwa mwanaume kwa kuchochea hamu ya tendo la ndoa na kusaidia uzalishaji wa mbegu.

kuishi kizembe (sedentary life) bila kushugulisha mwili na kufanya mazoezi: Mazoezi ni muhimu kwa wanaume wanaotaka kufurahia tendo la ndoa miaka yote, k**a hukujua hili basi nashauri weka ratiba sasa anza mazoezi mepesi walau mara tatu kwa week.

Umri: Kadiri umri unavoenda kasi na uwezo wa kufanya ngono hupungua kutokana na mifumo mbalimbali ya mwili kuchoka, matatizo moyo, na matatizo ya kisaikolojia na msongo wa mawazo. Pia wazee ni kundi linalotumia dawa nyingi sana na hivo homoni zao kuvurugika.

Kuvuta sigara: wavutaji wa sigara wapo kwenye hatari zaidi ya kupata matatizo ya uzazi na misuli ya uume kulegea

Matumizi ya vidonge vya hospitali kwa muda mrefu,mfano dawa za presha, usingizi, msongo wa mawazo, tezi dume .

"Dawa hizi huweza kupunguza hamu ya tendo la ndoa, kushindwa kumwaga mbegu, na kushindwa kusisimka.

"Kumbuka Unapotaka kutatua changamoto ya kushindwa kusimama kwa uume, basi hakikisha unalenga chanzo cha tatizo, k**a una uzito mkubwa na kitambi hakikisha unapunguza uzito, k**a ni matatizo ya mfumo wa damu na moyo basi lenga kwenye lishe utaishi kwa raha sana.

HATUA TANO 5 ZA KUIMARISHA MISHIPA NA MISULI YA UUME
Kusimama Na Kuongeza Nguvu Za Kiume.

1. Punguza uzito mkubwa na kitambi : Kitambi na uzito ni adui wa afya yako, si tu katika tendo la ndoa, kitambi ni chanzo cha magonjwa mengine k**a kisukari, presha, ugumba na saratani. katika safari yako ya kupunguza uzito epuka vyakula vya wanga na sukari, tumia zaidi vyakula vya mafuta mazuri k**a samaki, parachichi, nyama, mayai, karanga na n**i.

2. Fanya mazoezi ya kutosha.
Watu wengi wamelemewa na magonjwa kwa sababu tu mwili haupati damu ya kutosha kwenda sehemu mbali mbali k**a vile ubongo, ini,figo ambazo ndio sehemu zenye kuufanya mwili wako ufanye kazi katika uhalisia wake. Hivyo basi magonjwa mengi ya msunguko wa damu ni pamoja na nguvu za kiume kwani k**a hufanyi mazoezi mwili wako unadhofika na kukosa uwezo wa kuhimili ndoa yako pia inapunguza nguvu za kiume. Basi ningependa kuwa kwa wale wazee siku hizi kuna vituo mbalimbali ambavyo vitakusaidia mwili wako kuwa imara na kurudisha uwezo wako katika tendo la ndoa kupitia mazoezi. Mazoezi huimarisha mwili wako na kuweka mbali mwili wako na maradhi mbalimbali yanayo sababishwa na uzembe. k**a hujui pa kuanzia basi anza na mazoezi mepesi ya kukimbia, kisha jaribu kegel exercise- unapokojoa hakikisha unatoa mkojo kidogo kisha unabana kwa sekunde 10 kisha ruhusu tena, fanya hivo kila unapoenda kukojoa walau mara 10 kwa kila awamu. Kegel exercise husaidia kuimarisha mishipa ya uume.

3. Punguza msongo wa mawaz : matatizo ya kisaikologia k**a msongo wa mawazo huathiri uwezo wako wa kufanya ngono kwa uzuri na kukupelekea heshima ya ndoa kupungua, hivo hakikisha unabalansi kazi za kimaisha zisiathiri tendo la ndoa.

4. Epuka vinywaji vyote vyenye sukari nyingi, vya kusindika, vyenye vionjo vya sukari, rangi na ladha katika afya yako kwani vyakula hivyo ni adui mkubwa sana wa afya yako hasa wakati unataka kurudisha nguvu za kiume. Kula vyakula asili, nafaka ambayo haijakobolewa, matunda kwa wingi ambayo hayasagwa yenye nyuzi nyuzi nyingi na pia juice ya matunda na mboga za majani. Utafurahia maisha ya kula vyakula asili na utafurahia ndoa yako.

Anza leo rudisha Virutubisho ambavyo vimepotea mwilini mwako Hakikisha mwili wako unaupa madini ya msingi k**a zinki, chuma, selenium, manganese na vitamin nyingi, kwani madini haya ndiyo yanafanya mwili wako ufanye kazi katika kiwango stahiki kwani huwezesha viendesha shughuli za mwili yani enzymes kufanya kazi katika kiwango kizuri na kuimarisha mwili wako.

"Ukiona mpaka umekumbwa na tatizo hilo ujue mwili umekuwa na udhaifu kwa mda mlefu ili uweze kuludi kawaida kwa haraka zaidi mwili usaidie kuuongezea virutubisho ambavyo vina madini yote muhimu.

" Kwa Muda wa Siku Zisizo pungua 30 mpaka 90 mwili unaludi kawaida na baada ya hapo unaendelea kula vyakula vya asili k**a kawaida huku ukifuata masharti ya ulaji vyakula na kufanya mazoezi ukiwa sawa.

-📞 Kwa Msaada zaidi Wasiliana nasi kwa namba 0655562181 / 0769600821

• Ku chart Nasi Moja Kwa Moja WhatsApp Bonyeza hapa 👉🏿 👇🏿 https://wa.me/255655562181

Address

Ilala Boma
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tiba bora posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram