08/02/2026
Nini Husababisha Mimba Kuharibika 👇
• HOMONI KUTOKUWA SAWA – Mwili ukikosa homoni za kutosha, hasa progesterone, mizizi ya mimba haijengwi vizuri na ujauzito hushindwa kuendelea.
• CORPUS LUTEUM kuwa dhaifu – Hiki ni kifuko kinachobaki baada ya yai kuachiliwa.
Kazi yake ni kutoa homoni ya kulinda mimba miezi 3 ya kwanza kabla placenta haijakomaa. Kisipofanya kazi kikamilifu, mimba huwa hatarini.
• CHANGAMOTO ZA VINASABA (genetic abnormalities) – Tatizo linaweza kutoka kwa mama au baba, na mara nyingi mwili husimamisha mimba mapema Kuendelea Kukua Ghafla na Kuharibika Ndani ya Miezi mitatu ya Mwanzoni
• MAAMBUKIZI NA MAGONJWA – PID, magonjwa ya zinaa, malaria kali, kisukari au UTI huongeza hatari ya mimba kutoka.
• Shingo ya kizazi kulegea – Kuanzia miezi 3–6, kizazi kinapaswa kubana. Kikilegea, mimba inaweza kutoka hata bila uchungu.
• Mtindo wa maisha – Pombe, sigara, hewa chafu na matumizi holela ya dawa vina mchango mkubwa.
BAADA YA MIMBA KUHARIBIKA, usifanye haraka kubeba nyingine. Subiri angalau miezi 3 ili kizazi kipone, damu irudi sawa, na homoni zibalansi.
Pia hakikisha unafanya uchunguzi kujua chanzo — kwa sababu mimba nyingi zinazoharibika huwa na sababu inayoweza kutibika.
KUMBUKA MAMA… kupoteza mimba sio mwisho wa safari ya uzazi. Ukitibu CHANZO, nafasi ya kubeba mimba salama huongezeka sana.
K**a umewahi kuharibika mimba au una hofu ya kurudia hali hiyo,
andika neno “UZAZI” kwenye comment au DM nikusaidie namna ya kuujenga mwili wako kabla ya ujauzito unaofuata.
Kwa wanawake wanaopambana na changamoto za uzazi, ipo tiba asilia UZAZIRESTORE inayosaidia kusafisha via vya uzazi, kubalance homoni, kuimarisha kuta za kizazi na kuandaa mwili kulea mimba hadi mwisho.
📌 Dozi ya mwezi mmoja ni 260,000/=
✔️ Unapata muongozo maalum wa lishe
✔️ Support kipindi chote cha matibabu
✔️ Mwongozo wa kurejesha uzazi kwa asili
✔️ Husaidia kuandaa kizazi kubeba mimba yenye afya
USIKATE TAMAA.
Wanawake wengi wamepitia maumivu haya, lakini baada ya kuponya chanzo waliweza kupata watoto salama.
Na wewe inawezekana kabisa.