Dr Sam Makata

Dr Sam Makata Unatafuta ujauzito bila mafanikio kwa muda mrefu?

Ninakupa elimu ya kina kuhusu afya ya uzazi, mzunguko wako wa hedhi, lishe bora, na vidokezo vya asili vinavyoweza kuongeza uwezekano wa kubeba mimba haraka

Changamoto Binafsi, WhatsApp👉 +255 789 699 225

Siyo Kila Tunda Ni Salama Kwa Mama Mjamzito 🍍😳Kuna baadhi ya matunda ambayo yanaweza kuvuruga homoni zako, kusababisha u...
27/10/2025

Siyo Kila Tunda Ni Salama Kwa Mama Mjamzito 🍍😳

Kuna baadhi ya matunda ambayo yanaweza kuvuruga homoni zako, kusababisha uchungu kabla ya wakati,

au hata kuathiri mtoto tumboni/ Mimba Kuharibika bila wewe kujua.

Uwa nakutana na akina mama wanaokuja wakilia — walikula vyakula au matunda “Wakidhani ni Bora kwa afya”, kumbe yalikuwa yanachochea tatizo bila kujua.

Ujauzito ni kipindi cha neema, lakini pia ni kipindi cha uangalifu mkubwa Unahitajika

Kila kitu unachokula kina uwezo wa kumjenga au kumharibu mtoto tumboni.

Kuna matunda mazuri, lakini yapo mengine ambayo hufanya cervix ilainike mapema, au homoni kupoteza usawa wake (hormonal imbalance).

Na mara nyingi, matatizo haya yanasababisha kupoteza mimba au maumivu ya mara kwa mara.

Kwenye Post Hii nimekuelekeza Kwa Umakini ni Matunda Gani Unapaswa Kuepuka Ama Kupunguza unapokuwa Mjamzito

Soma Kwa Makini Slide Hizi, na Namba 6 ni Combination HATARI ZAIDI ❌

Na Kama umekuwa ukijaribu kupata ujauzito bila mafanikio, au mimba zako zimekuwa hazikai muda mrefu,

👉🏾 Usikate tamaa — tatizo linaweza kuwa ndani ya mwili wako, siyo Kwamba wewe ni “TASA.”

💚 UzaziRestore ni tiba ya asili inayosaidia kurejesha homoni, kusafisha kizazi, na kuandaa mwili wako kushika ujauzito ndani ya siku 30–90.

Unapata pia:
✅ Muongozo wa lishe sahihi
✅ Ufuatiliaji wa karibu na mimi
✅ Tiba asilia bila kemikali kali

💬 Comment “UZAZI” au DM neno “MIMBA” nikuelekeze hatua ya kuanza safari yako ya Uzazi Asilia.

27/10/2025

Kuna Wakati unaamka usiku wa manane, mtoto wa kwanza analia… kabla hata hujamtuliza, wa pili naye anaanza!

Unaona machozi yanataka kutoka ila siyo ya watoto—ni yako Mama! 😩

Unasikia kilio cha kwanza, unainuka… kabla hujamshika wa kwanza, Wa pili naye ameanza!

Mapacha ni kama kuishi na alarm

Lakini unapoangalia wakilala mikononi mwako, unaona rehema safi ya Mungu.

Umechoka, ndiyo — ila moyo umejaa upendo kuliko maumivu unayopitia Kila Usiku. 🥹

👉 Wewe mama, ulipitiaje usiku wako wa kwanza na mapacha?

Hebu tuambie kwa kweli kabisa tujifunze Pamoja 😅👇

Hivi Unajua? Kuna matunda ambayo mama mjamzito akiyala, yanaweza kuathiri afya ya mtoto tumboni 😳Lakini pia yapo matunda...
27/10/2025

Hivi Unajua? Kuna matunda ambayo mama mjamzito akiyala, yanaweza kuathiri afya ya mtoto tumboni 😳

Lakini pia yapo matunda yanayoweza kumjenga mtoto mwenye akili timamu na kinga kali kabla hajazaliwa.

Najua wengi wamekuwa wakila matunda kiholela wakidhani yote ni sawa — kumbe la!

Wakati wa ujauzito, mwili wako hubadilika kabisa, na unahitaji virutubisho maalum kwa ajili ya ukuaji wa mtoto.

Kama Daktari wa uzazi, nimeona akina mama wengi wanapata kichefuchefu kisichoisha, upungufu wa damu,
.. au hata watoto kuzaliwa na changamoto ndogo za kiafya — si kwa sababu ya dawa, bali lishe duni wakati wa ujauzito.

Leo nataka nikuonyeshe matunda 8 ambayo yamehakikishwa na tafiti kusaidia mtoto wako kukua akiwa na kinga, akili na afya bora.

Soma Slide ya kwanza Hadi Mwisho, Na Tunda Namba 8 Wengi hatuli Kabisa licha ya Faida Zake

KUMBUKA, afya njema ya uzazi huanza kwenye lishe sahihi — kabla, wakati na baada ya ujauzito.

Na kama unahangaika kushika mimba baada ya muda mrefu wa maumivu na kushindwa kupata ujauzito,

👉🏾 UzaziRestore ni tiba yako salama ya kurejesha usawa wa homoni, kusafisha kizazi, na kuandaa mwili wako kushika ujauzito asilia ndani ya siku 30–90.

💬 Comment “UZAZI” au DM neno MIMBA nikupatie maelezo ya kuanza safari yako leo.

Ubora wa mayai yako ndiyo msingi wa ujauzito wako!Lakini je, mwili wako una virutubisho vinavyoyalinda na kuyajenga upya...
26/10/2025

Ubora wa mayai yako ndiyo msingi wa ujauzito wako!
Lakini je, mwili wako una virutubisho vinavyoyalinda na kuyajenga upya? 🤔

Wengi wa kina dada ninaowashauri wanashangaa kwa nini bado hawashiki ujauzito licha ya mzunguko kuwa sawa.

Ukweli ni kwamba — yai lisilo na ubora haliwezi kushikamana na mbegu vizuri Ili kuruhusu Ujauzito kutokea

Na Kadri umri unavyoongezeka, ubora na akiba ya mayai hupungua kwa kasi — hasa baada ya miaka 35.

Lakini bado unaweza kusaidia mwili wako kurejesha nguvu za mayai kupitia virutubisho sahihi, lishe bora na tiba ya asili inayorekebisha mfumo wako mzima wa uzazi.

Kwenye post ya leo nimekueleza virutubisho 5 vya lazima kwa afya ya mayai yako 🩷

Lakini kama umekuwa ukijitahidi kwa muda mrefu bila matokeo, suluhisho liko karibu.

Program yangu ya UZAZIRESTORE inakusaidia kurejesha homoni zako, kuboresha ubora wa mayai, na kuongeza nafasi ya kushika mimba ndani ya siku 30–90.

👉🏾 Comment neno “MAYAI” chini au niandikie Wasap kwa ushauri wa kibinafsi.

📞 +255(0789699225)
“Uzazirestore — Tiba Inayogusa Chanzo Cha Tatizo, Si Dalili.” 🌿

Siyo Kila Mwanamke Anayekula Matunda Anafaidika Kiafya… lakini kuna matunda 5 yanayoweza kubadilisha afya yako ya uzazi ...
25/10/2025

Siyo Kila Mwanamke Anayekula Matunda Anafaidika Kiafya

… lakini kuna matunda 5 yanayoweza kubadilisha afya yako ya uzazi kabisa! 🍍🍉🥑

Wengi wa kina dada wanaonilalamikia kuwa hawawezi kushika ujauzito, wanashangaa kusikia kwamba tatizo siyo mayai peke yake — bali lishe yao ya kila siku.

Matunda fulani yana nguvu ya kusafisha kizazi, kurejesha homoni, na kuongeza uwezo wa yai kushikamana vizuri baada ya ovulation.

Kama unapitia hedhi zisizo za kawaida, fibroids, PCOS, au maumivu wakati wa ovulation — hii inakuhusu wewe.

Nimeeleza matunda 5 muhimu kwenye post ya leo — lakini kama bado unahangaika kushika mimba kwa muda mrefu bila mafanikio, usikate tamaa.

Program yako Pendwa ya UZAZIRESTORE imeundwa mahsusi kurejesha uwezo wako wa kupata ujauzito ndani ya siku 30–90, kwa kutumia tiba asilia zinazorekebisha homoni na kuimarisha mzunguko wako.

👉🏾 Comment neno “UZAZI” chini au niandikie Wasap kwa ushauri binafsi wa bure.

📞 +255 789 699 225
“Uzazirestore – Tunatibu Mzizi wa Tatizo, Si Dalili.” 🌿💚

Hii swali ni kwa wazoefu tu 😅
24/10/2025

Hii swali ni kwa wazoefu tu 😅

Mara Ngapi Umehisi Uvimbe Ukeni Na Ukaamini Ni Kawaida… kumbe ni Bartholin Cyst 😢Wanawake wengi wanahisi uvimbe kwenye s...
23/10/2025

Mara Ngapi Umehisi Uvimbe Ukeni Na Ukaamini Ni Kawaida… kumbe ni Bartholin Cyst 😢

Wanawake wengi wanahisi uvimbe kwenye shavu la uke bila kujua ni nini.

Wengine huhisi kama kidonda kidogo, wengine wanahisi kama gololi dogo pembezoni mwa Shavu La Uke— Bila Kujua ndani yake kuna usaha unaokua taratibu.

Na inafika Wakati Usumbufu na Maumivu yake yanapoteza Ladha na hamu ya tendo la ndoa,

na yakipuuzwa yanaweza hata kuathiri uwezo wa kushika mimba.

Na mbaya zaidi — wengi hutumia dawa za kawaida, Tunapona juu juu, lakini ndani maambukizi yanabaki yakiharibu mfumo wa uzazi kimya kimya.

Habari njema ni kwamba mwili wako unaweza kupona bila upasuaji wala dawa kali.

Tiba ya Uzazirestore Dvaginal therapy Package imesaidia wanawake wengi kuondoa uvimbe, kurejesha afya ya uke, na hata kushika mimba tena ndani ya miezi 1–3.

🌿 Imetengenezwa kwa mimea na virutubisho tiba vya asili vinavyosafisha kizazi, kuua bakteria, na kurejesha kinga ya mwili.

💬 Tuma neno “UVIMBE” Wasap kwa +255(0789699225)

Nitakupatia mwongozo wa kibinafsi wa kupona na kurejesha afya ya uzazi wako kikamilifu.

🩺 Dr. Sam Makata — Mtaalam wa Afya ya Uzazi na Tiba Asilia ya Afya ya Wanawake.

Unaweza kuwa unatafuta mimba miaka mingi kumbe mirija yako imeziba kimya kimya 😢Wengi hawajui kuwa zaidi ya 40% ya wanaw...
23/10/2025

Unaweza kuwa unatafuta mimba miaka mingi kumbe mirija yako imeziba kimya kimya 😢

Wengi hawajui kuwa zaidi ya 40% ya wanawake wenye ugumba wanateseka kwa tatizo la Fallopian Tubes kuziba — na mbaya zaidi, mara nyingi halina dalili kabisa.

Unapojitahidi kila mwezi, ukiona hedhi inarudi tena na tena, moyo unakata tamaa... lakini ukweli ni kwamba mwili wako unaweza kurejea kwenye hali ya uzazi ikiwa utashughulikia chanzo halisi — siyo dalili tu.

Kama umepitia P.I.D Sugu/ Ya kujirudia, mimba kuharibika, au maambukizi ya mara kwa mara ukeni — ni wakati wa kufanyiwa uchunguzi sahihi na kurejesha afya ya uzazi wako kwa njia salama.

Kila siku ninasaidia wanawake kama wewe kurejesha uzazi wao ndani ya siku 30 hadi 90 kupitia tiba ya asili ya Uzazirestore Plus Cleanser Package.

🌿 Inasafisha mirija, kurejesha mzunguko wa hedhi, na kusaidia homoni zako kuwa sawa tena.

💬 Tuma neno “MIRIJA” Wasap kwa +255(0789699225) — nitakupa mwongozo wako binafsi wa kuanza safari ya kurudisha uzazi wako.

Kumbuka dada yangu… Tatizo lako lina suluhisho. Usikubali kuishi na maumivu ambayo yana tiba. 🤍

SIYO KILA KITU UNACHOKULA KINAFAA WAKATI WA PERIOD...👇Kuna baadhi ya vyakula vinazidisha maumivu, uchovu na hata kuvurug...
22/10/2025

SIYO KILA KITU UNACHOKULA KINAFAA WAKATI WA PERIOD...👇

Kuna baadhi ya vyakula vinazidisha maumivu, uchovu na hata kuvuruga homoni zako bila wewe kujua 😔

Kila mwezi wanawake wengi hupitia maumivu makali ya hedhi, uchovu, na hisia kubadilika.

Lakini wachache sana hujua kuwa vyakula vya kawaida kama kahawa, nyama nyekundu, pizza au soda vinaweza kuwa chanzo cha mateso hayo kila mwezi.

Nimeshuhudia Wanawake wengi wakipona kabisa kwa kubadili lishe na kurejesha usawa wa homoni zao — bila dawa kali wala maumivu yasiyoisha.

Kwa Kuzingatia Mbinu ya Vyakula Hivi, Soma Slide ya kwanza Hadi Mwisho, Chakula Namba 6 Ndio Adui Mkubwa Kwa Wengi🙌

👉🏾 Na Kama Umekuwa Ukizingatia Lishe Bora, na Bado unapata maumivu makali ya hedhi, mzunguko usioeleweka, au umekuwa ukijaribu kushika mimba bila mafanikio — usikate tamaa.

UzaziRestore ni tiba salama ya asili inayorekebisha homoni zako, kuimarisha mzunguko wa hedhi, na kukusaidia kushika ujauzito ndani ya siku 30–90 💕

💬 Tuma neno “UZAZI” Wasap sasa kwa +255(0789699225)— Nikusaidie kurejesha afya ya uzazi wako 💪🏾

Unajua? Harufu ya ‘shombo la samaki’ ukeni si kawaida kabisa — na haipaswi kupuuzwa 😳Kila siku napokea wanawake wengi wa...
22/10/2025

Unajua? Harufu ya ‘shombo la samaki’ ukeni si kawaida kabisa — na haipaswi kupuuzwa 😳

Kila siku napokea wanawake wengi wakilalamika,
“Daktari, naosha kila siku lakini harufu bado haishi…”

NA UKWELI NI HUU 👉🏽 tatizo sio uchafu, ni usawa wa bakteria wa uke wako ulioharibika.

Mara nyingi hii hutokana na Bacterial Vaginosis, fangasi, au U.T.I Sugu — na yote haya huathiri afya ya uzazi wako kwa kina.

Ukizidi kutumia manukato, sabuni Zenye Kemikali Kali, au dawa Dawa za kutumbikiza Ukeni bila kujua chanzo — unazidi kudhoofisha kinga ya uke wako.

Na Hali Kuwa Mbaya Zaidi Siku baada ya Siku, na Hata Kukusababishia Changamoto ya Kupata Mtoto Baadae Kwenye mahusiano/ Ndoa Yako 😢

Lakini habari njema ni hii: mwili wako unaweza kurejesha usawa wake wa asili ukipewa lishe na tiba sahihi.

🌿 Uzazirestore Dvaginal Therapy husafisha uke, kuondoa harufu ya samaki, kurejesha bakteria wazuri, na kuimarisha mfumo wa uzazi wako mzima.

Ndani ya wiki chache, wengi hurudia hali ya kawaida — harufu inaisha, muwasho unapotea, na mzunguko wa hedhi unakuwa wa kawaida.

Na Ndani ya Siku 30 Mpaka 90 Pekee Kurejesha Uwezo Wako Wa Kubeba Ujauzito,

💬 Tuma neno “MIMBA” Wasap kwa +255(0789 0699225) — nikusaidie kurejesha afya ya uk'e wako 💕

📦 Gharama: 260,000 Tzs kwa mwezi (au 130,000/= kwa siku 15)

✅ Unapata mwongozo wa lishe, ushauri binafsi, na ufuatiliaji wa karibu.

✨ Uzazirestore — Inarudisha uhai, harufu, na uzuri wa uke wako kwa asilia.

Unajua? Vyakula vingine unavyovipenda ndivyo vinavyofanya fibroids zako zishindwe kupungua 😔Wengi wanateseka kimya kimya...
21/10/2025

Unajua? Vyakula vingine unavyovipenda ndivyo vinavyofanya fibroids zako zishindwe kupungua 😔

Wengi wanateseka kimya kimya—maumivu tumboni, hedhi nzito, na miaka ya kujaribu kupata ujauzito bila mafanikio.

Kila hospitali ina majibu tofauti, kila dawa Haina Matokeo tena…

Siri kubwa iko kwenye kile unachokula kila siku.

Kama homoni zako zipo nje ya usawa, hata dawa bora haiwezi kufanya kazi. Ndiyo maana leo nataka nikuonyeshe njia salama ya kurejesha kizazi chako kiafya kupitia lishe na tiba ya asili.

🌿 UzaziRestore ni tiba lishe ya mimea inayosaidia kupunguza uvimbe (fibroids), kusafisha kizazi, na kurudisha usawa wa homoni zako — bila madhara.

Kwa mwezi mmoja hadi mitatu, wengi wamepata mabadiliko makubwa, wengine wamepata ujauzito bila hata sindano.

💬 Tuma neno “MIMBA” WhatsApp kwa +255(0789 699 225) — nisaidie nikusaidie kushika mimba 💕

📦 Gharama: 260,000 Tzs kwa mwezi (au 130,000/= kwa siku 15)

✅ Unapata pia muongozo wa lishe, ushauri binafsi, na ufuatiliaji wa karibu.

✨ Uzazirestore — Inarudisha ndoto ya kuwa mama kwa kutibu mzizi wa tatizo.

🚫 Usifanye Makosa Haya Baada Ya Kutokwa Na Uchafu Wenye Harufu Ukeni… unaweza kujikuta unapoteza kizazi bila kujua!Najua...
20/10/2025

🚫 Usifanye Makosa Haya Baada Ya Kutokwa Na Uchafu Wenye Harufu Ukeni… unaweza kujikuta unapoteza kizazi bila kujua!

Najua inasikitisha, lakini wanawake wengi huanza na “UCHAFU MDOGO USIO NA HARUFU” kisha miaka michache baadaye wanashindwa kushika mimba 😔

PID (Pelvic Inflammatory Disease) ni ugonjwa unaotokana na maambukizi ya muda mrefu yasiyotibiwa vizuri.

Huanza Kimya Kimya — lakini unapochelewa Kupata matibabu Sahihi kikamilifu Kwa Wakati huleta maumivu, ugumba, na kuziba kwa mirija ya uzazi.

Kama umekuwa na uchafu usioisha, maumivu chini ya tumbo, au hedhi yenye mabonge na harufu, tafadhali usiache hadi iwe tatizo kubwa.

Habari njema ni kwamba unaweza kurejesha afya yako ya uzazi kwa njia salama na asilia 🌿

Kupitia Programu yangu UZAZIRESTORE hurejesha uzazi kwa kusafisha kizazi, kuondoa P.I.D, na kurekebisha homoni zako ndani ya siku 30–90.

💬 Tuma neno “UZAZI” kwenye Wasap +255(0789699225) — nisaidie nikusaidie kuponya kizazi chako na kurudisha uwezo wako wa kushika mimba 💕

Address

OFISI IPO, Jengo La Makumbusho Complex Floor Ya Pili, Kijitonyama Makumbusho
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Sam Makata posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dr Sam Makata:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category