11/12/2025
Kutokubeba Mimba Kwa Muda Mrefu Kunaweza Kukusababishia Uvimbe Bila Kujua...👇
Mwili wa mwanamke unapokuwa Kwenye miaka 25–45, bila ujauzito wa muda mrefu, homoni zinacheza nje ya mstari.
Estrogen inapanda kupita kiasi… na hapo ndipo fibroids, cysts, endometriosis na maumivu ya uzazi huanza.
Lakini hakuna mtu Wa kukuambia hili mapema.
Wengi tunakuja kushtuka pale tunapoanza Kuona hedhi nzito, Kuhisi maumivu ya tumbo yasiyopoa, tumbo kuvimba, na kupoteza mzunguko Sahihi Wa Hedhi.
Ndipo tunaanza kuhisi kuna kitu si sawa.
Najua uchovu na Maumivu ya kuhamishwa hospitali moja hadi nyingine Bila mafanikio ya Kupata Ujauzito.
Najua maumivu ya kuambiwa “tuberculosis of the uterus”, “PID ya muda mrefu”, “tutafanyia upasuaji”.
Najua hofu ya kufikiria miaka inapita na ndoto ya kuwa mama inachelewa.
Hapa ndipo ninapokuja Kukusaidia—
mwanamke akianza kutibu chanzo na siyo dalili, mwili hupona kweli na Uvimbe unaisha Kabisa,
Tena Cha kushangaza k**a Bado mdogo Unaweza kuisha kabisa BILA UPASUAJI
Ikiwa unataka nifanye utathmini wa hali yako na kukupa mwongozo sahihi bila kukuchanganya:
⭐ Comment neno “UVIMBE” hapa chini
nitakutumia mwongozo wa hatua zako sahihi kwenye DM.