Dr Sam Makata

Dr Sam Makata Tunasaidia wanawake na wanaume kurejesha afya ya uzazi kwa tiba lishe asilia, tukilenga chanzo cha tatizo. Ushauri binafsi WhatsApp +255 789 699 225

Nini Husababisha Mimba Kuharibika 👇• HOMONI KUTOKUWA SAWA – Mwili ukikosa homoni za kutosha, hasa progesterone, mizizi y...
08/02/2026

Nini Husababisha Mimba Kuharibika 👇

• HOMONI KUTOKUWA SAWA – Mwili ukikosa homoni za kutosha, hasa progesterone, mizizi ya mimba haijengwi vizuri na ujauzito hushindwa kuendelea.

• CORPUS LUTEUM kuwa dhaifu – Hiki ni kifuko kinachobaki baada ya yai kuachiliwa.

Kazi yake ni kutoa homoni ya kulinda mimba miezi 3 ya kwanza kabla placenta haijakomaa. Kisipofanya kazi kikamilifu, mimba huwa hatarini.

• CHANGAMOTO ZA VINASABA (genetic abnormalities) – Tatizo linaweza kutoka kwa mama au baba, na mara nyingi mwili husimamisha mimba mapema Kuendelea Kukua Ghafla na Kuharibika Ndani ya Miezi mitatu ya Mwanzoni

• MAAMBUKIZI NA MAGONJWA – PID, magonjwa ya zinaa, malaria kali, kisukari au UTI huongeza hatari ya mimba kutoka.

• Shingo ya kizazi kulegea – Kuanzia miezi 3–6, kizazi kinapaswa kubana. Kikilegea, mimba inaweza kutoka hata bila uchungu.

• Mtindo wa maisha – Pombe, sigara, hewa chafu na matumizi holela ya dawa vina mchango mkubwa.

BAADA YA MIMBA KUHARIBIKA, usifanye haraka kubeba nyingine. Subiri angalau miezi 3 ili kizazi kipone, damu irudi sawa, na homoni zibalansi.

Pia hakikisha unafanya uchunguzi kujua chanzo — kwa sababu mimba nyingi zinazoharibika huwa na sababu inayoweza kutibika.

KUMBUKA MAMA… kupoteza mimba sio mwisho wa safari ya uzazi. Ukitibu CHANZO, nafasi ya kubeba mimba salama huongezeka sana.

K**a umewahi kuharibika mimba au una hofu ya kurudia hali hiyo,

andika neno “UZAZI” kwenye comment au DM nikusaidie namna ya kuujenga mwili wako kabla ya ujauzito unaofuata.

Kwa wanawake wanaopambana na changamoto za uzazi, ipo tiba asilia UZAZIRESTORE inayosaidia kusafisha via vya uzazi, kubalance homoni, kuimarisha kuta za kizazi na kuandaa mwili kulea mimba hadi mwisho.

📌 Dozi ya mwezi mmoja ni 260,000/=
✔️ Unapata muongozo maalum wa lishe
✔️ Support kipindi chote cha matibabu

✔️ Mwongozo wa kurejesha uzazi kwa asili
✔️ Husaidia kuandaa kizazi kubeba mimba yenye afya

USIKATE TAMAA.

Wanawake wengi wamepitia maumivu haya, lakini baada ya kuponya chanzo waliweza kupata watoto salama.

Na wewe inawezekana kabisa.

Wanawake wengi wanahangaika kupata mimba au pia wanaogopa kubeba mimba bila kupanga…sio kwa sababu miili yao ina tatizo ...
08/02/2026

Wanawake wengi wanahangaika kupata mimba au pia wanaogopa kubeba mimba bila kupanga

…sio kwa sababu miili yao ina tatizo kubwa, bali kwa sababu hawajui siku sahihi ambazo mwili uko tayari kushika mimba.

Ukweli ni huu — unaweza kuwa na mzunguko wa kawaida kabisa lakini bado ukakosa ujauzito k**a hujui siku zako za uzazi.

Kisayansi, baada ya yai kuachiwa, kuna kitu kinaitwa CORPUS LUTEUM ambacho huishi takribani siku 14. Hii ndiyo sababu tunasema:

👉 Jumla ya siku za mzunguko wako – 14 = siku ya yai kuachiwa (ovulation), k**a Njia Rahisi ya Kutambua Siku Za Hatari

Kwa mwanamke mwenye afya nzuri ya uzazi, mara chache inaweza kuchelewa hadi siku 16, lakini mara nyingi hubaki kwenye dirisha hilo.

Sasa sikiliza kwa makini dada yangu…

Mambo muhimu ya kuelewa kwanza:

• Siku ya kwanza kuona damu ndio mwanzo wa mzunguko wako — sio siku damu inaisha

• Mzunguko sio lazima uwe sawa kila mwezi. Kubadilika kidogo ni kawaida

• Siku za hedhi na siku za mzunguko ni vitu viwili tofauti.

Mfano rahisi:
K**a mzunguko wako ni siku 30 → 30-14 = 16
Hiyo ndio siku ambayo tunategemea yai litoke.

Lakini kwa sababu homoni zinaweza kubadilika kutokana na stress, lishe au mtindo wa maisha, tunaweka tahadhari ya siku 4 kabla na 4 baada.

👉 Hivyo siku zako za hatari zitakuwa siku ya 12 mpaka ya 20.

Hizi ndizo siku ambazo kwa anayehitaji mimba anatakiwa kuzitumia vizuri… na kwa asiyetaka mimba anatakiwa kuwa makini sana

Lakini k**a mzunguko wako unarukaruka, jiulize:

Unapata ukavu uke'ni?

Hamu ya tendo la ndoa imepungua?

Unapata maumivu makali ya hedhi?

Unatokwa damu nyingi au yenye mabonge?

Unachoka bila sababu au unakosa usingizi?

Hizi mara nyingi ni ishara za homoni kutobalansi, jambo linaloweza kuchelewesha yai kupevuka au lisitoke kabisa.

Habari njema ni hii — mara nyingi hali hii inaweza kurekebishwa kwa kubadili mtindo wa maisha:

✔️ Kula mboga za majani kwa wingi
✔️ Tumia asali mbichi, tende, karoti, korosho na vyakula vya asili
✔️ Kunywa supu za mifupa au mchemsho wa ndizi
✔️ Epuka soda, kahawa nyingi, vyakula vya ngano nyeupe na vinywaji baridi hasa wakati wa hedhi

Ukianza kuupa mwili virutubisho sahihi, homoni huanza kujipanga na mzunguko unakuwa rafiki tena.

🚨 Unaweza kuwa na afya nzuri… lakini HOMONI YA MAZIWA IKIWA JUU,  inazima uwezo wako wa kushika mimba Kabisa...!Wanawake...
08/02/2026

🚨 Unaweza kuwa na afya nzuri… lakini HOMONI YA MAZIWA IKIWA JUU, inazima uwezo wako wa kushika mimba Kabisa...!

Wanawake wengi hushangaa sana wanapoambiwa “prolactin iko juu” ilhali hawajifungui wala hawanyonyeshi.

Ukweli ni huu — homoni hii inapozidi, mwili huingia kwenye hali inayofanana na ya MAMA ANAYENYONYESHA

… na hapo ujauzito huwa mgumu kutokea.

Hebu nikufafanulie vizuri.

Prolactin ikiwa juu sana hufanya mambo haya muhimu:

âś” Huzuia upevushaji wa mayai (Ovulation).

Bila yai kupevuka, hakuna mimba. Ndiyo maana kina mama wengi miezi ya mwanzo baada ya kujifungua huwa hawaoni hedhi

— hali hii huitwa lactational amenorrhoea.

âś” Hushusha homoni ya progesterone.

Hii ndiyo homoni inayotengeneza kuta imara za kizazi ili mimba ijipandikize na kujishikilia

Ikiwa chini, kuta huwa nyembamba (thin uterine lining) na hata mimba ikitungwa inaweza isitunge vizuri au ikatoka mapema.

âś” Huvuruga mzunguko wa hedhi.
Unaweza kuona siku zinapishana, au zikapotea kabisa.

âś” Dalili zingine unazoweza kuona:

Matiti kujaa au kuuma

Kutoka maji/maziwa bila kunyonyesha

Uk'e kuwa mkavu

Kupungua kwa hamu ya tendo

Sasa sikiliza hili kwa makini dada yangu…
SI RAHISI MWANAMKE mwenye prolactin nyingi kushika mimba mpaka homoni hii ibalansiwe.

Habari njema ni kwamba — mwili wa mwanamke una uwezo mkubwa wa kurejea kwenye mstari sahihi ukipata msaada sahihi.

Anza na kurekebisha msingi wa mwili wako:

Epuka sana vyakula vyenye:
❌ Mafuta mengi
❌ Sukari nyingi
❌ Nafaka zilizokobolewa
❌ Pombe na vinywaji vyenye kemikali nyingi

Badala yake Fanya Mambo Haya Ambayo nimekuwekea Hapa Kwenye sehemu ya Komment...!

Wanawake wengi huumia kimya kimya wakijiuliza,“K**a vipimo vyangu vipo Sawa… kwa nini sipati mimba?”Ukweli ni huu — Kuna...
07/02/2026

Wanawake wengi huumia kimya kimya wakijiuliza,
“K**a vipimo vyangu vipo Sawa… kwa nini sipati mimba?”

Ukweli ni huu — Kuna Wakati uzazi hauamuliwi na majibu ya maabara pekee.
Mwili lazima uwe kwenye balance ili kuweza kuanzisha maisha mapya.

Usikate tamaa. Mara nyingi mwili hauhitaji juhudi zaidi — unahitaji kurejeshwa kwenye hali yake ya asili.

K**a Mwili Wako Hauko Tayari — unaweza kujaribu kupata mimba kwa miaka bila mafanikio.Na Kutafuta Mchawi Wako Nani Miaka...
07/02/2026

K**a Mwili Wako Hauko Tayari — unaweza kujaribu kupata mimba kwa miaka bila mafanikio.

Na Kutafuta Mchawi Wako Nani Miaka Kwa Miaka,

Na siyo Mwingine, Naongea na wewe dada yangu…
Labda una PCOS, cyst, fibroids, maambukizi ya muda mrefu, au Unapata hedhi zisizoeleweka.

Yaani Kwa ufupi, Uzazi Wako Umevurungika, na
Umejaribu dawa, umeomba sana mpaka Maji ya Upako, umefuatilia siku za hatari — lakini bado mimba Haishiki

Ukweli ambao wengi hawaambiwi ni huu:

👉 Mimba haitungi kwenye mwili uliochoka Kwa Msongo Wa Mawazo, Mwili Uliojaa Sumu, wenye homoni zisizo sawa, au wenye uchochezi Wa Ndani

Uzazi ni Mfumo, na Mfumo unapowekwa Sawa mambo mengine Ndio ufuata

Usianze Kwa Kutumia Dawa za kuboast Mimba na Wakati Mfumo Wako Hauko Sawa,

UNAPOTEZA MUDA NA HELA kununua Kila Aina ya Dawa Za Kubeba Mimba Haraka Bila kuweka Mfumo Wako Wa Uzazi Sawa

Utaendelea Kulia na Kupoteza Hela na muda Bila Kutambua Haya Mapema

Na Siri Moja Kubwa ni Kwamba,
Mwili wa mwanamke umeumbwa kujirekebisha ukipewa mazingira sahihi.

Kwenye post hii nimekuandalia mtindo wa maisha unaoweza kuamsha uwezo wako wa kushika mimba naturally ndani ya siku 30–90.

Isome polepole… inaweza kubadilisha safari yako ya uzazi.

K**a uko tayari kurekebisha chanzo cha tatizo — sio kufunika dalili…

👉 Comment “UZAZI” au nitumie DM neno “RESTORE” nikusaidie kujua hatua sahihi ya kuanza safari yako ya kurejesha afya ya uzazi.

Usikubali kuchelewa kufikia Ndoto Yako ya Kuitwa Mama na wakati suluhisho lipo.

TUSIDANGANYANE.Ata k**a umefanyiwa vipimo na kuambiwa upo Sawa, Mimba haihitaji tu tendo la ndoa — inahitaji mwili Wenye...
06/02/2026

TUSIDANGANYANE.
Ata k**a umefanyiwa vipimo na kuambiwa upo Sawa,
Mimba haihitaji tu tendo la ndoa — inahitaji mwili Wenye utulivu na homoni zenye furaha.

K**a bado unaamini uzazi ni bahati, UTAENDELEA KUSUBIRI SANA.

Uzazi ni maandalizi sahihi.

Na maandalizi yanaanza na afya yako ya kihisia pia.

👉 Ukirekebisha stress, unaupa mwili ruhusa ya kushika mimba.

👉 Ukiacha Wivu na drama zisizo na ulazima, homoni zinaanza kufanya kazi kwa usahihi.

Chukua point Hii Muhimu sana kwako:
Wanawake wengi wanaoshika mimba haraka sio bahati — ni kwa sababu miili yao iko kwenye mazingira sahihi ya uzazi.

Sasa jiulize kwako Bila kujidanganya…

Tayari umeandaa mwili wako Kwa kubeba mimba — au unauzuia kila siku bila kujua?

Ni Kweli kuchelewa Kupata Ujauzito, inakuweka katika Msongo Wa Mawazo ila Jitahidi Isiwe Too much Dada Yangu

Tupo Hapa kuelekezana na Siyo Kutishiana, Kwa Pamoja tujenge Uzazi Bora🙏🏽

Wanawake Wengi Hawajui Hili — lakini afya ya uzazi huanza na utulivu wa akili.Wakati Mwingine Hakuna ata Haja ya Madawa ...
06/02/2026

Wanawake Wengi Hawajui Hili — lakini afya ya uzazi huanza na utulivu wa akili.

Wakati Mwingine Hakuna ata Haja ya Madawa Makali, UTULIVU PEKEE Ndio unahitajika📌

Unaogopa kukojoa baada ya tendo la ndoa kwa kuhofia mimba haitatungwa? Hebu nikuambie ukweli wa kitabibu leo…Kuna imani ...
06/02/2026

Unaogopa kukojoa baada ya tendo la ndoa kwa kuhofia mimba haitatungwa?

Hebu nikuambie ukweli wa kitabibu leo…

Kuna imani imeenea sana kuwa mwanamke akikojoa baada ya tendo la ndoa,

basi mbegu za kiume zitatoka na nafasi ya kupata ujauzito itapungua.

Ukweli ni kwamba hii SI SAHIHI kitaalamu.

Kinyume chake,

Madaktari wengi tunashauri mwanamke akojoe muda mfupi baada ya tendo la ndoa ili kupunguza hatari ya kupata maambukizi ya njia ya mkojo (UTI)
..Moja ya tatizo linalowasumbua wanawake wengi na hata kuathiri afya ya uzazi k**a litakuwa la mara kwa mara.

Sasa nieleze kinachotokea ndani ya mwili wako…

Wakati mwanaume anapofika kileleni, hutolewa mbegu kati ya milioni 20 hadi 400.

Ndani ya dakika chache sana, sehemu kubwa ya mbegu hizi huanza safari kuelekea kwenye mlango wa kizazi (cervix) zikisaidiwa na ute wa uzazi (cervical mucus).

Hivyo mpaka unasimama kwenda kukojoa — ukweli ni huu — mbegu tayari zimeshafika sehemu salama ya mfumo wa uzazi.

HAZIWEZI KUTOKA KWA KUKOJOA.

Na kuna jambo wanawake wengi hawalijui…

Maji mengi unayoyaona yakitoka baada ya tendo la ndoa sio mbegu.

Kwa kitaalamu, manii (semen) yana vitu vingi k**a protini na kimiminika cha kusaidia mbegu kuogelea (seminal fluid).
Kwa makadirio, karibu 1% tu ya manii ndiyo mbegu halisi (sperms).

Kwa hiyo usipanic ukiona maji yanatoka — hiyo haimaanishi mbegu zote zimepotea.

👉 Jambo la kukumbuka:
Kukojoa baada ya tendo la ndoa hakupunguzi nafasi yako ya kushika mimba.

Badala yake, kunakulinda dhidi ya UTI.

Lakini k**a umekuwa ukifanya tendo kwa wakati sahihi, mzunguko wako uko sawa, halafu mimba HUPATI

—Mara nyingi chanzo huwa ni mambo k**a:
• Mzunguko Usiyopevusha Mayai
• Homonal imbalance
• Kuziba kwa mirija
• PCOS au maambukizi ya muda mrefu

Habari njema ni hii — matatizo mengi ya uzazi yanaweza kurekebishwa tukishughulikia chanzo chake.

K**a umechoka kujaribu bila majibu, nikuongoze kupitia program yangu ya urejeshaji wa uzazi kwa siku 30–90, ambapo tunalenga:
âś… Kusawazisha homoni
âś… Kuboresha ovulation
âś… Kuandaa mfuko wa mimba
âś… Kuondoa vikwazo vinavyochelewesha ujauzito

📩 Andika neno “MIMBA” Wasap +255(0789699225) nikusaidie kuelewa mwili wako.

Dalili Hizi Si Za Kawaida — Ni Onyo La Maambukizi yanayoweza kuharibu uzazi wako kimya kimya. Usisubiri hadi iwe ngumu k...
06/02/2026

Dalili Hizi Si Za Kawaida — Ni Onyo La Maambukizi yanayoweza kuharibu uzazi wako kimya kimya.

Usisubiri hadi iwe ngumu kupata Ujauzito Ndio utafute Mchawi Wako ni Nani.

Swipe ujue cha kufanya mapema, Kuepuka Ugumba na UTASA Kwa Baadae

Dawa zitakusaidia wewe unasumbuliwa na matatizo ya mfumo wako wa uzazi 🥦Mwanamke anayesumbuliwa na hedhi!, na KUKOSA hed...
05/02/2026

Dawa zitakusaidia wewe unasumbuliwa na matatizo ya mfumo wako wa uzazi

🥦Mwanamke anayesumbuliwa na hedhi!, na KUKOSA hedhi

🥦Unayesumbuliwa na maambukizi via vyako vya uzazi!( .P.I.D)

🥦Matatizo ya mvurugiko wahomoni zako, mayai kutopevuka, kukosa Ute wa uzazi, kukosa hamu ya tendo la ndoa, kupata hedhi iliyopitiliza

🥦Kuondoa madhara ya uzazi wampango!!

🥦Kusafisha mirija ya uzazi na kizazi

Dozi inategemea na ukubwa watatizo lako! Tuko tayari kukusaidia, Dozi 260,000/=

Kwa Ushauri na Msaada Wa Haraka Zaidi, Nitumie Ujumbe Kupitia Wasap+255(0789699225), Dr Sam Makata

Unaweza kuwa unafanya kila kitu ili kupunguza uzito… lakini bila kujua unaharibu uwezo wako wa kushika mimba.Mazoezi ni ...
05/02/2026

Unaweza kuwa unafanya kila kitu ili kupunguza uzito… lakini bila kujua unaharibu uwezo wako wa kushika mimba.

Mazoezi ni dawa kwa mwili, lakini yakizidi yanageuka kuwa sumu kwa afya ya uzazi.

Na hili huwa linawakuta sana wanawake wanaopenda MATOKEO YA HARAKA ya kupungua.

Nimekutana na wanawake wengi wanaosema,

“Doctor nafanya mazoezi kila siku, nakula kidogo sana… lakini hedhi imepotea au imevurugika.”

Hapo mwili unakuwa tayari unatuma signal za hatari.

Mazoezi MAGUMU SANA pamoja na lishe ya kujinyima huweza kushusha homoni za kupevusha mayai (ovulation hormones)
.. na kusababisha mzunguko kuvurugika.

Matokeo yake? Yai halipevuki kila mwezi — na nafasi ya mimba inapungua.

Kitaalamu hali hii huitwa FEMALE ATHLETIC TRIAD, na mara nyingi huonekana kwa dalili hizi:

✔️ Kukosa hedhi au hedhi kuwa chache sana

✔️ Kula chakula kidogo kupita kiasi

✔️ Kudhoofika kwa mifupa

Sasa nielewe vizuri… SIKWAMBII USIFANYE MAZOEZI.

Mazoezi yaliyo ndani ya uwezo wa mwili ni kinga kubwa ya afya.

Tatizo linaanza pale unapouweka mwili kwenye msongo wa kudumu ( Kwa Mazoezi Makali na kujinyima sana Chakula, tofauti na Kufunga)

Ndani ya mwili wako kuna homoni muhimu sana inaitwa Leptin.

Kazi yake ni kudhibiti hamu ya kula na pia kusaidia ubongo kutoa homoni zinazochochea ovulation (FSH & LH).

Ukijinyima chakula kupita kiasi, leptin hushuka…

na mwili unaingia kwenye hali ya “NJAA.” Mwili unapohisi njaa, kitu cha kwanza kusimamishwa ni mfumo wa uzazi,

kwa sababu mwili hauoni k**a ni salama kubeba mimba.

Na hapa ndipo wanawake wengi hukosea — wanachanganya kufunga (planned fasting) na kujinyima kula.

Kufunga una muda maalum wa kula.

Kujinyima ni kuunyima mwili virutubisho bila mpango — hii ni hatari kwa hormonal balance.

Ukiona hedhi imepotea kwa miezi kadhaa, usishangilie kupungua uzito… mwili wako unalia kimya kimya.

Kumbuka, sio kila njia ya kupunguza uzito ni salama kwa uzazi wako.

Mwili wa mwanamke unahitaji mafuta mazuri, virutubisho, na nishati ili mayai yapevuke vizuri

Habari njema ni hii — tukirekebisha lishe, tukapunguza msongo wa mwili, na kusawazisha homoni, ovulation inaweza kurudi kawaida

K**a Unahitaji Msaada Zaidi, Inbox/ DM Yangu Ipo Wazi

Unaweza kuwa unaharibu uwezo wako wa kubeba mimba kila siku bila kujua… Sukari na wanga mwingi huvuruga homoni, huzuia K...
05/02/2026

Unaweza kuwa unaharibu uwezo wako wa kubeba mimba kila siku bila kujua…

Sukari na wanga mwingi huvuruga homoni, huzuia Kukomaa Kwa Mayai (Upevushaji Wa Mayai),

na kuongeza hatari ya PCOS, cyst na utasa.

Tatizo Kubwa linaweza kuwa sahani yako, si mwili wako. Swipe ujue ukweli kabla muda haujakutupa mkono.

Address

OFISI IPO, Jengo La Makumbusho Complex Floor Ya Pili, Kijitonyama Makumbusho
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Sam Makata posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dr Sam Makata:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category