26/04/2026
Mmba Kutoka Sio Kila Mara Ni Bahati Mbaya...👇
Mara nyingi kuna sababu ya ndani ambayo mwili unajaribu kukuambia.
Katika wiki 12–13 za mwanzo, mimba huwa kwenye hatua nyeti sana.
Hapa ndipo wanawake wengi hupitia maumivu ya kuharibika mimba bila kutarajia.
Sababu kubwa zinazochangia ni pamoja na 👇
✔ Hitilafu za kromosomu (vinasaba)
✔ Homoni kutokuwa sawa, hasa progesterone kuwa chini
✔ Umri mkubwa wa uzazi (hasa zaidi ya miaka 35)
✔ PID, UTI na maambukizi ya ndani
✔ Kisukari na magonjwa sugu
✔ Kuwa Katika Hali ya Stress Sana na maisha yasiyo na mpangilio
✔ Kuta za kizazi kuwa dhaifu au nyembamba
Baada ya miezi 3 ya kwanza, HATARI HUPUNGUA…
lakini k**a mimba imekuwa ikiharibika mara kwa mara, hapo lazima uchunguze CHANZO.
Usifanye haraka kubeba mimba nyingine bila kujua shida ipo wapi.
Kwanza:
👉 Tibu chanzo
👉 Imarisha kizazi
👉 Balansi homoni
👉 Andaa mwili kubeba mimba salama
💛 Hapo ndipo UZAZIRESTORE inasaidia
✔ Kusawazisha homoni
✔ Kuimarisha kuta za kizazi
✔ Kutibu Toka Ndani PID na maambukizi Sugu
✔ Kuandaa mwili kulea mimba hadi mwisho
✔ Kurejesha afya ya uzazi kwa asili
📌 Dozi ya mwezi mmoja ni 260,000/=
✔ Muongozo maalum wa lishe
✔ Support kipindi chote cha matibabu
📲 Wasap: +255(0789 699 225), Dr Sam Makata
USIKATE TAMAA mama…
ukitibu chanzo, nafasi ya kubeba mimba salama huongezeka sana 🤝