27/10/2025
Siyo Kila Tunda Ni Salama Kwa Mama Mjamzito 🍍😳
Kuna baadhi ya matunda ambayo yanaweza kuvuruga homoni zako, kusababisha uchungu kabla ya wakati,
au hata kuathiri mtoto tumboni/ Mimba Kuharibika bila wewe kujua.
Uwa nakutana na akina mama wanaokuja wakilia — walikula vyakula au matunda “Wakidhani ni Bora kwa afya”, kumbe yalikuwa yanachochea tatizo bila kujua.
Ujauzito ni kipindi cha neema, lakini pia ni kipindi cha uangalifu mkubwa Unahitajika
Kila kitu unachokula kina uwezo wa kumjenga au kumharibu mtoto tumboni.
Kuna matunda mazuri, lakini yapo mengine ambayo hufanya cervix ilainike mapema, au homoni kupoteza usawa wake (hormonal imbalance).
Na mara nyingi, matatizo haya yanasababisha kupoteza mimba au maumivu ya mara kwa mara.
Kwenye Post Hii nimekuelekeza Kwa Umakini ni Matunda Gani Unapaswa Kuepuka Ama Kupunguza unapokuwa Mjamzito
Soma Kwa Makini Slide Hizi, na Namba 6 ni Combination HATARI ZAIDI ❌
Na Kama umekuwa ukijaribu kupata ujauzito bila mafanikio, au mimba zako zimekuwa hazikai muda mrefu,
👉🏾 Usikate tamaa — tatizo linaweza kuwa ndani ya mwili wako, siyo Kwamba wewe ni “TASA.”
💚 UzaziRestore ni tiba ya asili inayosaidia kurejesha homoni, kusafisha kizazi, na kuandaa mwili wako kushika ujauzito ndani ya siku 30–90.
Unapata pia:
✅ Muongozo wa lishe sahihi
✅ Ufuatiliaji wa karibu na mimi
✅ Tiba asilia bila kemikali kali
💬 Comment “UZAZI” au DM neno “MIMBA” nikuelekeze hatua ya kuanza safari yako ya Uzazi Asilia.