Mushi Healthcare

Mushi Healthcare Ponya afya kwa virutubisho asilia.

11/11/2023
*HORMONE IMBALANCE (KUVURUGIKA KWA HOMONI)*255-719196408:Hili ni tatizo linalowakumba wakina mama(wanawake) wengi ambalo...
27/10/2023

*HORMONE IMBALANCE (KUVURUGIKA KWA HOMONI)*

255-719196408

:Hili ni tatizo linalowakumba wakina mama(wanawake) wengi ambalo husababishwa na kiwango kidogo cha hormone ya ESTROGEN.
*▶️VYANZO VYA KUVURUGIKA KWA HORMONE*
👉Utoaji wa mimba
👉Uwepo wa sumu mwilini.
👉kutokula mlo uliokamili au mfumo mbovu wa maisha.
👉Family history(upungufu wa ongezeko ya homoni ya progesterone
👉mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa.
👉uzito mkubwa
👉Msongo wa mawazo.
👉Kutofanya mazoezi.
👉Matumizi ya kisasa ya uzazi wa mpango.
👉Kukoma kwa hedhi.
*✅Dalili za kuvurugika kwa homoni*
👉Maumivu wakati wa tendo LA ndoa.
👉Kutoshika mimba.
👉Mzunguko wa hedhi kubadilika.
👉Kupungua hamu ya tendo LA ndoa.
👉Kupoteza kumbukumbu.
👉Damu kutoka nyingi wakati wa hedhi/mabonge.
👉Uke kuwa mkavu.
👉kutoka jasho jingi usiku.
👉maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
👉mzio wa vyakula/Allerg kuchaguachagua vyakula.
✅ *Madhara ya kuvurugika kwa homoni*
👉kutoshika ujauzito kwa mda mrefu.
👉Mimba kuharibika Mara kwa Mara.
👉Kuwa mgumba.
👉U.t.I Mara kwa Mara.
👉Uvimbe kwenye via vya uzazi wa mwanamke.(fibroids)
👉kuziba kwa mirija ya uzazi.
👉saratani.
👉maambukizi katika via vya uzazi... ,uchafu, miwasho n.k
💯NB: *Hormone imbalance Na madhara yake inatibika ondoa shaka,,jali afya yako*

OVARIAN CYST NI NINI??? Ni uvimbe unaotokea katika mayai ya mwanamke(ovarian) Uvimbe huo hutokana na mkusanyiko wa maji ...
12/10/2023

OVARIAN CYST NI NINI???

Ni uvimbe unaotokea katika mayai ya mwanamke(ovarian)

Uvimbe huo hutokana na mkusanyiko wa maji maji yanayozungukwa na kutu nyembamba ndani ya mayai ya mwanamke

Mara nyingi tatizo hili hutokea kwa wanawake wa rika tofauti na mara nyingi huonekana kwa wanawake waliofika umri wa kushika ujauzito, pia uvimbe huo huweza kuwa wa ukubwa wa cm3_cm30 na unaweza kujaza tumbo lote na kufanya uonekane mjamzito

SABABU ZA UVIMBE

kuwa na mzunguko wa hedhi usioeleweka (IRREGULAR MENSTRUATION CYCLE)

kuwa na mafuta mengi tumboni

kukosekana kwa uwiano wa vichocheo mwilini (hormone imbalance)

kuvunja ungo mapema (katika umri wa miaka 11_kushuka chini)

kutumia dawa za matibabu ya saratani ya matiti (tamoxifen)

ugumba

DALILI NA VIASHIRIA VYA TATIZO HILI

kupata maumivu makali ambayo huchoma katika nyonga, uke, tumbo, mapajani, mgongoni NK

kuhisi tumbo kuwa zito limejaa au kuvimba

kupata maumivu katika matiti

kutopata hedhi katika mpangilio

kuvimbiwa mara kwa mara

kuongezeka uzito haraka

kupata maumivu katika mbavu

nywele kukua haraka kila wakati

kupata maumivu makali wakati wa hedhi

kuhisi kichefuchefu

kupata maumivu ya nyonga kila unapofanya mapenzi, mazoezi, Kazi ngumu

kuhisi uchovu kila wakati

kutokwa na matone ya damu

kutoshika mimba

mabadiliko katika upatikanaji wa haja. *Wasiliana nasi

+255 -719196408.

𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔

Je unatokwa na ute mchafu wa cream au mithiri ya maziwa mtindi?* hii ni PID hama fangus sugu ukeni *Call  255-719196408 ...
11/10/2023

Je unatokwa na ute mchafu wa cream au mithiri ya maziwa mtindi?
* hii ni PID hama fangus sugu ukeni

*Call 255-719196408 upate tiba asili na salama iliyothibitishwa na mamlaka ya chakula na dawa TFDA Marekani uepushe Ugumba

P,I,DPELVIC INFLAMATORY DISEASE (P,ID),Ni maambukizi katika via vya uzazi wa mwanamke au mfumo wa uzazi wa mwanamke,,kwa...
11/10/2023

P,I,D

PELVIC INFLAMATORY DISEASE (P,ID),Ni maambukizi katika via vya uzazi wa mwanamke au mfumo wa uzazi wa mwanamke,,kwa kawaida maambukizi haya ynahusiana na mji wa mimba (uterus,shingo ya kizazi) (cervix,( fallopian tubes Mirija ya uzazi ya mwanamke ) na sehemu yanapozalishwa mayai haya ( ovarie)

⭐JE NI SABABU GANI AU VYANZO VYA TATIZO HILI AU UGONJWA HUU WA P,I,D👇🏻👇🏻
🌸UGONJWA HUU UNASABABISHWA NA BACTERIA WA MAGONJWA YA ZINAA HUSUSANI GONORRHEA NA CHYLMIDIA

⭐NI JINSI GANI MWANAMKE ANAWEZA PATA UGONJWA HUU SASA 👇🏻
☘️Kupitia ngono zembe (magonjwa ya zinaa k**a kaswende na kisonono)
🌺Kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja
🍀Kufanya mapenzi bila kutumia kinga (condom)
🌸Kupitia kunyonywa uke mara kwa mara
☘️Kuweka vitu ukeni ili kuufanya uke ubane au upendeze kwa mpenzi wako
🌺Utoaji wa mimba mara kwa mara ,,halafu kukosa usafishaji mzuri baada ya kutoa
🍀Kupitia njia ya kujifungua kwa njia za kienyeji hasa kwa wakunga k**a hawatakua makini
🌸Kutumia madawa na njia za kuzuia mimba k**a vijiti sindano n.k
🍀Kupitia u,t,i na fungus sugu
☘️ Kutozingatia usafi wako binafsi

💫DALILI ZA UGONJWA HUU WA P,I,D
Mwanamke atagundulika kuwa na tatizo la p,i,d k**a atakuwa na dalili zifuatazo👇🏻👇🏻
☘️Maumivu makali ya tumbo hasa chini ya kitovu
🌸Kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya wenye rangi ya maziwa mgando,kijani au njano
🍀Kupata maumivu makali wakati wa tendo la ndoa (kujamiana)
🌺Kutokwa na damu wakati wa kujamiana
☘️Kuumwa mgongo mara kwa mara
🌸Kutokwa na usaha ukeni wakati mwingine
🍀Kupata maumivu wakati wa kukojoa

⭐MADHARA GANI HUMPATA MWANAMKE MWENYE UGONJWA HUU WA P,I,D
K**a mwanamke atapatwa na gonjwa hili la p,i,d akashindwa kutibiwa mapema, Madhara yafuatayo yanaweza kumtokea

🌸Kupata tatizo la hormone imbalance (mvurugiko wa hormone)
🍀Mirija ya uzazi itaziba na hivyo kushindwa kupitisha mayai yaliyopevuka ili kututubishwa
🌺Kukosa hamu ya tendo la ndoa kwa sababu ya hormone imbalance
☘️Kuwa na uke mkavu mara kwa mara
🌸Mzunguko wa hedhi (period) kubadilika mara kwa mara
🍀Wakati mwingine kukosa period kwa muda mrefu
🌺Kupata kansa ya shingo ya kizazi kutokana na kushambuliwa na bacteria
Call 255-719196408.

29/08/2023

Watch, follow, and discover more trending content.

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Telephone

+255767213069

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mushi Healthcare posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Mushi Healthcare:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram