Maisha halisitz

Maisha halisitz Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Maisha halisitz, Psychologist, Tabata, Dar es Salaam.

K**a unapitia changamoto yoyote katika mahusiano yako, ndoa au mapenzi yako huyaelewi basi karibu kwenye huduma zangu za ushauri pia follow account yangu ya Instagram ya kwa huduma zote

Nataka mwanaume mwenye pesa..Utaviweza visanga vyao hao wenye pesa ?habari za muda huu...Mimi nimeolewa na ndoa yangu in...
20/09/2025

Nataka mwanaume mwenye pesa..

Utaviweza visanga vyao hao wenye pesa ?

habari za muda huu...
Mimi nimeolewa na ndoa yangu inamwaka lakini simuelewi mumeWangu jamaniii, anatabia ya kuamka usiku alafu anafungua mlango uo wa chumban kwetu...anasimama katikati ananyoosha mikono juu, anakua k**a anachuchuma afuu anasimama ata..mara5 ilaa ajawah kujua k**a nimewah kumuona na wala sijawah kumuuliza...maan najua hatonipa jibu linalo...eleweka.
Nikaamua kumfatilia ‚basi bwanaaaa! juz j'4 gari yake ikamzingua asubh ikabidi aende kazin na gari yangu ilee...harakaharaka akasahau laptop yake kwny gar yake ikabid amtume boda ajee. aifate baada ya kumpatia nikajikuta nawashwa tuu kupekua gari, ilee nafungua mlango wa dereva naona ndizi mbivu moja imeandikwa maneno ya kiarabu a pen nyekundu imewekwa kwenye droo ya mlango...kwanza kiherehere chote
Kikaniisha , nikaingia hofu na baridi nikaanza kusikia vitu vinatembea mwilini baada ya mda ilee halii ikaniisha lakin saiv nikikaa mwenyew naic k**a kuna kitu kinapita ndani ilaa skionii..jaman hii inamaana gan iskute naish na mwanga kwanza naomba waniambie maana ya hiyo Ndizi

Kikubwa uhai bado unao yatapitaUpo na mimi siku zote hapa nitakupa njia za kuvuka hapo
19/09/2025

Kikubwa uhai bado unao yatapita
Upo na mimi siku zote hapa nitakupa njia za kuvuka hapo

Nimeamka kwenye Maombi huu ujumbe unakuhusu wewe zingatia
19/09/2025

Nimeamka kwenye Maombi huu ujumbe unakuhusu wewe zingatia

Makubwa ya group langu la wachumba ✅✅✅✅✅
19/09/2025

Makubwa ya group langu la wachumba ✅✅✅✅✅

Tukutane kwenye group langu la wachumba muda huu k**a unahitaji MKE au MME ada ya group ni ile ile ya siku zote
19/09/2025

Tukutane kwenye group langu la wachumba muda huu k**a unahitaji MKE au MME ada ya group ni ile ile ya siku zote

KUPENDWA Ndio Hitaji La Kila Mwanamke!"Sio KUPENDWA TU na Kuambiwa Maneno MATAMU", Ni rahisi Sana kumsikia Mwanamke akim...
19/09/2025

KUPENDWA Ndio Hitaji La Kila Mwanamke!

"Sio KUPENDWA TU na Kuambiwa Maneno MATAMU", Ni rahisi Sana kumsikia Mwanamke akimuuliza Mwanaume wake KWAMBA,

Hivi UNANIPENDA Kweli...?

Ukisikia hivi Ujue "Love Tank" Yake iko TUPU,Tafiti Za kisaikolojia Kuhusu Mwanamke zinasema,

"Mwanamke huwa hashibi Kuambiwa neno "NAKUPENDA" kutoka kwa mtu wake.

Tena...!

Kila baada Ya dakika nne Hadi nane, anasahau kuwa ANAPENDWA.

So Ili Mwanaume uweze kuwin Moyo wake lazima UMWAMBIE kila Mara.

Usipomwambia "UNAMPENDA" atajihisi Humpendi,

Na Siku akitokea wa Kumwambia anaweza "Kuhamisha UPENDO"( love shifting)

Hitaji la pili la Mwanamke Akiwa Kwenye Mahusiano ni

KUHUDUMIWA( Provision) mwanamke hutafsiri,

UPENDO kwa kile UNAMPA sio kile TU UNAONGEA.

Ukiingia kwenye Mahusiano na Mwanamke JIPANGE kuanzia AKILI Hadi FEDHA.

Usiseme "WANAPENDA hela sana WANAWAKE"

Utafikiri YUDA alikuwa Dada Yako😅


Ushauri au group la wachumba ni elfu 25 tu unalipia Kwenye voda no 0756802580 then una kuja WhatsApp no 0656832100 jina litakuja la mme wangu emmanuel hosea NAKUUNGA HAPO hapo unachagua wako wa maisha hili group nilakudumu hakuna kutoka Kwenye group mpaka utakapo mpata mwenza wako ndio unatoka sasa

Nguvu ya huduma zangu za ushauri
19/09/2025

Nguvu ya huduma zangu za ushauri

Usishangae ndio hivyo..Ukiolewa jua kwamba unaanza ukurasa mpya wa maisha kwahiyo unaenda kuwa chini ya mtu sasa huo ubi...
19/09/2025

Usishangae ndio hivyo..

Ukiolewa jua kwamba unaanza ukurasa mpya wa maisha kwahiyo unaenda kuwa chini ya mtu sasa huo ubishi wako kiburi chako dharau zako na kuwa na misimamo hata kwenye vitu visivyo na maana acha

K**a hupendi kupangiwa,unapenda usawa unapenda makubaliano kwenye Kila kitu Kaa kwenu mpendwa

Kwasababu kwenye NDOA huwezi kuishi kwa Sheria zako utaishi kwa Sheria za mumewako huwezi kuishi Kwa usawa kwasababu wewe ni mke na mama Kwa watoto wenu

Na mume yeye ni baba wa familia,nguzo,kiongozi na kichwa Cha familia🗣️🗣️ kwahiyo utaishi kwenye Sheria zake,misimamo yake na mipango yake

Hakuwezi kuwa na makubaliano kwenye Kila kitu vingine ni Sheria kabisa Wala huna nafasi ya kupinga akikwambia hiki hapana ni hapana 🙅‍♂️🙅‍♂️🙅‍♂️

Hiki ndio ni ndio 🫡🫡na hiki Mimi ndiomuamuzi kubali👍👍,k**a unapenda usawa,na kukubaliana kwenye Kila kitu hutaki kupangiwa Wala kufanya anachotaka yeye Kaa kwenu tu 😁😁😁

Mwanaume hajawahi kuwa chini ya mwanamke never ila tu atakuheshimu kuwa chini yako ni NEHIIIIIIIII🙅🙅🙅

K**a unapenda kujiamulia Kaa kwenu hutaki kupangiwa kaa kwenu
Unajiona kabisa huwezi kusikiliza sauti ya mwanaume 🗣️🗣️🗣️
na ukamtii Kaa kwenu

Ndoa zote baba ndio mwenye sauti 🗣️🗣️ ukiona Kuna ndoa mke ndio anasauti basi ujue hapo kunatatizo la kiufundi 😜😜 tena kubwa sana 😀😀😀🏃🏃🏃

Ukilipia ushauri kwangu kupona na kupata dira mpya ni lazima
19/09/2025

Ukilipia ushauri kwangu kupona na kupata dira mpya ni lazima

Nyie mkoje huko
19/09/2025

Nyie mkoje huko

Wanaume wenzako wako busy na Ila wewe mmmmhSijui ni anko tee hata hatukuelewi
18/09/2025

Wanaume wenzako wako busy na
Ila wewe mmmmh
Sijui ni anko tee hata hatukuelewi

Akishakutoa nguo ya kwanza..akili yake inawaza leo nimemula...Akikuvua chupi ana kukifu anakuona sasa umeishaAKikutanua ...
18/09/2025

Akishakutoa nguo ya kwanza..akili yake inawaza leo nimemula...

Akikuvua chupi ana kukifu anakuona sasa umeisha

AKikutanua mapaja na kuaza kuingiza anajisema ngoja nijioneee

Akianza s*x anaanza kukupa marks zako na kukulingalisha na alio wahi lala nao...

Hapo hapo atagundua ..size ya uke wako,,usafi wako ufundi wako hali ya uke na je mna match kwenye kunyumbulika...

Kisha anakua na ma jibu k**a ataendelea na wewe tena au ajiandae sasa kua na busy
Sababu sababu nyingi
Awe jeuri au ukuthamini

Kwa sababu kilikua cha kwanza anavuta pumzi anapanda tena ana thibitisha sasa kua wewe ni zero kabisa wa kawaida au wanamsema yaliyo mo yamo???

Je unhisi saivi anakupenda...bado hujavuka huu mtihani k**a bado hujauvuka basi...
Jipime una ubora gani wa kukuamuria kubaki naye

Maana kwa mwanaume mkomavu anaweza asikumipe kwa kitandani akaja kukupima kwenye uwezo wako wa kumudu maisha...
Je...

Nidhamu
IQ yako
Na u smart wako katika kutatua na kuendesha familia ...
UKWELI ni kwamba lazima usijiamini na kila mtu ...wala usirubunike vyepesi na mapenzi mapya
Kuliko kuona haya ya kumsikiliza anayekuonyesha kukupenda na kusonga na wewe
.
Ushauri ni private mimi na wewe inbox unalipia tu elfu 20 kwenye voda no 0756802580 then una kuja WhatsApp no 0656832100 jina litakuja la mme wangu emmanuel hosea

Address

Tabata
Dar Es Salaam

Telephone

+255756802580

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Maisha halisitz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category