20/09/2025
Nataka mwanaume mwenye pesa..
Utaviweza visanga vyao hao wenye pesa ?
habari za muda huu...
Mimi nimeolewa na ndoa yangu inamwaka lakini simuelewi mumeWangu jamaniii, anatabia ya kuamka usiku alafu anafungua mlango uo wa chumban kwetu...anasimama katikati ananyoosha mikono juu, anakua k**a anachuchuma afuu anasimama ata..mara5 ilaa ajawah kujua k**a nimewah kumuona na wala sijawah kumuuliza...maan najua hatonipa jibu linalo...eleweka.
Nikaamua kumfatilia ‚basi bwanaaaa! juz j'4 gari yake ikamzingua asubh ikabidi aende kazin na gari yangu ilee...harakaharaka akasahau laptop yake kwny gar yake ikabid amtume boda ajee. aifate baada ya kumpatia nikajikuta nawashwa tuu kupekua gari, ilee nafungua mlango wa dereva naona ndizi mbivu moja imeandikwa maneno ya kiarabu a pen nyekundu imewekwa kwenye droo ya mlango...kwanza kiherehere chote
Kikaniisha , nikaingia hofu na baridi nikaanza kusikia vitu vinatembea mwilini baada ya mda ilee halii ikaniisha lakin saiv nikikaa mwenyew naic k**a kuna kitu kinapita ndani ilaa skionii..jaman hii inamaana gan iskute naish na mwanga kwanza naomba waniambie maana ya hiyo Ndizi