Maisha halisitz

Maisha halisitz Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Maisha halisitz, Psychologist, Tabata, Dar es Salaam.
(1)

K**a unapitia changamoto yoyote katika mahusiano yako, ndoa au mapenzi yako huyaelewi basi karibu kwenye huduma zangu za ushauri pia follow account yangu ya Instagram ya kwa huduma zote

😭😭😭😭😭😭✍️
28/04/2026

😭😭😭😭😭😭✍️

Lala na hii kwa hisani ya dukani kwangu
28/04/2026

Lala na hii kwa hisani ya dukani kwangu

Shuuda za hivi utazikuta kwa group langu la wachumba tu
28/04/2026

Shuuda za hivi utazikuta kwa group langu la wachumba tu

Mpaka wengine nilishaanza kuwasahau... Group limetoa ndoa nyingi sana Mungu Asante hili ndio group nambari moja Tanzania...
28/04/2026

Mpaka wengine nilishaanza kuwasahau... Group limetoa ndoa nyingi sana Mungu Asante hili ndio group nambari moja Tanzania kwa kupatia watu wake na waume

Leo hakuna nafasi... kwenye group... Tuone kwa kesho ukiwa tayari uwe na ada yako mkoni elfu 25 kisha uliza k**a nafasi ...
28/04/2026

Leo hakuna nafasi... kwenye group... Tuone kwa kesho ukiwa tayari uwe na ada yako mkoni elfu 25 kisha uliza k**a nafasi ipo...

na nawakumbusha kua mwezi wa 5 nilishatangaza kutakua na ongezeko la ada ya group langu la wachumba litakua elfu 30

na ushauri itakua elfu 25...
Mungu endelea kulibariki group langu la wachumba 🙏🙏🙏

Tukutane kwenye huduma zangu za ushauri....
27/04/2026

Tukutane kwenye huduma zangu za ushauri....

Tukutane kwenye huduma zangu za ushauri ni private mimi na wewe
27/04/2026

Tukutane kwenye huduma zangu za ushauri ni private mimi na wewe

Siku hizi k**a ni type yako wala usijizungushe.. sasa wewe endelea kutishia unataka kubembelezwa.. eti usionekane mrahis...
27/04/2026

Siku hizi k**a ni type yako wala usijizungushe.. sasa wewe endelea kutishia unataka kubembelezwa.. eti usionekane mrahisi wakati Saivi mwanaume hatongozi ila anatongozwa...

✍️
27/04/2026

✍️

Hakuna kitu kinauma k**a rafiki yako anaolewa na alikua anadai hataki ndoa.. hapendi mahusiano kumbe alikua ana mtu wake...
27/04/2026

Hakuna kitu kinauma k**a rafiki yako anaolewa na alikua anadai hataki ndoa.. hapendi mahusiano kumbe alikua ana mtu wake ana mheshimu sana tu
anajua namna ya kua mke mwisho anaolewa wewe anakuacha.
wewe bado una wapelekesha wanaume
unawajibu jeuri
una mahusiano matatu matatu

Binti HAKUNA NDOTO YA KUISHI BILA MME
k**a una ndoto hiyo jiandae sana ila jua mwanaume anayekupenda kisha mpe heshima

Usikie tu usiku wa peke yako.. ki ukweli tunahitajiana.. Group langu la kutafuta mwenza lipo.unahitaji kuja kuuliza k**a...
26/04/2026

Usikie tu usiku wa peke yako.. ki ukweli tunahitajiana..
Group langu la kutafuta mwenza lipo.
unahitaji kuja kuuliza k**a nafasi ipo usilipie kabla hujaulizia

Address

Tabata
Dar Es Salaam

Telephone

+255756802580

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Maisha halisitz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category