05/12/2025
NIKWAMBIE KITU
Wala hauna mikosi na nuksi , wala wewe sio mkosaji , ni vile tu muda wako bado...
Haujashindwa wala nini , bado haujafeli kabisa , ni vile tu upo kwenye foleni ya kupata kwako...
Mbona wewe sio m'baya , ila mtu wa kuona uzuri wako bado hajafika kwenye maisha yako...
Trust the process , sio msamiati tu , ni kipimo cha kweli kwa wanaostahili mafanikio...
Haujarogwa mwanangu , ni vile tu bado Mungu hajaweka tiki kwenye harakati zako...
Subiria muda wako kwa kuendelea kupambana na kushinda vita zako...
HUna kasoro yoyote niamini lakini unakutana na watu ambao bado kwao mapenzi ni hit and run
unakutana na wanawawake waliofuta ndoa kichwani wao wanawaza pesa na mapenzi hawana hisia..
unakutana na watu maskini wa fikra wasio ona umhimu wa upendo wa kweli wala huna kasoro kabisa..
Lakini niamini wakati unakuja utakuja kukutana na mtu wa maana tena kwa muda mfupi tu utafurahia sana...
Ushauri wangu ufanye dawa lipia huduma zangu hizi ni elfu 25 tu unalipia Kwenye voda no 0756802580 then una kuja WhatsApp no 0656832100 jina litakuja la mme wangu emmanuel hosea