Maisha halisitz

Maisha halisitz Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Maisha halisitz, Psychologist, Tabata, Dar es Salaam.
(1)

K**a unapitia changamoto yoyote katika mahusiano yako, ndoa au mapenzi yako huyaelewi basi karibu kwenye huduma zangu za ushauri pia follow account yangu ya Instagram ya kwa huduma zote

Ni kitu gani ulikikuta room kwa mpenzi wako ukajua haupo peke yako..?😅
29/03/2026

Ni kitu gani ulikikuta room kwa mpenzi wako ukajua haupo peke yako..?😅

hadi raha 🥂😍😍😘😘❤️❤️💗💗❤️💗😘😘
28/03/2026

hadi raha 🥂😍😍😘😘❤️❤️💗💗❤️💗😘😘

NILISHA SEMA HAKUNA K**A GROUP LANGU LA WACHUMBA TANZANIA 👌👌👌 ni top top yop
27/03/2026

NILISHA SEMA HAKUNA K**A GROUP LANGU LA WACHUMBA TANZANIA 👌👌👌 ni top top yop

UMEkuacha au ANA Kupuuza?unataka kumnyooosha anza hii dozi leo hii1.Kata mawasiliano (No contact)  Usimpigie, usimtumie ...
27/03/2026

UMEkuacha au ANA Kupuuza?
unataka kumnyooosha anza hii dozi leo hii

1.Kata mawasiliano (No contact) Usimpigie, usimtumie meseji ovyo. Presence yako ikipotea ndipo ataona tofauti

2.Acha kuonyesha desperation Ukionekana unamhitaji sana, anapoteza interest. Calmness inaongeza value yako.

3.Jishughulishe na maisha yako Kazi, biashara, gym, marafiki--- ukiwa busy unakuwa na mvuto zaidi.

4.Improve yourself (muonekano + mindset) Badilika physically na mentally. Akiuona mabadiliko, curiosity inaanza.

5.Usimfatilie kwenye social media Ku-like kila kitu au ku-comment kunaonyesha bado uko chini yake emotionally,.

6.Onyesha maendeleo, sio maumivu Post growth, mafanikio, moments nzuri - si huzuni wala drama

7.Kubali kuondoka kwake Acceptance inakupa nguvu. Watu huvutiwa na mtu aliye stable, sio anayelalamika.

8.Usikimbilie replacement kwa hasira Fake moving on inaonekana. Be real, jipe muda.

9.Kuwa rare (usiwe available kirahisi) Value yako inaongezeka unapokuwa si rahisi kupatikana.

10.Move on kweli, sio kwa drama Ukweli ni huu -"" ukimove on genuinely, ndipo ataanza kujiuliza nini alichokua anahisi amekimaliza kwako kumbe hajakimaliza ndicho kinakupa jeuri..
atachanganyikiwa
na ataanza kujilixa upyaa

wanaolipia huduma zangu za ushauri wana furahia huduma zangu... wanaelewa mambo mengi... usisite nifanye mshauri wako leo
nichek WhatsApp no 0656832100 au ni DM KWA utaratibu

27/03/2026

Huu ujumbe uwafikie wale wapendwa wangu waliopatana na wanatarajia kuoana ijumaa ijayo... kwenye group langu la wachumba..
aliwajenge

26/03/2026

shusha comment hapo chini... tukutane kwenye huduma zangu za ushauri ni private mimi na wewe inbox unalipia tu elfu 20 kwenye voda no 0756802580 then una kuja WhatsApp no 0656832100 jina litakuja la mme wangu emmanuel hosea.

26/03/2026

Kwa nini uolewe na usiyempenda?

Mwimbaji wa SDA, Mary Claire wa Redemption Ministries, anapigania maisha yake baada ya kushambuliwa kikatili kwa tindika...
26/03/2026

Mwimbaji wa SDA, Mary Claire wa Redemption Ministries, anapigania maisha yake baada ya kushambuliwa kikatili kwa tindikali (acid) na kupata majeraha makubwa usoni, katika tukio lililowashangaza wengi. Taarifa zinaonyesha kuwa alitegewa na mshambuliaji aliyemmwagia kemikali hatari, jambo lililosababisha kuungua vibaya na kumwacha katika hali mbaya sana.

Polisi wamefanikiwa kumkamata aliyekuwa mpenzi wake wa zamani, ambaye anadaiwa kumlipa mshambuliaji ili kutekeleza shambulio hilo. Wananchi walichukua hatua haraka, wakamkimbiza na kumzingira mshukiwa alipokuwa akijaribu kukimbia, kabla ya polisi kufika na kumuokoa kutoka kwa umati wenye hasira.

Je na wewe unakula za wanaume na huna mpango nao?

Long distance relationship ni UTAPELI.. YULE baby wako aliyedai wanachelewa kutoka kazi na wanakua busy sana ukweli ni k...
26/03/2026

Long distance relationship ni UTAPELI.. YULE baby wako aliyedai wanachelewa kutoka kazi na wanakua busy sana ukweli ni kwamba hajaenda kazini leo siku ya pili.. wamejifungia ndani na baby wake mpya... ambaye naye ana baby wake...

wanachokifanya ni kujidai kumcare mwenzake kwa kutoka nje kuchukua vitu vitu vya ndani ndio hapo anajibu ki sms chako na kukupigia simu ya haraka haraka...

Unahitaji kumwomba Mungu tu na uwe na mtu makini sana

tukutane kwenye huduma zangu za ushauri ni private mimi na wewe inbox unalipia tu elfu 20 kwenye voda no 0756802580 then...
25/03/2026

tukutane kwenye huduma zangu za ushauri ni private mimi na wewe inbox unalipia tu elfu 20 kwenye voda no 0756802580 then una kuja WhatsApp no 0656832100 jina litakuja la mme wangu emmanuel hosea

Binti yangu haya ni maswali ya msingi sana kabla ya kumbebea ujauzito huyu mtu
24/03/2026

Binti yangu haya ni maswali ya msingi sana kabla ya kumbebea ujauzito huyu mtu

shika sana hiyo
24/03/2026

shika sana hiyo

Address

Tabata
Dar Es Salaam

Telephone

+255756802580

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Maisha halisitz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category