senny_bright

senny_bright 💊💊🩺🩺🩺🩺🩺
Habari za Leo Wapendwa
Tunawakaribisha wageni wote waliojumuika nasi Leo.

BF SUMA. Brighter life-Better Future 🔥🔥🔥💯
14/11/2024

BF SUMA. Brighter life-Better Future 🔥🔥🔥💯

Nyoteee MNAKARIBISHWA Piga simu 👇0713054998
14/11/2024

Nyoteee MNAKARIBISHWA

Piga simu 👇
0713054998

Je Kupiga Punyeto kwa Wanawake Kunaweza Kuathiri Uzazi Wako? 🤔 kupiga punyeto ni jambo lenye madhara ya kutisha kwa afya...
03/11/2024

Je Kupiga Punyeto kwa Wanawake Kunaweza Kuathiri Uzazi Wako? 🤔

kupiga punyeto ni jambo lenye madhara ya kutisha kwa afya ya uzazi wa wanawake ambayo unaweza usiyajue. 🚨

👇 Madhara ya Kutisha Ambayo Huwezi Kujua:

Hormone imbalance /Kutojiweza kwa Homoni: Kupiga punyeto kunaweza kuvuruga homoni zinazosimamia mzunguko wa hedhi na upatikanaji wa mayai, jambo ambalo linaweza kuathiri uzazi wako.

Maambukizi Hatari: Kupiga punyeto kunaweza kuleta bakteria kwenye mfumo wako wa uzazi, na kusababisha maambukizi k**a PID, yanayoweza kusababisha ugumba. 😱

Kutengana na Mahusiano ya Kimapenzi: Kutegemea sana punyeto kunaweza kuharibu ukaribu wa kihisia na mwenzi wako, jambo ambalo linaweza kuathiri safari yako ya kupata mtoto.

Kutokua/Kupungua kwa Hisia: Kupiga punyeto kunaweza kupunguza au kuondoa kabisa uwezo wako wa kufurahia tendo la ndoa na mwenzi wako. 🙅‍♀️

Msongo wa Mawazo na Guilt: Msongo wa mawazo unaosababishwa na uraibu au hisia za hatia unaweza kuvuruga homoni zako na kuathiri uwezo wa kushika mimba. 😔

🔴 Je, Una Wasiwasi Kuhusu Afya Yako ya Uzazi?
Usikubali tabia hii ikuweke hatarini! Ni wakati wa kuzungumza na kupata msaada ili kurejesha afya yako ya uzazi kwenye mstari sahihi. 🌸

Kwa msaada wa siri na ushauri wa kitaalamu, nipigie simu, tuma SMS, au WhatsApp kupitia 0713054998. 📞💬
Nipo hapa kukusikiliza na kukupa mwongozo sahihi! 🧡

*KUPISHANA au KULIKA kwa PINGILI za MGONGO (DEGENERATIVE DISC DISEASE)*⏩️ni hali inayotokea kutokana na uharibifu au kuz...
09/10/2024

*KUPISHANA au KULIKA kwa PINGILI za MGONGO (DEGENERATIVE DISC DISEASE)*

⏩️ni hali inayotokea kutokana na uharibifu au kuzorota kwa pingili (diski) za uti wa mgongo kwa muda.

⏩️Pingili hizi ni k**a vifyonza (absorbers) kati ya mifupa ya uti wa mgongo (vertebrae), na zinasaidia kupunguza msuguano kati ya mifupa hiyo na kuruhusu mgongo kubadilika na kunyumbulika.

*Visababishi vya Degenerative Disc Disease:-*
1. *Kuzeeka* – Kadri mtu anavyozeeka, diski za mgongo hupoteza maji (synovial fluid) na kubana, hivyo kupunguza uwezo wa kufyonza mishtuko na kusababisha msuguano wa mifupa ya uti wa mgongo.

2. *Jeraha la mgongo* – Majeraha ya zamani au ajali zinazohusisha mgongo zinaweza kuharibu diski za mgongo na kusababisha kuanza kulegea au kuvunjika kwa diski hizo.

3. *Shinikizo la mara kwa mara*– Shughuli zinazohusisha kuinua vitu vizito au kusimama/kukaa kwa muda mrefu zinaweza kuleta shinikizo kubwa kwenye mgongo, zikisababisha uharibifu wa diski kwa muda mrefu.

*SOMA ZAIDI..👇👇*
https://chat.whatsapp.com/CAHvCgufpRCGMdF2bBw3iK

22/09/2024
Jukwaa la afya kwa wazee. Karibu ujiunge kwenye group letu la Whatsapp leo upate manufaa zaidi
22/09/2024

Jukwaa la afya kwa wazee. Karibu ujiunge kwenye group letu la Whatsapp leo upate manufaa zaidi

SULUHISHO LA JINO SIYO KUNG'OA. RUDISHA TABASAMU LAKO KWA KUTUMIA DR TS.BILA KUNG'OA JINODr.Ts natural herbal toothpaste...
18/08/2024

SULUHISHO LA JINO SIYO KUNG'OA. RUDISHA TABASAMU LAKO KWA KUTUMIA DR TS.BILA KUNG'OA JINO

Dr.Ts natural herbal toothpaste ni dawa ya meno ambayo imetengenezwa na mimea ya asili na Salama kwa afya ya mtumiaji ambayo ni;
1️⃣Panax notoginseng
2️⃣Green tea (majani chai)
3️⃣Lonicera japonic

KWA_WENYE_MATATIZO_YA_MENO K**A;

1️⃣Kutoa harufu mbaya mdomoni.
2️⃣.Meno kuwa ya njano
3️⃣.Kuoza kwa meno
4️⃣.Meno kuwa ya brown
5️⃣.Kutokwa damu kwenye fizi na kuvimba fizi.
6️⃣. Inasaidia kuua wadudu
Kwa kutumia dawa ya meno hii basi matatizo yako ya meno *yataisha kabisa na kukulejeshea* tabasamu lako.

FAIDA ZA DR TS TOOTHPASTE:
👉🏾Hung'arisha meno.
👉🏾Huimarisha meno na fizi
👉🏾Huondoa tatizo la kutokwa damu wakati wa kufanya usafi wa kinywa.
👉🏾Huwafaa watu wanaosumbuliwa na meno
👉🏾Huondoa tatizo la kutokwa damu kwenye fizi na meno
👉🏾Hutibu tatizo la meno kumeguka meguka
👉🏾Huondoa tatizo la meno kutingishika mara kwa mara
👉🏾Huondoa bacteria hatarishi katika kinywa
👉🏾Hulinda kinywa kisipatwe na magonjwa hatarishi
👉🏾Huondoa tatizo la harufu

HELLO 👋. Mlinde na uzae salama sliminiKAZI KUU ZA ZAMINOCAL PLUS CAPSULE.Bidhaa hii ni tajiri wa madini ya Zink , Calciu...
18/08/2024

HELLO 👋. Mlinde na uzae salama slimini

KAZI KUU ZA ZAMINOCAL PLUS CAPSULE.
Bidhaa hii ni tajiri wa madini ya Zink , Calcium , Magnesium, Amino Acid , Selenium, Potassium katika kidonge kimoja.

Faida zake Mwilini👇👇;

1.Husaidia Mifupa kua imara zaidi na kuzui kuvunjika haraka, mfano~ wazee waliogua muda mrefu.
2.Husaidia ufyonzwaji mzuri wa chakula mwilini
3.Husaidia sana mfumo wa fahamu/ubongo kua na kumbukumbu nzuri, na husaidia sana mtoto kuwa mwenye kuchangamka.

4.Huupa mwili nguvu na kuongeza kinga ya mwili

5.Husaidia kua na umbile lililo kaza na lenye kunawiri kwa wanaume 💪 (Me).

6✍️.Husaidia sana na ni muhimu katika tendo la ndoa kwa mwanaume
Madini haya (Zink , Calcium , Magnesium, Amino Acid , Selenium, Potassium) ni muhimu kuimarisha misuli ya uume, kuleta hisia na kuzuia swala kufika kileleni mapema.

7.Husaidia wanaume kutoa mbegu zenye rutuba na za kutosha ili kurutubisha yai.

8✍️.Husaidia mwanamke katika suala ya upevushwaji na ukomavu wa mayai.

Pia husaidia mwanamke kuwa na hisia nyingi na uzalishaji wa Uterezi mwingi wakati wa tendo la ndoa.

9.Hutibu na kuondoa maumivu kiuno, mgongo na tundo wakati wa hedhi.

10✍️.Ni muhimu Sana kwa Mama anae nyonyesha (Huongeza maziwa yenye virutubisho kwa mtoto ).
11.Husaidia Mama majamzito kupata mtoto mwenye afya bora na kuzui mimba kutoka/kuharibika.

12.Huongeza hamu ya kula Mara dufu

13.Huimarisha kucha na meno kua inara zaidi.14.Huondoa kuganda kwa damu pia husaidia vidonda kupona kwa haraka.

15✍️.Ni nzuri sana kwa wanao kufa ganzi viungo ikitumika na Micro.

Kumbuka🤏;
Hii ni Tiba ambayo imeokoa watu wengi sana waliokuwa wamekata tamaa kabsa.

Tiba hii ni ya asili haina kemikal ni nzuri kwa Mtoto ,Kijana ,Mzee ,Mama mjamzito ,Mama anae nyonyesha ni vyema kua nayo.

Wasiliana nasi Sasa tukupatie :+255

Tiba zetu ni bora sana tumesaidia watu wengi sana piga au njoo what's app 0713054998
18/08/2024

Tiba zetu ni bora sana tumesaidia watu wengi sana

piga au njoo what's app
0713054998

Address

Ubungo
Dar Es Salaam

Telephone

+255713054998

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when senny_bright posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to senny_bright:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram