MIMI NI AFYA BORA

MIMI NI AFYA BORA Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from MIMI NI AFYA BORA, dar es salaam, Dar es Salaam.

ZIJUE SABABU YA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME NA JINSI YA KUZIRUDISHA BILA MADHARA!   baada ya kumuingilia mwanamke huitwa "...
25/05/2019

ZIJUE SABABU YA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME NA JINSI YA KUZIRUDISHA BILA MADHARA!

baada ya kumuingilia mwanamke huitwa "premature ej*******on". Udhaifu huu ni kwa wanaume wengi ikiwa ni vijana.
Watu hawa humaliza tendo dakika moja mara baada ya kumuingilia mwanamke. Hali humfanya mwanamke kutoridhika na kujisikia vibaya.

Pia wapo wanaume ambao wanaweza kuchukua hata dakika 20 bila kutoa mbegu (kufika kileleni) baada ya kumuingilia mwanamke. Hawa nao pia ni wagonjwa, kwa sababu kiutaalamu inatakiwa uende dakika 5 hadi 7.

SABABU YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
•Mapenzi ya jinsia moja (ushoga)
•Kujichua (punyeto)
•Uchovu
•Msongo wa mawazo (stress)

MATIBABU
Kahawa ya xpower coffee ni suluhisho ya tatizo lako kwani ile tengeneza maalumu Kwa wanaume, ambayo ina kazi kuu nne;
1️⃣ Inaondoa msongo wa mawazo (stress)
2️⃣ Huongeza uzalishaji wa hormone za kiume (testormone)
3️⃣ Inaleta hamu na hisia ya tendo la ndoa
4️⃣ Inasaidia uume kusimama Barabara na kutochoka mapema wakati wa (s*x)
5.Huongeza s***m count na s***m quality
6.Huongeza ubora wa nguvu za kiume
7.Hupunguza uwezekano wa kupata tezi dume(prostate cancer)
ni maalumu Kwa wanaume wanaowahi kufika kileleni wasio na uwezo wa kufanya tendo la ndoa ipasavyo
Inapatikana Kwa bei nafuu sana na %
Haina madhara Kwa Matumizi yake.
Imetengenezwa Kwa mitishamba ya aina nne ambayo ina uwezo wa kurudisha uwezo wa mwanaume kulingana na utafiti uliofanywa juu ya mitishamba hiyo. Mitishamba hiyo ni:- - TongKat Ail
- Ginseng extract
- Epimedium extract/Prostaep
- Maca extract
Wasiliana 0676653208
kuweza kupata tiba

25/05/2019

0676653208 ARTHROEXTRA(TIBA YA MIFUPA KUSAGANA KATIKA MAUNGIO,, NA TIBA YA MAUMIVU YA VIUNGO )mfano
mgongo,nyonga,magoti nk
KWANZA, TUJIELIMISHEKIDOGO.🖐
KWA NINI MIFUPA HUSAGANA KWENYE VIUNGO NA KULETA MAUMIVU MAKUBWA?
=>KICHWA CHA MFUPA KATIKA VIUNGO KIMEZUNGUKWA NA MFUPA LAINI UITWAO GEGEDU(CARTILAGE)
KAZI YA GEGEDU(CARTILAGE ) NI KUZUIA MFUPA USISAGANE NA MFUPA MWENZAKE KWENYE VIUNGO,
PIA KUNA UTE UTE (SYNOVIAL FLUID) AMBAO NI GRISI YA VIUNGO,,HUSAIDA KULAINISHA MJONGEO(MOVEMENT)
MTU ANAPOFIKISHA MIAKA 30 CARTILAGE HUANZA KULIKA NA KUSABABISAH MIFUPA KUGUSANA NA KUSAGANA KWENYE VIUNGO HADI ULE UTE KUPOTEA,
HII HISABABISHA MAUMIVU MAKALI KWENYE VIUNGO, HADI KUPELEKEA MTU KUSHINDWA KUJONGEA IPASAVYO,
TATIZO HUONGEZEKA UMRI UNAPOZIDI KUWA MKUBWA NA UZITO UNAPOONGEZEKA,
=>ARTHROEXTRA NI BIDHAA INAYOREJESHA UTE UTE NA GEGEDU(CARTILAGE)
HIVYO HUSAIDIA MIFUPA ISIENDELEE KUSAGANA KWENYE VIUNGO, HUONDOA MAUMIVU HARAKA.
=>ZAMINOCAL HUONGEZA MADINI YA CALCIUM HIVYO HUSAIDIA KUPINA HARAKA,
NI KIRUTUBISHO CHA VIUNGOK UPATA HUDUMA.0676653208

15/05/2019

0676653208KINGA NA TIBA YA TEZI DUME BILA UPAUAJI.
Tezi dume nini ..ni tez inayopatikana kwa mwanaume tu..ipo kuzunguka njia ya mkojo karibu na kibofu cha mkojo..kazi ya tezi dume ni kutengeneza majimaji ya shahawa,na kurutubisha mbegu za kiume yaani kuzipa chakula..
Mtu anapofukisha miaka arobaini na kuendelea hiyo tezi huanza KUVIMBA ikiibana njia ya mkojo.
Hivyo pale unapokojoa mkojo hauishi Kwenye kibofu unabakia..
Hapo MTU huanza kupata dalili zifuatazo.
1.kukojoa Mara kwa Mara Hasa nyakati za usiku.Mara Tatu au Zaidi
2.unapobanwa kukojoa huwezi kusubiri unatamani kukojoa papo hapo.
3.ukikojoa mkojo hauruki mbele unatoka kwa kasi ndogo sio k**a zamani
4.unatumia muda mrefu k**aliza mchakato wa kukojoa.
5.unapata ugumu kuanza mchakato wa kusukuma mkojo pindi unapokwenda haja ndogo
6.baada ya kumaliza kukojoa unajisikia tena hamu ya kukojoa tena unajihisi mkojo bado Upo Kwenye kibofu.
7..unapomaliza kukojoa mkojo unatoka kisirisiri na kolowanisha nguo ya Ndani .unajishangaa umelowana..
UKIONA UNA HIZO DALILI BASI UJUE TEZI YAKO IMEANZA KUVIMBA TAYARI..Yaani unatatizo LA uvimbe wa tezi dume..
Mara nyingi suluhisho imekua upasuaji lakini upasuaji ukifeli watu wanakosa nguvu za kiume..
Sasa KUNA SULUHUSHO..
PROSTATRELAX ni dawa ya asili inayokinga na kutibu tezi dume bila upasuaji. Imewasaidia wengi sana..haina kemikali, imetengenezwa kwa mtishamba unaoitwa prostaep(flavnoids na polypeptide) itakusaidia.imethibitishwa na Tfda,cGMP,na Halal,unaweza tumia kujitibu au kujikinga.
Tazama video hapo chini kwa maelezo Zaidi na piga0676653208/0738892242 kwa ushauri na matibabu

30/04/2019

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU
~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe
~ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita HEMORRHOIDS ilhali kwa lugha ya kingereza unafahamika k**a piles
~tatizo hili huwaathiri watu wote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto na inakadiriwa kuwa karibu 50%ya watu wote wako katika hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30_50
AINA ZA BAWASIRI
~Kuna Aina mbili za bawasiri
(A) BAWASIRI YA NDANI
~Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili
~Aina hii hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa
~Aina hii imegawanyika katika madaraja manne
(1)DARAJA LA KWANZA ~Hii ni bawasiri ambayo haitoki mahal pale panapohusika
(2)DARAJA LA PILI ~hii hutokea wakati wa haja na kurudi yenyew ndani baada ya kujisaidia
(3)DARAJA LA TATU :hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe
(4)DARAJA LA NNE :hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi
(B)BAWASIRI YA NNJE
~Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu Hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS
CHANZO CHA TATIZO
~chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷
👉KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
👉KUHARISHA KWA MUDA MREFU
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO
👉MATATIZO YA UMRI
👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
👉UZITO KUPITA KIASI
👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU
DALILI ZA BAWASIRI
👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana
MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA TATIZO LA BAWASIRI
~matibabu ya bawasiri hutegemea na Aina ya bawasiri pia tiba iliyozoeleka ni kukatwa kinyama na kuendelea na lishe ya chakula hata hvyo tiba hii si nzuri kwasababu huwa haitibu chanzo cha tatizo hivyo huwa rahisi kujirudia

~Pamoja na hayo bawasiri ni ugonjwa unaoweza kuepukika kwa kuzingatia
👉KULA MBOGAMBOGA ZA MAJANI, MATUNDA, NA NAFAKA ZSZOKOBOLEWA
👉KUNYWA MAJI MENGI ANGALAU GRASS 6/12 Kwa siku
👉EPUKA KUKAA CHOONI KWA MUDA MREFU
*MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI*
👉kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake na wanaume.
👉kuathirika kisaikolojia
👉kukosa moral ya kufanya Kaz kutokana na maumivu makali
👉Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya UTUMBOCANCER) kwa sababu kile kinyama kinakaa K**a kidonda.,,

*TIBA NA KINGA YA BAWASIRI YA UHAKIKA* *(NOVEL DE PILE)*🤞🤞
NOVEL DE PILE NI BIDHAA YA ASILI INAYOSAIDIA KUPONYESHA BAWASIRI,
INAONDOA PRESHA KUBWA KWNYMISHIPA YA DAMU YA SEHEMU YA HAJA KUBWA,,HIVYO BAWASIRI INAPOTEA KABISAAAAA,,,
HUONDOA MAUMIVU MAKALI NDANI YA MUDA MFUPI SANA,
Piga 0692392418/0622934442upata huduma
HAINA KEMIKALI IMETHIBITISHWA NA TFDA,HALAL,GMP NK....

30/04/2019

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU
~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe
~ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita HEMORRHOIDS ilhali kwa lugha ya kingereza unafahamika k**a piles
~tatizo hili huwaathiri watu wote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto na inakadiriwa kuwa karibu 50%ya watu wote wako katika hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30_50
AINA ZA BAWASIRI
~Kuna Aina mbili za bawasiri
(A) BAWASIRI YA NDANI
~Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili
~Aina hii hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa
~Aina hii imegawanyika katika madaraja manne
(1)DARAJA LA KWANZA ~Hii ni bawasiri ambayo haitoki mahal pale panapohusika
(2)DARAJA LA PILI ~hii hutokea wakati wa haja na kurudi yenyew ndani baada ya kujisaidia
(3)DARAJA LA TATU :hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe
(4)DARAJA LA NNE :hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi
(B)BAWASIRI YA NNJE
~Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu Hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS
CHANZO CHA TATIZO
~chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷
👉KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
👉KUHARISHA KWA MUDA MREFU
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO
👉MATATIZO YA UMRI
👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
👉UZITO KUPITA KIASI
👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU
DALILI ZA BAWASIRI
👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana
MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA TATIZO LA BAWASIRI
~matibabu ya bawasiri hutegemea na Aina ya bawasiri pia tiba iliyozoeleka ni kukatwa kinyama na kuendelea na lishe ya chakula hata hvyo tiba hii si nzuri kwasababu huwa haitibu chanzo cha tatizo hivyo huwa rahisi kujirudia

~Pamoja na hayo bawasiri ni ugonjwa unaoweza kuepukika kwa kuzingatia
👉KULA MBOGAMBOGA ZA MAJANI, MATUNDA, NA NAFAKA ZSZOKOBOLEWA
👉KUNYWA MAJI MENGI ANGALAU GRASS 6/12 Kwa siku
👉EPUKA KUKAA CHOONI KWA MUDA MREFU
*MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI*
👉kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake na wanaume.
👉kuathirika kisaikolojia
👉kukosa moral ya kufanya Kaz kutokana na maumivu makali
👉Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya UTUMBOCANCER) kwa sababu kile kinyama kinakaa K**a kidonda.,,

*TIBA NA KINGA YA BAWASIRI YA UHAKIKA* *(NOVEL DE PILE)*🤞🤞
NOVEL DE PILE NI BIDHAA YA ASILI INAYOSAIDIA KUPONYESHA BAWASIRI,
INAONDOA PRESHA KUBWA KWNYMISHIPA YA DAMU YA SEHEMU YA HAJA KUBWA,,HIVYO BAWASIRI INAPOTEA KABISAAAAA,,,
HUONDOA MAUMIVU MAKALI NDANI YA MUDA MFUPI SANA,0692392418/0622934442kupata huduma
HAINA KEMIKALI IMETHIBITISHWA NA TFDA,HALAL,GMP NK....

25/04/2019

0692392418/0622934442ARTHROEXTRA(TIBA YA MIFUPA KUSAGANA KATIKA MAUNGIO,, NA TIBA YA MAUMIVU YA VIUNGO )mfano
mgongo,nyonga,magoti nk
KWANZA, TUJIELIMISHEKIDOGO.🖐
KWA NINI MIFUPA HUSAGANA KWENYE VIUNGO NA KULETA MAUMIVU MAKUBWA?
=>KICHWA CHA MFUPA KATIKA VIUNGO KIMEZUNGUKWA NA MFUPA LAINI UITWAO GEGEDU(CARTILAGE)
KAZI YA GEGEDU(CARTILAGE ) NI KUZUIA MFUPA USISAGANE NA MFUPA MWENZAKE KWENYE VIUNGO,
PIA KUNA UTE UTE (SYNOVIAL FLUID) AMBAO NI GRISI YA VIUNGO,,HUSAIDA KULAINISHA MJONGEO(MOVEMENT)
MTU ANAPOFIKISHA MIAKA 30 CARTILAGE HUANZA KULIKA NA KUSABABISAH MIFUPA KUGUSANA NA KUSAGANA KWENYE VIUNGO HADI ULE UTE KUPOTEA,
HII HISABABISHA MAUMIVU MAKALI KWENYE VIUNGO, HADI KUPELEKEA MTU KUSHINDWA KUJONGEA IPASAVYO,
TATIZO HUONGEZEKA UMRI UNAPOZIDI KUWA MKUBWA NA UZITO UNAPOONGEZEKA,
=>ARTHROEXTRA NI BIDHAA INAYOREJESHA UTE UTE NA GEGEDU(CARTILAGE)
HIVYO HUSAIDIA MIFUPA ISIENDELEE KUSAGANA KWENYE VIUNGO, HUONDOA MAUMIVU HARAKA.
=>ZAMINOCAL HUONGEZA MADINI YA CALCIUM HIVYO HUSAIDIA KUPINA HARAKA,
NI KIRUTUBISHO CHA ASILI,, HAINA KEMIKALI, 0692392418/0622934442KUPATA HUDUMA.

SULUHISHO LA KISUKARI SUGU  CHA KUPANDA(GLUCOBLOCKER TEA). (0676653208,0738892242Kisukari cha kupanda ni pale ambapo sel...
25/04/2019

SULUHISHO LA KISUKARI SUGU CHA KUPANDA(GLUCOBLOCKER TEA). (0676653208,0738892242
Kisukari cha kupanda ni pale ambapo seli za kongosho(islets of langerhans) zimeharibika kiasi kwamba haziwezi kutengeneza hormone ya insulin ambayo husaidia kuondoa sukari Kwenye damu na kuipeleka ili utumike Kwenye seli mbali mbali za mwili.)

Hivyo sukari ikibakia Kwenye damu inaanza kuleta madhara mbali mbali kwa sababu inaingilia mzunguko wa damu, kupata shida kuona au ukipofu kabisa,kuchanganyikiwa kiakili,ganzi miguuni au miguu kuwaka moto,matatizo ya figo hadi figo kuharibika ,kupungukuwa na nguvu za kiume,kupata stroke(kiharusi) nk..

SASA USIHOFU GLUCOBLOCKER TEA ITAKUSAIDIA KUPAMBANA NA KISUKARI SUGU CHA KUPANDA.
KAZI ZA GLUCOBLOCKER TEA,

1-Husaidia kupunguza kiwango cha sukari kinachoingia Kwenye damu, hivyo hubalance kisukari kabisaa..
2-husaidia kuondoa madharayaliyoletwa na kisukari mfano -Kushindwa kuona vizurikuchanganyikiwa,vidonda vya miguu,matatizo ya figo, kupungukiwa nguvu za kiume,matatizo ya moyo nk..
3.husaidia kuondoa hamu ya kula vitu vya sukari.
4.inasaidia kuamsha upya seli za kongosho(islets of Langerhans)kuanza upya kutengeneza hormone ya insulin ili ianze kutumika kusawazisha kiwango cha sukari mwilini ..
Matokeo ya awali ni baada ya Sikh 5 hadi saba..na matokeo ya muda mrefu ni baada ya miezi miwili..husaidia kukuondoa Kwenye dozi za za dawa hospitalini baada ya kutumia kwa muda..kwa Maelezo Zaidi na kupata dawa piga 0676653208,0738892242
NB:GLUCOBLOCKER TEA Imetengenezwa na mitishamba inayoitwa GYMNEMA na GREEN TEA. GYMNEMA imetumika India zaidi ya miaka 2000 iliyopita katika tiba asili na kisukari..

SULUHISHO LA KISUKARI SUGU  CHA KUPANDA(GLUCOBLOCKER TEA). (0676653208,0738892242Kisukari cha kupanda ni pale ambapo sel...
25/04/2019

SULUHISHO LA KISUKARI SUGU CHA KUPANDA(GLUCOBLOCKER TEA). (0676653208,0738892242
Kisukari cha kupanda ni pale ambapo seli za kongosho(islets of langerhans) zimeharibika kiasi kwamba haziwezi kutengeneza hormone ya insulin ambayo husaidia kuondoa sukari Kwenye damu na kuipeleka ili utumike Kwenye seli mbali mbali za mwili.)

Hivyo sukari ikibakia Kwenye damu inaanza kuleta madhara mbali mbali kwa sababu inaingilia mzunguko wa damu, kupata shida kuona au ukipofu kabisa,kuchanganyikiwa kiakili,ganzi miguuni au miguu kuwaka moto,matatizo ya figo hadi figo kuharibika ,kupungukuwa na nguvu za kiume,kupata stroke(kiharusi) nk..

SASA USIHOFU GLUCOBLOCKER TEA ITAKUSAIDIA KUPAMBANA NA KISUKARI SUGU CHA KUPANDA.
KAZI ZA GLUCOBLOCKER TEA,

1-Husaidia kupunguza kiwango cha sukari kinachoingia Kwenye damu, hivyo hubalance kisukari kabisaa..
2-husaidia kuondoa madharayaliyoletwa na kisukari mfano -Kushindwa kuona vizurikuchanganyikiwa,vidonda vya miguu,matatizo ya figo, kupungukiwa nguvu za kiume,matatizo ya moyo nk..
3.husaidia kuondoa hamu ya kula vitu vya sukari.
4.inasaidia kuamsha upya seli za kongosho(islets of Langerhans)kuanza upya kutengeneza hormone ya insulin ili ianze kutumika kusawazisha kiwango cha sukari mwilini ..
Matokeo ya awali ni baada ya Sikh 5 hadi saba..na matokeo ya muda mrefu ni baada ya miezi miwili..husaidia kukuondoa Kwenye dozi za za dawa hospitalini baada ya kutumia kwa muda..kwa Maelezo Zaidi na kupata dawa piga 0676653208,0738892242
NB:GLUCOBLOCKER TEA Imetengenezwa na mitishamba inayoitwa GYMNEMA na GREEN TEA. GYMNEMA imetumika India zaidi ya miaka 2000 iliyopita katika tiba asili na kisukari..

TATIZO LA GANZI YA MIGUU NA MIKONO(MIGUU KUWAKA MOTO NA TIBA YAKE)Ganzi ni moja ya tatizo/ugonjwa unaowakumba watu wengi...
25/04/2019

TATIZO LA GANZI YA MIGUU NA MIKONO(MIGUU KUWAKA MOTO NA TIBA YAKE)

Ganzi ni moja ya tatizo/ugonjwa unaowakumba watu wengine sana na ni tatizo ambalo linakera sana kwa sababu hata unapoenda hospitali Mara nyingi hawapati tatizo lolote

NINI HASWA CHANZO CHA TATIZO HILI

1:UMRI
Kawaida mtu anapokua umri umeenda, mwili mzima uzeeka pamoja na mfumo mzima wa damu, hii husababisha mishipa midogo midogo ya damu kufa, au kuziba hii husababisha chakula na hewa ya oksijeni kutofika kwa ufasaha maeneo ya mbali k**a miguuni na vidoleni hali hii hupeleekea mishipa ya fahamu kukosa chakula na hewa safi hivyo ganzi hutokea

2:KISUKARI
Sukari inapokua nyingi kwenye mzunguuko wa damu hupelekea kuunguza mishipa ya damu halo hii husababisha mishipa kusinyaa ambalo hupelekea hewa ya oksijeni na chakula kutofika kwa ufadsaha maeneo ya mbali sana k**a miguuni na mikononi hali hii husababisha mishipa ya fahamu kukosa chakula na hewa hivyo husababisha ganzi

3:DAMU NZITO
Damu inapokua nzito pia hupelekea MTU kupata tatizo LA ganzi kwa ni husababisha kutofika kwa damu kwenye mishipa midogo midogo ya damu hii hupelekea ganzi pia

TIBA YA GANZI

MICRO 2 CYCLE
-Hii ni dawa asili ya kupambana na tatizo hili bila madhara
-Imetengenezwa na mitishamba mitatu yenye uwezo mkubwa sana wa kufungua mishipa midogo midogo ya damu ambayo inapoziba au inapokua ndio chazo cha tatizo hili
-Huzuia damu isivilie kwenye mishipa hivyo huondoa hatari ya kiharusi
-Huiuisha mishipa midogo midogo ya damu na kuruhusu damu kupiga

ZAMINOCAL
-Inafaa sana kuifanya damu Iwe nyepesi hivyo husaidia kuondoa tatizo la ganzi k**a ikitumika pamoja na Micro 2 cycle

PIGA NAMBA 0676653208 KUPATA MAEKEZO ZAIDI UBARIKIWE

TATIZO LA GANZI YA MIGUU NA MIKONO(MIGUU KUWAKA MOTO NA TIBA YAKE)Ganzi ni moja ya tatizo/ugonjwa unaowakumba watu wengi...
25/04/2019

TATIZO LA GANZI YA MIGUU NA MIKONO(MIGUU KUWAKA MOTO NA TIBA YAKE)

Ganzi ni moja ya tatizo/ugonjwa unaowakumba watu wengine sana na ni tatizo ambalo linakera sana kwa sababu hata unapoenda hospitali Mara nyingi hawapati tatizo lolote

NINI HASWA CHANZO CHA TATIZO HILI

1:UMRI
Kawaida mtu anapokua umri umeenda, mwili mzima uzeeka pamoja na mfumo mzima wa damu, hii husababisha mishipa midogo midogo ya damu kufa, au kuziba hii husababisha chakula na hewa ya oksijeni kutofika kwa ufasaha maeneo ya mbali k**a miguuni na vidoleni hali hii hupeleekea mishipa ya fahamu kukosa chakula na hewa safi hivyo ganzi hutokea

2:KISUKARI
Sukari inapokua nyingi kwenye mzunguuko wa damu hupelekea kuunguza mishipa ya damu halo hii husababisha mishipa kusinyaa ambalo hupelekea hewa ya oksijeni na chakula kutofika kwa ufadsaha maeneo ya mbali sana k**a miguuni na mikononi hali hii husababisha mishipa ya fahamu kukosa chakula na hewa hivyo husababisha ganzi

3:DAMU NZITO
Damu inapokua nzito pia hupelekea MTU kupata tatizo LA ganzi kwa ni husababisha kutofika kwa damu kwenye mishipa midogo midogo ya damu hii hupelekea ganzi pia

TIBA YA GANZI

MICRO 2 CYCLE
-Hii ni dawa asili ya kupambana na tatizo hili bila madhara
-Imetengenezwa na mitishamba mitatu yenye uwezo mkubwa sana wa kufungua mishipa midogo midogo ya damu ambayo inapoziba au inapokua ndio chazo cha tatizo hili
-Huzuia damu isivilie kwenye mishipa hivyo huondoa hatari ya kiharusi
-Huiuisha mishipa midogo midogo ya damu na kuruhusu damu kupiga

ZAMINOCAL
-Inafaa sana kuifanya damu Iwe nyepesi hivyo husaidia kuondoa tatizo la ganzi k**a ikitumika pamoja na Micro 2 cycle

PIGA NAMBA 0676653208 KUPATA MAEKEZO ZAIDI UBARIKIWE

0676653208 ARTHROEXTRA(TIBA YA MIFUPA KUSAGANA  KATIKA MAUNGIO,, NA TIBA YA MAUMIVU YA VIUNGO )mfanomgongo,nyonga,magoti...
25/04/2019

0676653208 ARTHROEXTRA(TIBA YA MIFUPA KUSAGANA KATIKA MAUNGIO,, NA TIBA YA MAUMIVU YA VIUNGO )mfano
mgongo,nyonga,magoti nk
KWANZA, TUJIELIMISHEKIDOGO.🖐
KWA NINI MIFUPA HUSAGANA KWENYE VIUNGO NA KULETA MAUMIVU MAKUBWA?
=>KICHWA CHA MFUPA KATIKA VIUNGO KIMEZUNGUKWA NA MFUPA LAINI UITWAO GEGEDU(CARTILAGE)
KAZI YA GEGEDU(CARTILAGE ) NI KUZUIA MFUPA USISAGANE NA MFUPA MWENZAKE KWENYE VIUNGO,
PIA KUNA UTE UTE (SYNOVIAL FLUID) AMBAO NI GRISI YA VIUNGO,,HUSAIDA KULAINISHA MJONGEO(MOVEMENT)
MTU ANAPOFIKISHA MIAKA 30 CARTILAGE HUANZA KULIKA NA KUSABABISAH MIFUPA KUGUSANA NA KUSAGANA KWENYE VIUNGO HADI ULE UTE KUPOTEA,
HII HISABABISHA MAUMIVU MAKALI KWENYE VIUNGO, HADI KUPELEKEA MTU KUSHINDWA KUJONGEA IPASAVYO,
TATIZO HUONGEZEKA UMRI UNAPOZIDI KUWA MKUBWA NA UZITO UNAPOONGEZEKA,
=>ARTHROEXTRA NI BIDHAA INAYOREJESHA UTE UTE NA GEGEDU(CARTILAGE)
HIVYO HUSAIDIA MIFUPA ISIENDELEE KUSAGANA KWENYE VIUNGO, HUONDOA MAUMIVU HARAKA.
=>ZAMINOCAL HUONGEZA MADINI YA CALCIUM HIVYO HUSAIDIA KUPINA HARAKA,
NI KIRUTUBISHO CHA ASILI,, HAINA KEMIKALI,
PIGA 0676653208,0738892242 KUPATA HUDUMA.

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU ~watu wengi wanasumb...
14/03/2019

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU
~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe
~ugonjwa huu wa bawasiri kwa lugha ya kitaalamu tunauita HEMORRHOIDS ilhali kwa lugha ya kingereza unafahamika k**a piles
~tatizo hili huwaathiri watu wote ila zaidi huwaathiri watu wazima kuliko watoto na inakadiriwa kuwa karibu 50%ya watu wote wako katika hatari ya kupata tatizo hili katika umri wa miaka 30_50
AINA ZA BAWASIRI
~Kuna Aina mbili za bawasiri
(A) BAWASIRI YA NDANI
~Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa huwa haiambatani na maumivu na wengi huwa hawajitambui kuwa Wana tatizo hili
~Aina hii hutokana na kuvimba na kuharibika kwa mshipa wa artery za ndani ya mfereji wa haja kubwa
~Aina hii imegawanyika katika madaraja manne
(1)DARAJA LA KWANZA ~Hii ni bawasiri ambayo haitoki mahal pale panapohusika
(2)DARAJA LA PILI ~hii hutokea wakati wa haja na kurudi yenyew ndani baada ya kujisaidia
(3)DARAJA LA TATU :hii hutokea wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kurudisha ndani yeye mwenywe
(4)DARAJA LA NNE :hii ni bawasiri inayotoka na huwa ngumu kurudi
(B)BAWASIRI YA NNJE
~Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na huambatana na maumivu makali na kuwashwa kwa ngozi katika eneo la tundu Hilo pia husababisha mishipa ya damu (vena) kupasuka na damu kuganda na kasababisha Aina ya bawasiri iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS
CHANZO CHA TATIZO
~chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni ÷
👉KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE
👉KUHARISHA KWA MUDA MREFU
👉TATIZO LA KUTOPATA CHOO
👉MATATIZO YA UMRI
👉KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
👉UZITO KUPITA KIASI
👉MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU
DALILI ZA BAWASIRI
👉Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
👉kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
👉kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
👉kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana
MATIBABU NA JINSI YA KUEPUKA TATIZO LA BAWASIRI
~matibabu ya bawasiri hutegemea na Aina ya bawasiri pia tiba iliyozoeleka ni kukatwa kinyama na kuendelea na lishe ya chakula hata hvyo tiba hii si nzuri kwasababu huwa haitibu chanzo cha tatizo hivyo huwa rahisi kujirudia

~Pamoja na hayo bawasiri ni ugonjwa unaoweza kuepukika kwa kuzingatia
👉KULA MBOGAMBOGA ZA MAJANI, MATUNDA, NA NAFAKA ZSZOKOBOLEWA
👉KUNYWA MAJI MENGI ANGALAU GRASS 6/12 Kwa siku
👉EPUKA KUKAA CHOONI KWA MUDA MREFU
*MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI*
👉kupata upungufu wa damu (anemia)
👉Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
👉hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake na wanaume.
👉kuathirika kisaikolojia
👉kukosa moral ya kufanya Kaz kutokana na maumivu makali
👉Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya UTUMBOCANCER) kwa sababu kile kinyama kinakaa K**a kidonda.,,

*TIBA NA KINGA YA BAWASIRI YA UHAKIKA* *(NOVEL DE PILE)*🤞🤞
NOVEL DE PILE NI BIDHAA YA ASILI INAYOSAIDIA KUPONYESHA BAWASIRI,
INAONDOA PRESHA KUBWA KWNYMISHIPA YA DAMU YA SEHEMU YA HAJA KUBWA,,HIVYO BAWASIRI INAPOTEA KABISAAAAA,,,
HUONDOA MAUMIVU MAKALI NDANI YA MUDA MFUPI SANA,
Piga 0676653208, 0676653208upata huduma
HAINA KEMIKALI IMETHIBITISHWA NA TFDA,HALAL,GMP NK....

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
255

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when MIMI NI AFYA BORA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram