Dr Nature

Dr Nature A visionary medical doctor with a passion for transforming lives through healthy lifestyle coaching
(1)

31/01/2026

NoFap 30 days Challenge

Kuanzia Feb 1, 2026 hadi March 2, 2026 Nitasimamia Challenge ya siku 30 ya kushinda uraibu wa PUNYETO na kujenga tena ni...
31/01/2026

Kuanzia Feb 1, 2026 hadi March 2, 2026

Nitasimamia Challenge ya siku 30 ya kushinda uraibu wa PUNYETO na kujenga tena nidhamu, uhuru na kujenga urijali

Ni BUre kabisa, itafanyika social media zangu
- Instagram
- Facebook
- Youtube
- Tiktok na
- Whatsapp Channel

Jinsi ya kushiriki

1. Jifollow
2. Fuata mwongozo nitakaokuwa nikitoa kila siku kuanzia leo
3. Amua kuwa MSHINDI
4. Share na mwingine tushinde hii vita ambayo inapiganwa gizani

Wacha nikasali kwanza, niwaombee pia.. baadaye nitawaaambia vizuri kwa video

❤️

Sina hadhi ya hata kuwaza kuwa Mtume😔 lakini naweza kukusaidia kuondoka na AIBUHakuna AIBU tena❌Hakuna UTUMWA tena wa uc...
28/01/2026

Sina hadhi ya hata kuwaza kuwa Mtume😔 lakini naweza kukusaidia kuondoka na AIBU

Hakuna AIBU tena❌

Hakuna UTUMWA tena wa uchafu

✅ Sasa ni HESHIMA na Uhuru bila mizizi wala vidonge

Bofya Hapa kupata mwongozo wako SASA HIVI
👉🏼https://doktanature.com/punyeto/

Take Care!

Hakuna AIBU tena❌Hakuna UTUMWA tena wa uchafu✅ Sasa ni HESHIMA na UhuruBofya Hapa kupata mwongozo wako SASA HIVI👉🏼https:...
27/01/2026

Hakuna AIBU tena❌

Hakuna UTUMWA tena wa uchafu

✅ Sasa ni HESHIMA na Uhuru

Bofya Hapa kupata mwongozo wako SASA HIVI
👉🏼https://doktanature.com/punyeto/

Take Care!

25/01/2026

23/01/2026

Nina heshimu mchango wa viwanda na bodi ya maziwa Tanzania katika kukuza uchumi wetu.

Nimekumbusha kuhusu kilichopo kuhusu madhara ya kunywa maziwa hasa fresh kwenye afya zetu.

Sina lengo la kukosoa, kuingilia biashara ya taasisi au mtu yeyote.

Kwa sababu products zingine za maziwa zinakazi nafaida zingine tofauti ambazo ni nzuri.

Ni sawa tukisema
- Sukari ina madhara hamaanishi tunashambulia viwanda vya sukari visizalishe au tunaingilia biashara yao

- Pombe, sigara, nyama za kopo, energy drinks nk kadhali

Ni elimu ya jumla sio sera wala sheria. Matokeo ya uamuzi ni juu yako

Jifunze chukua hatua. K**a kuna mabadiliko ya sera au sheria k**a nchi yatakuja mbele kwa mbele

Poleni mlioumia lakini iko hivyo

Easy Chopper ni virutubisho vinavyoongeza kasi ya mwili kuchoma mafuta. Na hivyo vinakusaidia kupunguza uzito na KITAMBI...
20/01/2026

Easy Chopper ni virutubisho vinavyoongeza kasi ya mwili kuchoma mafuta.

Na hivyo vinakusaidia kupunguza uzito na KITAMBI Bila kuharisha wala kushinda njaa.

Huhitaji kufanya mazoezi ili upate matokeo.

Hizi Ndio Faida za Kutumia Easy Chopper..

1. INAPUNGUZA NJAA za mara kwa mara hivyo huna haja ya kujinyima chakula ili upungue

2. Inapunguza KITAMBI na UZITO MKUBWA hivyo utakuwa mwepesi, utapata usingizi mzuri na huru kuvaa zile nguo ambazo unazitamani

3. Inasaidia VIDONDA VYA TUMBO, na gesi kwahiyo hutateseka tena na mumivu na madawa na utakuwa huru kula vyakula bila masharti.

4. Inasaidia ku-BALANCE HOMONI.. Kwa wanawake itasaidia kuwa na hedhi zenye mpangilio zisizona maumivu makali au damu nyingi. Itafanya uke uwe na joto na kuondoa ukavu ukeni na kurudisha hamu ya tendo la ndoa.

Kwa wanaume.. inasaidia kurudisha hamu ya tendo la ndoa na kuongeza uwezo wakati wa faragha.

5. Inasaidia MZIO 'ALLERGY' hivyo hutangaika na vumbi, vyakula au marashi kirahisi k**a watu wengine

6. Inapunguza MAFUTA MABAYA na KOLESTRO na hivyo kukulinda na hatari ya kupata magonjwa ya moyo na kiharusi

- Ni ya unga inatumika kwa kuwekwa kwenye maji kwenye kikombe, unakunywa k**a chai

- Unatumia asubuhi na jioni.

- Matokeo utaanza kuyaona ndani ya mwezi.

HAINA MADHARA 100% ASILI

Nataka na wewe leo nikupe bonge la

“OFA”

Ukinunua leo Kopo 1 la easy chopper kwa

Tshs 70,000

Nakupa Zawadi Mbili BURE zenye thamani ya Tshs 60,000

1. Nitaku-add Kwenye WhatsApp Group la Support BURE kwa mwezi mzima (Badala ya Kulipia Tshs 50,000)

2. Nitakupatia kijitabu chenye ratiba ya chakula hai kwa siku 21 BURE (Badala ya Kulipia Tshs 10,000)

Jumla, Nitakupa zawadi ya Tshs 60,000

**Unaweza Kuipata Popote Duniani

Simu/WhatsApp: +255767759137

Jinsi ya Kutengeneza Kachumbari Ya Kuchoma MAFUTA - Uzito Mkubwa na Kitambi
20/01/2026

Jinsi ya Kutengeneza Kachumbari Ya Kuchoma MAFUTA - Uzito Mkubwa na Kitambi

Sio Kila aina ya kachumbari itakusaidia kupunnguza uzito mkubwa na kitambi, jifunze jinsi ya kutengeneza inayofaa.Mwongozo wa lishe: https://youtu.be/FhRE33h...

Nilitoa presentation ambayo nili-cite latest research kuhusu matunda matamu kwenye sukari na uzito.Hakuna hata utafuti m...
20/01/2026

Nilitoa presentation ambayo nili-cite latest research kuhusu matunda matamu kwenye sukari na uzito.

Hakuna hata utafuti mmoja unaunga mkono hoja kwamba matunda matamu yanaharibu metabolism na kuongeza uzito au kitambi.

Kwenye video sikupata comment hata moja kati ya maelfu ya waliotazama kuwa hawakubaliaani..

Sasa tubadilike, MATUNDA MATAMU yanafaa kwa kila mtu.

Enjoy!

20/01/2026

Msidanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema

19/01/2026

Ni rahisi kusema nakula vizuri lakini bado nanenepeana. Na matokeo yake utaanza kusingizia unene wa kurithi na hivyo utakata tamaa

Katika Video hii nimefundisha kanuni iliyosahaulika "Deflour Your Diet"

Address

Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:00 - 18:00
Tuesday 08:00 - 18:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 18:00
Friday 08:00 - 18:00
Sunday 08:00 - 18:00

Telephone

+255767759137

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Nature posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category

USHUHUDA

Ni rahisi k**a ukifuata maelekezo ni rahisi sana kutibu tatizo la nguvu za kiume! Unaweza ukapona kabisa ukawa k**a zamani au k**a wanaume wengine.