DR juma shafii

DR juma shafii mimi ninatatua changamoto mbalimbali za kiafya kwa kutumia mimea na virutubisho

05/09/2025

DALILI ZA MTU MWENYE MSHIPA WA NGIRI/HERNIA
_____________
Dalili za ngiri ziko nyingi sana kwa hiyo hapa nitataja dalili chache tu.
Nazo ndizo hizi zifuatazo⤵

1.Kubana tumbo hasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu/vyakula vya baridi.
2.Kupiga miungurumo tumboni.
3.Kujaa gesi tumboni.
4.Kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.
5.Kupata haja ngumu k**a ya mbuzi.
6.Kukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa.
7.Wakati fulani unakwenda haja sana, kila mara.
8.Unaweza kufanya jimai mara moja tu kisha hamu inakuishia hupati nguvu tena mpaka kesho.
9.Nuru ya macho hupotea taratibu.
10.Hutokea wakati mwingine kufanya jimai mwanzo kabisa au katikati ya tendo gari linazimika.
11.Kuvutwa makende au upande mmoja maumivu.
12.Hupiga mishale sehemu za haja kubwa na pembeni karibu na tupu.
13.Maumivu makali ya mgongo au kiuno
14.Uume kusimyaa na kunywea k**a wa mtoto

15 .Maumivu kati ya paja na kinena na hupelekea mguu kuwaka moto /kupata ganzi

16. Kupata maumivu katikati ya kifua mithili ya chembe ya moyo (hiatal hernia)

17. Tumbo kujaa na kuonekana k**a una kitambi kumbe ni gas.

18. Ukila vyakula vyevye sukari nying k**a soda nk tumbo huunguruma sana na kujaa gas

19. Kuvimba kwa korodan ama korodan kupanda juu(moja ama zote kwa pamoja)
_____________________________©©©_________©©©_____________________________________

Kwa Tiba Ya Ngiri/Hernia Bila Operation Wasiliana Nasi CARE & CURE HERBAL CLINIC

BAWASIRI INATIBIKA BILA OPERATION.   ‼️•Tumia muda wakoSOMA HADI MWISO•🍇UFAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI NA TIBA YAKE.(Miwash...
24/08/2024

BAWASIRI INATIBIKA BILA OPERATION.

‼️•Tumia muda wako
SOMA HADI MWISO•

🍇UFAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI NA TIBA YAKE.
(Miwasho uvimbe na maumivu Katika sehemu ya haja kubwa)HEMORRHOIDS.

Bawasiri ni ugonjwa ambao unatokana na kuathirika kwa mishipa ya sehemu ya ndani na nje ya haja kubwa na kupelekea wakati mwingine kutoa damu na maumivu wakati wa haja kubwa,
Mara nyingi tatzo hili huwapata watu kuanzia umri wa miaka 25-70.
Ila kwa sasa ugonjwa huu unawaathili mbaka watoto wa umri wachini kabisa.
BAWASIRI YA NDANI.
Hiki ni kinyama kinacho ota ndani kabla ya kutoka nje.
➡️Huanza kwa mtu kukosa choo maumivu makali wakati wa kijisaidia
➡️pia uvimbe huanza kujitengeneza kwa kutoka ndani ya tundu la haja kubwa hasa pale wa Kati wakujisaidia

BAWASIRI YA NJE
➡️Hi ni ambayo hujitokeza sehemu ya nje ya tundu moja kwa moja baada ya ndani kujiimarisha vizuri.
Bawasiri ni tatizo linalo anzia kwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula, huu mfumo ukiwa mmbovu upelekea misuli ya haja kubwa kutanuka, hivyo husababisha kuanza kusikia maumivu na miwasho kwa ndani.

Bawasiri huweza kusababishwa pia na
➡️ Kufanya mapenz kinyume na maumbile
➡️ujauzito
➡️kuhara kwa muda mrefu
➡️kutopata choo kwa muda mrefu

🍇DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI

-kujisaidia choo chenye harufu Kali
-kupumua na kushindwa kuzuia kinyesi pale unapo pumua(kujamba).

-Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia

-Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa

-Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)

-Kijiuvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa.

-Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha.

-Kinyam kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa

🍇MADHARA YA BAWASIRI
➡️upungufu wa damu mwilini
➡️kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
➡️kutopata hamu ya tendo la ndoa kwa jinsia zote
➡️Kuathirika kisaikolojia na kupelekea kutojiamini katika hadhara ya watu hasa pale miwasho inapozid

Tiba yake hospital ugonjwa huu ni operation,kukata uvimbe ili usiendelee kukua.Tiba hiyo huwa chanamgamoto ya kujirudia tena baada ya muda Fulani,pia upelekea maumivu makali kwa mgonjwa na kutokwa na damu mara kwa Mara

* KUPATA MATIBABU BILA OPERATION NA BILA KUJIRUDIA WASILIANA NASI CARE & CURE HERBAL CLINIC

Contuct us
+255713483702

FAHAMU VIZURI MISULI HII INAYOSHIKILIA UUME NA KUUFANYA UUME USIMAME IMARA ZAIDI KWA MUDA MREFU PASIPO KULEGEA AU KUSINY...
25/07/2024

FAHAMU VIZURI MISULI HII INAYOSHIKILIA UUME NA KUUFANYA UUME USIMAME IMARA ZAIDI KWA MUDA MREFU PASIPO KULEGEA AU KUSINYAA.
👇
Pelvic floor muscle Ni msuli ambao umeshikilia Uume ,Wakati uume unasimama ndio unawezesha Mwanaume kusimamisha uume wake muda Mrefu .Ikiwa Ni Dhaifu uume unasimama kwa muda mfupi unalegea hatimaye uume unasinyaa .

Msuli huu umeunganisha uume na tundu la haja kubwa na sehemu ya mwanzo wa Uti wa Mgongo. Kuna vitu ambavyo hulegeza msuli huu na kuufanya kuwa Dhaifu ;

Moja,Bawasili -kutokwa na vinyama sehemu za haja kubwa,uwenda ikawa bawasi ya ndani au ya nje.

Mbili, Kuvimbiwa (constipation ) tumbo linavyojaa gesi baada ya kushindwa kumeng'enya chakula Fulani,Basi msuli huu hulegea,kwa asilimia 90 hii utokea pale unapo kaa chini because mgandamizo wote unakuwa chini kwa asilimia 100

Tatu, Kupata Choo kigumu ,Yani ukienda chooni unatumia nguvu nyingi kusukuma haja kubwa, hii inathiri sana lakini ndicho kinacho pelekea kupata bawasi iyo tuliozungumzia apo juu.

Nne, Kujichua/punyeto Punyeto Punyeto Punyeto. Nimeiita mara 3 punyeto pia husababisha msuli huu kulegea ,na Dalili inaonyesha Wakati wa kutoa mbegu za kiume Yani shahawa utakuta hazitoki kwa kasi ,haziruki zinafanya kudondoka K**a matone ya mvua.Yani zinadondoka tu unazani ata ile raha utapata asilimia 98 MWANAUME anapata raha pale anapo mwaga.

Ikiwa huu msuli wa pelvic floor Ni imara utakuta shahawa zinatoka kwa Kasi na kwa nguvu zinaruka mbali na kwa Presha kubwa .Basi msuli huu ndio hufanya hiyo kazi.Ukilegea shahawa zinatoka kwa uvivu , zinadondoka tu chini.

Tano, Uzito mkubwa/kitambi pia hulegeza msuli huu.Ndio maana wenye vitambi wengi uume ni mdogo umezama kwa ndani

Kwa upande wa Wanawake msuli huu ukilegea husababisha Uke kupanuka Sana na kuwa mlegevu.kubaini K**a anatatizo hili Ni kuingiza kidole ukeni alafu ajaribu kukibana akishindwa Basi misuli ya pc imelegea.

Waathirika wakubwa wa msuli huu wengi wao ni watu wa maofisini wanaokaa muda mrefu sehem moja, madereva wa magari na bodaboda, wanaojichua, wenye uzito uliopindukia, kisukari ,vidonda vya tumbo nk.

Suluhisho linahitajika mapema sana kabla msuli huo haujaaribika sana. Likiwa sugu litakusumbua na utatumia gharama nyingi mpaka kukaa sawa.

K**a unahitaji Matokeo Mengine ya waliotumia Dawa yetu na wakapona Tafadhali nitafute inbox

NB: Kwa Wanawake pia Ambao wanakosa hisia za kushiriki Tendo Dawa yao Ipo
----------------------------------------------------------------------------------------------------------------

Care & cure Herbal Clinic
Location:
Dsm - Mbagala

Contuct us
255713483702
+

BAWASIRI INATIBIKA BILA OPERATION.   ‼️•Tumia muda wakoSOMA HADI MWISO•🍇UFAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI NA TIBA YAKE.(Miwash...
25/07/2024

BAWASIRI INATIBIKA BILA OPERATION.

‼️•Tumia muda wako
SOMA HADI MWISO•

🍇UFAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI NA TIBA YAKE.
(Miwasho uvimbe na maumivu Katika sehemu ya haja kubwa)HEMORRHOIDS.

Bawasiri ni ugonjwa ambao unatokana na kuathirika kwa mishipa ya sehemu ya ndani na nje ya haja kubwa na kupelekea wakati mwingine kutoa damu na maumivu wakati wa haja kubwa,
Mara nyingi tatzo hili huwapata watu kuanzia umri wa miaka 25-70.
Ila kwa sasa ugonjwa huu unawaathili mbaka watoto wa umri wachini kabisa.
BAWASIRI YA NDANI.
Hiki ni kinyama kinacho ota ndani kabla ya kutoka nje.
➡️Huanza kwa mtu kukosa choo maumivu makali wakati wa kijisaidia
➡️pia uvimbe huanza kujitengeneza kwa kutoka ndani ya tundu la haja kubwa hasa pale wa Kati wakujisaidia

BAWASIRI YA NJE
➡️Hi ni ambayo hujitokeza sehemu ya nje ya tundu moja kwa moja baada ya ndani kujiimarisha vizuri.
Bawasiri ni tatizo linalo anzia kwenye mfumo wa mmeng'enyo wa chakula, huu mfumo ukiwa mmbovu upelekea misuli ya haja kubwa kutanuka, hivyo husababisha kuanza kusikia maumivu na miwasho kwa ndani.

Bawasiri huweza kusababishwa pia na
➡️ Kufanya mapenz kinyume na maumbile
➡️ujauzito
➡️kuhara kwa muda mrefu
➡️kutopata choo kwa muda mrefu

🍇DALILI ZA MTU MWENYE BAWASIRI

-kujisaidia choo chenye harufu Kali
-kupumua na kushindwa kuzuia kinyesi pale unapo pumua(kujamba).

-Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia

-Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa

-Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)

-Kijiuvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa.

-Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha.

-Kinyam kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa

🍇MADHARA YA BAWASIRI
➡️upungufu wa damu mwilini
➡️kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
➡️kutopata hamu ya tendo la ndoa kwa jinsia zote
➡️Kuathirika kisaikolojia na kupelekea kutojiamini katika hadhara ya watu hasa pale miwasho inapozid

Tiba yake hospital ugonjwa huu ni operation,kukata uvimbe ili usiendelee kukua.Tiba hiyo huwa chanamgamoto ya kujirudia tena baada ya muda Fulani,pia upelekea maumivu makali kwa mgonjwa na kutokwa na damu mara kwa Mara

WASILIANA NASI *CARE & CURE HERBAL CLINIC* KUPATA MATIBABU BILA OPERATION NA BILA KUJIRUDIA

FAHAMU VIZURI MISULI HII INAYOSHIKILIA UUME NA KUUFANYA UUME USIMAME IMARA ZAIDI KWA MUDA MREFU PASIPO KULEGEA AU KUSINY...
25/07/2024

FAHAMU VIZURI MISULI HII INAYOSHIKILIA UUME NA KUUFANYA UUME USIMAME IMARA ZAIDI KWA MUDA MREFU PASIPO KULEGEA AU KUSINYAA.
👇
Pelvic floor muscle Ni msuli ambao umeshikilia Uume ,Wakati uume unasimama ndio unawezesha Mwanaume kusimamisha uume wake muda Mrefu .Ikiwa Ni Dhaifu uume unasimama kwa muda mfupi unalegea hatimaye uume unasinyaa .

Msuli huu umeunganisha uume na tundu la haja kubwa na sehemu ya mwanzo wa Uti wa Mgongo. Kuna vitu ambavyo hulegeza msuli huu na kuufanya kuwa Dhaifu ;

Moja,Bawasili -kutokwa na vinyama sehemu za haja kubwa,uwenda ikawa bawasi ya ndani au ya nje.

Mbili, Kuvimbiwa (constipation ) tumbo linavyojaa gesi baada ya kushindwa kumeng'enya chakula Fulani,Basi msuli huu hulegea,kwa asilimia 90 hii utokea pale unapo kaa chini because mgandamizo wote unakuwa chini kwa asilimia 100

Tatu, Kupata Choo kigumu ,Yani ukienda chooni unatumia nguvu nyingi kusukuma haja kubwa, hii inathiri sana lakini ndicho kinacho pelekea kupata bawasi iyo tuliozungumzia apo juu.

Nne, Kujichua/punyeto Punyeto Punyeto Punyeto. Nimeiita mara 3 punyeto pia husababisha msuli huu kulegea ,na Dalili inaonyesha Wakati wa kutoa mbegu za kiume Yani shahawa utakuta hazitoki kwa kasi ,haziruki zinafanya kudondoka K**a matone ya mvua.Yani zinadondoka tu unazani ata ile raha utapata asilimia 98 MWANAUME anapata raha pale anapo mwaga.

Ikiwa huu msuli wa pelvic floor Ni imara utakuta shahawa zinatoka kwa Kasi na kwa nguvu zinaruka mbali na kwa Presha kubwa .Basi msuli huu ndio hufanya hiyo kazi.Ukilegea shahawa zinatoka kwa uvivu , zinadondoka tu chini.

Tano, Uzito mkubwa/kitambi pia hulegeza msuli huu.Ndio maana wenye vitambi wengi uume ni mdogo umezama kwa ndani

Kwa upande wa Wanawake msuli huu ukilegea husababisha Uke kupanuka Sana na kuwa mlegevu.kubaini K**a anatatizo hili Ni kuingiza kidole ukeni alafu ajaribu kukibana akishindwa Basi misuli ya pc imelegea.

Waathirika wakubwa wa msuli huu wengi wao ni watu wa maofisini wanaokaa muda mrefu sehem moja, madereva wa magari na bodaboda, wanaojichua, wenye uzito uliopindukia, kisukari ,vidonda vya tumbo nk.

Suluhisho linahitajika mapema sana kabla msuli huo haujaaribika sana. Likiwa sugu litakusumbua na utatumia gharama nyingi mpaka kukaa sawa.

K**a unahitaji Matokeo Mengine ya waliotumia Dawa yetu na wakapona Tafadhali nitafute inbox

NB: Kwa Wanawake pia Ambao wanakosa hisia za kushiriki Tendo Dawa yao Ipo
----------------------------------------------------------------------------------------------------------------

Care & cure Herbal Clinic
Location:
Dsm - Mbagala

Contuct us
+255749526546
+255683510408

Address

Mbagala
Dar Es Salaam

Opening Hours

Monday 08:00 - 12:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Telephone

+2250713483702

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when DR juma shafii posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to DR juma shafii:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram