Siraajul Muniyr - Tiba asili

Siraajul Muniyr - Tiba asili Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Siraajul Muniyr - Tiba asili, Medical and health, Dar es Salaam.

☪ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* ☪    *MTUNDWA*⚡Mtundwa [Mpingi, Ntondwa, Mtundakula, Ma'ayangu] huu ni mmea tiba ujul...
05/12/2025

☪ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* ☪

*MTUNDWA*
⚡Mtundwa [Mpingi, Ntondwa, Mtundakula, Ma'ayangu] huu ni mmea tiba ujulikanao kwa jina la kisayansi k**a *"Ximenia caffra"*
⚡Kila kitu katika mmea huu kuanzia matunda yake, majani yake, mti wenyewe na mizizi yake vyote vinafaida na hutumika katika tiba.
⚡Mizizi ya mmea huu inauwezo mkubwa wa-::
👉Kuzibua mirija ya uzazi iliyoziba
👉Kutibu machango
👉Kusaidia kushika ujauzito kwa wepesi.
👉Kutibu magonjwa ya zinaa.
👉Kutibu maradhi ya matumbo pamoja na kuhara.
👉Kutibu malaria na kikohozi.
👉Kutibu ngiri na nguvu za kiume.
👉Kutibu macho.
Nk, nk, nk, faida zake ni nyingi mnoo wacha kwa leo tuishie hapo.

🌱 *MATUMIZI* 🌱
⚡Koroga kijiko kimoja cha unga wa mizizi ya mmea huu kwenye uji ama maziwa ama maji moto kikombe kimoja kisha kunywa.
⚡Utafanya hivyo kutwa mara mbili kwa muda wa siku 7.

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
what's app/call
wa.me/255656303019
*CHIEF SANG'IDA*

🪐 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 🪐  *FAIDA ZA CACTUS (MTERATERA / MADUNGUSI)*Leo tunakuletea faida muhimu za mmea maar...
30/11/2025

🪐 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 🪐
*FAIDA ZA CACTUS (MTERATERA / MADUNGUSI)*

Leo tunakuletea faida muhimu za mmea maarufu wa *Cactus*, unaojulikana pia kwa majina ya kienyeji k**a *Mteratera* au *Madungusi*.

🌿 *Faida za Afya:*
Cactus ni chanzo bora cha *vitamini C*, ambayo huongeza uzalishaji wa seli nyeupe za damu—hivyo huimarisha kinga ya mwili na kupambana na magonjwa mbalimbali.

💠 *Husaidia katika:*
✔ Kuimarisha kinga ya mwili
✔ Kuzuia ukuaji wa seli za saratani
✔ Kurekebisha kiwango cha sukari mwilini
✔ Kupunguza msongo wa mawazo
✔ Kuimarisha afya ya moyo
✔ Kupunguza uvimbe na maumivu
✔ Kuondoa sumu mwilini
✔ Kupunguza cholesterol
✔ Kuzuia kiharusi na kipandauso
✔ Kuongeza oksijeni kwenye damu
✔ Kuboresha mmeng’enyo wa chakula

🌿 *Matumizi ya moja kwa moja:*
⚡ *Dawa ya chango*
⚡ *Hutibu miguu inayowaka moto au kufa ganzi:*
- Chukua jani la cactus, lipashe moto kidogo jikoni, mgonjwa aliyesumbuliwa na hali hii akanyage mara 2 kwa siku.

⚡ *Kinga dhidi ya majini na mashetani:*
- Chukua miiba ya cactus, tengeneza usila (kitu cha kuandikia chale), kisha chanjia chale tatu ndogo utosini—ni kinga dhidi ya mashetani.

⚡ *Kutibu kucha zilizo haribika:*
- Paka maji ya cactus kwenye ukucha ulioharibika kwa siku kadhaa.

*Kwa ushauri na tiba mbalimbali, wasiliana nasi:*
wa.me/255656303019
~ *Chief Sang'ida*

☪️ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* ☪️  🌿 *TIBA ASILIA YA MAUMIVU YA KIUNO NA MGONGO* 🌿Ikiwa unasumbuliwa na maumivu ya ...
22/11/2025

☪️ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* ☪️
🌿 *TIBA ASILIA YA MAUMIVU YA KIUNO NA MGONGO* 🌿

Ikiwa unasumbuliwa na maumivu ya mgongo au kiuno kutokana na baridi, uchovu au matatizo ya neva, basi tiba hii ya asili ni suluhisho bora kwa ajili yako:

🔸 *1. Dawa ya Kunywa*
✅ Chemsha magome ya *mkorosho* kwenye maji safi.
✅ Kunywa yakiwa ya vuguvugu kikombe kimoja asubuhi kabla ya chai na jioni.
✅ Fanya hivyo kwa *siku 7 mfululizo*.

🔸 *2. Dawa ya Kujipaka*
Changanya na chemsha pamoja mafuta haya:
- *Mafuta ya simsim (sesame oil)*
- *Habbat Sauda (black seed)*
- *Pilipili mtama (kiasi kidogo)*

✅ Tumia mafuta haya kujichua sehemu zenye maumivu yakiwa ya vuguvugu.
✅ Fanya hivyo *kutwa mara 2*, asubuhi na jioni.

📌 Kwa ushauri na tiba mbalimbali wasiliana nasi:
📞 0656 303 019
📲 WhatsApp: wa.me/255656303019
*~Chief Sang’ida*

*YAJUE MADHARA YA KUTUMIA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO* ♦️Vidonge vya uzazi wa mpango na sindanoVidonge na sindano huwa na da...
20/11/2025

*YAJUE MADHARA YA KUTUMIA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO*

♦️Vidonge vya uzazi wa mpango na sindano

Vidonge na sindano huwa na dawa ambazo zina vichocheo vinavyozuia mayai kupevuka na kutolewa. Pia kemikali hizi hufanya ute ute wa ukeni kuwa mzito sana kiasi ya kuzuia mbegu kuogelea.

*Hasara za vidonge na sindano za uzazi wa mpango*

👉kuvurugika kwa hedhi ama kukosa kabisa hedhi

👉hamu ya tendo la ndoa yaweza kupungua

👉uzito waweza kuongezeka zaidi au kupungua sana

👉kuchelewa kushika mimba ingine baada ya kuacha kutumia

👉kumeza vidonge mara kwa mara na kuchoma sindano kila baada ya miezi mitatu, husababisha kichefuchefu, kuongezeka kwa hamu ya chakula na kuumwa kichwa.

♦️Vipandikizi au vijiti

Vipandikizi ni vijiti vyembamba vidogo vinavyowekwa kwenye sehemu ya juu ya mkono wa mwanamke kwa njia ya upasuaji mdogo. Vijiti vina kichocheo kinachozuia kupevuka kwa mayai.

*Hasara na vijiti.*

👉Vijiti hupadili homoni za mwili

👉inaweza kupelekea ukose hedhi ama hehdi kuvurugika

👉inahitaji upasuaji mdogo wakati wa kupandikiza na kutoa kipandikizi.

👉huleta hasira,huzuni,kunyonyoka nywele,majimaji ukeni na kuongezeka uzito.

♦️Kitanzi au loop

Ni kifaa kidogo kiliyoundwa na aina maalumu ya plastiki ambacho huwekwa kwa utaalamu ndani ya mfuko wa uzazi. Hufanya kazi hadi miaka 10.

*Hasara za kitanzi:*

👉lazima kiwekwe na mtaalamu wa huduma ya afya.

👉mtumiaji hupata damu nyingi ya hedhi kuliko kawaida

👉mtumiaji hupata maumivu makali kabla na wakati wa hedhi

👉uke huwa mlaini muda mwingi na

👉mwanamke hukosa hamu ya tendo.

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi.
What's app/call
wa.me/255656303019
*~Chief Sang'ida*

🌱FAIDA ZA UWATU🌱 Mbegu hizi za UWATU hujulikana kwa jina la english k**a FENUGREEK , arabic huitwa HULBA  (حلبة)  na sci...
31/05/2025

🌱FAIDA ZA UWATU🌱

Mbegu hizi za UWATU hujulikana kwa jina la english k**a FENUGREEK , arabic huitwa HULBA (حلبة) na scientific name ni Trigonella foenum-graecum .

Uwatu una faida nyingi sanaa, leo napenda kuwapa faida zake japo kiuchache.
*MAANDALIZI YAKE:*
*Unachemsha k**a Maharage na Unakunywa maji yake.* Kunywa kutwa mara2.
Ama ikiwa umeupata wa unga tumia kijiko kimoja koroga kwenye maji vuguvugu ama uji kikombe kimoja kisha kunywa fanya hivyo kutwa mara2.

👉Kama unashambuliwa na tumbo lisilokuwa na dawa-tumia *UWATU*
👉Kama una *U.T.I* sugu isiyopona. 👉Kama umejifungua kunywa *UWATU* Utasafika haraka na kukauka haraka.
👉Kama Umeharibu *MIMBA* baada ya kusafishwa hospital kunywa *UWATU.* 👉Kama una Blid zaidi ya siku 7 na kuendelea kunywa *UWATU.*
👉Kusafisha Mirija ya *Uzazi* kunywa *UWATU.*
👉Kama haupati Siku zako Kwa Kawaida, Namaanisha Leo *Damu* kesho tone, kesho unapata, kesho kutwa basi kunywa *UWATU.*
👉Kama unaumwa na *Chango* kunywa *UWATU.*
Pia uwatu husaidia kushusha sukari, kuweka homoni sawa kwa wanawake,
Huongeza uzalishaji wa maziwa kwa mama anayenyonyesha.
Huondoa cholesterol na kutibu obesity
Huweza kutibu tezi dume
Huongeza manii na uwezo katika tendo.
📌 *KWA MAMA MJA MZITO HARUHUSIWI KUTUMIA*
⚡ *UWATU pia ni nzuri kwa kusafisha nywele zenye MBA na zinazokatika.*

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
0656303019
What's app/call
wa.me/255656303019
~Chief Sang'ida.

FAIDA ZA MCHAICHAI (LEMONGRASS) Huu Mmea ni Mmea Mkubwa sana ktk sekta ya Afya.Watu wengi wenye hekima wamelima mashamba...
02/02/2025

FAIDA ZA MCHAICHAI (LEMONGRASS)

Huu Mmea ni Mmea Mkubwa sana ktk sekta ya Afya.
Watu wengi wenye hekima wamelima mashamba makubwa ya mchaichai kwa ajili ya tiba.

Huu Mmea kuna Magonjwa unatibu ambayo hayatibiki kirahisi kwa dawa za kisasa.. ila yanakuja kutibiwa na mmea huu , ambao ni maarufu kwa matumizi ya chai

Mmea huu una virutubisho, madini na vitamn k**a ifuatavyo

Energy (Nishati)
• Wanga (Carbohydrates )
• Protein (protini)
• Fat (Mafuta)
• Folates
• Niacin (Vitamn B3)
• Pyridoxine (Vitamn B6)
• Riboflavin (Vitamn B2)
• Thiamin (Vitamin B1)
• Vitamin A 6
• Vitamin C
• Madini ya Sodium 6
• Madini ya Potassium
• Madini ya Calcium
• Una madini ya Copper (shaba)
• Madini ya Iron (chuma)
• Madini ya Magnesium
• Pia madini ya Manganese
• Madini ya Selenium
Na madini ya Zinc

Hivyo huu fanya mmea huu kuwa na faida kubwa mnoo mwilini

Ukianza kuchambua kila kimojawapo hapo , utajikuta mwili umejaa kila hitaji linalohitajika

FAIDA ZA KUTUMIA MCHAICHI

🌹 Ina sifa ya Antidepressant

Matumizi ya Mafuta ya mchaichai huongeza kujistahi, kujiamini, matumaini, nguvu ya kiakili,.. Hii inaweza kusaidia sana kuondoa unyogovu kutokana na kushindwa katika kazi, maisha ya kibinafsi, wasiwasi , upweke, vilio, kifo katika familia, na sababu nyingine nyingi... Mafuta ya asili ya mchaichai ukijipaka tu hata k**a ulikuwa na hofu , msh*tuko k**a wa msiba , hali hiyo ikikutokea paka haya mafuta utakaa sawa

🌹Kupunguza Uzito

Mchaichai una citral, ambayo ni bora dhidi ya fetma.. Inapunguza mkusanyiko wa mafuta ya tumbo na kukuza utumiaji wa nishati iliyohifadhiwa, ambayo husaidia kuzuia kupata uzito unaosababishwa na ulaji mbaya wa chakula bila mpangilio ,Mtu anakula mara tano , badala ya mara moja au mbili kwa siku ,pia huongeza oxidation ya asidi ya mafuta katika mwili.

Ina sifa ya kupambana na Saratani

Citral ni kemikali iliyo ktk Mchaichai, inaweza kuwa na ufanisi katika kuzuia ukuaji wa seli za saratani bila kuathiri seli za afya za mwili. Citral n nzur katika kuzuia ukuaji wa seli za saratani ya ini na kuzuia ukuaji zaidi wa seli za saratani..

🌹Huondoa Matatizo ya Kupumua

Mchaichai hutumiwa sana katika dawa ya Ayurvedic ... Huondoa madhara ya

Je, unamafuaJe una homaJe unahisi kuumwa Au unahisi homaAu baridi kaliAu mwili haupo sawa, kabisaNenda kachukue limao ki...
02/02/2025

Je, unamafua
Je una homa
Je unahisi kuumwa

Au unahisi homa
Au baridi kali
Au mwili haupo sawa, kabisa

Nenda kachukue limao kipande kimoja,
kata na kipande nusu cha chungwa chemsheni kwenye maji moto

kunywa kikombe 1 kila siku jioni kikombe kimoja tuu, kwa kila jioni au usiku utaamka mwepesi k**a karatasi mpya

k**a umenielewa share k**a utafanya hivi weka LIKE ...

🪐 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 🪐  *CACTUS*Leo tunakuletea faida za mmea huu ujulikanao kwa majina Cactus / Mteratera...
27/01/2025

🪐 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 🪐

*CACTUS*
Leo tunakuletea faida za mmea huu ujulikanao kwa majina Cactus / Mteratera/ Madungusi.

🌱Mti huu ni chanzo bora cha vitamini C, ambayo huongeza uzalishaji wa seli nyeupe za damu ambazo husaidia mwili kupigana na virusi mbalimbali na kuboresha kinga ya mwili wako.
🌱Kutokana na umahiri wake katika kuongeza vitamini C mwilini:-
👉Huzuia ukuaji wa saratani.
👉Huimarisha utendaji wa moyo
👉Huponesha msongo wa mawazo
👉Huweka sawa sukari mwilini
👉Huzuia uvimbe kukua
👉Hulinda mwili dhidi ya oxidant, huimarisha mmeng'enyo wa chakula.
👉Hupunguza cholesterol na kuongeza oxygen kwenye damu.
👉Huzuia kiharusi na kipanda uso.
👉Huondoa sumu mwilini.

⚡Ni dawa nzuri sanaa ya chango
⚡Ni dawa ya miguu kufa ganzi na kuwaka moto.
Chukua jani lake lipashe jikoni lipate moto na akanyage mwenye matatizo hayo, afanye hivyo kutwa mara2.
⚡Ni kinga nzuri sanaa dhidi ya mashetani na majini wabaya.
Chukua miiba yake tengeneza usila kisha chanjia utosini chale tatu hatokuingia jini wala shetani.
⚡Ukipaka maji yake kwenye ukucha ulioharibika utapona.

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
What's app/call
wa.me/255656303019
*~Chief Sang'ida*

KWAHERI KISUKARI, MAFUTA KWENYE INI NA MAUMIVU YA VIUNGO.       INGREDIENTS.Turmeric: A peeled and chopped piece for its...
23/01/2025

KWAHERI KISUKARI, MAFUTA KWENYE INI NA MAUMIVU YA VIUNGO.

INGREDIENTS.

Turmeric: A peeled and chopped piece for its potent anti-inflammatory and antioxidant properties.
Cloves: A handful (Indian or traditional) to boost blood circulation and regulate blood sugar.
Dried Oregano: One teaspoon to detoxify the liver and fight inflammation.
Hibiscus Flowers: A handful to support liver health and reduce inflammation.
Water: Half a liter for brewing this powerful infusion.

🌳 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 🌳 ✨ _KUINUA MIZIMU YA UTAMBUZI_ ✨⚡Tunakuletea njia mujarabu ya kuinua mizimu ya utamb...
20/01/2025

🌳 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 🌳
✨ _KUINUA MIZIMU YA UTAMBUZI_ ✨
⚡Tunakuletea njia mujarabu ya kuinua mizimu ya utambuzi.
⚡Dawa hii hufungua panel na kuwa na uwezo mkubwa wa utambuzi wa mambo mbalimbali, liwe jambo lililo mbali nawe ama lililo karibu.
⚡Utakua na uwezo wa kutambua mambo yaliyopita, yaliyopo na yajayo kwa uhalisia wake.

🌴 *MAHITAJI* 🌴
👉Majani ya mkaratusi
👉Kivumbasi / Mwinula
👉Mdoktori
👉Kasela
👉Shilonge
👉Ubongo wa njiwa
👉Ubongo wa sungura
👉Ubongo wa kuku mweupe
👉Ubongo wa mbeshi.

Dawa hizo utachanganya na hivyo vingira vyake kwa utaratibu maalumu wa uandaaji wa dawa za kuamsha mizimu na kufungua fahamu.

🌿 *MATUMIZI* 🌿
Utakua waoga dawa hiyo na kuvuta kwenye kiko ama kuvuta k**a sigara .
Fanya hivyo kutwa mara mbili siku sabaa.

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
0656303019
wa.me/255656303019
*~Chief Sang'ida*

🌳 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 🌳  ⚡ *UTWAARID* ⚡NI DAWA MUJARABU KWA MATATIZO KWA:;;--👉BAWASIRI👉KUKOSA CHOO      🌴 *...
27/07/2024

🌳 *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* 🌳
⚡ *UTWAARID* ⚡
NI DAWA MUJARABU KWA MATATIZO KWA:;;--
👉BAWASIRI
👉KUKOSA CHOO

🌴 *MATUMIZI* 🌴
👉KOROGA KIJIKO KIDOGO(CHA CHAI) KWA MAJI MOTO AU MAZIWA AU UJI KIKOMBE KIMOJA KUTWA X 3 SIKU 14.
*NB* :UTATUMIA PAMOJA NA MAFUTA YA NYONYO KUPAKA SEHEMU HUSIKA

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
+255655821550 ama
wa.me/255656303019
~CHIEF SANG'IDA.

☪ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* ☪🌳 *UNGA WA KOMAMANGA* 🌳⚡HIZI NI BAADHI YA FAIDA ZINAZOPATIKANA KATIKA MAGANDA  NA MI...
10/02/2024

☪ *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* ☪
🌳 *UNGA WA KOMAMANGA* 🌳
⚡HIZI NI BAADHI YA FAIDA ZINAZOPATIKANA KATIKA MAGANDA NA MIZIZI YA MKOMAMANGA⚡
👉Tumbo kujaa gesi, acid
👉Vidonda vya tumbo
👉Cycititis, kuhara damu
👉Kubalance hormones, kupevusha mayai
👉Kutibu mawe kwenye figo, minyoo aina ya tegu
👉Hutibu uvimbe wa wengu (spleen)
👉Huongeza nguvu za kiume
👉Hutibu magonjwa ya kusendeka (magonjwa ya muda mrefu) k**a vile kisukari, saratani ya tezi dume na saratani mbalimbali, baridi yabisi, gout,
👉Huondoa sumu za kemikali mbalimbali katika mwili
👉Hutibu homa ya ini

Kwa ushauri na dawa za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
What's/call
wa.me/255656303019
*~Chief Sang'ida*

Address

Dar Es Salaam
0656303019

Telephone

+255656303019

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Siraajul Muniyr - Tiba asili posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Siraajul Muniyr - Tiba asili:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram