AfyaPlus Clinic

  • Home
  • AfyaPlus Clinic

AfyaPlus Clinic Afya ni ya Thamani kwetu. Tuilinde kwa pamoja
Karibu Kwa Tiba na Ushauri

Epuka Operation ya Tezi Dume maana  inatibika bila Operation.Tunayotiba Bora ya Kupambana na Tezi Dume.Mwanaume Bila Tez...
13/08/2025

Epuka Operation ya Tezi Dume maana inatibika bila Operation.
Tunayotiba Bora ya Kupambana na Tezi Dume.
Mwanaume Bila Tezi Dume inawezekana.

Wasiliana Nasi kwa 0749248433

FAHAMU MADHARA ANAYOWEZA KUYAPATA MGONJWA WA KISUKARIKisukari ni ugonjwa unaoua kimya kimya na unaowatesa watu wengi tar...
13/08/2025

FAHAMU MADHARA ANAYOWEZA KUYAPATA MGONJWA WA KISUKARI

Kisukari ni ugonjwa unaoua kimya kimya na unaowatesa watu wengi taratibu. Haya ndio madhara ya kisukari endapo tiba itachelewa kupatikana mapema:

1. Kuwa kipofu
2. Kukatwa viungo k**a miguu au mikono
3. Kuugua figo
4. Kuugua magonjwa ya moyo
5. Kuugua Ini
6. Kuugua mishipa ya fahamu
7. Viungo vya mwili kukak**aa na kufa ganzi
8. Kupoteza kumbukumbu
9. Kuchakaa ngozi ya mwili
10. Kuwa dhaifu kimwili Kumeza vidonge vya kushusha sukari kila siku
11. Kujidunga sindano kila siku. Dawa na sindano hazitibu sukari bali zinashusha sukari lakini ugonjwa wa sukari upo pale pale

Ugonjwa wa sukari unachochewa sana na vyakula tunavyokula kisha mfumo wa maisha ya mtu binafsi. Vyakula vya wanga, mafuta na suakari vinaongeza uzito na mafuta mwilini kiasi kwamba wengine tunakuwa na vitambi visivyo vya kawaida

Tukisha kula vyakula vya wanga, mafuta na sukari hatufanyi mazoezi na inakuwa tabu kwa watu wanaozoea kazi za ofisini au za dukani, anatoka nyumbani na gari kisha anaingia kazini na akitoka kazini anaingia kwenye gari na kwenda nyumbani kwenye sofa au kitanda

Afya yako ni muhimu kuliko unavyodhania, ukiishaugua sukari ndio utajua umuhimu wa kuangalia vyakula unavyokula na kufanya mazoezi. Tumia sasa Bidhaa zetu Bora za Afa Cell Plus Moringa Extract Stemcell suluhisho kwa tatizo hili la kisukari

Maelezo zaidi au ushauri tafadhali wasiliana nasi namba ⁨0749248433 au Bonyeza Link kwenye Bio

Rudisha tabasamu lako leo kwa kutumia Bidhaa Bora ya Afa Cell Plus Moringa Extract Medicinal StemcellAfa Cell Plus Medic...
13/08/2025

Rudisha tabasamu lako leo kwa kutumia Bidhaa Bora ya Afa Cell Plus Moringa Extract Medicinal Stemcell

Afa Cell Plus Medicinal Stemcell zimetengenezwa kwa teknolojia ya kisasa kutoka (Switzerland, USA na Japan) suluhisho kwa magonjwa sugu k**a

▪️ Kisukari
▪️ Presha
▪️ Kiharusi
▪️ Siko Seli
▪️ Pumu /Asthma
▪️ Saratani aina zote
▪️ Matatizo ya Mifupa
▪️ Homa ya ini
▪️ Tezi dume
▪️ Presha ya Macho
▪️ Uvimbe kwenye kizazi
▪️ Vidonda vya tumbo
▪️ Matatizo ya Mapafu
▪️ Matatizo ya Moyo
▪️ Matatizo ya Figo
▪️ Uvimbe kwenye Ovari
▪️ Kupoteza kumbukumbu
▪️ Matatizo ya Mgongo
▪️ Matatizo kwenye Ngozi
▪️ Matatizo ya Misuli
▪️ Kutomudu tendo la ndoa
▪️ Homa ya mapafu kwa watoto
▪️ Kuongeza CD4 /Kinga ya mwili
▪️ Na Magonjwa mengine mengi

Usiendelee kuteseka wala kuona ndugu yako anateseka, mjulishe hizi Habari Njema. Wengi wamepata matokeo ndani ya siku 21 mpaka 90

Maelezo zaidi au ushauri tafadhali wasiliana nasi namba +255620348433 au Bonyeza Link kwenye Bio

JE! UNAPATA MAUMIVU YA SHINGO, MABEGA, MGONGO, KIUNO, NYONGA N.KInasemekana kwamba zaidi ya watu Bilioni 4 duniani wanas...
13/08/2025

JE! UNAPATA MAUMIVU YA SHINGO, MABEGA, MGONGO, KIUNO, NYONGA N.K

Inasemekana kwamba zaidi ya watu Bilioni 4 duniani wanasumbuliwa na matatizo ya viungo (MAUNGIO) ambapo wanawake ni 18% na wanaume ni 9.6%

Bila shaka umeshawasikia ndugu zako, marafiki au watu wako wa karibu wakilalamika kuuma kwa maungio k**a magoti, nyonga, mabega, kiuno, shingo, mgongo ama maumivu ya maungio ya kisigino (Ankle Joint) n.k

Kawaida katika maungio kuna ute ute uitwao “synonvio fluid” ambao kazi yake ni kulainisha maungio, lakini pia kuna kitu k**a sponji kiitwacho catilage (gegedu) ambayo kazi yake ni kufanya mfupa na mfupa visisagane hivyo sponji hii na ute ute juu ndio vinavyofanya MAUNGIO yawe salama

Tatizo hili kitaalamu huitwa OSTEO ARTHRITIS (OA) hutokea pale ambapo gegedu (cartilage) kuanza kulika pole pole na kusababisha mifupa ya kwenye MAUNGIO kusagana na Kusababisha maumivu

NINI CHANZO CHA TATIZO
1. Umri
2. Uzito
3. Kuumia kwa kupata ajali
4. Kurithi (genesis)
5. Wafanya mazoezi au wana michezo

SULUHISHO
Endapo usipopata tiba mapema kwa tatizo hili kuna uwezekano mkubwa wa kufanyiwa upasuaji na kuwekewa cartilage za bandia ambazo kimsingi ni gharama kubwa sana

Tumia sasa bidhaa zetu za stemcell, zinarejesha ute ute kwenye maungio na kuzikarabati cartilage (sponji zinazozuia mifupa kusagana) na kuondoa maumivu ya maungio kabisa

MUHIMU
Matokeo ya awali ni ndani siku 7 mpaka 21 na matumizi ya miezi 3 mpaka 9 humaliza kabisa tatizo

Usiendelee kuteseka wala kuona ndugu yako anateseka, mjulishe hizi Habari Njema. Mzigo tunatuma popote ulipo kwa uaminifu

Maelezo zaidi au ushauri tafadhali wasiliana nasi namba ⁨0620348433⁩ au Bonyeza Link kwenye Bio

Zipo sababu tofauti tofauti ambazo zimekuwa chanzo cha maumivu ya magoti na mifupa mingine katika mwili hasa joints (mau...
06/01/2025

Zipo sababu tofauti tofauti ambazo zimekuwa chanzo cha maumivu ya magoti na mifupa mingine katika mwili hasa joints (maungio)

Ukifanikiwa kuondoa chanzo cha maumivu ndipo utakuwa tayari umeondoa maumivu moja kwa moja na kupona changamoto hiyo

Mara nyingi tumekuwa tukihisi maumivu basi haraka tunatafuta dawa za kutuliza maumivu na tunasahau kuwa kuna chanzo na maumivu ni ishara ambayo inakufahamisha sehemu fulani katika mwili wako kuna tatizo

Matumizi ya dawa za maumivu kwa muda mrefu huathiri mwili na viungo muhimu k**a vile FIGO, INI, MOYO n.k

Anza kutumia Bidhaa zetu za stemcell ni 100% Natural (Hazina Kemikali) na hutibu chanzo cha tatizo pasipo kuacha madhara yoyote katika mwili

MUHIMU
Matokeo ya awali ni ndani siku 7 mpaka 21 na matumizi ya miezi 3 mpaka 9 humaliza kabisa tatizo

Usiendelee kuteseka wala kuona ndugu yako anateseka, mjulishe hizi Habari Njema. Mzigo tunatuma popote ulipo kwa uaminifu

Wasiliana Nasi kwa 0749248433

DALILI 11 ZA SARATANI YA TEZI DUME1. Udhaifu katika kujisaidia haja ndogo na unapotoka unakatizakatiza2. Kushindwa kukoj...
09/12/2024

DALILI 11 ZA SARATANI YA TEZI DUME

1. Udhaifu katika kujisaidia haja ndogo na unapotoka unakatizakatiza
2. Kushindwa kukojoa na kushindwa kuanza pata haja ndogo
3. Unapohisi haja ndogo unapata shida kujizuia isijitokee yenyewe
4. Hisia ya kutaka kupata haja ndogo kila wakati hasa nyakati za usiku hata kukojoa kitandani
5. Mkojo kujitokea wenyewe
6. Maumivu au kuhisi mwasho wakati wa haja ndogo
7. Uume kusimama kwa shida
8. Maumivu wakati unapotoa manii (shahawa) wakati wa tendo
9. Damu damu katika mkojo na katika manii
10. Maumivu kwenye viungo (Kiuno, miguu, mgongo nk)
11. Kukosa hamu ya kula na kupungua uzito au kukonda

Ukiona dalili hizi usikae kimya, tafuta tiba mapema kabla tatizo halijakuwa chronic. Tumia sasa Bidhaa zetu za Stemcell suluhisho la saratani ya tezi dume pasipo kufanyiwa upasuaji

MUHIMU
Matokeo ya awali ni ndani siku 7 mpaka 21 na matumizi ya miezi 3 mpaka 9 humaliza kabisa tatizo

Usiendelee kuteseka wala kuona ndugu yako anateseka, mjulishe hizi Habari Njema. Tiba tunatuma popote ulipo kwa uaminifu

Maelezo zaidi au ushauri piga namba 0749248433 au Bonyeza Link ya blue kwenye Bio

DALILI 10 ZA UGONJWA WA FIGO, TEGA SIKIO1. UCHOVU - Kuwa mchovu wakati woteFigo hutengeneza homoni inayoitwa Erythropoie...
15/11/2024

DALILI 10 ZA UGONJWA WA FIGO, TEGA SIKIO

1. UCHOVU - Kuwa mchovu wakati wote
Figo hutengeneza homoni inayoitwa Erythropoietin (EPO) inayouambia mwili wako utengeneze chembe nyekundu za damu zinazobeba oksijeni. Figo zinaposhindwa hupelekea EPO kuwa kidogo. Kwa uuwa na chembe nyekundu chache za damu kubeba oksijeni, misuli na ubongo huchoka haraka

2. KUHISI BARIDI - Wakati wengine ni joto
Anemia inaweza kukufanya uhisi baridi wakati wote, hata kwenye chumba chenye joto

3. TATIZO LA KUPUMUA - Hata baada ya jitihada kubwa
Kukosa pumzi kunaweza kuhusishwa na figo kwa njia mbili. Kwanza, maji ya ziada katika mwili yanaweza kujilimbikiza kwenye mapafu. Na Pili, upungufu wa damu unaweza kuuacha mwili wako ukiwa na njaa ya oksijeni na kukosa pumzi

4. KUHISI KUZIMIA, KIZUNGUZUNGU AU DHAIFU
Anemia inayohusiana na kushindwa kwa figo inamaanisha kuwa ubongo haupati oksijeni ya kutosha. Hii husababisha kizunguzungu, kuzimia na udhaifu wa mwili

5. SHIDA YA KUFIKIRI VIZURI
Ubongo usipopata oksijeni ya kutosha kutokana na kushindwa kwa figo, uwezo wa kufikiri, kumbukumbu na umakini huathirika sana

6. KUHISI KUWASHWA SANA
Figo huondoa uchafu kutoka kwa damu. Figo zikishindwa, mkusanyiko wa taka kwenye damu, husababisha muwasho mkali

7. KUVIMBA KWA MIKONO AU MIGUU NA USO
Figo zinazoharibika haziondoi maji ya ziada, ambayo hujilimbikiza katika mwili wako na kusababisha uvimbe kwenye miguu, vifundoni, miguu au mikono na uso

8. CHAKULA KINA LADHA YA CHUMA, USUMBUFU WA TUMBO, KICHEFUCHEFU, KUTAPIKA
Mkusanyiko wa uchafu katika damu (Uremia) hufanya ladha ya chakula kuwa tofauti na kusababisha harufu mbaya ya kinywa. Huondoa hamu ya chakula na kusababisha kupunguza uzito

9. PUMZI YA AMONIA
Mkusanyiko Wa Uchafu Katika Damu (Uremia) Husababisha Harufu Mbaya Ya Kinywa.

10. MATATIZO KWENYE MKOJO, KUKOJOA MARA KWA MARA, MKOJO WENYE POVU, HARUFU KALI, RANGI YA KAWHIA NK
Figo hufanya mkojo, hivyo wakati figo zinashindwa, mkojo unaweza kubadilika. Unaweza kukojoa mara nyingi zaidi na mkojo uliopauka. Unaweza kuhisi shinikizo au kuwa na ugumu wa kukojoa.

Ukiona Dalili hizi usikae kimya, wasiliana nasi kwa Tiba au Ushauri 0749248433 au Bonyeza Link kwenye Bio yetu

Address

Mkulima House, Mabibo Hostel

255

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AfyaPlus Clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AfyaPlus Clinic:

  • Want your practice to be the top-listed Clinic?

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram