Miguu Salama

Miguu Salama Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Miguu Salama, Medical and health, Dar es Salaam.

Bidhaa za wenye Matatizo yafuatayo:-
 Vinundu vya Kwenye Mguu
 Miguu Isiyo na Uvungu
 Maumivu ya Nyayo na Visigino
 Maumivu ya Magoti na Ankle
 Vidole Vilivyobanana

Leg Brace Maalum kwa ajili ya watoto wenye changamoto za Matege. Kwetu utazipata hizi, za Kutengeza hapa nchini au za ku...
14/11/2025

Leg Brace Maalum kwa ajili ya watoto wenye changamoto za Matege.

Kwetu utazipata hizi, za Kutengeza hapa nchini au za kuagiza nje.

Tuwapambanie watoto wetu miguu Yao ikae sawa.

04/09/2025

Hii ni leg brace kwa ajili ya watoto wenye Changamoto ya miguu kupinda (matege) na pia miguu iliyopinda kwa kukosa uvungu.

Kifaa hiki ni muunganiko wa kiatu maalum kwa ajili ya kunyoosha mguu wote kuanzia chini Hadi juu.

Hii package inafanya kazi tatu kwa wakati mmoja.

Imetengenezwa kwa ngozi halisi ya wanyama hivyo hudumu muda mrefu na kukupa matokeo chanya zaidi.

Inapatikana ofisini kwetu kwa order baada ya kufanyiwa vipimo.

Karibuni tuwasaidie watoto wetu wakae sawa.

Viatu Vya Shule Kwa Watoto Wenye Miguu Bapa-:-Tunatengeza Viatu maalum vya Shule kwa ajili ya watoto wa jinsia zote, via...
06/08/2025

Viatu Vya Shule Kwa Watoto Wenye Miguu Bapa-:-

Tunatengeza Viatu maalum vya Shule kwa ajili ya watoto wa jinsia zote, viatu hivi vina muonekano mzuri na humsaidia mtoto kuleta uvungu na kunyoosha mguu.
Tunapatikana Temeke, Yombo Vituka jirani na Hospital ya Malawi (Kituo cha Afya Yombo Vituka)

Tupigie kwa simu 0624740012 au 0696 787 517.

Viatu na Vifaa kwa ajili ya Changamoto za Miguu
08/03/2025

Viatu na Vifaa kwa ajili ya Changamoto za Miguu

Karibu ofisini kwetu, tungenezee viatu na vifaa vya kusaidia kunyoosha miguu iliyopinda au miguu iliyokosa uvungu.

Tupo Dar Es Salaam, Temeke, Yombo Vituka, jirani na hospitali ya Malawi. {Kituo cha afya Yombo Vituka}

Wasliana nasi kwa kawaida au Whatsapp 0624 740 012

Karibu ofisini kwetu, tungenezee viatu na vifaa vya kusaidia kunyoosha miguu iliyopinda au miguu iliyokosa uvungu.Tupo D...
02/03/2025

Karibu ofisini kwetu, tungenezee viatu na vifaa vya kusaidia kunyoosha miguu iliyopinda au miguu iliyokosa uvungu.

Tupo Dar Es Salaam, Temeke, Yombo Vituka, jirani na hospitali ya Malawi. {Kituo cha afya Yombo Vituka}

Wasliana nasi kwa kawaida au Whatsapp 0624 740 012

BOOTS ZA SHULE AU KUTOKEA ZENYE KUTIBU MIGUU KUPINDA AU KUKOSA UVUNGU.Tunatengeza Viatu maalum vya shule au kutokea kwa ...
11/05/2022

BOOTS ZA SHULE AU KUTOKEA ZENYE KUTIBU MIGUU KUPINDA AU KUKOSA UVUNGU.

Tunatengeza Viatu maalum vya shule au kutokea kwa kwa ajili ya watoto wenye miguu iliyokosa uvungu na Miguu iliyopinda kulingana na size ya mguu husika, umri na mazingira anayoishi.

Gharama
Gharama za Kiatu huanzia Tsh 65,000/- Hadi Tsh 85,000/- Kulingana na utofauti wa kimaumbile na size ya kiatu chenyewe.

Package hiyo hujumisha na kupata Insoles 2, Arch Supports 2, Mkanda wa Mazoezi, Roller ball na Roller Sick pamoja na muongozo wa mazoezi BUREE.

Tunapatikana Tandika Magorofani. - Dar Es Salaam.
Call/ Text/ WhatsApp 0624 7400 12.

BRACE SHOES KWA WATOTO WASIO NA UVUNGUTunatengeza Viatu maalum kwa ajili ya watoto wenye miguu iliyokosa uvungu na Miguu...
06/05/2022

BRACE SHOES KWA WATOTO WASIO NA UVUNGU

Tunatengeza Viatu maalum kwa ajili ya watoto wenye miguu iliyokosa uvungu na Miguu iliyopinda kulingana na size ya mguu husika, umri na mazingira anayoishi.

Viatu hivi vya plastic laini vinavaliwa ndani ya kiatu kingine, mfano Raba. Vipo tofauti, havina uzito na havimuumizi mtoto.

Gharama
Gharama za Kiatu huanzia Tsh 55,000/- Hadi Tsh 150,000/- Kulingana na utofauti wa kimaumbile na size ya kiatu chenyewe.

Package hiyo hujumisha na kupata Insoles 2, Arch Supports 2, Mkanda wa Mazoezi, Roller ball na Roller Sick pamoja na muongozo wa mazoezi BUREE.

Tunapatikana Yombo Vituka- Dar Es Salaam.
Call/ Text/ WhatsApp 0624 7400 12.

VIATU KWA WATOTO WENYE MIGUU ILIYOKOSA UVUNGU AU KUPINDA.Tunatengeza Viatu maalum kwa ajili ya watoto wenye miguu iliyok...
06/05/2022

VIATU KWA WATOTO WENYE MIGUU ILIYOKOSA UVUNGU AU KUPINDA.

Tunatengeza Viatu maalum kwa ajili ya watoto wenye miguu iliyokosa uvungu na Miguu iliyopinda kulingana na size ya mguu husika, umri na mazingira anayoishi.

Gharama
Gharama za Kiatu huanzia Tsh 65,000/- Hadi Tsh 85,000/- Kulingana na utofauti wa kimaumbile na size ya kiatu chenyewe.

Package hiyo hujumisha na kupata Insoles 2, Arch Supports 2, Mkanda wa Mazoezi, Roller ball na Roller Sick pamoja na muongozo wa mazoezi BUREE.

Tunapatikana Tandika Magorofani. - Dar Es Salaam.
Call/ Text/ WhatsApp 0624 7400 12.

Mzazi usiache kufatilia maendeleo ya ukuaji wa mwanao, linapokuja suala la miguu na mabadiliko ya kimaumbile ya kawaida ...
06/05/2022

Mzazi usiache kufatilia maendeleo ya ukuaji wa mwanao, linapokuja suala la miguu na mabadiliko ya kimaumbile ya kawaida dalili hizi za awali usizipuuzie.

Wahi kumtengenezea kiatu/Brace maalum itakayomsaidia kunyoosha vidole na miguu yake kwa ujumla. Package yake inajumuisha Katu na vifaa vya kumpa support na mazoezi.

Tupo Dar es salaam, Tandika Magorofani. Call/Text/Whatsapp 0624 7400 12.

Package ya Mtu mwenye Miguu bapa.Package hii inajumuisha mazoezi na vifaa Tiba.Kwa changamoto za Miguuu, maumivu ya nyay...
25/01/2022

Package ya Mtu mwenye Miguu bapa.

Package hii inajumuisha mazoezi na vifaa Tiba.

Kwa changamoto za Miguuu, maumivu ya nyayo na visigino tafadhali wasiliana Nasi.

Call/Text/WhatsApp 0624740012

MAUMIVU YA NYAYO NA KISIGINOPlantar Fasciitis ni hali ya kusikia maumivu  kwenye unyayo wako. Plantar Fascia ni tissue n...
19/01/2022

MAUMIVU YA NYAYO NA KISIGINO

Plantar Fasciitis ni hali ya kusikia maumivu kwenye unyayo wako. Plantar Fascia ni tissue nyembamba/ligament ambayo huunganisha sehemu ya mbele ya unyao na kisigino chako. Hufanya kazi sawa shock up za gari au pikipiki ili kuhimili mgandamizo wa uzito wa kiwiliwili/ mwili wako kwa ujumla na kuuwezesha mguu wako kutembea bila maumivu.

Maumivu ya visigino na unyayo ni tatizo miongoni mwa watu wengi. Nyayo zetu zinakutana na mikiki mingi katika shughuli zeu za kila siku hasa ukizingatia shughuli zetu za kujikimu zinatofautiana miongoni mwetu. Hii hupelekea kuchakaa na kuisha nguvu kwa ligaments za unyayo husasani sehemu ya kisigino. Mgandamizo mkubwa husababisha nyayo kupata joto na kupelekea maumivu ya kisigino na kukaza kwa seli za eneo hilo.
Dalili za Plantar fasciitis
Watu wengi hulalamika kuhusu maumivu ya unyayo hasa kwenye kisigino na mbele kidogo kuelekea katikati ya unyayo, hii hutokea kwa mguu mmoja au miguu yote.

Maumivu ya unyayo huanza kidogo kidogo na kushamiri kadri muda unavyozidi kwenda. Maumivu huweza kuwa ya kusambaa au kuchoma mithili ya mwiba kwenye kisigino. Maumivu hayo husambaa kutoka kwenye kisigino kuelekea mbele ya unyayo.

Mauumivu huwa makali zaidi wakati wa asubuhi pale unapotaka kupiga hatua ya kwanza kutokea kitandani, maumivu haya huwa sawa na kukanyaga mwiba wa moto katika kisigino chako.

Pia maumivu huja pindi mtu anapoketi au kulala kwa muda mrefu, pia maumivu huja saa ya kupanda ngazi maana kisigino huwa kigumu na kukaza.

Maumivu hupungua kadri unavyopiga hatua na kuendelea na shughuli zako. Mara nyingi watu wenye changamoto hizi za miguu hawapati maumivu wakati wakiwa wamezongwa kwenye shughuli zao bali maumivu huwapata wakikata kuanza upya au kuendelea na shughuli zao baada ya Mapumziko.

Nini Husababisha plantar fasciitis
Kwa kawaida watu waliokuwa kwenye hatari zaidi ya kupata maumivu ya seli za nyayo ni wanaume na wanawake wenye umri wa miaka 40 hadi 70 ambao miili yao inajishughulisha zaidi.

Maumivu huwapata zaidi wanawake kuliko wanaume, wanawake wajawazito hukumbwa na changamoto hii hususan kipindi cha mwishoni cha ujauzito wao.

Watu wenye uzito mkubwa pia hukubwa na changamoto ya maumivu ya visigino na nyayo kwa ujumla, uzito uliokithiri husababisha misuli kushindwa kuhimili hivyo kusababisha athari hususan kwa watu walionenepa ghafla na kupata ongezeko kubwa la mwili ndani ya muda mfupi.

Pia ukiwa ni mkiambiaji wa mbio ndefu au mtu wa michezo kuna uwezekano mkubwa wa kupata changamoto hizi, na aina ya kazi unayoifanya yaweza pelekea kupata changamoto hii mfano ikiwa ni mtu wa kusimama muda mrefu au kuzunguka na kutembea k**a mhudumu wa mgahawa n.k.

Wenye Miguu iliyokosa uvungu, au kuwa na uvungu mkubwa kupiliza nao pia hupata changamoto hii ya maumivu ya visigino na nyayo.

Uvaaji wa viatu vyenye kuumiza kisigino au visivyo upa unyayo wako ahueni, visivyofata asili ya umbile la mguu wako au vilivyokuwa Flat kabisaa na vyenye soli au vikanyagio laini..

Japo awali madaktari walihusisha changamoto ya maumivu haya ya nyayo na Heel spurs lakini si hivyo tena japo heel spurs huweza pelekea plantar fasciitis.

Ugunduzi wa Tatizo na Matibabu.
Tabibu/daktari atafanya uchunguzi wan je kupima hali ya unyayo wako ili kujua kina hasa cha maumivu kipo wapi ili kujirisha kwamba maumivu hayo hayasabishwi na kitu kingine.

Matibabu
Sindano au vidonge pamoja na mazoezi na vifaa tiba kulingana na hali ya mgonjwa na kina cha tatizo.

Gharama za Matibabu.
Gharama za Matibabu huanzia Tsh 45,000/- Hadi Tsh 65,000/- Kulingana na Vifaa Tiba na Huduma za kupatiwa Mhusika.

Tunapatikana Tandika Magorofani. - Dar Es Salaam.
Call/ Text/ WhatsApp 0624 7400 12.

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Miguu Salama posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Miguu Salama:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram