06/02/2026
Madhara ya Miguu isiyo na Uvungu.
Japo suala la miguu kukosa Uvungu huonekana la kawaida kwa baadhi ya watu lakini swala hili huwa na madhara makubwa kwa baadhi ya watu siku za using:-
1)Kushindwa kusimama vzr, maumimivu na uchovu.
2) Miguu kwenda upande na kushindwa kushiriki vzr michezo ya watoto k**a kukimbia n. K.
3)Miguu kwenda upande humfanya mtoto ajione wa tofauti au mlemavu, pia husababisha viatu kulika au kuharibika upande mmoja.
4)Maumivu ya magoti, kiuno na nyonga pamoja na maumivu sehemu ya chini ya mgongo siku za usoni.
Karibu tukuhudumie kupata viatu vya shule au nyumban vyenye uwezo wa kutatua changamoto hiyo.
Tunapatikana Temeke, *Jet Lumo, Mwisho wa Lami.*
Tupigie kwa simu *0624740012* au *0716172471*
*Karibu Sana.*